Janjaweed
JF-Expert Member
- Jan 20, 2010
- 13,153
- 10,670
Wanasheria ni wasanii na wanabishaji sanaKutokea Arusha Kesi Na 105 inayomuhusu Aliyekuwa Mkuu wa Wilaya Ya Hai
SERIKALI yakiri kuwa Aliyeshtakiwa Ni Lengai Ole SAYABA badala ya Lengai Ole SABAYA hivyo wameiomba Mahakama kubadili Hati ya mashtaka
Mawakili wa utetezi wamepinga kwa hoja kuwa Serikali ilishafunga zoezi la kutoa ushahidi kwa Kuleta mashahidi 11 na Mawakili Wasomi 4 waliothibitisha hati ya mashtaka yenye jina la LENGAI OLE SAYABA
Wamedai huu ni muda wa mshtakiwa kujitetea baada ya kukutwa na Kesi ya kujibu
Habari Leo
Imagine all these days wanapiga show ya yondo sister kwenye misa ya kwanza
mbaafff