Jinamizi la Udini Tanzania: Utabiri wa Sheikh Suleiman Takadir

Jinamizi la Udini Tanzania: Utabiri wa Sheikh Suleiman Takadir

Al Akhiy Mohammad Said,

Kwa hishma kubwa tulikuwa na KIU kubwa ya kupata darsa hili la KUONDOSHWA KWA SHEIKH HASSAN bin AMEIR Na kuundwa kwa BAKWATA.

Tafadhwar Al Akhiy tunaomba Utudarsishe hapo ili tufyonze ilmu.


Barubaru,
Historia ya BAKWATA ni muhimu kizazi cha sasa na kijacho wakaijua.
Naweka hapa kipindi maalum nilichofanya na Radio Kheri ili tujikumbushe.

Kipindi hili kilirushwa Mubashara (Live) na Radio Kheri (Dar es Salaam),
Radio Quiblatein (Iringa), Radio Imaan (Morogoro)tarehe 1 Oktoba, 2012.

Nakushukuru kwa kunikumbusha kuhusu hili.

Tumuombe Allah ajaalie kila asikia na kujua historia ya BAKWATA atuelewe
na awe upande wetu katika kutafuta haki ya Waislam iliyodhulumiwa kwa
kutumia nguvu ya serikali mwaka 1968:

https://www.youtube.com/watch?v=qataPRSpoC8
 
FF alikuwa ni zamani!, huyu FF wa sasa wa kila siku porojo, kuhororoja na kubwabwaja bila mpango, huyu siye!.

Nadhani FF unaingia anga za miaka 45!, wengine hata umri huo bado, huanza kuonyesha dalili mapema ya zile PM disorders!. Hata hivyo kwa vile mimi ni muelewa, nimekuelewa, naomba na wale wengine wasiokuelewa tatizo ni nini, wakuvumilie tuu kama mimi ninavyokuvumilia kwa sababu naelewa mabadiliko yenu ya baada ya kuvuka miaka 45!.

Pole!, ndio ukubwa huu!, wengine huja vizuri, na wengine huja vibaya!, nilikuwa najiuliza yu wapi yule FF mwenye full mabusara?!. Sasa nimeelewa!.

Hata hivyo hongera kuutua mzigo wa ule usumbufu wa ile hali!.

Pasco.

45 Niliipita zamani sana hiyo, imekuwa ni historia wala si story tena.

Kamuulize bosi wako wa zamani Alioki au Meb Al Haddad wananijuwa fika na wananiamkia wakiniona.

Ukionesha busara japo kiduchu ntakuonesha busara hujawahi kuziona lakini ukija na kubwabwaja na kuhororoja bila mpango ntakupa kavu za uso. Kumbuka hilo.
 
Ya Kivukoni ambayo ndio tumesoma sote iliandikwa na wanazuoni wa taasisi hiyo. Inayo mapungufu kama yalivyo kwenye Biblia na Q'uran pia.

WildCard,
Upungufu katika historia ya TANU iliyoandikwa na Kivukoni ni wa kujitakia.

Katika jopo lile alikuwapo Dr. Mayanja Kiwanuka na yeye ndiye alikuwa
kiongozi.

Mmoja wa wanajopo alikuwa marehemu Hassan Upeka.

Hassan Upeka alikuwa na "notes" za historia ya TANU alizotengeneza baada
ya kumhoji Abdul Sykes.

Hizi "notes" Hassan Upeka alizileta mbele ya jopo.
Jopo walizikataa hizi "notes."

Matokeo yake ni kuwa ule mzizi wenyewe wa TANU umekataliwa na matokeo
yake ni historia hiyo ambayo sasa hapa tunaijadili.

Ukweli ni kuwa huwezi ukazikwepa nyaraka za Abdul Sykes na ukaweza
kuandika historia ya TANU.
 
WildCard,
Upungufu katika historia ya TANU iliyoandikwa na Kivukoni ni wa kujitakia.

Katika jopo lile alikuwapo Dr. Mayanja Kiwanuka na yeye ndiye alikuwa
kiongozi.

Mmoja wa wanajopo alikuwa marehemu Hassan Upeka.

Hassan Upeka alikuwa na "notes" za historia ya TANU alizotengeneza baada
ya kumhoji Abdul Sykes.

Hizi "notes" Hassan Upeka alizileta mbele ya jopo.
Jopo walizikataa hizi "notes."

Matokeo yake ni kuwa ule mzizi wenyewe wa TANU umekataliwa na matokeo
yake ni historia hiyo ambayo sasa hapa tunaijadili.

Ukweli ni kuwa huwezi ukazikwepa nyaraka za Abdul Sykes na ukaweza
kuandika historia ya TANU.
Naamini nyaraka za Abdul na wengine hazikuwa na hata chembe ya UDINI ndani yake. Abdul ameishi na TANU kwa zaidi ya miaka 14( 1954-1968). Hakuandika kitabu wala makala kwenye gazeti pamoja na wewe kumpamba sana kwamba alikuwa na akili nyingi, mtaalamu wa lugha, mwandishi wa hotuba za Mwalimu,..., kwa nini wewe uliamua kuingiza UISLAM kwenye hii historia yako?
 
Pasco,

Faiza ni mama mtu mzima sana pengine kuliko hata Mzee Mohamed. Kwenye mjadala kama huu huwa anaamua kujilipua tu. Anajua mzee huyu ni MDINI sana na ndio utambulisho wake. Anamsaidia ili apumue kidogo na makombora ya ndani ya JF.

Pasco,
FF ni mdogo sana kwangu.

Mimi nakwenda pale jirani na kwao karibu na ofisi ya TANU kwa rafiki
yangu marehemu Bakari Bumbura Faiza ni kisichana.

FF hanipati hata kidogo.

Mimi nimepita hata huo utu uzima mimi ni mzee khasa.
Usizungumze kitu usichojua.

Wewe FF anakutisha kwa kuwa IQ yake ni komesha na hilo wewe na
grupu lako mnalijua.

Nakuonea sana huruma ninapokuona unajitutumua kutaka kujibizananae.
 
Pasco,
FF ni mdogo sana kwangu.

Mimi nakwenda pale jirani na kwao karibu na ofisi ya TANU kwa rafiki
yangu marehemu Bakari Bumbura Faiza ni kisichana.

FF hanipati hata kidogo.

Mimi nimepita hata huo utu uzima mimi ni mzee khasa.
Usizungumze kitu usichojua.

Wewe FF anakutisha kwa kuwa IQ yake ni komesha na hilo wewe na
grupu lako mnalijua.

Nakuonea sana huruma ninapokuona unajitutumua kutaka kujibizananae.
Ndio maana nimetumia neno pengine kuliko hata Mzee Mohamed( kiswahili cha bara hicho). Hebu zeeka vizuri tuliache TAIFA hili kama tulivyolikuta.

Acha historia ya chuki na visasi. NCHI imefunguka sana hii sasa kiasi cha mtu kuwa anachotaka. Mambo ya EAMWS yatatusaidia nini leo wakati kuna taasisi za KiIslam zaidi ya 100 nchini kwa sasa.
 
Naamini nyaraka za Abdul na wengine hazikuwa na hata chembe ya UDINI ndani yake. Abdul ameishi na TANU kwa zaidi ya miaka 14( 1954-1968). Hakuandika kitabu wala makala kwenye gazeti pamoja na wewe kumpamba sana kwamba alikuwa na akili nyingi, mtaalamu wa lugha, mwandishi wa hotuba za Mwalimu,..., kwa nini wewe uliamua kuingiza UISLAM kwenye hii historia yako?

WildCard,
Hakika wewe huwezi kutoka hapo ulipo.
Nami sitachoka kukumbusha kuwa mimi sijaandika "udini."

Nimekueleza kuwa maandiko yangu yako chini ya Islam/Politics/History.
Library of Congress hii ndiyo ''classification'' yake.

Hili la kwanza.
La pili mimi sijampamba Abdul Sykes.

Abdul Sykes kajipamba mwenyewe.
Abdul Sykes kapambwa na Waingereza.

Hebu soma nini Special Branch iliandika kuhusu Abdul Sykes:

"Tanganyika Political Intelligence
Summary, March 1952":

"...it is reported that the Secretary of the Association, Abdul Wahid
Sykes has dispatched letters to all branches asking members for
suggestions under the following heads for a memorandum to be
prepared for the Royal Commission..."

"...Abdul Wahid Kleist Sykes, Secretary of the African Association
who, as reported in last month's summary (paragraph 20) was going
on safari up country, visited Mwanza, where he met Paul Bomani,
President of the Bukoba African Association, and accompanied him to
Bukoba. Sykes then visited Kampala alone.....on 8[SUP]th[/SUP] March, a secret
meeting was held, attended
by leading members of the Mwanza Branch..."

(Hizi ni taarifa kutoka Rhodes House Library, Oxford kutoka majalada
ya kikachero ya Waingereza baada ya miaka 50 yanawekwa wazi kwa
mtafiti yeyote kuyasoma na kufanya nakala akipenda.)


Mwaka wa 1942 Abdul Sykes alikuwa anaingia Makerere lakini Waingereza
wakampeleka Burma Vita Vya Pili Vya Dunia.

1953 akapata nafasi ya kuingia Princeton University.
La tatu.

Sijapata popote kusema kuwa Abdul Sykes alipata kumwandikia
hotuba Nyerere.

Ukiwa una ushahidi tafadhali ulete hapa wote washuhudie.
Usipoleta nitakuita muongo.

Labda lililobaki kwa nini kitabu changu nimekiita "The Life and
Times of Abdulwahid Sykes 1924 - 1968 The Untold Story of
the Muslim Struggle Against British Colonialism in Tanganyika?"

Jibu ni kuwa wote walioandika historia ya uhuru wa Tanganyika
wazee wangu waliwekwa nje.

Waliwekwa nje kwa hofu ya mchango wa Waislam katika historia
ya Tanganyika.

Hii ndiyo sababu ya mimi kutoka jina hilo hapo juu kumaliza ubishi.
 
Ndio maana nimetumia neno pengine kuliko hata Mzee Mohamed( kiswahili cha bara hicho). Hebu zeeka vizuri tuliache TAIFA hili kama tulivyolikuta.

Acha historia ya chuki na visasi. NCHI imefunguka sana hii sasa kiasi cha mtu kuwa anachotaka. Mambo ya EAMWS yatatusaidia nini leo wakati kuna taasisi za KiIslam zaidi ya 100 nchini kwa sasa.

WildCard,
Uandishi wa chuki si sifa yangu.

Pitia maandishi yangu yote toka vitabu hadi "paper."
Una kichwa kigumu sana wewe.

Kila ninavyojaribu kukueleza kwa ushahidi huelewi.
"Unteacheable."

Ningekuwa nikisimama kwenye mihadhara nazungumza maneno ya ovyo
nisingelialikwa huko kote.

Ningelikuwa naandika hicho unachokiita "udini" Oxford University Press
wasingenichapa.

EAMWS ni historia yetu.
Kweli huenda nyinyi haikusaidieni.

Lakini kwetu sisi ni historia muhimu sana.
 
WildCard,
Hakika wewe huwezi kutoka hapo ulipo.
Nami sitachoka kukumbusha kuwa mimi sijaandika "udini."

Nimekueleza kuwa maandiko yangu yako chini ya Islam/Politics/History.
Library of Congress hii ndiyo ''classification'' yake.

Hili la kwanza.
La pili mimi sijampamba Abdul Sykes.

Abdul Sykes kajipamba mwenyewe.
Abdul Sykes kapambwa na Waingereza.

Hebu soma nini Special Branch iliandika kuhusu Abdul Sykes:

"Tanganyika Political Intelligence
Summary, March 1952":

"...it is reported that the Secretary of the Association, Abdul Wahid
Sykes has dispatched letters to all branches asking members for
suggestions under the following heads for a memorandum to be
prepared for the Royal Commission..."

"...Abdul Wahid Kleist Sykes, Secretary of the African Association
who, as reported in last month's summary (paragraph 20) was going
on safari up country, visited Mwanza, where he met Paul Bomani,
President of the Bukoba African Association, and accompanied him to
Bukoba. Sykes then visited Kampala alone.....on 8[SUP]th[/SUP] March, a secret
meeting was held, attended
by leading members of the Mwanza Branch..."

(Hizi ni taarifa kutoka Rhodes House Library, Oxford kutoka majalada
ya kikachero ya Waingereza baada ya miaka 50 yanawekwa wazi kwa
mtafiti yeyote kuyasoma na kufanya nakala akipenda.)


Mwaka wa 1942 Abdul Sykes alikuwa anaingia Makerere lakini Waingereza
wakampeleka Burma Vita Vya Pili Vya Dunia.

1953 akapata nafasi ya kuingia Princeton University.
La tatu.

Sijapata popote kusema kuwa Abdul Sykes alipata kumwandikia
hotuba Nyerere.

Ukiwa una ushahidi tafadhali ulete hapa wote washuhudie.
Usipoleta nitakuita muongo.

Labda lililobaki kwa nini kitabu changu nimekiita "The Life and
Times of Abdulwahid Sykes 1924 - 1968 The Untold Story of
the Muslim Struggle Against British Colonialism in Tanganyika?"

Jibu ni kuwa wote walioandika historia ya uhuru wa Tanganyika
wazee wangu waliwekwa nje.

Waliwekwa nje kwa hofu ya mchango wa Waislam katika historia
ya Tanganyika.

Hii ndiyo sababu ya mimi kutoka jina hilo hapo juu kumaliza ubishi.
Mzee Mohamed,

Nadhani umekuwa senile siku hizi. Uliwahi kuandika humu kwamba hata ile hotuba ya Mwalimu msomi wa Scotland kule UN iliandaliwa na Abdul.

Hayo ya Abdul kutokwenda Makerere badala yake akaenda jeshini kama Mkurya tulishayaongelea tukatofautiana sana. Kumbuka nilikuomba udai fidia kwa Waingereza kwa kumtumikisha Abdul na mdogowake kama child soldiers badala ya hizi blah blah zako humu mitandaoni.
 
WildCard,
Hakika wewe huwezi kutoka hapo ulipo.
Nami sitachoka kukumbusha kuwa mimi sijaandika "udini."

Nimekueleza kuwa maandiko yangu yako chini ya Islam/Politics/History.
Library of Congress hii ndiyo ''classification'' yake.

Hili la kwanza.
La pili mimi sijampamba Abdul Sykes.

Abdul Sykes kajipamba mwenyewe.
Abdul Sykes kapambwa na Waingereza.

Hebu soma nini Special Branch iliandika kuhusu Abdul Sykes:

"Tanganyika Political Intelligence
Summary, March 1952":

"...it is reported that the Secretary of the Association, Abdul Wahid
Sykes has dispatched letters to all branches asking members for
suggestions under the following heads for a memorandum to be
prepared for the Royal Commission..."

“...Abdul Wahid Kleist Sykes, Secretary of the African Association
who, as reported in last month's summary (paragraph 20) was going
on safari up country, visited Mwanza, where he met Paul Bomani,
President of the Bukoba African Association, and accompanied him to
Bukoba. Sykes then visited Kampala alone.....on 8[SUP]th[/SUP] March, a secret
meeting was held, attended
by leading members of the Mwanza Branch...”

(Hizi ni taarifa kutoka Rhodes House Library, Oxford kutoka majalada
ya kikachero ya Waingereza baada ya miaka 50 yanawekwa wazi kwa
mtafiti yeyote kuyasoma na kufanya nakala akipenda.)


Mwaka wa 1942 Abdul Sykes alikuwa anaingia Makerere lakini Waingereza
wakampeleka Burma Vita Vya Pili Vya Dunia.

1953 akapata nafasi ya kuingia Princeton University.
La tatu.

Sijapata popote kusema kuwa Abdul Sykes alipata kumwandikia
hotuba Nyerere.

Ukiwa una ushahidi tafadhali ulete hapa wote washuhudie.
Usipoleta nitakuita muongo.

Labda lililobaki kwa nini kitabu changu nimekiita "The Life and
Times of Abdulwahid Sykes 1924 - 1968 The Untold Story of
the Muslim Struggle Against British Colonialism in Tanganyika?"

Jibu ni kuwa wote walioandika historia ya uhuru wa Tanganyika
wazee wangu waliwekwa nje.

Waliwekwa nje kwa hofu ya mchango wa Waislam katika historia
ya Tanganyika.

Hii ndiyo sababu ya mimi kutoka jina hilo hapo juu kumaliza ubishi.
Mzee Mohamed,

Nadhani umekuwa senile siku hizi. Uliwahi kuandika humu kwamba hata ile hotuba ya Mwalimu msomi wa Scotland kule UN iliandaliwa na Abdul.

Hayo ya Abdul kutokwenda Makerere badala yake akaenda jeshini kama Mkurya tulishayaongelea tukatofautiana sana. Kumbuka nilikuomba udai fidia kwa Waingereza kwa kumtumikisha Abdul na mdogowake kama child soldiers badala ya hizi blah blah zako humu mitandaoni.
 
WildCard,
Uandishi wa chuki si sifa yangu.

Pitia maandishi yangu yote toka vitabu hadi "paper."
Una kichwa kigumu sana wewe.

Kila ninavyojaribu kukueleza kwa ushahidi huelewi.
"Unteacheable."

Ningekuwa nikisimama kwenye mihadhara nazungumza maneno ya ovyo
nisingelialikwa huko kote.

Ningelikuwa naandika hicho unachokiita "udini" Oxford University Press
wasingenichapa.

EAMWS ni historia yetu.
Kweli huenda nyinyi haikusaidieni.

Lakini kwetu sisi ni historia muhimu sana.
Maandiko yako hasa kwa Mwalimu ni chuki ya ajabu. Umemzulia mengi Mzanaki wa watu kwa kuwa tu alimtia ndani mzee wako kwa udini wake.
Kule Kenya na Uganda EAMWS haikuwako? Nasikia makao yake makuu yalikuwa Mombasa. Iliondokaje kule? Hauwezi kuirudisha sasa?
 
Pasco,
FF ni mdogo sana kwangu.

Mimi nakwenda pale jirani na kwao karibu na ofisi ya TANU kwa rafiki
yangu marehemu Bakari Bumbura Faiza ni kisichana.

FF hanipati hata kidogo.

Mimi nimepita hata huo utu uzima mimi ni mzee khasa.
Usizungumze kitu usichojua.

Wewe FF anakutisha kwa kuwa IQ yake ni komesha na hilo wewe na
grupu lako mnalijua.

Nakuonea sana huruma ninapokuona unajitutumua kutaka kujibizananae.

Sheik Muhammad,

This young boy Pasco is a vile being specializing in women harrasment we have a history of him relating his overall view of women and he thinks that he is too a macho man to dhalilisha any woman who opposes his view and he is so vile that his idea on women makes him so disgracefull. Having said that, I don't believe that he ever respected his own mother, and since he does not have a sister and may he doesn't have
Mama mudogo or Shangazi too.

I recall how he even dared to publish a photo of a famous woman scribe right here in JF.
He even dared to boast about having abused his position as a man of press media to get to lure women and does not regret it doing again.

Indeed Ms.FF has outwitted many members of The kind of Pasco here in JF and that is what scares him.

No wonder Pasco lost his two jobs, his position in his so called 'profession' if real he is a scribe does not give him the right to speak in such manner to Ms. Faiza and to such un-ethical behaviour against women.
 
Last edited by a moderator:
Nishaelewa sasa kumbe bwana Mohamed Said yupo upande wa kuwawakilisha waislamu wenzanke katika kushiriki kupigania uhuru wa tanzania!!! Sio vibaya ila husiishi kwa uchochezi na kumuhusisha Nyerere juu ya udini
 
Nishaelewa sasa kumbe bwana Mohamed Said yupo upande wa kuwawakilisha waislamu wenzanke katika kushiriki kupigania uhuru wa tanzania!!! Sio vibaya ila husiishi kwa uchochezi na kumuhusisha Nyerere juu ya udini

Rubish talk!, You cannot just cook up preposterous accusation on a respected member of the public. Grow up!
 
WildCard,
Ingawa unakuja na maneno ya kejeli na matusi nitakujibu.

Hiyo hotuba unayosema iliandikwa mwaka wa 1950.
Abdul Sykes hakuwa anamjua Nyerere wakati huo.

Abdul Sykes alikuwa "above average."

Baba yangu kasomanae darasa moja na wamekuwa pamoja
toka utoto wao hadi ujana.

Anasema wamenza kusoma Qur'an pamoja na watoto wengine.

Baba yangu anasema wakati wao bado wanahangaika na juzuu ya
kwanza Abdul alikuwa keshamaliza mas'haf yote na mwalimu akiwa
hajatokea darasani yeye Abdul anasimama mbele anawasomesha
wenzake.

Tuache hayo.

Haitoshi kuonyesha uwezo wake kuwa ni juhudi zake ndizo zilfanya
TANU ikaasisiwa?

Angalau kuwa muungwana na njoo na lugha ya kistaarabu huwezi
hata kuniheshimu kwa uzee huu nilionao?

Mama yako ana umri gani?
 
Mzee Mohamed,

Nadhani umekuwa senile siku hizi. Uliwahi kuandika humu kwamba hata ile hotuba ya Mwalimu msomi wa Scotland kule UN iliandaliwa na Abdul.

Hayo ya Abdul kutokwenda Makerere badala yake akaenda jeshini kama Mkurya tulishayaongelea tukatofautiana sana. Kumbuka nilikuomba udai fidia kwa Waingereza kwa kumtumikisha Abdul na mdogowake kama child soldiers badala ya hizi blah blah zako humu mitandaoni.

You, describing a historian of a higher caliber, than you could ever imagine to be, as senile? shows how punguani you are.

Umeambiwa weka ushahidi unakuja na matusi. Forlorn.
 
Pasco,

Faiza ni mama mtu mzima sana pengine kuliko hata Mzee Mohamed. Kwenye mjadala kama huu huwa anaamua kujilipua tu. Anajua mzee huyu ni MDINI sana na ndio utambulisho wake. Anamsaidia ili apumue kidogo na makombora ya ndani ya JF.

Hapana, usiseme uongo, mimi ni mdogo sana kwa kaka yangu Mohamed Said, nikimuona nnamuamkia.

Huo udini naona mmekazania nyie tu. Kila mnapopewa darsa hamuelewi/ Jee, hicho ndiyo kibwagizo cha kuwacha watu wasielezee historia ya ukweli? mnaulizwa utawezaje kuelezea historia ya TANU bila kumtaja Abdul Wahid Sykes? kimya!!!!

Hata Nyerere alipohutubia wazee wa Dar akiwaaga, alishindwa kuelezea bila kumtaja Abdul Wahid Sykes. Utaiongelea TANU aliyeipa jina ukamuacha? Unanchekesha!

Halafu hako ka Pasco ndiyo usiseme, katoto kajuzi tu hata kukomaa ki akili hakajakomaa, waliomuingiza mjini na waliomuajiri mwanzoni mimi wananiamkia. Kwangu ni kinyagarakata tu, hakinisumbuwi hata kiduchu.
 
Pasco,
FF ni mdogo sana kwangu.

Mimi nakwenda pale jirani na kwao karibu na ofisi ya TANU kwa rafiki
yangu marehemu Bakari Bumbura Faiza ni kisichana.

FF hanipati hata kidogo.

Mimi nimepita hata huo utu uzima mimi ni mzee khasa.
Usizungumze kitu usichojua.

Wewe FF anakutisha kwa kuwa IQ yake ni komesha na hilo wewe na
grupu lako mnalijua.

Nakuonea sana huruma ninapokuona unajitutumua kutaka kujibizananae.

Mzee wetu jirani yetu Mzee Bumbura, Mwenyeezi amghufirie na amrehemu na aturehem nasi tulio hai.
 
You, describing a historian of a higher caliber, than you could ever imagine to be, as senile? shows how punguani you are.

Umeambiwa weka ushahidi unakuja na matusi. Forlorn.
Yamekuwa haya tena. Sisi kwetu kutukanwa na mwanamke ni kashfa nzito. Senility sio tusi. Ni suala la umri tu.
 
Yamekuwa haya tena. Sisi kwetu kutukanwa na mwanamke ni kashfa nzito. Senility sio tusi. Ni suala la umri tu.

WildCard,
Unatukanwa kwa kuwa wewe mwenyewe ushaonyesha hapa mara nyingi tu
kuwa hukuleleka.

Ni wepesi sana kumjua mtu hadi waliomzaa kwa matendo kama yako.
Ndugu yangu umepingukiwa sana na uungwana.

Mimi nina marafiki wengi sana hatukubaliani kwa mengi lakini heshima zetu
ziko pale pale.

Hujachelewa una kila kitu cha kufaidika ukijifunza adabu.
 
Back
Top Bottom