Jimbo la Tigray Ethiopia limeonesha ubaya wa utawala wa majimbo Tanzania

Jimbo la Tigray Ethiopia limeonesha ubaya wa utawala wa majimbo Tanzania

kavulata

JF-Expert Member
Joined
Aug 2, 2012
Posts
13,778
Reaction score
14,214
Jimbo la Tigray Ethiopia kuna vita wanasiasa wakora wanataka kujitenga, jimbo la Kaduna kule Nigeria wakora wanataka kujitenga, kule Kabregado Msumbiji wanataka kujitenga, Katalunha Hispania wahuni wanataka kujitenga.

Kumbe hata Tanzania tukianzisha utawala wa majimbo huenda kutakuwa na majimbo ambayo yanaweza kutamani kujitenga kwa sababu mbalimbali zikiwemo za kiuchumi, kikabila, kidini na za kilevi tu. Maana zipo dini, makabila ambayo yana malalamiko yao hadi sasa.

Mfano, yako makabila makubwa yanayohoji kwanini Kiswahili kiwe lugha ya taifa.

Nadhani tuko sahihi bado mpaka sasa kuwa hivi tulivyo, tuboreshe tu mapungufu.
 
Jimbo la Tigray Ethiopia kuna vita wanasiasa wakora wanataka kujitenga, jimbo la Kaduna kule Nigeria wakora wanataka kujitenga, kule kabregado msumbiji wanataka kujitenga, Katalunha Hispania wahuni wanataka kujitenga. Kumbe hata Tanzania tukianzisha utawala wa majimbo huenda kutakuwa na majimbo ambayo yanaweza kutamani kujitenga kwa sababu mbalimbali zikiwemo za kiuchumi, kikabila, kidini na za kilevi tu. Maana zipo dini, makabila ambayo yana malalamiko yao hadi sasa. Mfano, yako makabila makubwa yanayohoji kwanini kiswahili kiwe lugha ya taifa.

Nadhani tuko sahihi bado mpaka sasa kuwa hivi tulivyo, tuboreshe tu mapungufu.
Ni kweli mkuu, hilo ni fundisho, viongozi wetu waliona mbali sana kubuni muundo huu wa utawala.
 
Jimbo la Tigray Ethiopia kuna vita wanasiasa wakora wanataka kujitenga, jimbo la Kaduna kule Nigeria wakora wanataka kujitenga, kule kabregado msumbiji wanataka kujitenga, Katalunha Hispania wahuni wanataka kujitenga...
Mkuu sina shaka na uelewa wako kuwa Ni mkubwa Ila katika hili hapo unadanganya umma au kwa makusudi au kea kuwa na wewe hujui. Mitano yote hapo uliyotaja ni tofauti na Hali ya Tanzania. Ugomvi wao sio wa kijimbo Bali ni kihistoria Zaidi.

Kama hujui Ni kuwa suala la kujitenga likija, hata Kama Sio Jimbo watu wa kagera Wana uwezo wa kutaka kuwa nchi huru isiyotegemea Tanzania na uwezo wa kujiendesha Kama nchi wanao.

Kwa hiyo mpaka uone hayo ujue Kuna mambo mengi chanzo sio Jimbo Bali ni historian na makabila.
 
Mkuu sina shaka na uelewa wako kuwa Ni mkubwa Ila katika hili hapo unadanganya umma au kwa makusudi au kea kuwa na wewe hujui. Mitano yote hapo uliyotaja ni tofauti na Hali ya Tanzania. Ugomvi wao sio wa kijimbo Bali ni kihistoria Zaidi. Kama hujui Ni kuwa suala la kujitenga likija, hata Kama Sio Jimbo watu wa kagera Wana uwezo wa kutaka kuwa nchi huru isiyotegemea Tanzania na uwezo wa kujiendesha Kama nchi wanao. Kwa hiyo mpaka uone hayo ujue Kuna mambo mengi chanzo sio Jimbo Bali ni historian na makabila.
Mzee sawa lakini wasomaji wetu ndo wataosema nani kati yetu hajui,. Mfumo wetu ulivyo hauruhusu mkoa, wila wala kanda kuwa na jeshi lake, wala kujichagulia viongozi wake. Kumbuka kuwa Tigray walikaidi amri ya Rais ya kuahirisha uchaguzi kama njia ya kuepuka corona. Tigray wana vikosi halali vya jumbo hilo wakati Tanzania viongozi wa mikoa na wilaya wote ni makada na wanateuliwa na kuondolewa na mkuu wa nchi. Bajeti ya mkoa inatoka Dar es salaam/Dodoma.

Tanzania kuna uwezekano mdogo sana kwa kitu kama hicho kutokea. Ndio maana hata Zanzibar haiwezi kufanya kama ilichofanya Tigray kwakuwa mazingira hayaruhusu.

Hata Tanzania kula kabila lina historia yake kama ilivyo kwa oromi wa Tigray. Mfano, lugha ya Ethiopia ni Almaharic ambayo ni lugha ya kikabila kidogo cha almahaler, hawa jamaa linawaudhi pia hiyo.

Sasa Kagera watawezaje kujitenga wakati hata mkuu wa mkoa mwenyekiti wa usalama mkoa sio mhaya? RPC sio mhaya, Mkuu wa usalama sio mhaya, mkuu wa kambi za jeshi zilizoko kagera sio mhaya?
 
Mtoa hoja acha kuwa na uchoyo wa ukweli,soma tena uelewe chanzo cha mgogoro ule pale Ethiopia,Afrika ya Kusini wana utawala wa majimbo na yako 9tu na hakuna mgogoro wowote na fedha inayokusanywa pale kwenye jimbo moja tu la Gauteng ni makusanyo ya nchi nzima ya kwetu,mtoa hoja chomoa kichwa chako ilichokizamisha mchangani na smell a coffee mitaani!
 
Jimbo la Tigray Ethiopia kuna vita wanasiasa wakora wanataka kujitenga, jimbo la Kaduna kule Nigeria wakora wanataka kujitenga, kule kabregado msumbiji wanataka kujitenga, Katalunha Hispania wahuni wanataka kujitenga.

Kumbe hata Tanzania tukianzisha utawala wa majimbo huenda kutakuwa na majimbo ambayo yanaweza kutamani kujitenga kwa sababu mbalimbali zikiwemo za kiuchumi, kikabila, kidini na za kilevi tu. Maana zipo dini, makabila ambayo yana malalamiko yao hadi sasa.

Mfano, yako makabila makubwa yanayohoji kwanini kiswahili kiwe lugha ya taifa.

Nadhani tuko sahihi bado mpaka sasa kuwa hivi tulivyo, tuboreshe tu mapungufu.
Chama chochote kinanacho shabikia serikali ya majimbo kifutwe hata kama ni Chadema kifutwe tu!
 
Jimbo la Tigray Ethiopia kuna vita wanasiasa wakora wanataka kujitenga, jimbo la Kaduna kule Nigeria wakora wanataka kujitenga, kule kabregado msumbiji wanataka kujitenga, Katalunha Hispania wahuni wanataka kujitenga.

Kumbe hata Tanzania tukianzisha utawala wa majimbo huenda kutakuwa na majimbo ambayo yanaweza kutamani kujitenga kwa sababu mbalimbali zikiwemo za kiuchumi, kikabila, kidini na za kilevi tu. Maana zipo dini, makabila ambayo yana malalamiko yao hadi sasa.

Mfano, yako makabila makubwa yanayohoji kwanini kiswahili kiwe lugha ya taifa.

Nadhani tuko sahihi bado mpaka sasa kuwa hivi tulivyo, tuboreshe tu mapungufu.
Ila sisi lake zone
Tutajitenga aise sasa nasubil
 
Jimbo la Tigray Ethiopia kuna vita wanasiasa wakora wanataka kujitenga, jimbo la Kaduna kule Nigeria wakora wanataka kujitenga, kule kabregado msumbiji wanataka kujitenga, Katalunha Hispania wahuni wanataka kujitenga.

Kumbe hata Tanzania tukianzisha utawala wa majimbo huenda kutakuwa na majimbo ambayo yanaweza kutamani kujitenga kwa sababu mbalimbali zikiwemo za kiuchumi, kikabila, kidini na za kilevi tu. Maana zipo dini, makabila ambayo yana malalamiko yao hadi sasa.

Mfano, yako makabila makubwa yanayohoji kwanini kiswahili kiwe lugha ya taifa.

Nadhani tuko sahihi bado mpaka sasa kuwa hivi tulivyo, tuboreshe tu mapungufu.
Ila sisi lake zone
Tutajitenga aise sasa nasubil
 
Jimbo la Tigray Ethiopia kuna vita wanasiasa wakora wanataka kujitenga, jimbo la Kaduna kule Nigeria wakora wanataka kujitenga, kule kabregado msumbiji wanataka kujitenga, Katalunha Hispania wahuni wanataka kujitenga.

Kumbe hata Tanzania tukianzisha utawala wa majimbo huenda kutakuwa na majimbo ambayo yanaweza kutamani kujitenga kwa sababu mbalimbali zikiwemo za kiuchumi, kikabila, kidini na za kilevi tu. Maana zipo dini, makabila ambayo yana malalamiko yao hadi sasa.

Mfano, yako makabila makubwa yanayohoji kwanini kiswahili kiwe lugha ya taifa.

Nadhani tuko sahihi bado mpaka sasa kuwa hivi tulivyo, tuboreshe tu mapungufu.
New York na WAshington vipi, wameonyesha uzuri?

yaani MATAGA na CCM huwa mnatabia kama za nzi wa kijani, mnatafutaga ka-mfano kamoja tu , kudhihirisha ufedhuli wenu.
Duniani nchi nyingi zina utawala wa majimbo, na zimefanikiwa sana mfano Ujerumani, Uingereza, Marekani, Urusi, china , Australia, etc, huko vipi ?
 
Kamdanganye mamko. Kuna nchi zenye majimbo kama Marekani, Afrika ya Kusini, India... ambazo hazina vita. Je, unaziongeleaje? Pia kuna nchi zisizokuwa na majimbo kama Mali, Syria, Libya, lakini kuna mapigano.
Jimbo la Tigray Ethiopia kuna vita wanasiasa wakora wanataka kujitenga, jimbo la Kaduna kule Nigeria wakora wanataka kujitenga, kule kabregado msumbiji wanataka kujitenga, Katalunha Hispania wahuni wanataka kujitenga.

Kumbe hata Tanzania tukianzisha utawala wa majimbo huenda kutakuwa na majimbo ambayo yanaweza kutamani kujitenga kwa sababu mbalimbali zikiwemo za kiuchumi, kikabila, kidini na za kilevi tu. Maana zipo dini, makabila ambayo yana malalamiko yao hadi sasa.

Mfano, yako makabila makubwa yanayohoji kwanini kiswahili kiwe lugha ya taifa.

Nadhani tuko sahihi bado mpaka sasa kuwa hivi tulivyo, tuboreshe tu mapungufu.
 
New York na WAshington vipi, wameonyesha uzuri?

yaani MATAGA na CCM huwa mnatabia kama za nzi wa kijani, mnatafutaga ka-mfano kamoja tu , kudhihirisha ufedhuli wenu.
Duniani nchi nyingi zina utawala wa majimbo, na zimefanikiwa sana mfano Ujerumani, Uingereza, Marekani, Urusi, china , Australia, etc, huko vipi ?

Mtoa hoja acha kuwa na uchoyo wa ukweli,soma tena uelewe chanzo cha mgogoro ule pale Ethiopia,Afrika ya Kusini wana utawala wa majimbo na yako 9tu na hakuna mgogoro wowote na fedha inayokusanywa pale kwenye jimbo moja tu la Gauteng ni makusanyo ya nchi nzima ya kwetu,mtoa hoja chomoa kichwa chako ilichokizamisha mchangani na smell a coffee mitaani!
Toa uvivu wa kufikiria utanielewa. Madai ya wa Tigray ni kutengwa kiuchumi na kiungozi na serikali wakati wao ndio kabila kuu Ethiopia. Kabila la Amharic ndilo linaloonekana kupendelewa., Madai kama hayo yalikuwepo hata hapa Tanzania, mfano, kabila ya wasukuma ni kubwa sana na lenye watu zaidi ya robo ya population ya Tanzania, lakini nafasi nyingi za Kazi na uongozi na maendeleo yalikuwa yakienda kanda ya kaskazini. Ina maana kuwa serikali ilikuwa ikichukua pesa ya Dhahabu, pamba, sangara na sato kutoka kwa wasukuma na kwenda kujenga barabara za kaskazini, pwani na tanga na kulipa mishahara ya walimu kwenye shule za kaskazini. Wasukuma ni wengi lakini walilazimjshwa kuzungumza kiswahili ambacho hawakiwezi mpaka Leo.

Hii inamaana kuwa kama nyerere angekubali upuuzi wa majimbo na wasukuma wakaruhusiwa kumiliki jeshi na mamla Fulani ya kujiamulia wasingekubali kuongeleshwa kiswahili, kuona kila ofisi imejaa wachaga hata wafagiaji wakati wao ndio wengi nchini, wasingekubali barabara zijengwe kaskani na hela zao za kodi na dhahabu wakati barabara ni mbovu na hata maji ya kunywa hawana.

Walichokiharibu Tigray ni jeshi lao kuivamia kambi ya jeshi la serikali. Hata angekuwa nani angewasigina tu, tena ingekuwa Tanzania jimbo zima la Tigray lingekwishakuteketea.
 
Toa uvivu wa kufikiria utanielewa. Madai ya wa Tigray ni kutengwa kiuchumi na kiungozi na serikali wakati wao ndio kabila kuu Ethiopia. Kabila la Amharic ndilo linaloonekana kupendelewa., Madai kama hayo yalikuwepo hata hapa Tanzania, mfano, kabila ya wasukuma ni kubwa sana na lenye watu zaidi ya robo ya population ya Tanzania, lakini nafasi nyingi za Kazi na uongozi na maendeleo yalikuwa yakienda kanda ya kaskazini. Ina maana kuwa serikali ilikuwa ikichukua pesa ya Dhahabu, pamba, sangara na sato kutoka kwa wasukuma na kwenda kujenga barabara za kaskazini, pwani na tanga na kulipa mishahara ya walimu kwenye shule za kaskazini. Wasukuma ni wengi lakini walilazimjshwa kuzungumza kiswahili ambacho hawakiwezi mpaka Leo.

Hii inamaana kuwa kama nyerere angekubali upuuzi wa majimbo na wasukuma wakaruhusiwa kumiliki jeshi na mamla Fulani ya kujiamulia wasingekubali kuongeleshwa kiswahili, kuona kila ofisi imejaa wachaga hata wafagiaji wakati wao ndio wengi nchini, wasingekubali barabara zijengwe kaskani na hela zao za kodi na dhahabu wakati barabara ni mbovu na hata maji ya kunywa hawana.

Walichokiharibu Tigray ni jeshi lao kuivamia kambi ya jeshi la serikali. Hata angekuwa nani angewasigina tu, tena ingekuwa Tanzania jimbo zima la Tigray lingekwishakuteketea.
una hoja mfu kabisa;
Kuhusu Etjiopia na Tigrey upo sawa kabisa ila mfano uliotoa kuhusu WAsukuma na Wachagga ni wa KI-MATAGA, tena ambaye aliishia form four na kupata ZERO kama BASHITE.

WAkoloni walipokuja Tanzania walikwenda kwenye maeneo ya Kaskazini, Kilimanjaro , Tanga na Arusha{Wajerumani na Waingereza}, Pwani ikiwa na Waarabu n a Wahindi.
Kwakuwa walikaa kaskazini kueneza dini, basi walijenga makanisa, hospitali, na shule huku wakijenga barabara kufikia maeneo hayo.
Mahospitali kama KCMC-inmejengwa na Mjerumani- Kanisa la Luthran, Muhimbili ni Waingereza, Hydom ni wajerumani, Mount Meru Lutheran -wajerumani, na zinajengwa kabla ya kupata uhuru 1961, sasa sijui unafikiri tupo korido za Lumumba kudaanganya watoto wenzio?

shule kama Tanga Technical, Kifungilo, Ashira, Weruweru, Moshi Technical ,Old Moshi, Maua Semiary, Uru Seminary, Kibosho Girls, Ashira, Maranbgu Secondary, Ilboro, Arusha SEcondary , Mawenzi SE-Moshi na nyingine nyingi.
Wachaga wajaokoka na kuwa wakristo, kumpa Yesu maisha yao, wakaachana na uchawi na dini za asili wakati hilo kabila ulilosema lina robo ya Tanzania lina Uchawi, kuua albino na kila aina ya Gambosh, watapata wapi maendeleo, ?
Hizo shuk
 
una hoja mfu kabisa;
Kuhusu Etjiopia na Tigrey upo sawa kabisa ila mfano uliotoa kuhusu WAsukuma na Wachagga ni wa KI-MATAGA, tena ambaye aliishia form four na kupata ZERO kama BASHITE.

WAkoloni walipokuja Tanzania walikwenda kwenye maeneo ya Kaskazini, Kilimanjaro , Tanga na Arusha{Wajerumani na Waingereza}, Pwani ikiwa na Waarabu n a Wahindi.
Kwakuwa walikaa kaskazini kueneza dini, basi walijenga makanisa, hospitali, na shule huku wakijenga barabara kufikia maeneo hayo.
Mahospitali kama KCMC-inmejengwa na Mjerumani- Kanisa la Luthran, Muhimbili ni Waingereza, Hydom ni wajerumani, Mount Meru Lutheran -wajerumani, na zinajengwa kabla ya kupata uhuru 1961, sasa sijui unafikiri tupo korido za Lumumba kudaanganya watoto wenzio?

shule kama Tanga Technical, Kifungilo, Ashira, Weruweru, Moshi Technical ,Old Moshi, Maua Semiary, Uru Seminary, Kibosho Girls, Ashira, Maranbgu Secondary, Ilboro, Arusha SEcondary , Mawenzi SE-Moshi na nyingine nyingi.
Wachaga wajaokoka na kuwa wakristo, kumpa Yesu maisha yao, wakaachana na uchawi na dini za asili wakati hilo kabila ulilosema lina robo ya Tanzania lina Uchawi, kuua albino na kila aina ya Gambosh, watapata wapi maendeleo, ?
Hizo shuk
Do haydom si umejengwa tu juzi na wanirway ujerumani imetoka wapi
 
New York na WAshington vipi, wameonyesha uzuri?

yaani MATAGA na CCM huwa mnatabia kama za nzi wa kijani, mnatafutaga ka-mfano kamoja tu , kudhihirisha ufedhuli wenu.
Duniani nchi nyingi zina utawala wa majimbo, na zimefanikiwa sana mfano Ujerumani, Uingereza, Marekani, Urusi, china , Australia, etc, huko vipi ?
Toa hoja, ndo maana mnashindwa kila siku. Hoja zenu haziuziki, ni mihemko tu.
 
Jimbo la Tigray Ethiopia kuna vita wanasiasa wakora wanataka kujitenga, jimbo la Kaduna kule Nigeria wakora wanataka kujitenga, kule kabregado msumbiji wanataka kujitenga, Katalunha Hispania wahuni wanataka kujitenga.

Kumbe hata Tanzania tukianzisha utawala wa majimbo huenda kutakuwa na majimbo ambayo yanaweza kutamani kujitenga kwa sababu mbalimbali zikiwemo za kiuchumi, kikabila, kidini na za kilevi tu. Maana zipo dini, makabila ambayo yana malalamiko yao hadi sasa.

Mfano, yako makabila makubwa yanayohoji kwanini kiswahili kiwe lugha ya taifa.

Nadhani tuko sahihi bado mpaka sasa kuwa hivi tulivyo, tuboreshe tu mapungufu.
Ubaguzi na kutengwa ndiyo sababu kubwa ya uasi ktk nchi hizo. Kama taifa likianza kubagua watu wa maeneno flani halafu wakawa wanapendeleana eneo flani la nchi kwa kupeana uongozi au kupeleka maendeleo eneo flani tu basi uasi hutokea. Ndiyo sababu kubwa ya vita vya wenyewe kwa wenyewe angalia hata Msumbiji waasi unaowasikia ni eneo ambalo serikali haina habari na eneo hilo, kila kitu kinapelekwa ukanda mwingine unaopendwa na viongozi. Ubaguzi ni dhambi mbaya sanaaaaa!
 
Mkuu wasomaji


Mzee sawa lakini wasomaji wetu ndo wataosema nani kati yetu hajui,. Mfumo wetu ulivyo hauruhusu mkoa, wila wala kanda kuwa na jeshi lake, wala kujichagulia viongozi wake. Kumbuka kuwa Tigray walikaidi amri ya Rais ya kuahirisha uchaguzi kama njia ya kuepuka corona. Tigray wana vikosi halali vya jumbo hilo wakati Tanzania viongozi wa mikoa na wilaya wote ni makada na wanateuliwa na kuondolewa na mkuu wa nchi. Bajeti ya mkoa inatoka Dar es salaam/Dodoma.

Tanzania kuna uwezekano mdogo sana kwa kitu kama hicho kutokea. Ndio maana hata Zanzibar haiwezi kufanya kama ilichofanya Tigray kwakuwa mazingira hayaruhusu.

Hata Tanzania kula kabila lina historia yake kama ilivyo kwa oromi wa Tigray. Mfano, lugha ya Ethiopia ni Almaharic ambayo ni lugha ya kikabila kidogo cha almahaler, hawa jamaa linawaudhi pia hiyo.

Sasa Kagera watawezaje kujitenga wakati hata mkuu wa mkoa mwenyekiti wa usalama mkoa sio mhaya? RPC sio mhaya, Mkuu wa usalama sio mhaya, mkuu wa kambi za jeshi zilizoko kagera sio mhaya?
Aisee umechanganya ukweli na sehemu nyingine umetulisha tango poli, si kweli kwamba majimbo yanakuwa na majeshi yao that is not true na huko ethiopia hilo jimbo lina wanamgambo ambao ni kikundi cha waasi. Serikali za majimbo zina faida sana kuliko mfumo kama tulionao hapa TZ ambapo tumelundika madaraka kwa mtu mmoja na nchi nzima, mifumo kama hii lazima mwisho hufeli viabaya sana
 
Back
Top Bottom