NAWATAFUNA
JF-Expert Member
- Nov 14, 2019
- 13,284
- 24,047
Dah!!,,Bongo sihami hata kwa mijeredi,nasema hivi hii nchi sihami.burudani kila baada ya 1hr.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hamna jeurihiyo mmewamaliza kina saa nane baasi hamuwezi tena na mwenzio yuko ananyea ndoo gaidiAkichomoka tutamalizana nae kitaa.
Yani kama umefatilia vizuri kuhusu mashtaka ya Sabaya na mashahidi walivyo wasilisha ushahidi wao basi hakimu atakuwa mwendawazimu tu kumkuta na hatia Sabaya! Ni uongo uongo mwingi tu yani!Sarakasi ZA kumuachia nimeanza
Mshana yale mashtaka ni ya uongo yote hakuna la kweli paleHata wafanyeje hachomoki
Hii naona kama imeandikwa kwa kudhamilia kabisa...SA_YA_BA - SABAYA... Check Y positions
hakuna kesi sabaya yuko huruHayo mabishano hayana maana.
Kama kuna tatizo la SAYABA kwamba siyo Lengai Sabaya aliyepo mahakamani; basi ilikuwa ni nafasi ya Wakili wa Utetezi kuiambia Mahakama kwenye "submission" kwenye "Prima facies Case" (A Case to Answer submission) ili aishaiwishi Mahakama kwamba aliyeshtakiwa kwenye Hati ya Mashtaka siyo Mteja wake aliyopo mahakamani.
Hivyo angeomba Mahakama itoe uamuzi kwamba Lengai Ole Sabaya hana kesi ya kujibu, bali Jamhuri imtafute huyo SAYABA aletwe mahakamani hapo.
Hatua hiyo imepita, na Mahakama imemkuta Sabaya anayo kesi ya kujibu. Maana yake ni kwamba makosa ya jina hilo ni makosa madogo sana ambayo Mahakama ikayafumbia macho kwa kukubaliana kwamba Sayaba aliyeandikwa kwenye Hati ndiye huyu aliyepo mahakamani akijitambulisha kuwa ni Sabaya.
Ila Tanzania kwa kukosa umakini tuko kwenye kiwango kingine. Hawa watu dizaini hii ndiyo huwa hata sehemu kama JF hawajui kuandika baadhi ya maneno na ukiwasahihisha wanatukana.
Ke..nge wewe,unajitia kujua Sana sheria, Jambazi Sabaya anafungwa,tafuta bwana mwingine dadaYani kama umefatilia vizuri kuhusu mashtaka ya Sabaya na mashahidi walivyo wasilisha ushahidi wao basi hakimu atakuwa mwendawazimu tu kumkuta na hatia Sabaya! Ni uongo uongo mwingi tu yani!
Tafuta bwana mwingine Sabaya hatoki we mdangajihakuna kesi sabaya yuko huru
Ni kweli asee Sabaya na Mbowe hawachomoki.Ke..nge wewe,unajitia kujua Sana sheria, Jambazi Sabaya anafungwa,tafuta bwana mwingine dada
Dah! Waalimu wana kazi kweli kweli, mie kazi ya ualimu ningekuwa jela tayari kwa kuua mwanafunzi kwa viboko.Hata mfanyeje..Sabaya kashakiri makosa na mahakama imemkuta na hatia
Alifanya ujinga wakati wa kujitetea.kashakiri kafanya yote ila aliona utetezi ni kutumwa.alijikaanga....