Mkiambiwa wanaccm wote ni mbumbumbu mnakataa. "Subutuuuuu" [SUP] ndiyo kitu gani?[/SUP]Subutuuuuuuu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkiambiwa wanaccm wote ni mbumbumbu mnakataa. "Subutuuuuu" [SUP] ndiyo kitu gani?[/SUP]Subutuuuuuuu
John Pambalu ndiye mbunge wangu! Dogo anajua kujenga hoja!Huu ni ukweli mchungu.... Huyu dogo janja wala hahitaji nguvu kubwa coz mabula hatakiwi kabisa
Asilimia kubwa ya ma UVCCM hayana elimu! Vijana wanaojitambua wote wako upinzani!Mkiambiwa wanaccm wote ni mbumbumbu mnakataa. "Subutuuuuu" [SUP] ndiyo kitu gani?[/SUP]
Nilitaka niseme hivyo pia 👏👏Kutumia "most" yupo sawa. Si lazima iwe watu zaidi ya wawili.
Huko kwingine upo sawa
Na hapo 🖕 tu ndo huwa mnafeli,mnapenda Sana waongeaji kuliko watendaji🤔! Na hiyo ndo hulka ya viongozi wenu wengi mliopeleka bungeni mihura yote.John Pambalu ndiye mbunge wangu! Dogo anajua kujenga hoja!
To be honest Mabula you can't win this Nyamagana constituency , due to the Fact that Mr John Pambalu ..Is most Competent
Nyamagana hakuna uchawi wowote kama unavyodai kuwa Pambalu kaleta waganga .
Kuna kazi ndogo ndogo Chato kama ataweza ku commuteSasa Mabula atakwenda wapi !.
Mtu akiishindwa jambo anakimbilia kwamba nimerogwa. Kwa hiyo ina maana Mabula ameshashindwa uchaguziMabula anasema dogo anatumia uchawi....aaah.
Hiko shida kwa sisi waafrica.Mtu akiishindwa jambo anakimbilia kwamba nimerogwa. Kwa hiyo ina maana Mabula ameshashindwa uchaguzi
We zombie la jiwe jinga snWewe ni kilaza wa kupindukia.
Is most Competence??? Tumia kiswahili, acha kubananga lugha za watu[emoji41]To be honest Mabula you can't win this Nyamagana constituency , due to the Fact that Mr John Pambalu ..Is most Competence.
Nyamagana hakuna uchawi wowote kama unavyodai kuwa Pambalu kaleta waganga .
Hata usemeje haisaidii; wewe ni kilaza wa kupindukia.We zombie la jiwe jinga sn
Hata usemeje bado wew ni zombie jinga la lumumbaHata usemeje haisaidii; wewe ni kilaza wa kupindukia.
Hata usemeje haisaidii; wewe ni kilaza wa kupindukia.Hata usemeje bado wew ni zombie jinga la lumumba
Dogo ameshakubalika.Ametoka Nasari anaingia dogo PambaluKwa wasiojua kinachoendelea Nyamagana ni kwamba imefika mahala Joho Pambalu akisimama kuongea anapokelewa na vibe kubwa kiasi kwamba hapati nafasi kabisa ya kunadi sera zake,, watu wa Nyamagana kwa Pambalu sio mahaba tu bali mahabuba
CCM lazima wakae chiniTo be honest Mabula you can't win this Nyamagana constituency , due to the Fact that Mr John Pambalu ..Is most Competence.
Nyamagana hakuna uchawi wowote kama unavyodai kuwa Pambalu kaleta waganga .
Kwa taarifa yako hata 2015 hakuna mbunge wa CCM aliyeshinda kwenye majimbo ya nyamagana na ilemelaTo be honest Mabula you can't win this Nyamagana constituency , due to the Fact that Mr John Pambalu ..Is most Competence.
Nyamagana hakuna uchawi wowote kama unavyodai kuwa Pambalu kaleta waganga .
Ungesema Mabula atashinda kwa 53 % kidogo ingesaundiMkuu mimi nipo site hapa Nyamagana. Mh. Stanslas Mabula (CCM) atapita kwa zaidi ya asilimia 76℅. Mh. John Pambalu (Chadema) atapata asilimia 14℅. Mh. Chagulani (ACT Wazalendo) atapata asilimia 7℅. Na wagombea wengine watapata asilimia 3℅.
Wanaosema CCM itashindwa Nyamagna ni tambo tu za uchaguzi. Mwaka huu tumejipanga kuuvunja mwiko!