Bush Dokta
JF-Expert Member
- Apr 11, 2023
- 24,831
- 45,154
Mzee wa kububujikaLucas Mwashambwa anabubujikwa na machozi kwa furaha
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mzee wa kububujikaLucas Mwashambwa anabubujikwa na machozi kwa furaha
Kwa hiyo jimbo hilo lilikuwepo tangu enzi za Tanganyika?Ukweli Tanganyika ni nchi ngumu.
Jimbo la lupa lililopo chunya, halina hata nusu Kilomita ya Barbara ya Lami.
Na Cha kufurahisha mbunge wake Yuko bungeni na anatarajia kurudi kuomba kura tena, ili aendelee kuwa mbunge wa Lupa.
Ninashauri CCM itusaidie kumuondoa mbunge wa sasa, itupatie mtu anayeelewa wananchi wanachokitaka.
Cha kufurahisha zaidi hata maji safi na salama hayapo, Jimbo nzima
View: https://youtu.be/4wHLqWVzVkg?si=bEWy5qMPpybs2Vuq
Huyu hapa. Huku umaskini unauwa watu.
Mkutano unakofanyikia magari yanapita,yakitimua vumbi.
Huo ukoo, unatakiwa uondolewe haraka
Nimezaliwa na kukulia Lupa. Ni kweli hali ya upatikanaji wa maji, barabara bado ni changamoto japo imeimarika zaidi tofauti na miaka ya nyuma. Mfano barabara ya lami imejengwa mpaka Makongorosi,pia Kulikuwa na mradi wa maji Matwiga,sijui umefikia wapi!Aliyewahi kufika Lupa Tinga tinga tunaomba utupatie ushuhuda wake.
Hali ya miundombinu ya Barbara, maji na umeme ikoje???
CCM inapenda sehemu za watu wajinga haswaNi mashimo na vumbi la kufa mtu. Utadha Nia uko congo
Na Bado tu mnawataka CCM ....aliyewaroga ameokoka ....Ukweli Tanganyika ni nchi ngumu.
Jimbo la lupa lililopo chunya, halina hata nusu Kilomita ya Barbara ya Lami.
Na Cha kufurahisha mbunge wake Yuko bungeni na anatarajia kurudi kuomba kura tena, ili aendelee kuwa mbunge wa Lupa.
Ninashauri CCM itusaidie kumuondoa mbunge wa sasa, itupatie mtu anayeelewa wananchi wanachokitaka.
Cha kufurahisha zaidi hata maji safi na salama hayapo, Jimbo nzima
Wewe kweli hamnazo, CCM haimuondoi Mbunge bali nyie wapiga kura mnaohongwa chumvi na vitenge ndo wenye uwezo wa kumuondoa kupitia sanduku la kuraUkweli Tanganyika ni nchi ngumu.
Jimbo la lupa lililopo chunya, halina hata nusu Kilomita ya Barbara ya Lami.
Na Cha kufurahisha mbunge wake Yuko bungeni na anatarajia kurudi kuomba kura tena, ili aendelee kuwa mbunge wa Lupa.
Ninashauri CCM itusaidie kumuondoa mbunge wa sasa, itupatie mtu anayeelewa wananchi wanachokitaka.
Cha kufurahisha zaidi hata maji safi na salama hayapo, Jimbo nzima