kipara kipya
JF-Expert Member
- May 2, 2016
- 18,833
- 23,276
Hata yeye mwenyewe alikiri kuwekea pingamizi na Act
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hii ilifunguliwa uzi humu na uzi umefutwa kwakua haina ukweli wowote. Ni kosa la kimtandao kughushi nakala ya taasisi ya umma.CCM imechokwa Sana na mgombea wake hana mvuto kabisa. Kumbe hata watu kule Dodoma wamekusanywa kwa nguvu!!
View attachment 1552627
Asante kwa ufafanuzi.hii ilifunguliwa uzi humu na uzi umefutwa kwakua haina ukweli wowote. Ni kosa la kimtandao kughushi nakala ya taasisi ya umma.
Labda kama umesomea vyuo vya ulaya vinginevyo uliishia ngumbaru lakini kama umepitia vyuo vya bongo mbona ni kawaida tu, unaweza sitishiwa hata boom kimasihara kisa ulionekana campus akati mkuu akishusha vitu vya Gambosihii ilifunguliwa uzi humu na uzi umefutwa kwakua haina ukweli wowote. Ni kosa la kimtandao kughushi nakala ya taasisi ya umma.
Ameenguliwa kwa maelekezo toka kwa mtu yule.Tuwekane sawa tu, Jacob ameenguliwa baada ya kuwekewa pingamizi na mgombea wa ACT, mgombea wa CCM alimuwekea pingamizi mgombea wa ACT.
Lissu naye aliwawekea Pingamizi wagombea wawili.. unfortunately yeye hakufanikiwa.Alaaniwe mwasisi wa uharamia huu wa kuwapoka wapiga kura haki yao ya Kikatiba ya kuchagua viongozi wanaowataka yamkute mabaya hata tarehe 28 October asifike
Dah! This is too many and never too much!CCM imechokwa Sana na mgombea wake hana mvuto kabisa. Kumbe hata watu kule Dodoma wamekusanywa kwa nguvu!!
View attachment 1552627
Wacheni kuchanganisha vyama vyengine vya upinzani munajulikana kama ccm ndio wenye huo mchezoTuwekane sawa tu, Jacob ameenguliwa baada ya kuwekewa pingamizi na mgombea wa ACT, mgombea wa CCM alimuwekea pingamizi mgombea wa ACT.
Hujaelewa somo. Nazungumzia aliyeasisi huu upumbavu wa kuwaengua watu bila vigezo. Tangu 1995 tumekuwa na chaguzi nyingi chini ya mfumo wa vyama vingi lakini kilichofanyika kwenye uchaguzi wa Serikali za mitaa mwaka jana na kinachoendelea sasa hivi ndivyo uharamia ninaozungumzia.Lissu naye aliwawekea Pingamizi wagombea wawili.. unfortunately yeye hakufanikiwa.
Humtaki wewe. Usiwasemee wengine.MEMBE hatumtaki
kwani we unamtaka?Humtaki wewe. Usiwasemee wengine.
Hujaelewa somo. Nazungumzia aliyeasisi huu upumbavu wa kuwaengua watu bila vigezo. Tangu 1995 tumekuwa na chaguzi nyingi chini ya mfumo wa vyama vingi lakini kilichofanyika kwenye uchaguzi wa Serikali za mitaa mwaka jana na kinachoendelea sasa hivi ndivyo uharamia ninaozungumzia.
[/QUOT
Walikua wanaenguliwa ila kipindi hicho coverage ilikua ndogo na pia ubunge au uwakilishi haikua issue ya life and death, enzi hizo wananchi ndio walikua wanakuomba uwawakilishe,but siku hizi wagombea ndio wanawaomba wananchi Kwa kuwapigia magoti, ndio maana wananchi hawachukulii Mambo yanayoendelea kama yanawahusu (personal) because asilimia zaidi ya 99 ya wagombea hakuna mwananchi kaenda kuwaomba , ni aspirations zao binafsi , hawana Baraka za wananchi ndio maana mungu anawaumbua na wanatifuana kila dakika,na Sisi wananchi tunawacheck tuu. kwani kwetu Sisi yeyote atakayepita hatujali na hatuoni tofauti kwani wote sio machaguo yetu...na ndio maana hutakaa uone wananchi wakiandamana kudai wagombea ambao sio choices zao at the first place.