Jina lako hapa Jukwaani lina maana gani?

Jina lako hapa Jukwaani lina maana gani?

Jina langu la kinyumbani linaanzia na herufi C.Nikajiita Cee ,nikaona limekaa kike mnoo nikaligeuza nyuma eec hiyo C nikashindwa kuigeuza nikaweka X ikawa eeX.
 
Fala yule anajua boli hatari.
Mie ananifurahiahaga tuu pale ligi imebakiza mechi 12 iishe alafu yeye yupo nafasi ya pili.
Ebwana wee....atapiga game kumi au kumi na moja yeyey anatoa vipigo tuu hadi raha.


Hahahaha


Mkuu yule amezaliwa kuadhibu watu yaani anajua boli mpaka anakera.
 
Wakuu habari zenu?... Moja kwa moja kwenye mada. Hebu tufunguke hapa majina yetu yakificho hapa jukwaani Yana maana gani.

Mimi jina langu TANO BORA nikwasababu siku najisajili Jamiiforum ndo siku ambayo chama cha mapinduzi,CCM kilitoa majina ya mchujo kupata TANO Bora ya mgombea uraisi mwaka 2015.

JE WEWE JINA LAKO FICHE HAPA JAMIIFORUM LINATOKANA NA NINI?
Nadhani sihitaji kujieleza
 
Kwa walioifuatilia hii tamthiliya watakuwa wanawakumbuka hawa waigizaji! Enzo na Bonnie.
Enzo alikuwa anaumwa na hawezi kupona hivyo alikata tamaa!

Alimpenda sana Bonnie lakini ndiyo hivyo tena hawezi kupona! Siku anamuita Bonnie na kumueleza kuhusu hisia zake na ule mziki wa nyuma (background) acha wewe! Mtoto mwenyewe aliamua kutafuta tiba! Alinifanya niutafute ule wimbo!

Huyu hapa mwamba halafu msela!
 
Back
Top Bottom