Hilo halipingikiNi mwendo wa kiperuzi
Wa kuperuzi kwenye ubora wako.Ni mwendo wa kiperuzi
OkHalina maana yoyote mkuu.
Pesa madafuWakuu habari zenu?... Moja kwa moja kwenye mada. Hebu tufunguke hapa majina yetu yakificho hapa jukwaani Yana maana gani.
Mimi jina langu TANO BORA nikwasababu siku najisajili Jamiiforum ndo siku ambayo chama cha mapinduzi,CCM kilitoa majina ya mchujo kupata TANO Bora ya mgombea uraisi mwaka 2015 .
JE WEWE JINA LAKO FICHE HAPA JAMIIFORUM LINATOKANA NA NINI?
23 ndo miaka yako kipindi unajiunga?Ngara23
Ngara ndo home
Ni kuperuzi tu kuchangia mada hapana naweza kutoa boko mkuuWa kuperuzi kwenye ubora wako.
Upo kama Mimi tangu nijiunge 2015 hii ndo thread yangu yakwanza mkuuNi kuperuzi tu kuchangia mada hapana naweza kutoa boko mkuu
Lakini ulilipenda mwenyeweSijui aliyenipa hili jina alimaanisha nini??
Ni story ndefu, km wazazi wanavyokuchagulia jina huwezi kukataa.!!Lakini ulilipenda mwenyewe