Idimulwa
JF-Expert Member
- May 27, 2011
- 4,944
- 2,459
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
....anajiona sana....Nimeipenda hii.vipi ...hajitapi sana....:? M'hola a hene!?Mabula times 2.... Hawafai kabisa hawa yule mama anajiona sana...wakati sisi tunamjua law mingi Akira pale kirumba anajifanya sasa hatujui...huyu Angela na Roho mbaya sana...wizard balaaa
Msomi aogopa uganga, hahahaTo be honest Mabula you can't win this Nyamagana constituency , due to the Fact that Mr John Pambalu ..Is most Competence.
Nyamagana hakuna uchawi wowote kama unavyodai kuwa Pambalu kaleta waganga .
AlikotokaSasa Mabula atakwenda wapi !.
Ana hoja nzito, niliona backup ya mamake ni hatari, huyo jamaa ni Jaluo?John pambalu ni kijana mwanasiasa anayekuja kwa kasi sana.
We ni zombie la lumumba tuHata usemeje haisaidii; wewe ni kilaza wa kupindukia.
Mkuu ukiandika uzi weka na ka picha ka nyomi la mikutano ya pambalu.
Jamaa mnamnadi hata picha zake hamtupii tumuone
Hata usemeje haisaidii; wewe ni kilaza wa kupindukia.We ni zombie la lumumba tu
Unamkumbuka Komandoo Salmin Amour? Aliwahi kusema, ushindi ushindi tu! Kama Mabula atashinda kwa asilimia 53℅ bado ni ushindi tu!Ungesema Mabula atashinda kwa 53 % kidogo ingesaundi
Yuko vzr sn yani mabula ni kiburi jeuri snJohn Pambalu ndiye mbunge wangu! Dogo anajua kujenga hoja!
Hata pambalu hatakiwi pia.
Hahahaaa..... Huyu nae km chakubanga tuMabula anasema dogo anatumia uchawi....aaah.