Tofauti na miaka ya nyuma ambayo tumezoea kuona naibu spika akipewa nafasi kubwa ya kuwa spika hali hiyo itakuwa tofauti na Spika mpya atakuwa si maarufu kivile na uteuzi wa jina lake utashangaza wengi.
Mimi mwenyewe nimeshangaa niliposikia ndio lenyewe
Ni kweli kabisa kwa sababu hata wabunge walio wengi hawalifahamu kabisa jina langu. Wewe ni nani kakudokeza kuwa ni mimi?Tofauti na miaka ya nyuma ambayo tumezoea kuona naibu spika akipewa nafasi kubwa ya kuwa spika hali hiyo itakuwa tofauti na Spika mpya atakuwa si maarufu kivile na uteuzi wa jina lake utashangaza wengi.
Mimi mwenyewe nimeshangaa niliposikia ndio lenyewe
Spika lazima awe na chama - ISIPOKUWA SIYO LAZIMA AWE MBUNGEUmelisikia kutoka CCM au maana spika anaweza akawa hata ambaye hana chama.
Huyu muungo mkubwa- kwenye uspika hakuna siri - watu wanachukua fomu kwenye vyama vyao- tutawajua mda si mrefu tena woteSasa hapo unamaanisha nini, ateuliwe halafu useme nilisema ama!
Kwa bunge hili, serikali hii na katiba hii unategemea kweli spika anaweza toka nje ya CCM??!!??Umelisikia kutoka CCM au maana spika anaweza akawa hata ambaye hana chama.
Ana jipya gani huyo waziri mzigo?George simbachawene anakwenda kukalia kiti!
Nikuombe saana hii mambo ya Imani za watu achana nazo....heri uongelee kabila zao kuliko Imani.Samia ni mdini na mbaguzi anajaza waislam watupu.TEC susieni shughuli zote za samia mpaka ajirekebishe kama kipindi cha Vasco Dagama akaja kumuangukia Pengo kuwa anatengwa.
Tumeonyesha udhaif mkubwaTumeambiwa ni zamu ya Wanawake hii. Wanaume tumeshindwa hata kumtetea Ndugai
Akacheze anapochezagaKwa hiyo yule dada kutoka jiji la kijani anayefanana na mbuni hana chake?
mimi huwa nawaona hao kama vile ni wavivu kufikiri, wanye nidhamu ya waoga na wapole kwa sura ila ni wenye jazba si ukali.Itapendeza sana !!