Jinamizi la Udini Tanzania: Utabiri wa Sheikh Suleiman Takadir

Jinamizi la Udini Tanzania: Utabiri wa Sheikh Suleiman Takadir

Ngongo,
Hiyo si hoja.

Labda nami nikuulize.

Kwa nini kitabu changu hakisomeshwi Chuo Kikuu cha St. Augustine lakini
kinasomeshwa vyuo vyote Marekani na Ulaya?

Sasa wewe si wa kutoa jibu.

Jibu wacha litolewe na Idara ya Historia Chuo Kikuu cha Dar es Salaam.

Mbona hujagusa matawi ninayokalia?

Yanakutisha?

Hivi unajua kama mimi nimo kwenye list ya Dictionary of African
Biography?

Hivi unajua huu maradi ulikuwa wa Harvard na Oxford Univeristy
Press, New York?

Ikiwa hawa huwajui uliza utaambiwa hawa ni nani katika duru
za kisomi na uchapaji.

Wewe uko kwenye s...list.

Hahahahahahahahahahahah!
Jamani mbavu zangu.

Ngongo,
Niangalie hapa chini:

CIMG0424.JPG



Unapajua hapo?
Hapo ni BBC.

Siyo BBC London, Bush House.
Hapana.

Hapo ni BBC Glasgow.
Unajua nafanya nini?

Nafanya kipindi cha historia ya Afrika.
Unajua ni lini?

1991.
Si unaona nilikuwa mdogo.

Kufa kwa roho yako mbaya ya choyo na wivu.
Ati mbona kitabu changu hakisomeshwi Chuo Kikuu Cha Dar es Salaam.

My foot!

Usithubutu kurudi na utumbo wako hapa jamvini.
Ndiyo nitakumaliza kabisa.

Ngongo,
Hunijui.

Nataka leo unijue.

Si tu "The Life and Times of Abdulwaid Sykes..." kimepigwa pande
hakisomeshwi hapa nchini.

Nina kitabu kingine kilichochapwa na mabingwa wa uchapaji nacho
vilevile kimekataliwa hakisomeshwi.

Lakini kitabu hiki kinasomeshwa shule zote Kenya na Uganda.

Kitabu hiki kipo katika mradi wa kusomesha Kiingereza shule za
msingi lakini hapo hapo watoto wajifunze na historia za nchi zao.

Kitabu hiki kinaitwa, "TheTorch on Kilimanjaro," Oxford University
Press, Nairobi, 2006.

Mimi siyo bongolala kama wewe.
Ubongo wangu unafanyakazi.



20140104_205335.jpg


20140104_115839.jpg

Mohamed Seif Khatib Akizindua Kitabu Changu Mbele ya Viongozi wa Wizara ya Elimu Kempisky Hotel Mwaka 2006

Ngongo,
Nimeombwa nibadilishe jina niandike kwa jina lingine.

Nimekataa nimewaambia mimi nitabaki Mohamed Said Salum
Abdallah
mpaka siku nitakapoingia kaburini.

Mama yangu Baya Bint Sheikh Mohamed Mvamila alinipa jina hili
kwa mapenzi ya baba yake siwezi kulikana jina la babu yangu kwa
kutaka nikubalike na Mfumokristo.

Ngongo,
Jiulize.
Pana nini hapa?
Mzee Mohamed Said, inatosha Mzee wetu daa!! Ngongo kupambana na wewe ni sawa sawa kuwapambanisha Floyd Mayweather na Francis Cheka.
 
Last edited by a moderator:
Mohamed Said.
Unaonaje mkimshauri Rais wetu juu ya historia nzuri ya nchi yetu ili afuate historia hiyo hasa kwenye uteuzi wa viongozi wajuu maana tukisema kwenye ajira nyinyi hamuwezi mtasema mnaonewa.
Kwa maelezo yako inaonekana umesoma na unauwelewa wakutosha.
Swali
1 nikwanini unataka tufuate historia
2. Tumeifahamu hicho ulichotaka tukifahamu je nini unataka tufanye
3. Je viongozi waliopo madarakani nauhakika wapo waislamu je kinachowashinda kufanya yale mnayoyaamini nini?
Nyie ndiyo mnajiita wasomi ebu jisome ulichoandika hata haueleweki nyie ndiyo mmejazana serikalini unategemea nini.
 
Nyie ndiyo mnajiita wasomi ebu jisome ulichoandika hata haueleweki nyie ndiyo mmejazana serikalini unategemea nini.

Shariff Ritz,
Nichukulie Zanzibar piza moja na lita tatu za juisi ya Bakhresa.
Mimi siondoki hapa namsubiri Ngongo.

Hana habari kuna wenzake walijaribu wamekimbia hawana hamu na mimi?
 
.Hana habari kuna wenzake walijaribu wamekimbia hawana hamu na mimi?
Hata mimi sijui wamekilbilia wapi. Ninajaribu kufikiri tu kidogo huenda wamekimbia kwa sababu hizi
1. Nondo zako zimewakimbiza
2. Huna kipya ni hadithi zile zile
3. Wanataka kusoma kitu na si jinsi mtu anavyoongea na wazungu
4. Wanaogopa kuoga mtoni na watoto,maji yameshavurugwa na huenda wakachafuka na si kutakata
5. Wametoa nafasi uweze kuogelea katika bwawa kwa nafasi, liwe la maji safi au majitaka
6. Pengine si mafundi wa matusi, na hawapendi kunasibishwa na upuuzi huo

Najaribu kufikiri tu, sina uhakika kwa kweli

Shehe, wajulie hali hapo mjini. Pole kwa msiba wa nduguyo Ebby
Huku kwetu machungwa yameanza kidogo kidogo.
Nikijaaliwa nitakutumia kibanda meno,ni mhogo mtamu kwa juisi ya bakhresa.

Masalaam
 
Hata mimi sijui wamekilbilia wapi. Ninajaribu kufikiri tu kidogo huenda wamekimbia kwa sababu hizi
1. Nondo zako zimewakimbiza
2. Huna kipya ni hadithi zile zile
3. Wanataka kusoma kitu na si jinsi mtu anavyoongea na wazungu
4. Wanaogopa kuoga mtoni na watoto,maji yameshavurugwa na huenda wakachafuka na si kutakata
5. Wametoa nafasi uweze kuogelea katika bwawa kwa nafasi, liwe la maji safi au majitaka
6. Pengine si mafundi wa matusi, na hawapendi kunasibishwa na upuuzi huo

Najaribu kufikiri tu, sina uhakika kwa kweli

Shehe, wajulie hali hapo mjini. Pole kwa msiba wa nduguyo Ebby
Huku kwetu machungwa yameanza kidogo kidogo.
Nikijaaliwa nitakutumia kibanda meno,ni mhogo mtamu kwa juisi ya bakhresa.

Masalaam

Nguruvi3,
Ahsante ndugu yangu.
Yeye mbele sisi nyuma.

Nasubiri mihogo kaka.
Ntanywea chai asubuhi In Sha Allah.
 
I don see any reason for visiting Fb as long as I hv got ua point,its like this we are not the only race suffered by colonialism...if ua an Asian surely u or ua fathers hv tasted also from British.....

Again,what z important ryt now z not to condemn our fore fathers for failing to use their common sense in eradicating colonialism coz am very sure u know all the reasons for their failure though they had an intention...The best we can do now is to unite ourselves n fighting our weaknesses,eradicating high level of poverty we are experiencing,corruption n so to many other setbaks,fortunately b'se we are now in a cool environments.

This is what actually raised the economy n life standards to the most Americans n Asians....Lets don dwell to the poor n painful past that can't help us in the current problems we are experiencing....

Thanks,

Indeed and well said how ever this cannot come with others are machismos over the others.

You deny to look over there it is denying the the truth like an Ostrich your head buried to the ground.
 
Hata mimi sijui wamekilbilia wapi. Ninajaribu kufikiri tu kidogo huenda wamekimbia kwa sababu hizi
1. Nondo zako zimewakimbiza
2. Huna kipya ni hadithi zile zile
3. Wanataka kusoma kitu na si jinsi mtu anavyoongea na wazungu
4. Wanaogopa kuoga mtoni na watoto,maji yameshavurugwa na huenda wakachafuka na si kutakata
5. Wametoa nafasi uweze kuogelea katika bwawa kwa nafasi, liwe la maji safi au majitaka
6. Pengine si mafundi wa matusi, na hawapendi kunasibishwa na upuuzi huo

Najaribu kufikiri tu, sina uhakika kwa kweli

Shehe, wajulie hali hapo mjini. Pole kwa msiba wa nduguyo Ebby
Huku kwetu machungwa yameanza kidogo kidogo.
Nikijaaliwa nitakutumia kibanda meno,ni mhogo mtamu kwa juisi ya bakhresa.

Masalaam
Naona Nguruvi3 umeibuka kutoka chimbo mstuni.

Hahahahahahahahahah
 
Naona Nguruvi3 umeibuka kutoka chimbo mstuni.

Hahahahahahahahahah

Shariff,
Kuna mtu kanambia sijamtendea haki Nguruvi3.
Anasema yeye Nguruvi3 anasema sina jipya.

Sahib yangu anasema nimwambie akachungulie katika zile volume 6 za
Dictionary of African Biography, Oxford University Press New York, 2011
ataniona.

Jamaa anasema mziki huu ni mpya huku kwetu Nguruvi3 hajausikia.
Nashindwa kumzawadia Nguruvi3 hii album kwa kuwa bei yake ni USD 1300.
 
"Islam Is Disability"Na itakuwa EXTINCT SOON Just As Mud And His Clan Did.Watashindana Lakini Hawatashinda.Period
 
Mazoko,
Hayo yote uliyoandika mimi hayanihusu.

Mimi nimeandika kitabu ili kusahihisha vitabu viliyoandikwa kabla kuhusu
historia ya TANU na harakati za kudai uhuru wa Tanganyika.

Katika duru za kisomi mimi nachukuliwa kama mtu niliyoongeza elimu ya
ziada katika somo.

Wanafunzi wa historia ya Afrika wanasoma.

Hayo ya "rais wetu," sijui, "uteuzi," kuwa, "inaonekana nimesoma," nk. nk.
mimi yote hayo hayanihusu.

Hayo mengine nawaachia wenzangu wakujibu In Sha Allah ikiwa wataona
unastahili kujibiwa kwa hayo.

Ikiwa umesoma post yangu kwa makini utakuwa umenijua.

Sijajuwa kwa nini hujajiunga na ngumi au utakuwa mcheza kareti mzuri maana kwa kukwepa maswali yanayokulenga

Kwangu sijaona sahihisho hata moja la UHURU wa TANGANYIKA wala hakuna hoja kwakuwa historia ya nchi ambayo kwa bahati nzuri nilikuwepo nikiwa kijana na nilikuwa mzizima naifahamu wala sihitaji hadithi za simulizi mzee na mjukuu

Nilikuwa nakufuatilia nakuona mpiga porojo nadhani siku kukiwa na mdaharo tutafutane juu ya wapigania uhuru wa nchi yetu na malengo yao watu watupime kwahoja nasio hadidhi
 
"Islam Is Disability"Na itakuwa EXTINCT SOON Just As Mud And His Clan Did.Watashindana Lakini Hawatashinda.Period

Way back in 2008:

Vatican: Muslims now outnumber Catholics - USATODAY.com

ATICAN CITY (AP) — Islam has surpassed Roman Catholicism as the world's largest religion, the Vatican newspaper said Sunday. "For the first time in history, we are no longer at the top: Muslims have overtaken us," Monsignor Vittorio Formenti said in an interview with the Vatican newspaper L'Osservatore Romano. Formenti compiles the Vatican's yearbook.

Read: https://www.google.com/search?q=Islam+now+outnumbers+catholics+vatican&ie=utf-8&oe=utf-8

Remember, this is 2015. Beat that!
 
Nguruvi3;11952277]Hata mimi sijui wamekilbilia wapi.
Ninajaribu kufikiri tu kidogo huenda wamekimbia kwa sababu hizi

1. Nondo zako zimewakimbiza
2. Huna kipya ni hadithi zile zile
3. Wanataka kusoma kitu na si jinsi mtu anavyoongea na wazungu
4. Wanaogopa kuoga mtoni na watoto,maji yameshavurugwa na huenda wakachafuka na si kutakata
5. Wametoa nafasi uweze kuogelea katika bwawa kwa nafasi, liwe la maji safi au majitaka
6. Pengine si mafundi wa matusi, na hawapendi kunasibishwa na upuuzi huo

Najaribu kufikiri tu, sina uhakika kwa kweli

Shehe, wajulie hali hapo mjini. Pole kwa msiba wa nduguyo Ebby
Huku kwetu machungwa yameanza kidogo kidogo.
Nikijaaliwa nitakutumia kibanda meno,ni mhogo mtamu kwa juisi ya bakhresa.

Masalaam
Shariff,
Kuna mtu kanambia sijamtendea haki Nguruvi3.
Anasema yeye Nguruvi3 anasema sina jipya.

Sahib yangu anasema nimwambie akachungulie katika zile volume 6 za
Dictionary of African Biography, Oxford University Press New York, 2011
ataniona.

Jamaa anasema mziki huu ni mpya huku kwetu Nguruvi3 hajausikia.
Nashindwa kumzawadia Nguruvi3 hii album kwa kuwa bei yake ni USD 1300.
Ah! waungwana faiza Fox Ritz na Mzee Said. Kulikoni maswahiba wangu? Nipo jamvini kila uchao leo naambiwa nimeibuka, yajuzu nini wahisani

Mzee Said kaniwekea maneno kinywani. Mohamed kasema wamekimbia hawaonekani.

Ni kweli hata mimi siwaoni, hapo nikachukua tafakur jadidi nini kimewasibu wenzetu?

Nashangaa anasema nimesema hayo hapo juu.

Hebu angalie niliyosema halafu mniambie wapi nimemyooshea kidole,wapi nimeleta muhali au tafrani

Huu mnakasha unaendelea tunausoma, kama hatuna la kusema kwasababu zozote zile,vema tukajuliana hali.
Imekuwa nongwa waunganwa.

Tafadhalini, rudisheni nyoyo nyuma, kaeni kitako tusikilize simulizi, tufyonze ilm ya ngano. Ndiyo maarifa hayo

Stareh ya mnakasha watu, wenzetu mwavuta jamvi upande wenu!

Kama yapo mapya, khairi tuyaongee kama hakuna masalaam.
 
Ah! waungwana faiza Fox Ritz na Mzee Said. Kulikoni maswahiba wangu? Nipo jamvini kila uchao leo naambiwa nimeibuka, yajuzu nini wahisani

Mzee Said kaniwekea maneno kinywani. Mohamed kasema wamekimbia hawaonekani.

Ni kweli hata mimi siwaoni, hapo nikachukua tafakur jadidi nini kimewasibu wenzetu?

Nashangaa anasema nimesema hayo hapo juu.

Hebu angalie niliyosema halafu mniambie wapi nimemyooshea kidole,wapi nimeleta muhali au tafrani

Huu mnakasha unaendelea tunausoma, kama hatuna la kusema kwasababu zozote zile,vema tukajuliana hali.
Imekuwa nongwa waunganwa.

Tafadhalini, rudisheni nyoyo nyuma, kaeni kitako tusikilize simulizi, tufyonze ilm ya ngano. Ndiyo maarifa hayo

Stareh ya mnakasha watu, wenzetu mwavuta jamvi upande wenu!

Kama yapo mapya, khairi tuyaongee kama hakuna masalaam.

Nguruvi3,
Hakika umebadilika sana.

Sioni ile lugha niliyoizoea.
Sasa hivi unakuja kwa utaratibu.

Lugha safi yakupendeza.
Lugha safi ya kuvutia.

Ngano?
Ila hili.

Oxford University Press...
Tena si Nairobi.

Hawa ni New York.
Wakishirikiana na Chuo Kikuu cha Harvard.

Wamtafute Mohamed Said awaandikie ngano?
Ila hilo.

BBC wampe kibarua Mohamed Said azungumze na Afrika...
Aje azungumze ngano?

Ila hili.
 
Ngongo baada ya kuambiwa walikuwepo wengi wengine, kaingia mitini.

Eti kaibuka Nguruvi3 full of sympathy!

Kwi kwi kwi teh teh teh.

JF is never boring - The Boss

FF,
There is never a dull moment with JF.
Jamani mimi nimekesha hapa namsuburi Ngongo.

Nacheka sana.
Zamani walikuwa wanadhani wakiniita mzee nitakasirika.

Nikawa nawaambia hayo si mafunzo yetu.
Uzee hushukuriwa.

Sasa naona wananiona kuwa nilikuwa kijana tena wa maana...niko Ulaya.
Ndani ya designer kutoka Oxford Street...

Blazer...
Yves Saint Laurent.
Usiulize suruali...

Tuiruke...

Kiatu...
Cartier.

Siongopi...
Hivyo ndivyo ilivyokuwa.

Asiyejua hivyo ni vitu gani amuulize mdogo wangu Faiza.
 
Sijajuwa kwa nini hujajiunga na ngumi au utakuwa mcheza kareti mzuri maana kwa kukwepa maswali yanayokulenga

Kwangu sijaona sahihisho hata moja la UHURU wa TANGANYIKA wala hakuna hoja kwakuwa historia ya nchi ambayo kwa bahati nzuri nilikuwepo nikiwa kijana na nilikuwa mzizima naifahamu wala sihitaji hadithi za simulizi mzee na mjukuu

Nilikuwa nakufuatilia nakuona mpiga porojo nadhani siku kukiwa na mdaharo tutafutane juu ya wapigania uhuru wa nchi yetu na malengo yao watu watupime kwahoja nasio hadidhi

Mazoko,
Ndiyo uzuri wa dunia.

Ikiwa wewe hukuona upungufu wako walioona upungufu.
Kama waliona upungufu wana haki ya kufanya masahihisho.

Wewe pia una haki yako ya kutoona huo upungufu.
Hakuna shida.

Tusonge mbele.
Hayo ya karate nk. ni lugha za kijuvi.

Hazipendezi.
 
lol!!!! hahahahahah Umenifurahisha sana Mkuu nguruvi ahsante sana.

Hata mimi sijui wamekilbilia wapi. Ninajaribu kufikiri tu kidogo huenda wamekimbia kwa sababu hizi
1. Nondo zako zimewakimbiza
2. Huna kipya ni hadithi zile zile
3. Wanataka kusoma kitu na si jinsi mtu anavyoongea na wazungu
4. Wanaogopa kuoga mtoni na watoto,maji yameshavurugwa na huenda wakachafuka na si kutakata
5. Wametoa nafasi uweze kuogelea katika bwawa kwa nafasi, liwe la maji safi au majitaka
6. Pengine si mafundi wa matusi, na hawapendi kunasibishwa na upuuzi huo

Najaribu kufikiri tu, sina uhakika kwa kweli

Shehe, wajulie hali hapo mjini. Pole kwa msiba wa nduguyo Ebby
Huku kwetu machungwa yameanza kidogo kidogo.
Nikijaaliwa nitakutumia kibanda meno,ni mhogo mtamu kwa juisi ya bakhresa.

Masalaam
 
Last edited by a moderator:
kweli mkuu. ila tufikirie kitu kama movement za uhuru zingekuwa maeneo ya bara wengi wangekuwa watu gani?, pili ukombozi ulikuwa ni wa watu wote wa tanganyika kujikomboa kutoka kwenye ukoloni, haukuwa ukombozi wa kidini, inamaana kama Takadir angeeneza dini kwenye siasa za ukombozi basi kungetokea mpasuko ambao ukombozi ungekuwa mgumu. Mi nadhani uwamuzi wa kumfukuza kwenye chama sababu ya kuleta dini kwenye siasa ilikuwa ni wazo zuri sana ambalo lumetuunganisha mpk leo tunapoanza wenyewe kujigawa. ingelikuwa vita ya pwani na bara na sio na mkoloni.

hatua moja mbele, hujungwa na hatua moja nyuma,
 
Fered,
Umesema sawa.

TANU ilikuwa na haki ya kumfukuza Sheikh Takadir kwa kuleta suala
la dini.

Je ikiwa hii leo kuna malalamiko ya kuwa kuna watu katika kuendesha
nchi ni wadini na ushahidi ukatolewa tunafanyaje?
 
Chaza,
Namshukuru Allah kwa kuniwezesha kuifanya kazi hii.

Northwest University ndiyo mabingwa wa historia ya Africa.

Wako Evanston, Chicago.

Mwaka 2011 walinikaribisha nikazungumza chuoni kwao kuhusu mchango wa Waislam dhidi ya ukoloni wa Waingereza.

Heshima kwako mwandishi wa makala hii, hakika nilikuelewa hapo awali kwa makala hii japo siyo siri kwa makala kama hii itasababisha mgawanyiko na chuki za kidini hasa ukizingatia kuwa mwisilam kwa asili hampendi mkristo na ndiyo maana humwita kafiri wakati mkristo humpenda mwislam kwakua ukristo huhubiri juu ya upendo na amani kwa watu wote.
Bila shaka nimekuelewa sababu zilizosababisha waislam wasiwe wengi kwenye uongozi wa wakati ule ni kukosa sifa na si kwamba walibaguliwa kama Takadir alivyodhani, nilitegemea wewe ungetoa mtazamo wako juu ya kile kilichofanyika je ilibidi wakate kugira au kupigiwa kura wote kwa ujumla wao? Je nikweli walibaguliwa kwa sababu ya dini zao? Japo kwa upande wa waingereza sina shaka kuwa walikuwa na ubaguzi wa kidini lakini je nyerere alitumia vigezo vya kidini katika kumbagua Takadir? Huhisi nyerere alikuwa sahihi kukemea udini na huwenda angeruhusu agenda ya udini itawale huwenda uhuru ungechelewa? Na pengine wakristo wangenufaika kwa udini kwakua waingereza ni wakristo?
Sina shaka kuwa wapigania uhuru wengi ni waislam na hii nikutokana na mahali walipokuwa yaani DSM.
Nahisi kwa makala za namna hii huweza chochea chuki ya udini hasa kwa watu wenye hisia za udini mioyoni mwao hivyo ningekushauri uwe unatoa historia lakini ukihitimisha kwa kupinga udini maana utalipeleka taifa hili mahala pabaya.
 
Back
Top Bottom