KingCobra95
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 3,249
- 5,863
hakuna watu waliokua disinterested na siasa kama waTZ kwa sasa,hizi kelele za mtandaoni ni regurgitated noise za watu haohao ambao hata laki nne hawazidi,,kwahiyo hilo suala la jina kushtusha wengi halitakua zito kama unavyodhani