KingCobra95
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 3,249
- 5,863
Zungu . No. Kwanza uraia wake wa mashaka, si ajabu Ni mkomoroZungu
Zungu Mbunge wa ILALATofauti na miaka ya nyuma ambayo tumezoea kuona naibu spika akipewa nafasi kubwa ya kuwa spika hali hiyo itakuwa tofauti na Spika mpya atakuwa si maarufu kivile na uteuzi wa jina lake utashangaza wengi.
Mimi mwenyewe nimeshangaa niliposikia ndio lenyewe
Ungemtaja ingependeza sana mkuu !!Tofauti na miaka ya nyuma ambayo tumezoea kuona naibu spika akipewa nafasi kubwa ya kuwa spika hali hiyo itakuwa tofauti na Spika mpya atakuwa si maarufu kivile na uteuzi wa jina lake utashangaza wengi.
Mimi mwenyewe nimeshangaa niliposikia ndio lenyewe
Tofauti na miaka ya nyuma ambayo tumezoea kuona naibu spika akipewa nafasi kubwa ya kuwa spika hali hiyo itakuwa tofauti na Spika mpya atakuwa si maarufu kivile na uteuzi wa jina lake utashangaza wengi.
Mimi mwenyewe nimeshangaa niliposikia ndio lenyewe
SalmaU
Ungemtaja ingependeza sana mkuu !!
Huyo big NO !!!
Hamna kitu kama hiyo !!Mtoto Wa Mzee Wa Msoga;
Aibariki bila jitihada ?Mungu ibariki Tanzania
Litaje mkuu!!
Sidhani !! I DONT THINK SO !! HON TULIA COULD BE !Salma