Basi tuu, muda wote yupo msafiAlikuwa ananukia nini?.
πππππSimu yangu ina majina machache sana ya KE
Nimesema majina ya KE mnielewe vizuri
Ila KE nawasiliana nao vizuri tu Judith unaweza kukuta ni Juma Ttcl
Aisha ni Aidani
Asha unaweza kukuta ni Asheri
Rachel ni Raphael airtel
Venosa ni Victor
Haya mambo ni hatari[emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Utakamatwa siku.
Hahahhhahh! Na huna mpango wa kumcheki?."Usifute" sijui hata niliwaza Nini nikaandika hili jina na nimesahau namba ya nani lkn hadi Leo kwenye contact ipo
"Ahaa Ahaa" namba ya mdada nilimuomba akanigea nikamsevu hivi ,hadi Leo sijabadilisha japo jina lake alinitajia
Na unajiita good fatherSimu yangu ina majina machache sana ya KE
Nimesema majina ya KE mnielewe vizuri
Ila KE nawasiliana nao vizuri tu Judith unaweza kukuta ni Juma Ttcl
Aisha ni Aidani
Asha unaweza kukuta ni Asheri
Rachel ni Raphael airtel
Venosa ni Victor
Haya mambo ni hatari[emoji23][emoji23][emoji23]