Blank page
JF-Expert Member
- May 28, 2015
- 5,487
- 4,817
- Thread starter
-
- #41
aaah,bhasi inabidi tukubaliane wanaJF wote,na uongozi watuambie kwamba inakuaje..kuhusu jina letu pendwa.Mkuu utatutia matatani jina hilo now linamwenyewe anawivu nalo Sana kiasi ambacho hakina kipimo napendekeza tuwe tunajiita wajumbe wa JF au sio wajumbe wenzangu
hahahaha.....binadamu bhana,bhasi inabidi mtu ajichagulie jina jepesi tuu,then aitwe hilo.mana mkuu ni kupeana heshima kwa sabu hatujuani vemamkuu yani humu kuna member alitokwa na povu kisa hilo neno uzi mzima alikuwa analalama sitaki hilo jina mi unanifahamu au unaijua kazi yanguu, hasa sijui ningemuita nan, jina lake halieleweki, wala jinsia yake sijui
labda tungeitana mkulu kupunguza ukali
Mimi nitaendelea kukuita mkuuwengine walikataa kuitwa mkuu
Sawa mkuuMimi nitaendelea kukuita mkuu
hahhah,bhas jitaje jinsia yako wew tafadhali...afu ni vp utafahamu kama alekwita ivo ni mwanamke?Mwanamke asiniite mkuu tafadhali
Sisi tuendeleze heshima kati yetu tu wenye mgomo baridi waacheSawa mkuu
sawa mkuuwengine walikataa kuitwa mkuu
Wakuu nowadays lile jina letu pendwa la kuitana mkuu,limepotea liko wapi? maana saiv utakuta watu wanaitana shemeji,dada,kaka,jamaa.....na majina mengine.kwamba tumeshafahamiana sana humu Jukwaani au watu wamezoeana sana hadi tumefikieni hatua ya kutambuana,kama ndivyo bhasi vizuri tumetambuana umri,jinsi na status zetu.ila jina mkuu ni zuri sna bhana turudisheni hadhi yake,au mnasemaje wakuu??
Hahahah...Huku kwetu Tanga Mkuu ni Mama Mkubwa
Hahah..mkuu mbna,mi nakuita mkuu though sifahamu kam kweli una sifa iyo.ila anyway hilo jina liliwekwa,tu ili kupeana heshima ivo.Mkuu wa nini sasa...
Ukuu ni cheo/heshima/nafasi ya juu ktk utaratibu fulani. Ok natania anyway
Kama unachangia hoja za maana, zenye weledi humu JF naweza kukuita 'mkuu' kuonyesha heshima yako kwa michango yenye tija iliyojikita ktk mada/topic husika bila kuendeshwa na uchama.
Kwa mfano:
1. Mkuu Nyani Ngabu
2. Mkuu The Boss
3. Mkuu Nifa nk
Lakini siwezi kuliita zwazwa kama Lizaboni kwa jina hilo.
hahah,picha ya nani asa niwek mkuu?Weka picha
[emoji1]
nani hao,mkuu?CCM products
Ivo,eh inawezekana mkuu..Lipooo mkuuu basi tu upepo wa madawa kiongozi hahahahahahah
[emoji23] kiongozi kwa sasa hali ya hewa zinafanana, yule uliyekuwa unamuita mkuu akikuona anapita sehemu nyingine.[emoji28]Wakuu nowadays lile jina letu pendwa la kuitana mkuu,limepotea liko wapi? maana saiv utakuta watu wanaitana shemeji,dada,kaka,jamaa.....na majina mengine.kwamba tumeshafahamiana sana humu Jukwaani au watu wamezoeana sana hadi tumefikieni hatua ya kutambuana,kama ndivyo bhasi vizuri tumetambuana umri,jinsi na status zetu.ila jina mkuu ni zuri sna bhana turudisheni hadhi yake,au mnasemaje wakuu??