Jobless_Billionaire
JF-Expert Member
- Aug 9, 2022
- 3,106
- 8,101
Hatari aisee. Tasnia zinanuka, mitaani ndio usiseme. Bila mabeberu sijui ingekuaje aiseetena sana,... kweli wa zamani..🧐
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hatari aisee. Tasnia zinanuka, mitaani ndio usiseme. Bila mabeberu sijui ingekuaje aiseetena sana,... kweli wa zamani..🧐
Washukuriwe mabeberuNa watu bado wanadunda tuu..
Kutishana tuuu
Tatizo watu wengi wana kadiria wenzao tuu...Washukuriwe mabeberu
Tungepukutika sana, lakini kwanamna Nature ilivyo, kuna wachache wangepona na kubaki kama immune kwa huu ugonjwa na hivyo kuushinda,...Hatari aisee. Tasnia zinanuka, mitaani ndio usiseme. Bila mabeberu sijui ingekuaje aisee
Duubt1.:rip:Jini kabula.
2.:rip:Agnes masogange.
3.:rip:Hissan Muya aka Tino.
4:rip:.Antie ezekiel.
5.:rip::tape::tape::tape:
Ndio nani mkuuDuubt
PamotoHatari sana
Ni kweli lakini, wasanii wa bongo movie na fleva wako hoi kiuchumi, wanasikitisha mno. Wanajifanya watu wa maana ila hawana lolote kila kukicha wako wanajinadi Insta tu.![]()
Katika hali isiyokuwa ya kawaida na kushtua msanii mkongwe kiwanda cha Bongo movie nchini Miliamu Jolwa maarufu kama Jini Kabula ameibuka na kusema kuwa hakika gonjwa hatari la ukimwei litawateketeza wasanii wote wa Bongo movie na hakuna atakaebaki kama hawatobadilika kitabia.
Akiongea na gazeti la pendwa na Watanzania Maskani Bongo alisem" Sio siri kwa mfano leo hii wasanii wote bongo movie waseme wakamatwe kinguvu wakapimwe HIV utaona hali ilivyokuwa mbaya na sijui hata mmoja atakuwa mzima na sababu kubwa ni njaa ambapo sisi wengi wetu tuna majina lakini hatuna kitu hivyo hiyo hutoa nafasi ya kujirahisha ili kupata pesa" Alisem Kabula kwa uchungu.