Jina lako Limeandikwa Moyoni Mwangu Atoto

Atoto Weekend ndiyo yaanza Hvyo... Njoo Kigamboni basi nikupeleke south beach au sunrise

Yaani watu wa dar huwa mnadhani kila mtu yupo dar!! Mie hiyo dar naisikia tu mwenzio.
 
Yaani watu wa dar huwa mnadhani kila mtu yupo dar!! Mie hiyo dar naisikia tu mwenzio.

Sasa Wewe Uko wap? Hata kama Upo Sumbawanga Sema Mrembo nikutumie Bawa Muda Huu
 
Ayayayayaaaaaaaaaaa!!



Ulijuaje? Mule mule.

Sijui wewe Una Matege au makengeza? Mbona hutaki kusema ulipo, kampeni Zinaanza Jumapili nataka tushinde wote tuamke wote
 
Tunapoongea Wapendanao Hutakiwi kutia neno hapa alaa

Kumbe!!!! Mmeshakuwa wapendanao tena wakati ushabwaga manyanga...... atoto embu niambie nilivyogeuka nyuma umekubali kwenda kwa free p?
 
Last edited by a moderator:
Sijui wewe Una Matege au makengeza? Mbona hutaki kusema ulipo, kampeni Zinaanza Jumapili nataka tushinde wote tuamke wote

Nina chongo

Kumbe!!!! Mmeshakuwa wapendanao tena wakati ushabwaga manyanga...... atoto embu niambie nilivyogeuka nyuma umekubali kwenda kwa free p?

Nijikute!!! Hilo neno halipo kabisaaa kwenye list ya maneno niyatumiayo.
 
Last edited by a moderator:
ibra87 mpaka nitang'ata godoro!! Teh teh teh
 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…