Mohamed Said
JF-Expert Member
- Nov 2, 2008
- 21,967
- 32,074
- Thread starter
- #201
Mzee wetu jirani yetu Mzee Bumbura, Mwenyeezi amghufirie na amrehemu na aturehem nasi tulio hai.
FF,
Amin.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mzee wetu jirani yetu Mzee Bumbura, Mwenyeezi amghufirie na amrehemu na aturehem nasi tulio hai.
Nishaelewa sasa kumbe bwana Mohamed Said yupo upande wa kuwawakilisha waislamu wenzanke katika kushiriki kupigania uhuru wa tanzania!!! Sio vibaya ila husiishi kwa uchochezi na kumuhusisha Nyerere juu ya udini
Maandiko yako hasa kwa Mwalimu ni chuki ya ajabu. Umemzulia mengi Mzanaki wa watu kwa kuwa tu alimtia ndani mzee wako kwa udini wake.
Kule Kenya na Uganda EAMWS haikuwako? Nasikia makao yake makuu yalikuwa Mombasa. Iliondokaje kule? Hauwezi kuirudisha sasa?
Labda kweli sijaelewa ila kwa jinsi unavyojibu watu waswali yao ndipo nilipokugundua ivyo lakini kama sivyo basi
nimeisoma historia hiyo vizur lakn sioni huo utabiri wa jinamizi la udin zaidi ya kuona udini ulivyotaka pewa nguvu na huyo sheikh Suleiman...***
Bilulu,
Jitulize usisome hasira zimekupanda kweli mengi yatakupita
utasema hapa jamvini "huoni utabiri."
Utabiri wa Sheikh Suleiman Takadir ulikuwa kama hivi:
Kwanza alimtabiria Nyerere kuwa ni "Mtume wa Afrika," aliyeletwa
na Mungu kuwakomboa Waafrika.
Hili lilikamilika Nyerere alikuja akawa mstari wa mbele kuikomboa
Afrika kutoka kweye ukoloni.
Sheikh Takadir alitabiri kuwa mwisho wa Nyerere na Waislam
hautakuwa mzuri.
Utabiri huu nao vilevile ukakamilika mara tu baada ya uhuru.
Ninazo hotuba nyingi za Sheikh Takadir alizokuwa akitoa katika
kumsifia Nyerere kati ya mwaka 1954 - 1958.
In Sha Allah iko siku nitaziweka hapa tuzijadili.
Historia ya uhuru wa Tanganyika ni historia ya kuvutia sana.
Mtu huchoki kuiisikiliza.
If you did not use them during the colonial times The Scramble for Africa hey days and you did not use them 50 years ago you will never use them again you will continue to pass the relay to you children and grand children generation by generation because your masters in reality never set you free.
For your clue just Search in Facebook for "Bring Back The Empire" teh teh teh.
https://m.facebook.com/profile.php?id=234069788705
Sheikh Takadir alitaka Tanganyika iwe Jamhuri ya kiislam halikuwezekana ndio sababu mnapiga makelele.
Dr. Ngongo.Sheikh Takadir alitaka Tanganyika iwe Jamhuri ya kiislam halikuwezekana ndio sababu mnapiga makelele.
Pasco,
Faiza ni mama mtu mzima sana pengine kuliko hata Mzee Mohamed. Kwenye mjadala kama huu huwa anaamua kujilipua tu. Anajua mzee huyu ni MDINI sana na ndio utambulisho wake. Anamsaidia ili apumue kidogo na makombora ya ndani ya JF.
Hapana, usiseme uongo, mimi ni mdogo sana kwa kaka yangu Mohamed Said, nikimuona nnamuamkia.
Halafu hako ka Pasco ndiyo usiseme, katoto kajuzi tu hata kukomaa ki akili hakajakomaa, waliomuingiza mjini na waliomuajiri mwanzoni mimi wananiamkia. Kwangu ni kinyagarakata tu, hakinisumbuwi hata kiduchu.
Shikamoo!, heshima adabu!.45 Niliipita zamani sana hiyo, imekuwa ni historia wala si story tena.
Kamuulize bosi wako wa zamani Alioki au Meb Al Haddad wananijuwa fika na wananiamkia wakiniona.
Ukionesha busara japo kiduchu ntakuonesha busara hujawahi kuziona lakini ukija na kubwabwaja na kuhororoja bila mpango ntakupa kavu za uso. Kumbuka hilo.
heshima adabu!.
Mkuu Punjabi Singi, kama hakuna yoyote humu aliyewahi kukueleza kuwa una matatizo, naomba mimi niwe wa kwanza kukujulisha rasmi kuwa, Mkuu Punjabi Singi una matatizo!.Sheik Muhammad,This young boy Pasco is a vile being specializing in women harrasment we have a history of him relating his overall view of women and he thinks that he is too a macho man to dhalilisha any woman who opposes his view and he is so vile that his idea on women makes him so disgracefull. Having said that, I don't believe that he ever respected his own mother, and since he does not have a sister and may he doesn't have Mama mudogo or Shangazi too.I recall how he even dared to publish a photo of a famous woman scribe right here in JF.He even dared to boast about having abused his position as a man of press media to get to lure women and does not regret it doing again.Indeed Ms.FF has outwitted many members of The kind of Pasco here in JF and that is what scares him.No wonder Pasco lost his two jobs, his position in his so called 'profession' if real he is a scribe does not give him the right to speak in such manner to Ms. Faiza and to such un-ethical behaviour against women.
heshima adabu!.
Pasco
Ni kweli!, hiyo ndio kazi yangu!.Mtalaam Pasco mimi nakuheshimu sana lakini naomba jibu swali langu hapo juu au nirudie? Je ni kweli wewe kazi yako ni kudhalilisha wanawake?