- Thread starter
- #41
Kwani unateseka?Wewe ni lofa tu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwani unateseka?Wewe ni lofa tu.
Ngonjera, naona Mturuki ametoa buku 2,Sio Mabura tu CCM haina chake mkoa wa Mwanza mwaka huu wasipokuwa makini Lissu atashinda mpaka Chato.
😛😛......eti wanatudanganya tu wazalendo kwakuongea kilugha tuwe wakweri hayupo hataki kuongea kidhungu fresh vinginevyo tukubari hatukiwezi ......Haka kalugha tunapenda kukatumia Ila kanachanganya flan. Unakuwa salama zaidi kama ukikakwepa na kukatumia pale tu inapolazimu. Ukijenga nako mazoea sana, hakachelewi kukuacha mavodo wazi.
Mkuu ukiandika uzi weka na ka picha ka nyomi la mikutano ya pambalu.
Jamaa mnamnadi hata picha zake hamtupii tumuone
Kwani MMASSY sio jina la ajabu?
Atarudi "jalalani" walipomtoa mwanzoni. Afterall, most likely bado ana leftovers kutoka kwenye ile TZS. 250M ya kumaliza UbungeSasa Mabula atakwenda wapi !.
Tarehe 28 oktoba.Kwani unateseka?
Utalifananisha na jingalao? Yaani wewe ktk wajinga wewe ndo konki lao jingalaoKwani MMASSY sio jina la ajabu?
Sasa Mabula atakwenda wapi !.
ChatoSasa Mabula atakwenda wapi !.
Huyo mabula ni chama gani, na Pambalu Ni chama gani?To be honest Mabula you can't win this Nyamagana constituency , due to the Fact that Mr John Pambalu ..Is most Competence.
Nyamagana hakuna uchawi wowote kama unavyodai kuwa Pambalu kaleta waganga .
"..is most Competence"[emoji3582]To be honest Mabula you can't win this Nyamagana constituency , due to the Fact that Mr John Pambalu ..Is most Competence.
Nyamagana hakuna uchawi wowote kama unavyodai kuwa Pambalu kaleta waganga .
Mfundisheni na Jiwe sasa"..is most Competence"[emoji3582]
Corrections;
1.Most hutanguliwa na the= the most
2.Competence ni hali, competent ndio nomino= competent.
3. Kwa kuwa unalinganisha watu wawili usingetumia neno "most" ungetumia "more"= more competent
Sio lazima kutiamo kiingereza ndio unakuwa umeonesha msisitizo..lugha ya watu hii.. watakufunga!
"..is most Competence"[emoji3582]
Corrections;
1.Most hutanguliwa na the= the most
2.Competence ni hali, competent ndio nomino= competent.
3. Kwa kuwa unalinganisha watu wawili usingetumia neno "most" ungetumia "more"= more competent
Sio lazima kutiamo kiingereza ndio unakuwa umeonesha msisitizo..lugha ya watu hii.. watakufunga!
Acha kukalili mimi nimganda . sasa how you can teach my mother tongue."..is most Competence"![]()
Corrections;
1.Most hutanguliwa na the= the most
2.Competence ni hali, competent ndio nomino= competent.
3. Kwa kuwa unalinganisha watu wawili usingetumia neno "most" ungetumia "more"= more competent
Sio lazima kutiamo kiingereza ndio unakuwa umeonesha msisitizo..lugha ya watu hii.. watakufunga!
We pimbi subutu sio kiswahiliEndeleeni kuamini ujinga tu. Eti Mabula ashindwe. Subutuuuuuuu