Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
🙌🙌Anantumia picha ananiuliza ni huyu? Tatizo hazifananii na zile ulizotumaBasi tuishie hapa!😂
the gono the kuiba waume zawatu.the smart the antoniaThe Pal..
😂Basi huyo anakutumia picha za kudownload!🙌🙌Anantumia picha ananiuliza ni huyu? Tatizo hazifananii na zile ulizotuma
Haya bn😂Basi huyo anakutumia picha za kudownload!
Noted .ukiidraft vizuri utapiga hela mtaani.
Angalia vizuri kaliwa kichwa huyo angalia rangi unga dots project binafsi hioHuyo hapo kwenye avatar yako ni mnyama gani??
Mamichu unafurahisha mno😆Ukoo wetu una majina ya pekee kama Defris, Tantine, Maa'ma, ephen, Shanuary, Mamichu
Kati ya haya majina lipi ushawahi kulisikia?
😹😹😹 mxiewww!!Labda alitaka kukuita Labia
Fala yule anajua boli hatari.
Mie ananifurahiahaga tuu pale ligi imebakiza mechi 12 iishe alafu yeye yupo nafasi ya pili.
Ebwana wee....atapiga game kumi au kumi na moja yeyey anatoa vipigo tuu hadi raha.
🤣🤣🤣, usipuuzie, uliza taratibu utapata majibu.😹😹😹 mxiewww!!
Nadhani sihitaji kujielezaWakuu habari zenu?... Moja kwa moja kwenye mada. Hebu tufunguke hapa majina yetu yakificho hapa jukwaani Yana maana gani.
Mimi jina langu TANO BORA nikwasababu siku najisajili Jamiiforum ndo siku ambayo chama cha mapinduzi,CCM kilitoa majina ya mchujo kupata TANO Bora ya mgombea uraisi mwaka 2015.
JE WEWE JINA LAKO FICHE HAPA JAMIIFORUM LINATOKANA NA NINI?
😹😹😹 kumbe alimaanisha hivyo?!!Labella=mafia
Kwender 😹😹🤣🤣🤣, usipuuzie, uliza taratibu utapata majibu.