Kwan atateuliwa au watajitokeza wagombea?
Tofauti na miaka ya nyuma ambayo tumezoea kuona naibu spika akipewa nafasi kubwa ya kuwa spika hali hiyo itakuwa tofauti na Spika mpya atakuwa si maarufu kivile na uteuzi wa jina lake utashangaza wengi.
Mimi mwenyewe nimeshangaa niliposikia ndio lenyewe