Jinamizi la Udini Tanzania: Utabiri wa Sheikh Suleiman Takadir

Jinamizi la Udini Tanzania: Utabiri wa Sheikh Suleiman Takadir

Hahahahaha, si fani yangu hiyo. Fani yangu ni zaidi ya ukuu wa Mkoa wacha wilaya.

Jee, umesoma kuhusu Sheikh Suleman Takadir? jee, unajuwa kabla ya mikutano ya TANU akisimama yeye kwanza na kufanya nini?

Unajua maana ya fani?
Maana wakuu Wa wilaya wana fani(professional) mbalimbali
 
Unajua maana ya fani?
Maana wakuu Wa wilaya wana fani(professional) mbalimbali

Naona umenielewa.

Jee, umesoma kuhusu Sheikh Suleman Takadir? jee, unajuwa kabla ya mikutano ya TANU akisimama yeye kwanza na kufanya nini?
 
Barubaru,
Historia ya BAKWATA ni muhimu kizazi cha sasa na kijacho wakaijua.
Naweka hapa kipindi maalum nilichofanya na Radio Kheri ili tujikumbushe.

Kipindi hili kilirushwa Mubashara (Live) na Radio Kheri (Dar es Salaam),
Radio Quiblatein (Iringa), Radio Imaan (Morogoro)tarehe 1 Oktoba, 2012.

Nakushukuru kwa kunikumbusha kuhusu hili.

Tumuombe Allah ajaalie kila asikia na kujua historia ya BAKWATA atuelewe
na awe upande wetu katika kutafuta haki ya Waislam iliyodhulumiwa kwa
kutumia nguvu ya serikali mwaka 1968:

https://www.youtube.com/watch?v=qataPRSpoC8

Shukran al Akhiy Mohamed Said.

hakika nimenufaika na kujua mengi mengi mengine ambayo nimeyaona katika website hiyo.

Allah akubarik sanaa.

maa salaam
 
Nimezaliwa late 80's sijui lolote kuhusu hao watu

Nakushauri uanze kusoma vizuri post namba moja uwaelewe. Na kama una swali au unahitaji ufafanuzi utamuuliza Al Alama Mohamed Said.

Huoni kuwa ni raha kufyonza ilmu ya historia na kujuwa hawa wazee walipoitowa hii nchi mpaka leo tulipofikia?
 
Last edited by a moderator:
Mkuu Jumababu, jina zuri la kiume, tena jina la heshima la babu!, sasa inapotokea dume zima linaleta umbeya humu!, sio mambo!. to set the record clear!, nimebisha na nimejitokeza!.


Pasco

We Pasco mbona unakuwa km wale Nyani wa Saanane island?
Manake wale kundule lao hawalioni.

Kuna muandishi mmbeya km wewe humu jamvini?

au kuna Pasco wengi humu?

Mara ngapi Unaanzisha Umbea Humu na Sisi tukakuasa uuache kwani unazidi Kumomonyoa Jamii?

Au kuanzia sasa niwe nakuonyesha Umbea wako?

Halafu mbona wasukuma wote niwajuao mimi hawana Tabia mbovu km zako? Au mkuu kuna Ukerewe ndani ya damu?
Manake wakerewe wakiwa pure hawana tabu lkn wakichanganya damu na wasukuma Anatoka mtoto mbovu sana kifikra na kitabia!

Acha hizo Pasco.
Umeshakuwa mtu mzima tena.

We ungekuwa una Jinsia km ya Anna Tibaijuka Saa hii ungekuwa tayari una Vijukuu km Mvua!
 
Last edited by a moderator:
We Pasco mbona unakuwa km wale Nyani wa Saanane island?
Manake wale kundule lao hawalioni.

Kuna muandishi mmbeya km wewe humu jamvini?

au kuna Pasco wengi humu?

Mara ngapi Unaanzisha Umbea Humu na Sisi tukakuasa uuache kwani unazidi Kumomonyoa Jamii?

Au kuanzia sasa niwe nakuonyesha Umbea wako?

Halafu mbona wasukuma wote niwajuao mimi hawana Tabia mbovu km zako? Au mkuu kuna Ukerewe ndani ya damu?
Manake wakerewe wakiwa pure hawana tabu lkn wakichanganya damu na wasukuma Anatoka mtoto mbovu sana kifikra na kitabia!

Acha hizo Pasco.
Umeshakuwa mtu mzima tena.

We ungekuwa una Jinsia km ya Anna Tibaijuka Saa hii ungekuwa tayari una Vijukuu km Mvua!
Nadhani hapa sasa mimi ni bora nijinyamazie, maana sasa members wa ile team ya muuza ... imeishaanza kutia timu, nisipokuwa mwangalifu hapa, lile rundo la yale ... hayachelewi!.

najikalia pembeni na kubaki kuwasoma tuu kwenye uzi huu, maana nawajua baadhi yanu na akili zenu zilivyo.., hamchelewi!.

Pasco
 
Niliwaandikia na nikawaeleza ukweli ikiwa watataka gazeti lao lipoteze heshima waliojijengea basi waendelee kuchapisha makala Mohamed Said

Ngongo,
Inaelekea huwajui viongozi wa Raia Mwema na uwezo wao.
Kuwa gazeti lao lipoteze heshima kwa kunichapa mimi...

Oxford Univeristy Press, New York na Nairobi wamepoteza
heshima kwa kunichapa?

Jibu hapana.
Wametengeneza fedha kwa kunichapa.

Ngongo,
Nishakuweka katika ile "s...list."
 
Ngongo,
Inaelekea huwajui viongozi wa Raia Mwema na uwezo wao.
Kuwa gazeti lao lipoteze heshima kwa kunichapa mimi...

Oxford Univeristy Press, New York na Nairobi wamepoteza
heshima kwa kunichapa?

Jibu hapana.
Wametengeneza fedha kwa kunichapa.

Ngongo,
Nishakuweka katika ile "s...list."

Asiyejua maana usimfunze maana.

Kwa hakika mimi nilinunua vitabu vyako vitatu kikiwemo kile cha maisha ya Abdul Sykes SET tatu mpaka ninavyoongea hata kimoja sina jinsi kila mtu akiniazima basi anampa mwingine kisha mwingine mpaka kinapotea.

Hakika machapisho yako Al Akhiy Mohamed Said yametoa wengi tongotongo na kupambanua ukweli wa kile kilichofichwa kwani unapoweka na picha basi unaondoa kabisa ubishi na hata dhulma iliyojificha ndanimwe.

Hakika nataka niagizie vingine kutoka huko Tanzania na safari hii nataka vya kiswahili. Je naweza kuvipata wapi huko al Akhiy?

vile nililetewa na dada yangu Nuru Ali Mpima maarufu kama Nuru Jongoo mtoto wa mzee Ali Mpima wa hapo Mkunguni na Livingstone , Dar.

 
Nadhani hapa sasa mimi ni bora nijinyamazie, maana sasa members wa ile team ya muuza ... imeishaanza kutia timu, nisipokuwa mwangalifu hapa, lile rundo la yale ... hayachelewi!.

najikalia pembeni na kubaki kuwasoma tuu kwenye uzi huu, maana nawajua baadhi yanu na akili zenu zilivyo.., hamchelewi!.

Pasco

Mafumbo ya kike hayampendezi mwanamme.
Malizia sentensi zako if you dare!
 
Asiyejua maana usimfunze maana.

Kwa hakika mimi nilinunua vitabu vyako vitatu kikiwemo kile cha maisha ya Abdul Sykes SET tatu mpaka ninavyoongea hata kimoja sina jinsi kila mtu akiniazima basi anampa mwingine kisha mwingine mpaka kinapotea.

Hakika machapisho yako Al Akhiy Mohamed Said yametoa wengi tongotongo na kupambanua ukweli wa kile kilichofichwa kwani unapoweka na picha basi unaondoa kabisa ubishi na hata dhulma iliyojificha ndanimwe.

Hakika nataka niagizie vingine kutoka huko Tanzania na safari hii nataka vya kiswahili. Je naweza kuvipata wapi huko al Akhiy?

vile nililetewa na dada yangu Nuru Ali Mpima maarufu kama Nuru Jongoo mtoto wa mzee Ali Mpima wa hapo Mkunguni na Livingstone , Dar.


Barubaru,
Nakala za Kiswahili zinapatikana Msikiti wa Mtoro na Manyema kwa Kariakoo.
Vilevile Tanzania Publishing House (TPH), Samora Avenue, Slipway Masaki,
Bookstore Mbezi.

Kwa kweli vitabu vinanunuliwa kwa wingi sana.
Alhamdulilah.
 
Sheikh Mohamed Said wewe kuniweka katika ile s.... list wala sikosi usingizi kamwe laiti ungelijua mimi nimekuweka katika list gani ungekaa kimya.Histohisia zako kuchapwa Oxford University Press,New York... wala si hoja laiti ungelijua wazungu wanatuwazia nini sisi waAfrika usingejitapa katu.Wazungu unaowasifia wanatamani sana kuona Tanzania inaingia kwenye mifarakano ili iwe rahisi kutuibia Dhahabu,Gas,Tanzanite..... watafurahi sana kumpata mchochezi wa udini kama wewe itawarahisishia kuliharibu taifa alilolijenga Mwl Nyerere kwa miongo mitatu.

Ngongo,
Inaelekea huwajui viongozi wa Raia Mwema na uwezo wao.
Kuwa gazeti lao lipoteze heshima kwa kunichapa mimi...

Oxford Univeristy Press, New York na Nairobi wamepoteza
heshima kwa kunichapa?

Jibu hapana.
Wametengeneza fedha kwa kunichapa.

Ngongo,
Nishakuweka katika ile "s...list."
 
Last edited by a moderator:
Sheikh Mohamed Said wewe kuniweka katika ile s.... list wala sikosi usingizi kamwe laiti ungelijua mimi nimekuweka katika list gani ungekaa kimya.Histohisia zako kuchapwa Oxford University Press,New York... wala si hoja laiti ungelijua wazungu wanatuwazia nini sisi waAfrika usingejitapa katu.Wazungu unaowasifia wanatamani sana kuona Tanzania inaingia kwenye mifarakano ili iwe rahisi kutuibia Dhahabu,Gas,Tanzanite..... watafurahi sana kumpata mchochezi wa udini kama wewe itawarahisishia kuliharibu taifa alilolijenga Mwl Nyerere kwa miongo mitatu.

Ngongo,
Mimi sitachoka kukuonyesha wapi ninapokaa.
Mimi ni mtu wa kileleni.

Alhamdulilah.

Wewe huna hata ubavu wa kunigusa mimi kwa lolote ila kwa chuki, hasad
na nongwa.

Angalia hapa chini wapi nakaribishwa:

PUBLICATIONS/RESEARCH PAPERS/ARTICLES

1. The Life and Times of Abdulwahid Sykes 1924 –1968 The Untold Story of the Muslim Struggle against British Colonialism in Tanganyika, Minerva Press London, 1998 translated into Kiswahili as Maisha na Nyakati za Abdulwahid Sykes 1924-1968 Historia Iliyofichwa Kuhusu Harakati za Waislam Dhidi ya Ukoloni wa Waingereza, Phoenix Publishers, Nairobi, 2002.

2. The Torch on Kilimanjaro, Oxford University Press 2006, Nairobi. (Children's book).

3. Contributing author for an African anthology: The Mermaid of Msambweni and Other Stories, Oxford University Press 2007, Nairobi.

4. Contributing author Dictionary of African Biography (DAB), Oxford University Press 2011, New York.

5. Uchaguzi wa Busara, Abantu Publications 2008, Dar es Salaam.

6. In Praise of Ancestors (1987) Africa Events (London).

7. Abdulwahid Sykes: Founder of Political Movement (1988) Africa Events (London).

8. Islam and Politics in Tanzania (1989) Al Haq International (Karachi)

9. The Plight of Tanzanian Muslim (1993) Change (Dar es Salaam).

10. Tanzania - The "Secular" Unsecular State (1995) Change (Dar es Salaam).

11. The Question of Muslim Stagnation in Education in Tanzania - A Muslim Riddle (Paper presented at the Conference of the Global World of the Swahili Intercultural Dialogue on the Indian Ocean Zanzibar, February 20 - 23, 2003).

12. Islamic Education and Intellectualism in Eastern Africa ‘Themes from the Pulpit in Tanganyika (Tanzania Mainland) 1800 – 2000' (Paper presented at International Symposium on Islamic Civilisation in Eastern Africa Kampala, Uganda organised by the Islamic Conference Research Centre for Islamic History, Art and Culture (IRCICA), Istanbul and the Islamic University in Uganda, Mbale December 15[SUP]th[/SUP] – 17[SUP]th[/SUP] 2003).

13. Sheikh Hassan bin Ameir - The Moving Spirit of Muslim Emancipation in Tanganyika (1950 – 1968) (Paper presented at Youth Camp Organised by Zanzibar University, World Assembly of Muslim Youth (WAMY) and Tanzania Muslim Students Association (TAMSA) 27[SUP]th[/SUP] February – 4[SUP]th[/SUP] March 2004).

14. Islamic Movement and the Christian Lobby in Tanzania - the Experience of the late Prof. Kighoma Ali Malima (1938 – 1995) (Paper Presented to Tanzania Muslim Students Association (TAMSA) Sokoine University of Agriculture (SUA)Morogoro 11[SUP]th[/SUP] April 2004).

15. Terrorism in East Africa the Tanzanian Experience (Paper Presented at the Conference on Islam, Terrorism and African Development University of Ibadan, Nigeria 8[SUP]th[/SUP] - 10th February 2006).

16. Al Marhum Sheikh Kassim bin Juma bin Khamis (1940 – 1994) and the Pork Riots of 1993. (Paper Presented at the Regional Conference on Islam in Eastern Africa: Islam Encounter with the Challenges of the 21[SUP]st[/SUP] Century 1[SUP]st[/SUP] - 3[SUP]rd[/SUP] August 2006, Kenyatta University, and Nairobi.

17. Muslim Bible Scholars of Tanzania – The Legacy of Sheikh Ahmed Deedat (1918 – 2005) Paper Presented at the International Symposium on Islamic Civilisation in Southern Africa Organised by The Organisation of Islamic Conference Research Centre for Islamic History, Art and Culture (IRCICA) The National AWQAF Foundation of South Africa (AWQAF SA 1 – 3 September 2006 University of Johannesburg. The paper was also presented at Islamic Propagation Centre International (IPCI) Durban.

18. Tanzania: A Nation Without Heroes Seminar Organised by IFRA French Institute for Research in Africa and BIEA British Institute in East Africa 23rd and 24th September 2013 at IFRA Nairobi.

19. Awards: Several Awards.

20. Visiting Scholar: (2011)

• University of Iowa, Iowa City, USA
• Northwestern University, Chicago, Illinois, USA
• Zentrum Moderner Orient (ZMO), Berlin.

Ngongo,
Wewe uniweke wapi ila ninapostahili.
Na hapo nimewekwa siku nyingi na wajuzi...

Nami nikuweke wewe wapi ila kwenye "s...list."

Wewe huna hoja.

Mimi kuandika kitabu nikaeleza historia ya kuundwa TANU ambayo
haikuwa inajulikana ndiyo imekuwa uchochezi...

Give me a break!

Kama uchochezi mbona kinauzwa maduka yote ya vitabu?
Nenda Maktaba ya Chuo Kikuu Cha Dar es Salaam kitabu changu kipo pale.

Au na wao wachochezi?

Au mlidhani mama zetu wamezaa watoto mbumbu hawawezi wakaelimika
na kuja kurejesha heshima za wazazi wetu?

Au mlidhani ile historia ya Kivukoni ndiyo itabakia kuwa historia ya chama
cha TANU?

Ngongo,
Acha kujitisha na acha kuwatisha watu.

Kasome ile hadith ya Aesop ya mtoto aliyekuwa anapenda kulia, "mbwa mwitu
mbwa mwitu..."

Yapo mafunzo makubwa mle.
 
Ha ha ha ha ha Sheikh Mohamed Said kitabu chako cha kichochezi si miongoni mwa vitabu rejea chuo kikuu cha Dar jiulize kwanini ?.Ikiwa wewe unadai umeandika kitabu cha historia ya kundwa TANU ni kwanini kitabu chako hakisomeshwi mashuleni hapa nina maana kuanzia darasa la kwanza hadi A Level ?.Ni kwanini si rejea katika vyuo vikuu ?.Kitabu chako kinaweza kusomeshwa labda chuo kikuu cha Morogoro.

Ngongo,
Mimi sitachoka kukuonyesha wapi ninapokaa.
Mimi ni mtu wa kileleni.

Alhamdulilah.

Wewe huna hata ubavu wa kunigusa mimi kwa lolote ila kwa chuki, hasad
na nongwa.

Angalia hapa chini wapi nakaribishwa:

PUBLICATIONS/RESEARCH PAPERS/ARTICLES

1. The Life and Times of Abdulwahid Sykes 1924 –1968 The Untold Story of the Muslim Struggle against British Colonialism in Tanganyika, Minerva Press London, 1998 translated into Kiswahili as Maisha na Nyakati za Abdulwahid Sykes 1924-1968 Historia Iliyofichwa Kuhusu Harakati za Waislam Dhidi ya Ukoloni wa Waingereza, Phoenix Publishers, Nairobi, 2002.

2. The Torch on Kilimanjaro, Oxford University Press 2006, Nairobi. (Children's book).

3. Contributing author for an African anthology: The Mermaid of Msambweni and Other Stories, Oxford University Press 2007, Nairobi.

4. Contributing author Dictionary of African Biography (DAB), Oxford University Press 2011, New York.

5. Uchaguzi wa Busara, Abantu Publications 2008, Dar es Salaam.

6. In Praise of Ancestors (1987) Africa Events (London).

7. Abdulwahid Sykes: Founder of Political Movement (1988) Africa Events (London).

8. Islam and Politics in Tanzania (1989) Al Haq International (Karachi)

9. The Plight of Tanzanian Muslim (1993) Change (Dar es Salaam).

10. Tanzania - The "Secular" Unsecular State (1995) Change (Dar es Salaam).

11. The Question of Muslim Stagnation in Education in Tanzania - A Muslim Riddle (Paper presented at the Conference of the Global World of the Swahili Intercultural Dialogue on the Indian Ocean Zanzibar, February 20 - 23, 2003).

12. Islamic Education and Intellectualism in Eastern Africa ‘Themes from the Pulpit in Tanganyika (Tanzania Mainland) 1800 – 2000' (Paper presented at International Symposium on Islamic Civilisation in Eastern Africa Kampala, Uganda organised by the Islamic Conference Research Centre for Islamic History, Art and Culture (IRCICA), Istanbul and the Islamic University in Uganda, Mbale December 15[SUP]th[/SUP] – 17[SUP]th[/SUP] 2003).

13. Sheikh Hassan bin Ameir - The Moving Spirit of Muslim Emancipation in Tanganyika (1950 – 1968) (Paper presented at Youth Camp Organised by Zanzibar University, World Assembly of Muslim Youth (WAMY) and Tanzania Muslim Students Association (TAMSA) 27[SUP]th[/SUP] February – 4[SUP]th[/SUP] March 2004).

14. Islamic Movement and the Christian Lobby in Tanzania - the Experience of the late Prof. Kighoma Ali Malima (1938 – 1995) (Paper Presented to Tanzania Muslim Students Association (TAMSA) Sokoine University of Agriculture (SUA)Morogoro 11[SUP]th[/SUP] April 2004).

15. Terrorism in East Africa the Tanzanian Experience (Paper Presented at the Conference on Islam, Terrorism and African Development University of Ibadan, Nigeria 8[SUP]th[/SUP] - 10th February 2006).

16. Al Marhum Sheikh Kassim bin Juma bin Khamis (1940 – 1994) and the Pork Riots of 1993. (Paper Presented at the Regional Conference on Islam in Eastern Africa: Islam Encounter with the Challenges of the 21[SUP]st[/SUP] Century 1[SUP]st[/SUP] - 3[SUP]rd[/SUP] August 2006, Kenyatta University, and Nairobi.

17. Muslim Bible Scholars of Tanzania – The Legacy of Sheikh Ahmed Deedat (1918 – 2005) Paper Presented at the International Symposium on Islamic Civilisation in Southern Africa Organised by The Organisation of Islamic Conference Research Centre for Islamic History, Art and Culture (IRCICA) The National AWQAF Foundation of South Africa (AWQAF SA 1 – 3 September 2006 University of Johannesburg. The paper was also presented at Islamic Propagation Centre International (IPCI) Durban.

18. Tanzania: A Nation Without Heroes Seminar Organised by IFRA French Institute for Research in Africa and BIEA British Institute in East Africa 23rd and 24th September 2013 at IFRA Nairobi.

19. Awards: Several Awards.

20. Visiting Scholar: (2011)

• University of Iowa, Iowa City, USA
• Northwestern University, Chicago, Illinois, USA
• Zentrum Moderner Orient (ZMO), Berlin.

Ngongo,
Wewe uniweke wapi ila ninapostahili.
Na hapo nimewekwa siku nyingi na wajuzi...

Nami nikuweke wewe wapi ila kwenye "s...list."

Wewe huna hoja.

Mimi kuandika kitabu nikaeleza historia ya kuundwa TANU ambayo
haikuwa inajulikana ndiyo imekuwa uchochezi...

Give me a break!

Kama uchochezi mbona kinauzwa maduka yote ya vitabu?
Nenda Maktaba ya Chuo Kikuu Cha Dar es Salaam kitabu changu kipo pale.

Au na wao wachochezi?

Au mlidhani mama zetu wamezaa watoto mbumbu hawawezi wakaelimika
na kuja kurejesha heshima za wazazi wetu?

Au mlidhani ile historia ya Kivukoni ndiyo itabakia kuwa historia ya chama
cha TANU?

Ngongo,
Acha kujitisha na acha kuwatisha watu.

Kasome ile hadith ya Aesop ya mtoto aliyekuwa anapenda kulia, "mbwa mwitu
mbwa mwitu..."

Yapo mafunzo makubwa mle.
 
Last edited by a moderator:
Ngongo,
Hiyo si hoja.

Labda nami nikuulize.

Kwa nini kitabu changu hakisomeshwi Chuo Kikuu cha St. Augustine lakini kinasomeshwa vyuo vyote Marekani na Ulaya?

Sasa wewe si wa kutoa jibu.

Jibu wacha litolewe na Idara ya Historia Chuo Kikuu cha Dar es Salaam.

Mbona hujagusa matawi ninayokalia?

Yanakutisha?

Hivi unajua kama mimi nimo kwenye list ya Dictionary of African Biography?

Wewe uko kwenye s...list.

Hahaha.
 
Ha ha ha ha ha Sheikh Mohamed Said kitabu chako cha kichochezi si miongoni mwa vitabu rejea chuo kikuu cha Dar jiulize kwanini ?.Ikiwa wewe unadai umeandika kitabu cha historia ya kundwa TANU ni kwanini kitabu chako hakisomeshwi mashuleni hapa nina maana kuanzia darasa la kwanza hadi A Level ?.Ni kwanini si rejea katika vyuo vikuu ?.Kitabu chako kinaweza kusomeshwa labda chuo kikuu cha Morogoro.

Ngongo,
Hiyo si hoja.

Labda nami nikuulize.

Kwa nini kitabu changu hakisomeshwi Chuo Kikuu cha St. Augustine lakini
kinasomeshwa vyuo vyote Marekani na Ulaya?

Sasa wewe si wa kutoa jibu.

Jibu wacha litolewe na Idara ya Historia Chuo Kikuu cha Dar es Salaam.

Mbona hujagusa matawi ninayokalia?

Yanakutisha?

Hivi unajua kama mimi nimo kwenye list ya Dictionary of African
Biography?

Hivi unajua huu maradi ulikuwa wa Harvard na Oxford Univeristy
Press, New York?

Ikiwa hawa huwajui uliza utaambiwa hawa ni nani katika duru
za kisomi na uchapaji.

Wewe uko kwenye s...list.

Hahahahahahahahahahahah!
Jamani mbavu zangu.

Ngongo,
Niangalie hapa chini:

CIMG0424.JPG



Unapajua hapo?
Hapo ni BBC.

Siyo BBC London, Bush House.
Hapana.

Hapo ni BBC Glasgow.
Unajua nafanya nini?

Nafanya kipindi cha historia ya Afrika.
Unajua ni lini?

1991.
Si unaona nilikuwa mdogo.

Kufa kwa roho yako mbaya ya choyo na wivu.
Ati mbona kitabu changu hakisomeshwi Chuo Kikuu Cha Dar es Salaam.

My foot!

Usithubutu kurudi na utumbo wako hapa jamvini.
Ndiyo nitakumaliza kabisa.

Ngongo,
Hunijui.

Nataka leo unijue.

Si tu "The Life and Times of Abdulwaid Sykes..." kimepigwa pande
hakisomeshwi hapa nchini.

Nina kitabu kingine kilichochapwa na mabingwa wa uchapaji nacho
vilevile kimekataliwa hakisomeshwi.

Lakini kitabu hiki kinasomeshwa shule zote Kenya na Uganda.

Kitabu hiki kipo katika mradi wa kusomesha Kiingereza shule za
msingi lakini hapo hapo watoto wajifunze na historia za nchi zao.

Kitabu hiki kinaitwa, "TheTorch on Kilimanjaro," Oxford University
Press, Nairobi, 2006.

Mimi siyo bongolala kama wewe.
Ubongo wangu unafanyakazi.



20140104_205335.jpg


20140104_115839.jpg

Mohamed Seif Khatib Akizindua Kitabu Changu Mbele ya Viongozi wa Wizara ya Elimu Kempisky Hotel Mwaka 2006

Ngongo,
Nimeombwa nibadilishe jina niandike kwa jina lingine.

Nimekataa nimewaambia mimi nitabaki Mohamed Said Salum
Abdallah
mpaka siku nitakapoingia kaburini.

Mama yangu Baya Bint Sheikh Mohamed Mvamila alinipa jina hili
kwa mapenzi ya baba yake siwezi kulikana jina la babu yangu kwa
kutaka nikubalike na Mfumokristo.

Ngongo,
Jiulize.
Pana nini hapa?
 
Mohamed Said.
Unaonaje mkimshauri Rais wetu juu ya historia nzuri ya nchi yetu ili afuate historia hiyo hasa kwenye uteuzi wa viongozi wajuu maana tukisema kwenye ajira nyinyi hamuwezi mtasema mnaonewa.
Kwa maelezo yako inaonekana umesoma na unauwelewa wakutosha.
Swali
1 nikwanini unataka tufuate historia
2. Tumeifahamu hicho ulichotaka tukifahamu je nini unataka tufanye
3. Je viongozi waliopo madarakani nauhakika wapo waislamu je kinachowashinda kufanya yale mnayoyaamini nini?
 
Mohamed Said.
Unaonaje mkimshauri Rais wetu juu ya historia nzuri ya nchi yetu ili afuate historia hiyo hasa kwenye uteuzi wa viongozi wajuu maana tukisema kwenye ajira nyinyi hamuwezi mtasema mnaonewa.
Kwa maelezo yako inaonekana umesoma na unauwelewa wakutosha.
Swali
1 nikwanini unataka tufuate historia
2. Tumeifahamu hicho ulichotaka tukifahamu je nini unataka tufanye
3. Je viongozi waliopo madarakani nauhakika wapo waislamu je kinachowashinda kufanya yale mnayoyaamini nini?

Mazoko,
Hayo yote uliyoandika mimi hayanihusu.

Mimi nimeandika kitabu ili kusahihisha vitabu viliyoandikwa kabla kuhusu
historia ya TANU na harakati za kudai uhuru wa Tanganyika.

Katika duru za kisomi mimi nachukuliwa kama mtu niliyoongeza elimu ya
ziada katika somo.

Wanafunzi wa historia ya Afrika wanasoma.

Hayo ya "rais wetu," sijui, "uteuzi," kuwa, "inaonekana nimesoma," nk. nk.
mimi yote hayo hayanihusu.

Hayo mengine nawaachia wenzangu wakujibu In Sha Allah ikiwa wataona
unastahili kujibiwa kwa hayo.

Ikiwa umesoma post yangu kwa makini utakuwa umenijua.
 
Back
Top Bottom