makaveli10
JF-Expert Member
- Mar 27, 2013
- 31,583
- 92,670
Kumbe sisi tunapitwa na mengi. š¤
Kuna wanawake sio wa kutoka nao ila bin dharura.
Kuna wanawake sio wa kutoka nao ila bin dharura.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hata kwa dharura inatakiwa ujiulize mara mbili mbili na ujipange manalolote laweza kutokea.Kumbe sisi tunapitwa na mengi. [emoji848]
Kuna wanawake sio wa kutoka nao ila bin dharura.
Hahahaaa kweli kabisa yani muna anajifanya afilani etiWanawake wa Sikuhizi bhana,
Akitaka kukuchafuasababu Ni ile ile
"uliniomba kinyume na maumbile"[emoji16]
Mwanakulipata Mzee wa church[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]!!!Ila Kwa masha daahh...km kweli huzunii nawaza mkewe tuuuIla wanaume bana yaani mtu unamuona tu alivo na kash kash zake halafu bado unajilipua unasahai yakibuma atakayeathirika ni wewe.
Mimi kama mwanamke kuna mwanamke mwanaume wangu akinisaliti naye nitaumia ila najua angalau kaniheshimu ila Kuna wengine hata kama ni ndoa itavunjika kwakweli.
Mana utajikuta anachafuliwa yeye na familia nzima.
Wanaume kama mmeona kuchepuka dili tafuteni michepuko yenye heshima badi kuzilinda familia zenu sio mnaokoto mijitu hata adabu haina.
Kama kweli kapita nae pole yake hakuangalia mbele hiyo inaitwaga mwana kulitafuta.
Ahahaha mkuu yamekutokeaa nn kwa mam j mnk kimy ujatoa mrejesho muda tuMichepuko bhana,
Hapo lengo la Masha Ni MKE wa jamaa apanic amuache mumewe, yeye achukue nafas.
Wake walio kwenye ndoa washaustukia Huu mchongo, haachiki mtu hapa[emoji4]
Mimi najaribu kuvaa viatu vya mkewe ila naona havinitoshi kwakweli.Mwanakulipata Mzee wa church[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]!!!Ila Kwa masha daahh...km kweli huzunii nawaza mkewe tuuu
Eehh!! Kweli niko kijijinišHahaaa...Masha ze don ,Kuna Rashida wanjara nae sa hivi Ana mtoto
SAHII kabisa,Naichukia sana michepuko inayojibebesha mimba na kulazimisha kutambulika wakati imevamia mahusiano hai ya watu
Sometimes Sio kweli,[emoji38][emoji38]kwani uongooo.... mnapenda Hizo mambo meusi!!!!