Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huu ni ukweli mchungu.... Huyu dogo janja wala hahitaji nguvu kubwa coz mabula hatakiwi kabisa
Upo nyamagana???? Acha kushobokea post za wanaumeEndeleeni kuamini ujinga tu. Eti Mabula ashindwe. Subutuuuuuuu
Sasa Mabula atakwenda wapi !.
huyu kada anakidhungu kama mzee yule wa "pipoz udhidi tu dai ini ze reki aka intapreeenyuuashipi aka Gaddafi alikuwa raisi wa Iraqi" eti competence.Khaa ukiandika kwa Kiswahili utachapwa viboko, au?
Hivi nyie wana CCM mbona mnamajina ya ajabu hivi?
Kuna ulazima wowote wa wewe kuelewa[emoji848]?Huyu Mabula sielewi hata alipitaje kura za maoni
Hata pambalu hatakiwi pia.Huu ni ukweli mchungu.... Huyu dogo janja wala hahitaji nguvu kubwa coz mabula hatakiwi kabisa
Haka kalugha tunapenda kukatumia Ila kanachanganya flan. Unakuwa salama zaidi kama ukikakwepa na kukatumia pale tu inapolazimu. Ukijenga nako mazoea sana, hakachelewi kukuacha mavodo wazi.huyu kada anakidhungu kama mzee yule wa "pipoz udhidi tu dai ini ze reki aka intapreeenyuuashipi aka Gaddafi alikuwa raisi wa Iraqi" eti competence.
Ataenda kuwa meneja wa uwanja wa Nangwanda Sijaona kule MtwaraSasa Mabula atakwenda wapi !.
Uliwahi kumsikiliza huyo mgombea unayempigia pande? Pumba tupuJohn pambalu ni kijana mwanasiasa anayekuja kwa kasi sana.
Hivi wewe ni mtoto wa Lowassa wa yule mama mfagiaji wa pale Veta - Dom au?Endeleeni kuamini ujinga tu. Eti Mabula ashindwe. Subutuuuuuuu
The.....ndo imekutoa shuzi we kibwenguKhaa ukiandika kwa Kiswahili utachapwa viboko, au?
Anamfunika jiweUli
Uliwahi kumsikiliza huyo mgombea unayempigia pande? Pumba tupu
Usilazimishe lugha usiyoimudu wewe kilaza.The.....ndo imekutoa shuzi we kibwengu
Wewe ni lofa tu.Ambacho hujui nini L7