Evelyn Salt
JF-Expert Member
- Jan 5, 2012
- 70,916
- 141,437
🤣🤣🤣🤣🤣🤣 Nmecheka kwa nguvu😹We mwanamke ujue nakupenda yaan hujui tu,,,ila usiniulize niko wapi🤣🤣
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
🤣🤣🤣🤣🤣🤣 Nmecheka kwa nguvu😹We mwanamke ujue nakupenda yaan hujui tu,,,ila usiniulize niko wapi🤣🤣
Duuuh mkuu kumbe wewe wa kishua...? DaahNi jina lenye asili ya Korea, inasemekana ni jina la dr alimsaidia bi mkubwa siku nazaliwa , akaona anipe jina hilo kama tu heshima.
😁😁Itabidi uende korea,,ntachangia nauli
Kwa nini ? Sijawahi kuwa wa kishua mkuu.Duuuh mkuu kumbe wewe wa kishua...? Daah
Pokea simu.....
Mkuu kuzalishwa na mkorea tuu..Kwa nini ? Sijawahi kuwa wa kishua mkuu.
😁😁 hamna mkuu hizo hospital za mission nyingi huwa wanashirikiana uzoefu na matabibu kutoka njee na hospital za mission ni za kawaida tu mkuu.Mkuu kuzalishwa na mkorea tuu..
Tena hospital tayari tosha hyo ni ushua.
Na wakapata wasaa wa kufahamiana mpaka majina. Inaonesha how your parents are...
Unajua ishu ya wazazi kujua jina la dactar..😁😁 hamna mkuu hizo hospital za mission nyingi huwa wanashirikiana uzoefu na matabibu kutoka njee na hospital za mission ni za kawaida tu mkuu.
Unacheka? Utalia piaMi nachekaga tu
Nilishalia sana mkuu...Unacheka? Utalia pia
Sawa basi nakupa wa kufurahi naeNilishalia sana mkuu...
Sasa niacheni nifurahi
You should noticeSawa basi nakupa wa kufurahi nae
Na wamenuna mpaka Muda huu eti 😂Kuna watu watanuna😅