Pascal Mayalla
Platinum Member
- Sep 22, 2008
- 53,857
- 121,995
Nina ombi moja kwako Maalim, Al Alama Mohamed Said kama ulivyoeleza akitokea mjinga mmoja tuu, basi yeye keshashindwa, basi mimi nakuomba, inapotokea wanafunzi wako na wafuasi wako humu jf ndio wanaoleta ujinga, wewe usishindwe ka Imam Shaffi bali kemea, onya na kuwarudisha kwenye mstari ili wasiendfeleze huo ujinga wao humu!.Pasco,
Imam Shaffi alikuwa akisema kuwa yeye anaweza kusimama kwa hoja hata
na watu mia lakini akitokea mjinga mmoja tu basi yeye huwa keshashindwa.
Mooja wao ndiye huyo niliyemuuza humu, hizo lugha nazo umemfunza wewe?!.
Pasco.

