mama D
JF-Expert Member
- Nov 22, 2010
- 19,981
- 35,581
Aibariki bila jitihada ?
Mungu ibariki Tanzania
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Aibariki bila jitihada ?
Sipika atatoka zanzibarLitaje mkuu!!
Sawa ngoja tuendelee kushangaa tu ila mpaka 2025 tutakua tumeshazoea kushangaa.
Ni mwendo wa kushangaa tu Mshangao Republic and Vichambo Republic.Wengine tangu 1961 tunashangaa tu
Alaaniwe magufuliMungu ibariki Tanzania
Sijui walifikiria nin kumpa nafasTofauti na miaka ya nyuma ambayo tumezoea kuona naibu spika akipewa nafasi kubwa ya kuwa spika hali hiyo itakuwa tofauti na Spika mpya atakuwa si maarufu kivile na uteuzi wa jina lake utashangaza wengi.
Mimi mwenyewe nimeshangaa niliposikia ndio lenyewe
Alaaniwe magufuli
Ulikuwa unataka asipoendelea tena kuwa huyo huyo Dk. Tulia Ackson awe Shangazi yako au?Akiteuliwa spika mwingine je naibu spika anakua yule yule au?
Wengine hapo nyoka wanatumika kuchunguza wenzaiSo far so good, wafuatao wameufyata Hadi 2030 au 2040
1.Sabaya
2. Bashite
3. Ndugai
4. Mzee wà kushika dola aka Bashir
5. Polepole
6. Mrisho
Walisumbua sana enzi hizo......
MUNGU aepushie mbali!!!....[emoji849]huyo sio mkuu. sababu ni kwamba yeye hatokei pwani wala kusini.
Mimi naamini inawezekana akawa Rizi [emoji16][emoji16][emoji16]
Dah! jamaniMtoto Wa Mzee Wa Msoga;
😁😁😁Kwasasa watu hawa wamelishika mno jina la Mwenyezi Mungu, lakini HAWANA MUNGU KABISA NDANI YA MIOYO YAO.MUNGU aepushie mbali!!!....[emoji849]
Ngoja na mimi nigombeeUmelisikia kutoka CCM au maana spika anaweza akawa hata ambaye hana chama.