Jinamizi la Udini Tanzania: Utabiri wa Sheikh Suleiman Takadir

Jinamizi la Udini Tanzania: Utabiri wa Sheikh Suleiman Takadir

Heshima kwako mwandishi wa makala hii, hakika nilikuelewa hapo awali kwa makala hii japo siyo siri kwa makala kama hii itasababisha mgawanyiko na chuki za kidini hasa ukizingatia kuwa mwisilam kwa asili hampendi mkristo na ndiyo maana humwita kafiri wakati mkristo humpenda mwislam kwakua ukristo huhubiri juu ya upendo na amani kwa watu wote.
Bila shaka nimekuelewa sababu zilizosababisha waislam wasiwe wengi kwenye uongozi wa wakati ule ni kukosa sifa na si kwamba walibaguliwa kama Takadir alivyodhani, nilitegemea wewe ungetoa mtazamo wako juu ya kile kilichofanyika je ilibidi wakate kugira au kupigiwa kura wote kwa ujumla wao? Je nikweli walibaguliwa kwa sababu ya dini zao? Japo kwa upande wa waingereza sina shaka kuwa walikuwa na ubaguzi wa kidini lakini je nyerere alitumia vigezo vya kidini katika kumbagua Takadir? Huhisi nyerere alikuwa sahihi kukemea udini na huwenda angeruhusu agenda ya udini itawale huwenda uhuru ungechelewa? Na pengine wakristo wangenufaika kwa udini kwakua waingereza ni wakristo?
Sina shaka kuwa wapigania uhuru wengi ni waislam na hii nikutokana na mahali walipokuwa yaani DSM.
Nahisi kwa makala za namna hii huweza chochea chuki ya udini hasa kwa watu wenye hisia za udini mioyoni mwao hivyo ningekushauri uwe unatoa historia lakini ukihitimisha kwa kupinga udini maana utalipeleka taifa hili mahala pabaya.

Sidhani kafiri ni chuki au tusi. .. ni jina tu tunalo muita yeyote asiye muislam. ..

Mara nyingi ukweli huwa ni mchungu. ..
 
Sheikh Mohamed Said wewe kuniweka katika ile s.... list wala sikosi usingizi kamwe laiti ungelijua mimi nimekuweka katika list gani ungekaa kimya.Histohisia zako kuchapwa Oxford University Press,New York... wala si hoja laiti ungelijua wazungu wanatuwazia nini sisi waAfrika usingejitapa katu.Wazungu unaowasifia wanatamani sana kuona Tanzania inaingia kwenye mifarakano ili iwe rahisi kutuibia Dhahabu,Gas,Tanzanite..... watafurahi sana kumpata mchochezi wa udini kama wewe itawarahisishia kuliharibu taifa alilolijenga Mwl Nyerere kwa miongo mitatu.

Ngongo,

Mkuu usitafute mchawi mpaka kufikia kutusi watu kuwa wanatamani au hata kukutakia mabaya.

Siku zote mabaya mnajitafutia wenyewe, Chukulia mauaji ya albino je kuna mkono wa mgeni hapo?

Kwa Tz ikiwa salama wageni ndio wanapenda sana kwani NDIO WANACHUKUA KIULAINI SANA bila bughudha huku wakiwalambisha misaada midogo midogo.

Chuki, Husda na choyo zenu wenyewe wa Tz ndizo zitakazowaangamiza LAKIN Histori itabaki na kubainisha ukweli umesimama wapi.

Kumbuka kuwa huwezi kuificha au ku-ignore historia kwani historia ni kama pembe la ng'ombe huwezi kulificha.

Pole sana Daktari mwenzangu.

 
Sam8,
Ahsante kwa nasaha zako hizi.

Nina hakika umesimama hapo ulipo kwa kuwa hujui historia yote
ya kupigania uhuru wa Tanganyika.

Waislam walimpiga vita Sheikh Takadir kwa kuwa walijua hatari
ya maneno yake.

Waislam walijitolea sana katika vita ile wakitaka uhuru upatikane
ili waondoe dhulma zote.

Uhuru ulipopatikana hili halikuwa.

Sitaweza kukueleza hapa kwa mistari michache nini kilitokea.

Niliamua kuandika kitabu kuwakumbusha viongozi wetu historia
yetu ambayo kwa kweli ni historia ya wazee wangu ambayo hadi
pale ilikuwa imefunikwa.

Tafadhali soma kitabu changu, "The Life and Times of Abdulwahid
Sykes..." uone nini nimesema.

Baada ya hapo unaweza ukawa katika hali ya kutoa mawazo na
kunasihi.

Nina hakika hutowanasihi wanaodhulumiwa...
 
Sidhani kafiri ni chuki au tusi. .. ni jina tu tunalo muita yeyote asiye muislam. ..

Mara nyingi ukweli huwa ni mchungu. ..

Ok nashukuru mkuu lakini naomba unipatie maana halisi kisha nitajua ukweli wa hayo uyasemayo.
 
Heshima kwako mwandishi wa makala hii, hakika nilikuelewa hapo awali kwa makala hii japo siyo siri kwa makala kama hii itasababisha mgawanyiko na chuki za kidini hasa ukizingatia kuwa mwisilam kwa asili hampendi mkristo na ndiyo maana humwita kafiri wakati mkristo humpenda mwislam kwakua ukristo huhubiri juu ya upendo na amani kwa watu wote.
Bila shaka nimekuelewa sababu zilizosababisha waislam wasiwe wengi kwenye uongozi wa wakati ule ni kukosa sifa na si kwamba walibaguliwa kama Takadir alivyodhani, nilitegemea wewe ungetoa mtazamo wako juu ya kile kilichofanyika je ilibidi wakate kugira au kupigiwa kura wote kwa ujumla wao? Je nikweli walibaguliwa kwa sababu ya dini zao? Japo kwa upande wa waingereza sina shaka kuwa walikuwa na ubaguzi wa kidini lakini je nyerere alitumia vigezo vya kidini katika kumbagua Takadir? Huhisi nyerere alikuwa sahihi kukemea udini na huwenda angeruhusu agenda ya udini itawale huwenda uhuru ungechelewa? Na pengine wakristo wangenufaika kwa udini kwakua waingereza ni wakristo?
Sina shaka kuwa wapigania uhuru wengi ni waislam na hii nikutokana na mahali walipokuwa yaani DSM.
Nahisi kwa makala za namna hii huweza chochea chuki ya udini hasa kwa watu wenye hisia za udini mioyoni mwao hivyo ningekushauri uwe unatoa historia lakini ukihitimisha kwa kupinga udini maana utalipeleka taifa hili mahala pabaya.
Kuna upotoshaji umeandika unasema kiasili Muislam hampendi Mkirsto siyo kweli hizo ni fikra zako.

Waislamu na Wakirsto wanaishi kwa upendo mie binafsi na marafiki wengi Wakirsto kuliko Waislam.

Uislam ni dini ya haki na upendo tumefundishwa kuwapenda watu wote bila kuwabagua hata kama siyo Waislam.
 
Ok nashukuru mkuu lakini naomba unipatie maana halisi kisha nitajua ukweli wa hayo uyasemayo.
Soma hapa kiduchu.
Kafir-(Arabic:-كافر‎-kāfir, plural-كفّار-kuffār) is an Arabic terms used in an-Islamic-doctrinal sense, usually translated as "unbeliever," "disbeliever," or "infidel." The term refers to a person who rejects or disbelieves in the-god of Islam-or who hides, denies, or pays no attention to the Islamic version of truth. The practise of declaring another Muslim as a kafir is-takfir.[1]
 
Heshima kwako mwandishi wa makala hii, hakika nilikuelewa hapo awali kwa makala hii japo siyo siri kwa makala kama hii itasababisha mgawanyiko na chuki za kidini hasa ukizingatia kuwa mwisilam kwa asili hampendi mkristo na ndiyo maana humwita kafiri wakati mkristo humpenda mwislam kwakua ukristo huhubiri juu ya upendo na amani kwa watu wote.
Bila shaka nimekuelewa sababu zilizosababisha waislam wasiwe wengi kwenye uongozi wa wakati ule ni kukosa sifa na si kwamba walibaguliwa kama Takadir alivyodhani, nilitegemea wewe ungetoa mtazamo wako juu ya kile kilichofanyika je ilibidi wakate kugira au kupigiwa kura wote kwa ujumla wao? Je nikweli walibaguliwa kwa sababu ya dini zao? Japo kwa upande wa waingereza sina shaka kuwa walikuwa na ubaguzi wa kidini lakini je nyerere alitumia vigezo vya kidini katika kumbagua Takadir? Huhisi nyerere alikuwa sahihi kukemea udini na huwenda angeruhusu agenda ya udini itawale huwenda uhuru ungechelewa? Na pengine wakristo wangenufaika kwa udini kwakua waingereza ni wakristo?
Sina shaka kuwa wapigania uhuru wengi ni waislam na hii nikutokana na mahali walipokuwa yaani DSM.
Nahisi kwa makala za namna hii huweza chochea chuki ya udini hasa kwa watu wenye hisia za udini mioyoni mwao hivyo ningekushauri uwe unatoa historia lakini ukihitimisha kwa kupinga udini maana utalipeleka taifa hili mahala pabaya.

In the Qur'an people might think these contradict each other by leterary meanings, however in the deepest interpratation of the verses you will find they represent different scenario:

Surah Al-Maeda, Verse 51:
O you who believe! do not take the Jews and the Christians for friends; whom they are Allies of each other; and whoever amongst you takes them for a friend, then surely he is one of them; surely Allah does not guide the unjust people.

Surah Al-Maeda, Verse 82:
Certainly you will find the most violent of people in enmity for those who believe (to be) the Jews and those who are polytheists, and you will certainly find the nearest in friendship to those who believe (to be) those who say: We are Christians; this is because there are priests and monks among them and because they do not behave proudly.

The substance of Verses 51 and 82 is where the believers are told to identfy their real enemies (Jews and the polytheist alike) and also to identify their real allies in their life time and during persecution.

Now from vs 51 we find that the real enemies of the believers are those who have enemity in common and in Alliance to each other (modern time Judeo-Christian-Zionists).
And in the v82 we find that the belivers are told who will be their real allies in case of such enemity situation it will be those who are Christians who are not in such alliance do not represent such ideology.
And V82 has gone further to identify the reason as the learned truth seekers, the Priest & the Monks of knowledge of the truth, whom does not have enemity with the belivers; in modern day times are the Eastern Christian Orthodox Church.

And look what is happening now in Nothern Syria na Iraq the the Jewish-Christian Alliance killing machine The ISIL is en masse murdering those who knows the truth!!
 
Wanaukumbi,
Namtafuta Ngongo toka jana sijamuona.

Mfikishieni salaam kwa yeyote atakaemtia machoni kuwa vile vilikuwa
vishindo vya Kimanyema asiogope aje barzani tu zipo kashata na
kahawa kwa hisani ya Ritz.

Ugomvi kaumaliza mwanafulani.
 
Soma kitu uelewe.

Hata waislam walikuwa wa kwanza kumpinga sheikh suleiman takadir kwa kuendekeza udini kwenye siasa.

Ila yeye akasema kwamba tutakuja kumkumbuka.

Miaka miiingi hivi sasa tunakumbuka maneno yake.

Tunaona jins kanisa lilivyoshika hatamu ndan ya Taifa hili huku likdhani kuwa lina nafasi nyeeeti na adhiiim kuliko taasisi yeyote nchi hiii.

Ili hali wakati masheikhs wanapigania uhuru wa nchi hiii maaaskofu hao hao walikuwa wanamhudumia mkoloni kuitangaza dini yake na kupinga harakati hizo.

Tulipinga kauli zake lakini hivi sasa utabir wake umetimia lisisemwe??

Besides uislam kiasili hauwez kuwa na chuki na ukristo wala dini nyingine.

Sema hizo dini nyingine ndizo zenye chuki dhidi ya uislam kwa kuwa uislam ni din ya kweli inayohubiri kuabudiwa kwa mungu mmoja muumba wa mbingu na ardhi na vyoote vilivyomo huku dini zingine zikifanya ujanja ujanja katika hilo na kutaman maslahi ya dunia

Lazima zijiine ziko vitan na uislam.
Heshima kwako mwandishi wa makala hii, hakika nilikuelewa hapo awali kwa makala hii japo siyo siri kwa makala kama hii itasababisha mgawanyiko na chuki za kidini hasa ukizingatia kuwa mwisilam kwa asili hampendi mkristo na ndiyo maana humwita kafiri wakati mkristo humpenda mwislam kwakua ukristo huhubiri juu ya upendo na amani kwa watu wote.
Bila shaka nimekuelewa sababu zilizosababisha waislam wasiwe wengi kwenye uongozi wa wakati ule ni kukosa sifa na si kwamba walibaguliwa kama Takadir alivyodhani, nilitegemea wewe ungetoa mtazamo wako juu ya kile kilichofanyika je ilibidi wakate kugira au kupigiwa kura wote kwa ujumla wao? Je nikweli walibaguliwa kwa sababu ya dini zao? Japo kwa upande wa waingereza sina shaka kuwa walikuwa na ubaguzi wa kidini lakini je nyerere alitumia vigezo vya kidini katika kumbagua Takadir? Huhisi nyerere alikuwa sahihi kukemea udini na huwenda angeruhusu agenda ya udini itawale huwenda uhuru ungechelewa? Na pengine wakristo wangenufaika kwa udini kwakua waingereza ni wakristo?
Sina shaka kuwa wapigania uhuru wengi ni waislam na hii nikutokana na mahali walipokuwa yaani DSM.
Nahisi kwa makala za namna hii huweza chochea chuki ya udini hasa kwa watu wenye hisia za udini mioyoni mwao hivyo ningekushauri uwe unatoa historia lakini ukihitimisha kwa kupinga udini maana utalipeleka taifa hili mahala pabaya.
 
Wanaukumbi,
Namtafuta Ngongo toka jana sijamuona.

Mfikishieni salaam kwa yeyote atakaemtia machoni kuwa vile vilikuwa
vishindo vya Kimanyema asiogope aje barzani tu zipo kashata na
kahawa kwa hisani ya Ritz.

Ugomvi kaumaliza mwanafulani.

Mudeeer

I think kujibizana na mwehu au baba wa wajinga ni kujipotezea muda tuh.

Huyu mtu ni wa kupuuzwa na kudharauriwa kwa kias kikubwa mno.

Kumpuuuza na kumdharau itakuwa ihsan kubwa sana kwake kafanyiwa.
 
Swali la kujiuliza ni iweje hii leo baada ya miaka 57 kupita Sheikh Suleiman Takadir anarejeshwa upya katika historia ya kupigani uhuru wa Tanganyika? Hiki ni kitendawili kinachongoja kuteguliwa.


Nani anamrejesha? hivi harakati za kudai uhuru,miaka hiyo zingefanyika mkoa wa kilimanjaro au mbeya,hilo baraza la wazee wa TANU,wajumbe wake wangekuwa wa imani ipi? wakati harakati za kudai uhuru zinaendelea DSM,je wakazi wa mikoa mingine walikuwa wamelala wakisubili wa islam wa DAR wawaletee uhuru?

Sasa unaongea nini na kujijibu nin?

Unasema ''inge''kuww harakati za uhuru zimefanyikia mkoa wa kilimanjaro wahusika wangekuwa nan??...unachelea kusema nin hapo...kwamba wahusika wangekuwq wakristo siyo??



Umenoa kwa hoja hiyo...unadhan wahusika wangewezaje kushiriki ili hali viongozi wao maaaskofu na mapadre wapo imara kumtumikia mkolon??na kuwahubiria nyinyi kondoo kuwa mungu ni mzungu na kila kizuri ni cha mzungu??

Unadhani wapi wangekuwa na ujasiri wa kuwaambia mpiganie uhuru thubutuuuu....

Picha ndiyo hii unayopewa sasa...hata kama hutaki kiukubali na kuipokea hiyo ndiyo hali halisi.

Uhuru wa nchi hii umepiganiwa na hawa hawa mnaowaita leo magaidi na watu wasio na maana.


Hiyo ndiyo historia uipokee hata kama inakuchoma choma ndivyo Haqi ilivyo.
 
Kweli kabisa...nisichoelewa ni kwanini unashabikia sana udini kwa kigezo cha Nyerere. Udini tuufanye sisi halafu matusi yaende kwa Nyerere. Inamsaidia nani? Jamii yetu inaumwa...inahitaji tiba ya kweli. Tusipofungua macho na kuona hilo tutaadhirika. Nyerere amekuja na kwenda. Leo tupo mimi na wewe na wengine waliopo. Changamoto zetu lazima tuzikabiri wenyewe kwa heshima na maridhiano. Tunao uwezo huo kama hatutasukumwa na egoes zetu.

Sishangai mambo mengi yanakwama sababu nyuma ya kila ajenda tumeficha unafiki wetu

Ofcourse.

Nyerere is very DEAD AND GONE NOW.

TULIDHANI ANGEACHWA AFE NA HILA ZAKE MOJA KWA MOJA.

KINACHOSIKITISHA NI HII HALI INAYOJITOKEZA YA OFFSPRINGS ZAKE KUTAKA KUENDELEA KURITH YALE ALIYOYAPANDIKIZA.

KAMA TAIFA TUNGEAMUA KUWEKA UTAIFA MBELE NA KUACHA EMOTIONS ZA CHUKI ZA KIDINI NA KUANGALIANA KWA TAHARUKI ZA IMAN TUNGEKUWA TUNAFANYA LA MAANA SANA.BAHATI MBAYA HAIKO HIVYO.

NAWEWE UNALITAMBUA HILO.
 
Nilikua nakufatilia kwa umakini nijue unaaangukia kundi gani.

Nimegundua ni wale waleee...kundi la wajinga.

I think ndiyo kwa maaana hata Mudeeer Mohamed Said anakupuuuza kujibu kwa kuwa anakuona kihiyo.


1.kwa mtu ambae unajinasibu kuwa umetembea ulimwenguni na kusema unaandika makala za uchumi sijui na blaa blaaah zako unashindwaje kujua uhalisia wa kinachoendelea huko mideast hadi ufikie hatua ya kusema kuwa nchi hizo zinaongozwa kwa mifumo ya dini na kinachotokea hivi sasa ni vurugu tu...kweli hayo?hivi uko timamu wewe??

Hizo nchi ulizomention mfano libya...iraq..misri zinaongozwa na mfumo wa kiiislam??

Au kwa kuwa wewe unaona kuwa ni weengi waarabu basi mfumo unaongoza ni uislam si ndiyo??

Na kusema kwamba hujui nini kimezikumba nchi hizo hadi keo tunaona political instability imeshika hatamu??hujui na hujaona kabisa western intervention kule ula umeona dini tuh imechangia yele??

Then unajiita eti nawe ni mwandishi na una exposure ya kuifaham dunia...aaah wapi huna uwezo hui Kalubandika.

Labda kama ni mwandishi wa gazeti la sani.

Lakn huo ujuha wako tafuta wa kumwongopea.

Na haiwezekani watu wasikae kuzungumzia vitu hivi ili hali jamii yetu imekuwa ni muhanga wa mfumo huo kwa miaka miiingi sana.

Lazima hivi vitu vizungumzwe na viandikwe ili kuweka historia sawa kwa ajili ya vizazi vyetu vya sasa na vya baadae.

Hata kama wengine mtachukia.

Inaonekana umejitoa ufahamu maswali unayajuwa na unakwepa kwepa

Naona unajivunia kuchapicha Oxford University press mimi nimefanyanao kazi ila kwa sasa ninakampuni yangu mimi nimejikita zaidi kwenye UCHUMI na Upatanishi kuliko dini nawengi wamefaidika na mimi pia nimetembea bara la Ulaya kwenye nchi zaidi 15 Afrika zaidi ya nchi 20 America asia na kwingineko
Huko kote nimealikwa kwenye midahalo yakuikomboa Dunia hasa mwafrika kutoka kwenye utumwa wakimawazo nakujenga uchumi imara

Dunia yaleo sio kuzungumzia dini fulani au utawala wa dini fulani maana hauna tija
Kunachi zinaongozwa kwa imani za kidini kama
Misri,Irak,Iran,Libya nanyinginezo hakuna utulivu zaidi ya ugomvi

Nadhani ifike sehemu dini zibaki misikitini na makanisa huku tuubiri upendo amani basi
 
Duuuuh.

Teh teh teh.

Mudeeer kwa hiii Nondo huyo chakubimbi hawez tena kuwa na hamu.

Ha ha ha ha

Mimi naitafuata sana Sura yake nikamtishie mwanangu.

Mudeeer shukran sana kwa elimu hiii.

Na kule w.w.w.mohamedsaid.com ndiko kumesheheni zaid.

Mungu akulipe heri zaid.
Ngongo,
Hiyo si hoja.

Labda nami nikuulize.

Kwa nini kitabu changu hakisomeshwi Chuo Kikuu cha St. Augustine lakini
kinasomeshwa vyuo vyote Marekani na Ulaya?

Sasa wewe si wa kutoa jibu.

Jibu wacha litolewe na Idara ya Historia Chuo Kikuu cha Dar es Salaam.

Mbona hujagusa matawi ninayokalia?

Yanakutisha?

Hivi unajua kama mimi nimo kwenye list ya Dictionary of African
Biography?

Hivi unajua huu maradi ulikuwa wa Harvard na Oxford Univeristy
Press, New York?

Ikiwa hawa huwajui uliza utaambiwa hawa ni nani katika duru
za kisomi na uchapaji.

Wewe uko kwenye s...list.

Hahahahahahahahahahahah!
Jamani mbavu zangu.

Ngongo,
Niangalie hapa chini:

CIMG0424.JPG



Unapajua hapo?
Hapo ni BBC.

Siyo BBC London, Bush House.
Hapana.

Hapo ni BBC Glasgow.
Unajua nafanya nini?

Nafanya kipindi cha historia ya Afrika.
Unajua ni lini?

1991.
Si unaona nilikuwa mdogo.

Kufa kwa roho yako mbaya ya choyo na wivu.
Ati mbona kitabu changu hakisomeshwi Chuo Kikuu Cha Dar es Salaam.

My foot!

Usithubutu kurudi na utumbo wako hapa jamvini.
Ndiyo nitakumaliza kabisa.

Ngongo,
Hunijui.

Nataka leo unijue.

Si tu "The Life and Times of Abdulwaid Sykes..." kimepigwa pande
hakisomeshwi hapa nchini.

Nina kitabu kingine kilichochapwa na mabingwa wa uchapaji nacho
vilevile kimekataliwa hakisomeshwi.

Lakini kitabu hiki kinasomeshwa shule zote Kenya na Uganda.

Kitabu hiki kipo katika mradi wa kusomesha Kiingereza shule za
msingi lakini hapo hapo watoto wajifunze na historia za nchi zao.

Kitabu hiki kinaitwa, "TheTorch on Kilimanjaro," Oxford University
Press, Nairobi, 2006.

Mimi siyo bongolala kama wewe.
Ubongo wangu unafanyakazi.



20140104_205335.jpg


20140104_115839.jpg

Mohamed Seif Khatib Akizindua Kitabu Changu Mbele ya Viongozi wa Wizara ya Elimu Kempisky Hotel Mwaka 2006

Ngongo,
Nimeombwa nibadilishe jina niandike kwa jina lingine.

Nimekataa nimewaambia mimi nitabaki Mohamed Said Salum
Abdallah
mpaka siku nitakapoingia kaburini.

Mama yangu Baya Bint Sheikh Mohamed Mvamila alinipa jina hili
kwa mapenzi ya baba yake siwezi kulikana jina la babu yangu kwa
kutaka nikubalike na Mfumokristo.

Ngongo,
Jiulize.
Pana nini hapa?
 
Mohamed Said.
Unaonaje mkimshauri Rais wetu juu ya historia nzuri ya nchi yetu ili afuate historia hiyo hasa kwenye uteuzi wa viongozi wajuu maana tukisema kwenye ajira nyinyi hamuwezi mtasema mnaonewa.
Kwa maelezo yako inaonekana umesoma na unauwelewa wakutosha.
Swali
1 nikwanini unataka tufuate historia
2. Tumeifahamu hicho ulichotaka tukifahamu je nini unataka tufanye
3. Je viongozi waliopo madarakani nauhakika wapo waislamu je kinachowashinda kufanya yale mnayoyaamini nini?

Wanajamvi,
Naweka hapa ushahidi mmoja jinsi udini unavyotishia kuangamiza taifa
letu.

Nimetoa ushahidi huu kutoka kitabu cha Prof. Hamza Mustafa Njozi,
''Muslims and the State in Tanzaia.''

Kitabu hiki kimechapwa mwaka 2010 na Dar es Salaam University
Muslim Truesteeship (DUMT).

Prof. Njozi aliombwa na Waislam aandike kitabu kingine kuitahadharisha
serikali kuhusu kansa hii ya udini nchini baada ya kitabu chake chenye
maudhui kama haya, ''Mwembechai Killings... kupigwa marufuku na serikali.

Tusomeni kwa utulivu:

image
x7XhPMOE0vS01j_Pr0tATh69ihw-h-u5eI_DFTgf1fS1gJvnJVlfGxWbwtiaZxxeNSpYPND5oFV9oSFqUrk2N7BrLRLgFqBknkA7zrX3lOSk7DmJkPFJ90iQxA
qrP0kNPRZxq7XSErNv077zfx5Jfd8npjDqxKZJjOC06Cvho39WPV_dAjGsEdUo4kcxu1f4jOw0Fb82DG7z2ZoWy_vMefwZk6h7ZGOuu1ybDkfPV7NECr3EkcHw



Source: Hatari ya Udini Katika Jamii - Jamiiforums
 
Tafuta kitabu kilicho andikwa Manisa katoliki na siasa ya Tanzania.we hujui historia
 
Duuuuh.

Teh teh teh.

Mudeeer kwa hiii Nondo huyo chakubimbi hawez tena kuwa na hamu.

Ha ha ha ha

Mimi naitafuata sana Sura yake nikamtishie mwanangu.

Mudeeer shukran sana kwa elimu hiii.

Na kule w.w.w.mohamedsaid.com ndiko kumesheheni zaid.

Mungu akulipe heri zaid.

The Big Show,
Tuna wajibu mkbwa na tuna dhima khasa ya kuwaeleza wananchi hatari
inayokabili nchi yetu na nani wahusika wakuu wa dhahma hiyo.

Ahsante ndugu yangu na Amin kwa dua zako.
 
Shukran F.F.

Nimekusoma vyema kabisa.[/B][/B]
Wanajamvi,
Naweka hapa ushahidi mmoja jinsi udini unavyotishia kuangamiza taifa
letu.

Nimetoa ushahidi huu kutoka kitabu cha Prof. Hamza Mustafa Njozi,
''Muslims and the State in Tanzaia.''

Kitabu hiki kimechapwa mwaka 2010 na Dar es Salaam University
Muslim Truesteeship (DUMT).

Prof. Njozi aliombwa na Waislam aandike kitabu kingine kuitahadharisha
serikali kuhusu kansa hii ya udini nchini baada ya kitabu chake chenye
maudhui kama haya, ''Mwembechai Killings... kupigwa marufuku na serikali.

Tusomeni kwa utulivu:

image
x7XhPMOE0vS01j_Pr0tATh69ihw-h-u5eI_DFTgf1fS1gJvnJVlfGxWbwtiaZxxeNSpYPND5oFV9oSFqUrk2N7BrLRLgFqBknkA7zrX3lOSk7DmJkPFJ90iQxA
qrP0kNPRZxq7XSErNv077zfx5Jfd8npjDqxKZJjOC06Cvho39WPV_dAjGsEdUo4kcxu1f4jOw0Fb82DG7z2ZoWy_vMefwZk6h7ZGOuu1ybDkfPV7NECr3EkcHw



Source: Hatari ya Udini Katika Jamii - Jamiiforums
 
WildCard,
Unatukanwa kwa kuwa wewe mwenyewe ushaonyesha hapa mara nyingi tu
kuwa hukuleleka.

Ni wepesi sana kumjua mtu hadi waliomzaa kwa matendo kama yako.
Ndugu yangu umepingukiwa sana na uungwana.

Mimi nina marafiki wengi sana hatukubaliani kwa mengi lakini heshima zetu
ziko pale pale.

Hujachelewa una kila kitu cha kufaidika ukijifunza adabu.
Nakubali sikuleleka. Anayekutukana je malezi yake yakoje hasa akiwa ni mwanamke? Mimi tangu nijiunge humu mwaka 2008 sijawahi tukana mtu isipokuwa kwa hoja.

Mwanamke wa Kiislam anapokuwa hivi inasikitisha kidogo. Sijawahi mtukana huyu mama wala mtu mwingine yeyote humu. Mohamed Said unayakubali matusi haya kwa kuwa haukutukanwa wewe?
 
Back
Top Bottom