[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Jamani... Mbona jina langu lipo bomba sana mimi naitwa Cheese mzee wangu ni Maarifa
Mimi ni akili ziko nyingi sana kiasi wengi hudhani mi ni chizi.....[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Basi jina lako mi naliona la ajabu
Halina tofauti kubwa na Kitombile
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣☝️☝️☝️🤗🤗
Kisa jina unaninyanyapaa!!..sikujipa Bali wazaziinamankusweke
Huyu jamaa anastaili ban ya maisha
JoanahKuna mrembo anaitwa joanah nikiona komenti yake lazima nitabasamu.