Jimbo la mhambwe ni aibu kwa mbunge wa jimbo hilo barabara inayounganisha mkoa kutoka kibondo mjini ni chakavu na inatisha.

Jimbo la mhambwe ni aibu kwa mbunge wa jimbo hilo barabara inayounganisha mkoa kutoka kibondo mjini ni chakavu na inatisha.

RWANDES

JF-Expert Member
Joined
Jun 12, 2019
Posts
1,788
Reaction score
4,401
Mbunge wa jimbo la mhambwe wilaya ya kibondo mkoa wa kigoma alichofanya nikugawa pikipiki za samia 2025 ameshindwa kutetea jimbo lake akiwa bungeni barabara hazipitiki za wapiga kura hata ameshindwa kuishauli serikali kujenga soko la kisasa kwa ajiri ya wajasiriamali.
Utakuwa ni aibu kubwa kama wananchi watarudisha mbunge huyo kwani inaonesha dhahiri kabisa hakuna alichokifanya kwenye jimbo hilo.
SAMIZ MUST GO hafai kuwa mbunge tena.
 
Sasa hapa tatizo ni mbunge au serikali yenye jukumu la kujenga barabara hizo..?

By the way huko wilayani na mkoani si kuna wawakilishi wa Rais/serikali moja kwa moja kama RC, DCs, Wakurugenzi wa Halmashauri, TANROAD, TARURA? Kwanini usiwalaumu hao moja kwa moja maana ndiyo wenye mafungu ya fedha zote za maendeleo? Why mbunge?

Mbunge ana fedha za kuweka wakandarasi wajenge barabara kwani?

Sawa. Najua unaweza kuniambia, anatakiwa kusema huko bungeni...

Ndugu muwe mnaelewa tunaposema tatizo la mkwamo wa maendeleo ya nchi hii ni mfumo mbovu wa kiutawala na kikatiba ambao power & authority ya mambo yote yakiwemo ya kifedha yako centralized kwa Rais na Central Government DSM au Dodoma...!

Mbunge unaweza kusema mpaka povu likakutoka na mpaka ukaruka na sarakakasi ndani ya bunge au kwenye ofisi ya waziri wa barabara, lakini kama mwenye fedha (Rais) hataki, huwezi kupata chochote...

All in all, tatizo la miundombinu ya barabara liko nchi nzima. Barabara nyingi za lami na vumbi hazifanyiwa regular maintainance muda mrefu sana....

Mfano leo hii mimi nimepita barabara ya lami ya kutoka Musoma - Lamadi - Bariadi - Maswa hadi Shinyanga. Barabara ni ya lami lakini imebomoka na kuwa na mashimo ya hatari yanayosababisha ajali za mara kwa mara na TANROAD wa maeneo haya wanaangalia tu...

Kuna sehemu shimo la kwenye barabara ya lami, TANROAD wameleta kifusi cha moramu kuziba badala ya lami izibwe kwa lami. Unadhani hii inaashiria nini? Hawana hela au fedha ya matengenezo imeliwa na wajanja...??

Kuna miradi ya ujenzi wa barabara imesimama kwa muda mrefu, haiendelei. Wakandarasi wamechimba mashimo na kumwaga vifusi baada ya hapo wameziacha hivyohivyo, wamekimbia. Wakiulizwa, jibu ni kuwa serikali haiwalipi fedha na wanashindwa kuendeleza kazi...

Sasa hili ni tatizo la mbunge mmoja mmoja kweli au ni tatizo la mfumo mzima wa serikali ambao uko corrupted..??
 
Sasa hapa tatizo ni mbunge au serikali yenye jukumu la kujenga barabara hizo..?

By the way huko wilayani na mkoani si kuna wawakilishi wa Rais/serikali moja kwa moja kama RC, DCs, Wakurugenzi wa Halmashauri, TANROAD, TARURA? Kwanini usiwalaumu hao moja kwa moja maana ndiyo wenye mafungu ya fedha zote za maendeleo? Why mbunge?

Mbunge ana fedha za kuweka wakandarasi wajenge barabara kwani?

Sawa. Najua unaweza kuniambia, anatakiwa kusema huko bungeni...

Ndugu muwe mnaelewa tunaposema tatizo la mkwamo wa maendeleo ya nchi hii ni mfumo mbovu wa kiutawala na kikatiba ambao power & authority ya mambo yote yakiwemo ya kifedha yako centralized kwa Rais na Central Government DSM au Dodoma...!

Mbunge unaweza kusema mpaka povu likakutoka na mpaka ukaruka na sarakakasi ndani ya bunge au kwenye ofisi ya waziri wa barabara, lakini kama mwenye fedha (Rais) hataki, huwezi kupata chochote...

All in all, tatizo la miundombinu ya barabara liko nchi nzima. Barabara nyingi za lami na vumbi hazifanyiwa regular maintainance muda mrefu sana....

Mfano leo hii mimi nimepita barabara ya lami ya kutoka Musoma - Lamadi - Bariadi - Maswa hadi Shinyanga. Barabara ni ya lami lakini imebomoka na kuwa na mashimo ya hatari yanayosababisha ajali za mara kwa mara na TANROAD wa maeneo haya wanaangalia tu...

Kuna sehemu shimo la kwenye barabara ya lami, TANROAD wameleta kifusi cha moramu kuziba badala ya lami izibwe kwa lami. Unadhani hii inaashiria nini? Hawana hela au fedha ya matengenezo imeliwa na wajanja...??

Kuna miradi ya ujenzi wa barabara imesimama kwa muda mrefu, haiendelei. Wakandarasi wamechimba mashimo na kumwaga vifusi baada ya hapo wameziacha hivyohivyo, wamekimbia. Wakiulizwa, jibu ni kuwa serikali haiwalipi fedha na wanashindwa kuendeleza kazi...

Sasa hili ni tatizo la mbunge mmoja mmoja kweli au ni tatizo la mfumo mzima wa serikali ambao uko corrupted..??
Anatafuta kula badala ya kura
 
Sasa hapa tatizo ni mbunge au serikali yenye jukumu la kujenga barabara hizo..?

By the way huko wilayani na mkoani si kuna wawakilishi wa Rais/serikali moja kwa moja kama RC, DCs, Wakurugenzi wa Halmashauri, TANROAD, TARURA? Kwanini usiwalaumu hao moja kwa moja maana ndiyo wenye mafungu ya fedha zote za maendeleo? Why mbunge?

Mbunge ana fedha za kuweka wakandarasi wajenge barabara kwani?

Sawa. Najua unaweza kuniambia, anatakiwa kusema huko bungeni...

Ndugu muwe mnaelewa tunaposema tatizo la mkwamo wa maendeleo ya nchi hii ni mfumo mbovu wa kiutawala na kikatiba ambao power & authority ya mambo yote yakiwemo ya kifedha yako centralized kwa Rais na Central Government DSM au Dodoma...!

Mbunge unaweza kusema mpaka povu likakutoka na mpaka ukaruka na sarakakasi ndani ya bunge au kwenye ofisi ya waziri wa barabara, lakini kama mwenye fedha (Rais) hataki, huwezi kupata chochote...

All in all, tatizo la miundombinu ya barabara liko nchi nzima. Barabara nyingi za lami na vumbi hazifanyiwa regular maintainance muda mrefu sana....

Mfano leo hii mimi nimepita barabara ya lami ya kutoka Musoma - Lamadi - Bariadi - Maswa hadi Shinyanga. Barabara ni ya lami lakini imebomoka na kuwa na mashimo ya hatari yanayosababisha ajali za mara kwa mara na TANROAD wa maeneo haya wanaangalia tu...

Kuna sehemu shimo la kwenye barabara ya lami, TANROAD wameleta kifusi cha moramu kuziba badala ya lami izibwe kwa lami. Unadhani hii inaashiria nini? Hawana hela au fedha ya matengenezo imeliwa na wajanja...??

Kuna miradi ya ujenzi wa barabara imesimama kwa muda mrefu, haiendelei. Wakandarasi wamechimba mashimo na kumwaga vifusi baada ya hapo wameziacha hivyohivyo, wamekimbia. Wakiulizwa, jibu ni kuwa serikali haiwalipi fedha na wanashindwa kuendeleza kazi...

Sasa hili ni tatizo la mbunge mmoja mmoja kweli au ni tatizo la mfumo mzima wa serikali ambao uko corrupted..??
Nimepita jimbo hilo kwa kweli inaumiza sana ni aibu kubwa miundomninu ya soko na barabara vyote vimetekekezwa ! Nasikia na gavana wa benki kuu anatoka hapo aibu kubwa kwa wanamhambwe
 
Mbunge kazi yake ni kuwasilisha malalamiko ya wananchi hivyo haiwezi kuwa aibu yake maana hana bajeti kwenye mshahara wake ya ujenzi wa barabara
Ukiona mbunge hasikilizwi katika masuala ya maendeleo yanayohusu Jimboni kwake basi automatically ujue wananchi wake ni mizigo; yaani hapo ukute serikali kuu ikusanye Kodi kutoka mikoa inayojiweza ili nyinyi huko mje mjengewe barabara
 
Nchi yetu ni Masikini mno hizo changamoto zipo kila kona.

Ccm wameshindwa kutuvusha
Wizi, Rushwa, ufisadi umetamalaki ndani ya nchi.

Ipo siku Laana itakuja kulitafuna taifa kuwa na viongozi wezi.
Mungu atusamehe.
 
Hii ndio taabu ya kuwachagua watu wanaoishi mijini na wanaonekana jimboni wakati wa kusaka kura kila uchaguzi unapokaribia
 
Kwani Muhambwe wanachama TRA kiasi Gani ili wapewe kipaumbele? TRA hukusanya pesa nyingi Dar Arusha na Kilimanjaro hii ndo mikoa ya kipaumbele
 
Kibondo ni aibu! Wilaya kongwe kama ile bado iko kwenye hadhi ya kata. Kinachoshangaza zaidi mbunge anachokijua zaidi ni kumnadi Samia kwa wapigakura hata kama wanapumua vumbi muda wote.
Wiki mbili zilizopita nilipita Kibondo kutokea Kigoma hadi Bukoba na kurudi nikipitia Kibondo tena hadi Uvinza.
Kibondo pekee ndio iko nyuma kimaendeleo, ujenzi wa barabara inayopita mjini imesimana ujenzi ni vumbi tupu, ile inayokwenda mipakani Mabamba imesimama ujenzi, hamna stendi wala soko la kusingiziwa! 😢
Kinachoshangaza zaidi eti ni Halmashauri na watu wanaaga asubuhi kwenda kazini!. Mbunge yupo,mkuu wa wilaya yupo na si ajabu nae alipewa gari la kifahari la VX.
Ukanda ule ni Kasulu tu ndio inayoonekana kuwa makini na maendeleo Kibondo....No! Mbunge Samizi hana uwezo zaidi ni uchawa tu. Wilaya ya Kibondo inakwenda kutengwa na kubaki kisiwa kama hatua za haraka hazitafanyika hasa kujenga barabara ya moja kwa moja kutoka Kibondo mjini hadi Tabora mjini kupitia pori la Moyowosi hadi Songambele/Mwendakulima. 🤔
 
Back
Top Bottom