Uchaguzi 2020 Jimbo la Nyamagana, Mabula huwezi kutoboa I swear

Uchaguzi 2020 Jimbo la Nyamagana, Mabula huwezi kutoboa I swear

John Pambalu ndiye mbunge wangu! Dogo anajua kujenga hoja!
Na hapo 🖕 tu ndo huwa mnafeli,mnapenda Sana waongeaji kuliko watendaji🤔! Na hiyo ndo hulka ya viongozi wenu wengi mliopeleka bungeni mihura yote.
 
Mabula atashinda Tena Kama 2015 mpinzani hajui hata kujieleza. Mwenye kujua elimu Yake plz
 
To be honest Mabula you can't win this Nyamagana constituency , due to the Fact that Mr John Pambalu ..Is most Competent
Nyamagana hakuna uchawi wowote kama unavyodai kuwa Pambalu kaleta waganga .

Mabula times 2.... Hawafai kabisa hawa yule mama anajiona sana...wakati sisi tunamjua law mingi Akira pale kirumba anajifanya sasa hatujui...huyu Angela na Roho mbaya sana...wizard balaaa
 
Nashabikia CCM ila huyu Stanslaus hakuna kitu kabisa...kuna kijiwe kimoja nilikuwa nimekaa jimboni kwake watu wanasema Magufuli watampa ila Mabula hapana eti kazi yake kubwa ni kubadili tu miwani na kuuza sura St. Augustine na mabeibi! Pamoja na ujinga wake anaweza kushinda kwasabu pia mgombea wa Chadema naye sio jembe sana!
 
To be honest Mabula you can't win this Nyamagana constituency , due to the Fact that Mr John Pambalu ..Is most Competence.

Nyamagana hakuna uchawi wowote kama unavyodai kuwa Pambalu kaleta waganga .
Is most Competence??? Tumia kiswahili, acha kubananga lugha za watu[emoji41]
 
Kwa wasiojua kinachoendelea Nyamagana ni kwamba imefika mahala Joho Pambalu akisimama kuongea anapokelewa na vibe kubwa kiasi kwamba hapati nafasi kabisa ya kunadi sera zake,, watu wa Nyamagana kwa Pambalu sio mahaba tu bali mahabuba
Dogo ameshakubalika.Ametoka Nasari anaingia dogo Pambalu
 
To be honest Mabula you can't win this Nyamagana constituency , due to the Fact that Mr John Pambalu ..Is most Competence.

Nyamagana hakuna uchawi wowote kama unavyodai kuwa Pambalu kaleta waganga .
CCM lazima wakae chini
 
To be honest Mabula you can't win this Nyamagana constituency , due to the Fact that Mr John Pambalu ..Is most Competence.

Nyamagana hakuna uchawi wowote kama unavyodai kuwa Pambalu kaleta waganga .
Kwa taarifa yako hata 2015 hakuna mbunge wa CCM aliyeshinda kwenye majimbo ya nyamagana na ilemela
 
Mkuu mimi nipo site hapa Nyamagana. Mh. Stanslas Mabula (CCM) atapita kwa zaidi ya asilimia 76℅. Mh. John Pambalu (Chadema) atapata asilimia 14℅. Mh. Chagulani (ACT Wazalendo) atapata asilimia 7℅. Na wagombea wengine watapata asilimia 3℅.

Wanaosema CCM itashindwa Nyamagna ni tambo tu za uchaguzi. Mwaka huu tumejipanga kuuvunja mwiko!
Ungesema Mabula atashinda kwa 53 % kidogo ingesaundi
 
Back
Top Bottom