Chaliifrancisco
JF-Expert Member
- Jan 17, 2015
- 26,021
- 79,710
Hiyo degree ya ubush lawyer uliipatia chuo gani bwashee?Hata mimi japo ni bush lawyer nililiona hilo.
Huwa nasemaga kila siku wanasheria makini wako Kenya ndio maana kesi zao hurushwa mubashara luningani!
Ataishi maisha mabaya na kuwa na maadui wengi hatimae atakufa kifo kibaya mapema.
Hata mimi japo ni bush lawyer nililiona hilo.
Huwa nasemaga kila siku wanasheria makini wako Kenya ndio maana kesi zao hurushwa mubashara luningani!
Jina lake ni LENGAI s/o......Hata mimi japo ni bush lawyer nililiona hilo.
Huwa nasemaga kila siku wanasheria makini wako Kenya ndio maana kesi zao hurushwa mubashara luningani!
Hata akiachiwa, hatorudi tena mtasni na kuitwa DC Jenerali Lengai Ole Sabaya! Badala yake atakuwa tu ni good for nothing Lengai Ole Sabaya!
Hatavamia tena maduka ya watu kupora mali na fedha! Maana atachomwa moto! Hawafanyia tena raia wema ubabe, udhalikishaji na ukatili! Maana atakuwa hana tena mikono na nguvu za kufanya hivyo!
Hili ni fundisho tosha! Ingawa binafsi bado naamini kifungo cha miaka kadhaa gerezani, kinamsubiri.
NENDA KASOME TENAPamoja na kuwa mkongwe chamani na Serikalini, lakini nami ni mjuzi na msomi wa sheria. Nilimaliza sheria miaka ya themanini na kuifanyia kazi hadi miaka ya mwishoni mwa tisini. Najua ninachokiandika hapa. Nina hakika na nikiandikacho hapa.
Amini nawaambia, Lengai Ole Sabaya 'ameshaachiwa' kisheria. Punde tu atakuwa mtu huru na atatamba na kubamba kuliko pamba. Hataachiwa kutokana na udhaifu wa ushahidi wa mashtaka. Hataachiwa kwakuwa utetezi wake una mashiko kama mwiko.
Sote tumeshuhudia jinsi kesi nzito na yenye mashiko ilivyojengwa na akina Kweka wa Jamhuri. Tumeshuhudia na kusikia jinsi utetezi wa Sabaya ulivyokuwa mwepesi kama karatasi. Lakini, Sabaya ataepuka kukutwa na hatia kama si Mahakama inayomsikiliza sasa basi ni ambayo watakata rufaa.
Sabaya ataachiwa kwa suala la kisheria. Baada ya kutokea mabishano ya kisheria kuhusu jina la Sabaya kukosewa, iliamriwa kuwa Sabaya asomewe maelezo yake upya. Akasomewa. Utetezi ukaendelea. Kuna kitu muhimu cha kisheria hakikufanyika. Mashahidi wa Jamhuri walipaswa kuitwa tena na kutoa ushahidi wao tena. Haikuwa hivyo.
Mashahidi walipaswa kuitwa upya kwakuwa Mshtakiwa 'amebadilishiwa' jina lake. Hawakuitwa na kesi inaendelea. Wao walitoa ushahidi dhidi ya Sayaba na si Sabaya. Kutoitwa tena kutatumika 'kumchomoa' Sabaya hapo au baada ya hapo. Ni suala la kisheria. Subirini mshuhudie jambo hili.
Askofu Gwajima hakamatiki?
Mzee Tupatupa wa Lumumba (kwasasa Kigoma Mjini)
Kama jina lake ni Lengai mbona baadhi ya mashahidi walishindwa kumtambua?Jina lake ni LENGAI s/o......
Katika sheria hilo la kwanza ndiyo huwa na tija, kufanya mabadiliko ya jina la ukoo (Sabaya) hakufanyi yeye asiwe LENGAI ndiyo maana hearing proceedings zinaendelea kama kawaida.
Huyu kwa kifupi hachomoki, usidhani Rais alimtema ghafla tu bali tayari alikuwa na taarifa zote za matukio yake ya hovyo.
Kwa sasa LENGAI ajiandae kuwasilisha ushahidi wa maandishi au sauti ya kwamba alitekeleza maagizo ya mamlaka ya juu.
Alibaini jina kukosewa wakati wa kusikilizwa kwa kesi yake, na pia baada ya kupewa nakala ya hati yake ya mashtaka bila shaka.Kama jina lilikosewa kwanini alikubali kwenda Mahakamani? Au kukamatwa na vyombo vya usalama? Si angekataa kwa kjsema sio jina lake?
Hahahaaaa....... Mchezo umekwisha bwashee!Alibaini jina kukosewa wakati wa kusikilizwa kwa kesi yake, na pia baada ya kupewa nakala ya hati yake ya mashtaka bila shaka.
Au nasema uongo swahiba wangu Bush lawyer johnthebaptist 🙄?
Kitumbua kimeingia nchanga[emoji23][emoji23][emoji23]Hata akiachiwa kwa muda aliokaa rumande atakuwa ameshajifunza kuwa hakuna aliye juu ya sheria, na kitumbua chake kimeshaingia mchanga anakuwa hana tofauti na raia mwingine wa kawaida. Na inawezekana ndio ukawa mwisho wa umaarufu wake labda aje Rais mwingine atakaye muelewa
Na ukweli kuwa atakuwa lofa tu.Hata akiachiwa kwa muda aliokaa rumande atakuwa ameshajifunza kuwa hakuna aliye juu ya sheria, na kitumbua chake kimeshaingia mchanga anakuwa hana tofauti na raia mwingine wa kawaida. Na inawezekana ndio ukawa mwisho wa umaarufu wake labda aje Rais mwingine atakaye muelewa
Kuna kitu hufahamu ww!!Pamoja na kuwa mkongwe chamani na Serikalini, lakini nami ni mjuzi na msomi wa sheria. Nilimaliza sheria miaka ya themanini na kuifanyia kazi hadi miaka ya mwishoni mwa tisini. Najua ninachokiandika hapa. Nina hakika na nikiandikacho hapa.
Amini nawaambia, Lengai Ole Sabaya 'ameshaachiwa' kisheria. Punde tu atakuwa mtu huru na atatamba na kubamba kuliko pamba. Hataachiwa kutokana na udhaifu wa ushahidi wa mashtaka. Hataachiwa kwakuwa utetezi wake una mashiko kama mwiko.
Sote tumeshuhudia jinsi kesi nzito na yenye mashiko ilivyojengwa na akina Kweka wa Jamhuri. Tumeshuhudia na kusikia jinsi utetezi wa Sabaya ulivyokuwa mwepesi kama karatasi. Lakini, Sabaya ataepuka kukutwa na hatia kama si Mahakama inayomsikiliza sasa basi ni ambayo watakata rufaa.
Sabaya ataachiwa kwa suala la kisheria. Baada ya kutokea mabishano ya kisheria kuhusu jina la Sabaya kukosewa, iliamriwa kuwa Sabaya asomewe maelezo yake upya. Akasomewa. Utetezi ukaendelea. Kuna kitu muhimu cha kisheria hakikufanyika. Mashahidi wa Jamhuri walipaswa kuitwa tena na kutoa ushahidi wao tena. Haikuwa hivyo.
Mashahidi walipaswa kuitwa upya kwakuwa Mshtakiwa 'amebadilishiwa' jina lake. Hawakuitwa na kesi inaendelea. Wao walitoa ushahidi dhidi ya Sayaba na si Sabaya. Kutoitwa tena kutatumika 'kumchomoa' Sabaya hapo au baada ya hapo. Ni suala la kisheria. Subirini mshuhudie jambo hili.
Askofu Gwajima hakamatiki?
Mzee Tupatupa wa Lumumba (kwasasa Kigoma Mjini)
Tatizo si anajifanya yeye ni Tiss!! Yaani dogo ni ni zaidi ya jeuri!! Yaani anajiona hii nchi kama ya baba yake vile! Anaulizwa maswali na mawakili wa Jamhuri, yeye anajibu kijeuri jeuri tu!Hata akishinda cha moto anekiona.
Muhimu ajifunze japo siioni sura ya kujifunza pale.
Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
Pamoja na kuwa mkongwe chamani na Serikalini, lakini nami ni mjuzi na msomi wa sheria. Nilimaliza sheria miaka ya themanini na kuifanyia kazi hadi miaka ya mwishoni mwa tisini. Najua ninachokiandika hapa. Nina hakika na nikiandikacho hapa.
Amini nawaambia, Lengai Ole Sabaya 'ameshaachiwa' kisheria. Punde tu atakuwa mtu huru na atatamba na kubamba kuliko pamba. Hataachiwa kutokana na udhaifu wa ushahidi wa mashtaka. Hataachiwa kwakuwa utetezi wake una mashiko kama mwiko.
Sote tumeshuhudia jinsi kesi nzito na yenye mashiko ilivyojengwa na akina Kweka wa Jamhuri. Tumeshuhudia na kusikia jinsi utetezi wa Sabaya ulivyokuwa mwepesi kama karatasi. Lakini, Sabaya ataepuka kukutwa na hatia kama si Mahakama inayomsikiliza sasa basi ni ambayo watakata rufaa.
Sabaya ataachiwa kwa suala la kisheria. Baada ya kutokea mabishano ya kisheria kuhusu jina la Sabaya kukosewa, iliamriwa kuwa Sabaya asomewe maelezo yake upya. Akasomewa. Utetezi ukaendelea. Kuna kitu muhimu cha kisheria hakikufanyika. Mashahidi wa Jamhuri walipaswa kuitwa tena na kutoa ushahidi wao tena. Haikuwa hivyo.
Mashahidi walipaswa kuitwa upya kwakuwa Mshtakiwa 'amebadilishiwa' jina lake. Hawakuitwa na kesi inaendelea. Wao walitoa ushahidi dhidi ya Sayaba na si Sabaya. Kutoitwa tena kutatumika 'kumchomoa' Sabaya hapo au baada ya hapo. Ni suala la kisheria. Subirini mshuhudie jambo hili.
Askofu Gwajima hakamatiki?
Mzee Tupatupa wa Lumumba (kwasasa Kigoma Mjini)
nawe unaamini kabisa alikamatwa ...zile ni trick kukutoa kwenye reli kijana...ukute aliwekewa hadi TV mahabusu...mwenzio yupo kaziniHata akiachiwa kwa muda aliokaa rumande atakuwa ameshajifunza kuwa hakuna aliye juu ya sheria, na kitumbua chake kimeshaingia mchanga anakuwa hana tofauti na raia mwingine wa kawaida. Na inawezekana ndio ukawa mwisho wa umaarufu wake labda aje Rais mwingine atakaye muelewa