NALIA NGWENA
JF-Expert Member
- Oct 6, 2016
- 10,587
- 13,425
- Thread starter
-
- #221
Hakika babu ashukuriwe [emoji123]MjukuuWaBabu✓ hii ipo simple Sana.. Babu amenisupport ktk malezi, elimu na busara zake zimenijenga haswaaa... So nadumisha chemistry kwa Kujiita MjukuuWaBabu ktk social media zote.
Aise naendelea kujua vitu [emoji16]Nilipenda kufanya kazi za mionzi -Radiology hivo nilipenda kazi za familia ya mgunduzi wa kwanza mr and mrs Currie
Mkubwa noma sanaMie nna tabia za ki-mbwa mbwa ndio maana nikajiita hivi
Wewe ni mpanga miji from centrMama mwenye Ds wake
Nipo seedfarm mkuu
GENTAMYCINE ( ANTIBIOUTIQUE ) ni Jina nililoamua Kutumia Kuwakilisha Dawa Kuu ya Kutibu Magonjwa Sugu ( Fangasi ) za Mwilini na Ubongoni ambazo huwafanya baadhi ya Watu kuwa Wapumbavu ( Mapopoma ) Waliotukuka hivyo nawatibu kwa Kuwanyoosha ili wawe na Akili Kubwa na Kiukweli Dawa ya GENTAMYCINE imetibu Mipopoma mingi hapa na hata Kwingineko.Hello members!! Nimekua nikisoma id za members kwa kweli zingine zinafurahisha, zinahuzunisha na kusisimua pia.
Nimeona kuanzia uzi huu maridhawa kabisa mwana jamii pita hapa tueleze maana na kwa Nini umejiita hivyo??
Naanza Mimi NALIA NGWENA
Hilo ni jina ambalo nilijiita baada ya kupita jkt, ipo hivi nalia ngwena ni wimbo ambao ulikua ukiimbwa ulikua na mateso makubwa ndani yake tunaita maovyo ovyo,
Ilifikia hatua huu wimbo tuliimba huku tunalia.
Maana afande aliyekuwa akiimbisha huu wimbo alitoa na mazoezi makali humo humo ndani yake.
Kiukweli katika vitu ambavyo sitoweza kusahau ni huu wimbo na ndiyo maana nikajiita NALIA NGWENA
Karibuni wakuu.
Lilian Anord NgwenaLAN, Abbreviation of my names![emoji3][emoji113]
Yupo na 100 years of age now[emoji120][emoji120][emoji120] long life BabuHakika babu ashukuriwe [emoji123]
YeahNamjua huyo dogo yupo vzuri[emoji16]
Wewe ni mpanga miji from centr
Mimi nilijiita CHAKULA KIBAYA kwasababu wakati nimeamua rasmi kuwa member ninayetambulika jf nilikuwa kwenye mgahawa niliagiza chakula wakaniletea wali mbaya Sana ambao sijawahi kula tangu nianze kujielewa,ndipo nikaona nitumie username hiyo ili iwe kumbukumbu.Hello members!! Nimekua nikisoma id za members kwa kweli zingine zinafurahisha, zinahuzunisha na kusisimua pia.
Nimeona kuanzia uzi huu maridhawa kabisa mwana jamii pita hapa tueleze maana na kwa Nini umejiita hivyo??
Naanza Mimi NALIA NGWENA
Hilo ni jina ambalo nilijiita baada ya kupita jkt, ipo hivi nalia ngwena ni wimbo ambao ulikua ukiimbwa ulikua na mateso makubwa ndani yake tunaita maovyo ovyo,
Ilifikia hatua huu wimbo tuliimba huku tunalia.
Maana afande aliyekuwa akiimbisha huu wimbo alitoa na mazoezi makali humo humo ndani yake.
Kiukweli katika vitu ambavyo sitoweza kusahau ni huu wimbo na ndiyo maana nikajiita NALIA NGWENA
Karibuni wakuu.
Duh [emoji16][emoji16][emoji16]Mimi nilijiita CHAKULA KIBAYA kwasababu wakati nimeamua rasmi kuwa member ninayetambulika jf nilikuwa kwenye mgahawa niliagiza chakula wakaniletea wali mbaya Sana ambao sijawahi kula tangu nianze kujielewa,ndipo nikaona nitumie username hiyo ili iwe kumbukumbu.
Asante[emoji120]
Legend [emoji123]Huwa najiona nipo kwenye kundi la members wenye umri mkubwa zaidi JF
Mh mpendwa [emoji123]Hon - hapa nilipokuwa mdogo nilikuwa napenda Sana nijekuwa Mbunge au hakimu so Hon nikifupi cha Honourable Yani mheshimiwa
Nkundwe - ni jina nililopewa na Mama yangu mkubwa nilipozaliwa kwahyo nikawa na jina lingine na hili Nkundwe ni jina lenye asili ya kinyakyusa uko Mbeya maana yake Mpendwa.
Sent from my Nokia C2 using JamiiForums mobile app
[emoji16] aka simba lialia.GENTAMYCINE ( ANTIBIOUTIQUE ) ni Jina nililoamua Kutumia Kuwakilisha Dawa Kuu ya Kutibu Magonjwa Sugu ( Fangasi ) za Mwilini na Ubongoni ambazo huwafanya baadhi ya Watu kuwa Wapumbavu ( Mapopoma ) Waliotukuka hivyo nawatibu kwa Kuwanyoosha ili wawe na Akili Kubwa na Kiukweli Dawa ya GENTAMYCINE imetibu Mipopoma mingi hapa na hata Kwingineko.
Mimi ndiyo GENTAMYCINE The King!!!!
am 4 realHello members!! Nimekua nikisoma id za members kwa kweli zingine zinafurahisha, zinahuzunisha na kusisimua pia.
Nimeona kuanzia uzi huu maridhawa kabisa mwana jamii pita hapa tueleze maana na kwa Nini umejiita hivyo??
Naanza Mimi NALIA NGWENA
Hilo ni jina ambalo nilijiita baada ya kupita jkt, ipo hivi nalia ngwena ni wimbo ambao ulikua ukiimbwa ulikua na mateso makubwa ndani yake tunaita maovyo ovyo,
Ilifikia hatua huu wimbo tuliimba huku tunalia.
Maana afande aliyekuwa akiimbisha huu wimbo alitoa na mazoezi makali humo humo ndani yake.
Kiukweli katika vitu ambavyo sitoweza kusahau ni huu wimbo na ndiyo maana nikajiita NALIA NGWENA
Karibuni wakuu.