Tafakari yetu
JF-Expert Member
- Apr 19, 2021
- 1,505
- 4,427
Tofauti na miaka ya nyuma ambayo tumezoea kuona naibu spika akipewa nafasi kubwa ya kuwa spika hali hiyo itakuwa tofauti na Spika mpya atakuwa si maarufu kivile na uteuzi wa jina lake utashangaza wengi.
Mimi mwenyewe nimeshangaa niliposikia ndio lenyewe
Mimi mwenyewe nimeshangaa niliposikia ndio lenyewe