frenk julius
JF-Expert Member
- Dec 24, 2019
- 377
- 242
Wananyamagana msitusemee tumemeamua kubak na mabula
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu ukiandika uzi weka na ka picha ka nyomi la mikutano ya pambalu.
Jamaa mnamnadi hata picha zake hamtupii tumuone
Acha kukalili mimi nimganda . sasa how you can teach my mother tongue.
Kwa huo mpua ulokuwa nao ni dhahiri huna akili.Wananyamagana msitusemee tumemeamua kubak na mabula
Habari za ndani kabisa zilizotufikia, Magufuli hata chato hatoboi, sembuse wagombea wake!!! Huyo Mabula ni cha mtoto tu. Chato kuna chuki za kifamilia huko nyumbani. Jamaa, pamoja na upendeleo, kalizua la utengano. Kweli, kuishi bila busara ni hasara.Sio Mabura tu CCM haina chake mkoa wa Mwanza mwaka huu wasipokuwa makini Lissu atashinda mpaka Chato.
Wahutu ndivyo walivyo!!Habari za ndani kabisa zilizotufikia, Magufuli hata chato hatoboi, sembuse wagombea wake!!! Kuna chuki za kifamilia huko nyumbani. Jamaa, pamoja na upendeleo, kalizua la utengano. Kweli, kuishi bila busara ni hasara.
Kwa hyo wew ndo unaimudu mfundishe jiwe wenu basi....kwa mujibu wa twaweza wafuasi wengi ccm ni wajingaUsilazimishe lugha usiyoimudu wewe kilaza.
Wewe ni kilaza wa kupindukia.Kwa hyo wew ndo unaimudu mfundishe jiwe wenu basi....kwa mujibu wa twaweza wafuasi wengi ccm ni wajinga
Upo Nyamagana ipi brother?hii yetu mabati,Buhongwa,butimba,Isamiro,Igogo,bugarika,Igoma.......sisi huwa hatuli matapshi navbudu......labda Nyamagana yenu yauko Sangamwalugeshe....sisi ndio Mwanza namwanza ndio sisi sehemu kubwa yaNyamagani nimjn kati nadunian kote mjn Kati hakaagi mjngaWananyamagana msitusemee tumemeamua kubak na mabula
Mkuu mimi nipo site hapa Nyamagana. Mh. Stanslas Mabula (CCM) atapita kwa zaidi ya asilimia 76℅. Mh. John Pambalu (Chadema) atapata asilimia 14℅. Mh. Chagulani (ACT Wazalendo) atapata asilimia 7℅. Na wagombea wengine watapata asilimia 3℅.Nasikia hapo Nyamagana upepo ni wa Pambalu
Mh. Pambalu anatarajia kupata kura CHACHE SANA kwenye Kata ya Butimba kwasababu hajawahi kufanya kazi yoyote ya udiwani pale Kata ya Butimba tangu 2017 halafu leo awe Mbunge?Pambalu hana maajabu yoyote,hawezi kuwa mbunge.
Huyo mabula ni chama gani, na Pambalu Ni chama gani?
"..is most Competence"[emoji3582]
Corrections;
1.Most hutanguliwa na the= the most
2.Competence ni hali, competent ndio nomino= competent.
3. Kwa kuwa unalinganisha watu wawili usingetumia neno "most" ungetumia "more"= more competent
Sio lazima kutiamo kiingereza ndio unakuwa umeonesha msisitizo..lugha ya watu hii.. watakufunga!
Msamehe. Yawezekana simu janja imemkosesha.Khaa ukiandika kwa Kiswahili utachapwa viboko, au?
Adjectives na nouns huwa zina wachanganya watumiaji wasio wazawa wa lugha ya Queen braza!Khaa ukiandika kwa Kiswahili utachapwa viboko, au?
Huyo dada syo kabisa aliwah kuwa DC butiama mnyanyasaji mgodi akamilikisha kwa mwekezaji wote wazawa wakawa hawana kitu Kila siku migogoro haishi alishindwa kabisa kuhendo migogoroKwa kweli ccm wengeweka mtu mwingine ningempa kura ila mabula hapana kabisa
Sent from my Infinix X650B using JamiiForums mobile app