Jina la Diamond laandikwa kwenye Hollywood Walk of Fame

Jina la Diamond laandikwa kwenye Hollywood Walk of Fame

View attachment 167709View attachment 167710View attachment 167711
Diamond yupo jijini Los Angeles Kuhudhuria utoaji wa tuzo za BET jpil trh 29..na moja ya kitu ambacho itakua ni arama na kumbukumbu kubwa kwake,ni jinalake kuandikwa kwenye sakafu ya HOLLYWOOD WAKE OF FAME ambapo anakuwa mtanzania wa kwanza katika historia pale huandikwa majina ya watu maarufu/mashuhuri duniani kama heshima..mmoja ya mastaa ambao majina yao yameandikwa pale ni bruce wills,michael jackson ,JBieber na wengine wengi..Hongera My big boss,ni heshima kwako na sisi pia ..na Mungu ajalie kesho ushinde.

Hiv hzo tuzo zitaonyeshwa saa ngap..:?


Sent from my iPhone using JamiiForums mobile app
 
Mkuu tatzo letu waTZ tunapenda sana uongo..
Hyo sio hollywood walk of fame,.

HIYO NI KUTambua uwepo wake kwenye tuzo za BEt na aihusiani na hollywood hata kidogo,sherehe za tuzo zikiisha na jna lake linatolewa hapo..

Avheni sifa za kijinga bhana,kupenda kujipa mambo yasiyokuwepo na yasiyowezekana..

Big up diamond kwa kutuwakilisha,ila mfundishe kaz huyu mtangazaji wako

Thank you nmesema Mimi naonekana hater dah
 
hivi mnaijua hollywood walk of fame kuna stars kibao wa hollywood hadi leo hawajawekwa majina yao. halafu wabongo tupunguze kubwabwaja mauongo tunatia aibu jamani...hiyo nomination ya BEt hata last year kina Radio na Weasel waliipata na tuzo za Mtv mtu kama wahu na hubby wake walishinda 4 years ago na this year hata Amani wa kenya alikuwa nominated lakini hawana kelele kama hizi za diamond
duh tuko nyuma sana
 
ANGALIA JINSI HATA WATU WANAMVYOLILIA JZY Z NA BEYONCE WAWEKWE


Whether it's film, music, television, or radio, fictional or real, the Hollywood Walk of Fame honors them all!
While the organization that runs the show is usually up on who deserves to have their name plastered on Hollywood Boulevard—there are a few EXCEPTIONAL snubs!
Take Jay Z and Beyoncé for instance…
They've sold out arenas around the world and made millions with their music—but no star!
Or funny lass Tina Fey…
She a best selling author, former Saturday Night Live star, Emmys host, and a 30 Rock acting/writing goddess!
Totally not fair!
Want to find out which other celebs you can't "walk all over" in El Lay?!


Read more: Celebs Who Should Have A Star On The Hollywood Walk Of Fame! | PerezHilton.com
 
hivi mnaijua hollywood walk of fame kuna stars kibao wa hollywood hadi leo hawajawekwa majina yao. halafu wabongo tupunguze kubwabwaja mauongo tunatia aibu jamani...hiyo nomination ya BEt hata last year kina Radio na Weasel waliipata na tuzo za Mtv mtu kama wahu na hubby wake walishinda 4 years ago na this year hata Amani wa kenya alikuwa nominated lakini hawana kelele kama hizi za diamond
duh tuko nyuma sana

Watanzania hawapendi kuambiwa ukweli ndo maana wanasiasa wanatuona mamburula.
 
keith sweat alikutana na navio kwenye mansion ya R kelly na akamkubali sana then akaenda Uganda kwenye concert ambapo promoter alikuwa na beef na navio so akakata jina lake lakini keith sweat akafosi kumpandisha in the mid of the show sasa sipati picha ndiyo angekuwa diamond hapo.
labada wenzeu waganda na wakenya wamezoea maana hata collabo ya peter miles na Demarco wa jamaica imefanya vizuri sana na kushika chart, kwa mara nyingine sipati picha kama ingekuwa ni diamond
mwisho mr Heaven on desert jaribu kuheshimu akili za watu hapa ndani..pumbavu
 
Nimeona ARAMA YA DIAMOND KWENYE WAKE OF FAME,Hongera Diamond.[/QUOTE

nchi hii inawatawalika na werevu sababu ya wapumbavu kama wewe.. huyo lupita mwenyewe atasubiri hata miaka 30 kupata hiyo heshima
 
Social constractivism...................anyway kwa vile ni kitu kinaonekana cha maana kwenye ulimwengu huu let me join others to congratulate him...hongera platnums

Sembeeeeeeee

Sent from my BlackBerry 9360 using JamiiForums
 
Back
Top Bottom