Highlander
JF-Expert Member
- Feb 12, 2012
- 3,093
- 1,075
- Thread starter
- #41
Nimejaribu mara sita kuku-PM, napata ujumbe kuwa the ID of the member has been changed. Lakini naishi karibu na pori la Mabwepande. Ukifika kwenye mbuyu karibu na mamantilie/mamalishe uliza tu,kwa Nonda wapi watakuleta nyumbani.
Uko siji Nonda. Mi mtu wa Mbeya ujue. Kuna mwenzetu mmoja kaponea chupuchupu uko.