Fred Mwakitundu
JF-Expert Member
- Dec 31, 2018
- 227
- 382
Kwa uzoefu wangu mdogo kabisa niseme kwamba tofauti ni kubwa sana tena sana kisheria ila kimazoea ni pouwaa tu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Noted!! Litakalo mpata akiwa kitaa, hata akinyewa na Kunguru tuko nawe bint.Akichomoka tutamalizana nae kitaa.
Hili halipo, Daudi yupo mtaani anadunda tu...Akichomoka tutamalizana nae kitaa.
OvaHata wafanyeje hachomoki
Tafadhali usimfananishe mbuzi wa kwenye mawe na vitu vya kipumbavu kama SabayaSabaya ni Jambazi kama Majambazi wengine TU,na asiishie kulia kizimbani,ni vema AKINYA kabisa lakini hachomoki Mbuzi mawe yule
Nyie endeleeni na usaliti wenu. Mtamhukumu sabaya ila mjue ccm mnapoteza imani na umma wa wananchi. Huyo kweka kwa upande wa serikali kwanza hatuna imani naye...Kukosewa kwa jina la tatu la mshitakiwa wa kwanza katika kesi ya unyang’anyi wa kutumia silaha Lengai Ole Sabaya, kumesababisha malumbano ya kisheria na kuahirishwa kesi kwa muda...
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
KAMA VILE GAIDI LENU LINAVYOLIWA KEKO MBOOWETafuta bwana mwingine Sabaya hatoki we mdangaji
Wewe unaona nenoMamuma wa sheria mimi atakaeelewa ufafanuzi tafadhali
Hayo mabishano hayana maana.
Kama kuna tatizo la SAYABA kwamba siyo Lengai Sabaya aliyepo mahakamani; basi ilikuwa ni nafasi ya Wakili wa Utetezi kuiambia Mahakama kwenye "submission" kwenye "Prima facies Case" (A Case to Answer submission) ili aishaiwishi Mahakama kwamba aliyeshtakiwa kwenye Hati ya Mashtaka siyo Mteja wake aliyopo mahakamani...
Anamtetea danga lakeKe..nge wewe,unajitia kujua Sana sheria, Jambazi Sabaya anafungwa,tafuta bwana mwingine dada
We mpiga ramli endelea na ndumba zako hizo KWA kutumia mapaka Ili asitoke
SawaMshana yale mashtaka ni ya uongo yote hakuna la kweli pale
Kimsingi wa sheria Sabaya ataachiwa huru. Kama ana mashtaka atakamatwa na kushtakiwa upya. Kitakachofuata kinafirikisha. Je, wataanza kesi upya au mwendelezo wa kesi ya Sayaba?Sayaba lazima atafutwe na Sabaya lazima awe huru.
Mikwara hiyo!!Akichomoka tutamalizana nae kitaa.
Daudi ni mzinga wa nyuki, hakuna anaetaka kuugusa maana yatakayotoka humo ya Sabaya ni cha mtoto.Hili halipo, Daudi yupo mtaani anadunda tu...