Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hivi mnaijua hollywood walk of fame kuna stars kibao wa hollywood hadi leo hawajawekwa majina yao. halafu wabongo tupunguze kubwabwaja mauongo tunatia aibu jamani...hiyo nomination ya BEt hata last year kina Radio na Weasel waliipata na tuzo za Mtv mtu kama wahu na hubby wake walishinda 4 years ago na this year hata Amani wa kenya alikuwa nominated lakini hawana kelele kama hizi za diamond
duh tuko nyuma sana
Binamu nimesikia habar mbaya kuwa ndomo hata perform leo ,akina davido na tiwa savage sijui na wasanii wengine wa ghana na south nDomo jukwaa ataishia kuliona tu
mmmnh tungejuta! angepaform
Mungu anazid kusikia maombi yetu ma haters aka wachawi kama wanavyoniita, ndo maana team wema uko instagram kimyaa manina zao
Pale hajagombea kawa nominated kwani ni ubunge ule kusema katumia effort zake kupata nafasi ya kuwa nominee?watz tujifunze kusupportiana...alaaah!
Mmh na bundle yangu ya zuku imeisha sijui itakuwaje, please naomba uwe online ikianza ili utupe ma update
Mko nyuma yake mnafanya nini?
Mi huyo ndomo ananiacha hoi anavyohainga nchi za watu kutafuta heshima wakat maisha anayoishi bado hayafikii ata robo ya hao mastaa anaotaka kushindana nao , badala atulie home amalizie nyumba afanye na miradi yake ya maana kutwa kuhangaika na akina davido.
Ivi siku kwa mfano huyo davido mashetan ndo yanampanda anamwambia ndomo anatak aje bongo kumsalimia aya huyo ndomo anampeleka wapi? Maana yeye akienda anafikiag kweny mihekalu ya maana, yeye atampeleka sinza mori? Akili ku mkichwa.
Bora mwenzie jide wakat wake kautumia vizur, ana nyumba na miradi ya maana ata leo akianguka si haba ana vitu vya kueleweka, aya uyo chai jaba akianguka anafanyaje? Ndo yanakuwa yale yale y marehemu kanumba, mara tutasikia hat hiyo prado anayoendeshaga ni ya mama rwakatare , maana wasanii wa bongo hawaishigi miujiza kila siku.
Ukiwa mtu mkubwa na maarufu inabidi ujitahid na wewe maisha yako yaendane na hiyo hadhi, yaan ata RIO PAUL anamshinda ndomo, maana yule bwabwa anaish kwenye apartment ya maana ata maisha yake pia ni expensive
hivi mnaijua hollywood walk of fame kuna stars kibao wa hollywood hadi leo hawajawekwa majina yao. halafu wabongo tupunguze kubwabwaja mauongo tunatia aibu jamani...hiyo nomination ya BEt hata last year kina Radio na Weasel waliipata na tuzo za Mtv mtu kama wahu na hubby wake walishinda 4 years ago na this year hata Amani wa kenya alikuwa nominated lakini hawana kelele kama hizi za diamond
duh tuko nyuma sana
Nimeona ARAMA YA DIAMOND KWENYE WAKE OF FAME,Hongera Diamond.
Mi huwa nashangaa watu wanavyompa sifa za uongo dimond sijui ni kwa faida ya nani, we' mazafaka uliyeleta hii sred unajua hollywood walk of fame ww? au unadhani wote humu ni maprimitive kama huyo bosi wako?
Kijana kajitahidi hapo alipofika ila sio mje hapa kutudanganya,
Stori hizo pelekea wenzio tandare.
View attachment 167709View attachment 167710View attachment 167711
Diamond yupo jijini Los Angeles Kuhudhuria utoaji wa tuzo za BET jpil trh 29..na moja ya kitu ambacho itakua ni arama na kumbukumbu kubwa kwake,ni jinalake kuandikwa kwenye sakafu ya HOLLYWOOD WAKE OF FAME ambapo anakuwa mtanzania wa kwanza katika historia pale huandikwa majina ya watu maarufu/mashuhuri duniani kama heshima..mmoja ya mastaa ambao majina yao yameandikwa pale ni bruce wills,michael jackson ,JBieber na wengine wengi..Hongera My big boss,ni heshima kwako na sisi pia ..na Mungu ajalie kesho ushinde.
sitasapoti watu wanaotudanganya ushenziushenzi, HOLLYWOOD WALK OF FAME? DAMNNNNNNpoa binamu mi nitakua nakupa updates
eti watanzania tujifunze kusapotiana