Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Alikua ni mcheza show moja ya band aliyochezea ni twangapepeta alikua anajiita Diana aston villaKuna dada mmoja alitoka na mr nice na nnakumbuka kama alizaa nae kabisa, huyo dada aliugua ugonjwa ambao magazeti ya udaku hayakusema ingawa walikuwa wanamwandika kuwa ni mgonjwa, yule dada alikufa akiwa amekonda sana, sina hakika nae kama alikuwa kwenye gridi ya taifa.
Kumuomba mola ama kuachana na ngono zembeJamani mtu yoyote hili janga linawezamkuta hivyo ni kumwomba mola tu
Hakuna marefu yasiokua na mwisho
Katika hali isiyokuwa ya kawaida na kushtua msanii mkongwe kiwanda cha Bongo movie nchini Miliamu Jolwa maarufu kama Jini Kabula ameibuka na kusema kuwa hakika gonjwa hatari la ukimwei litawateketeza wasanii wote wa Bongo movie na hakuna atakaebaki kama hawatobadilika kitabia.
Akiongea na gazeti la pendwa na Watanzania Maskani Bongo alisem" Sio siri kwa mfano leo hii wasanii wote bongo movie waseme wakamatwe kinguvu wakapimwe HIV utaona hali ilivyokuwa mbaya na sijui hata mmoja atakuwa mzima na sababu kubwa ni njaa ambapo sisi wengi wetu tuna majina lakini hatuna kitu hivyo hiyo hutoa nafasi ya kujirahisha ili kupata pesa" Alisem Kabula kwa uchungu.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Money stunna mimi ni zaidi ya tester, nawajua hadi member humu kupitia post zao tu, achilia kuwaona kwa macho.
Kwa mzee wa kidalipo nae ni mbongo muvi?!Hayo madai yake ni kutaka kujificha tu, halafu huyu dada ni yule aliyezaa na mr. nice au?
Wewe utatangulia kufa na utawaacha hai ..shetani mkubwa wew..1.:rip:Jini kabula.
2.:rip:Agnes masogange.
3.:rip:Hissan Muya aka Tino.
4:rip:.Antie ezekiel.
5.:rip::tape::tape::tape:
Dola Iddy kabusti mwili mzee,simu yako itakuwa haiishi charge hovyo hovyo!!!!!Nilikuwa na mpango wa kumtongoza Irene Uwoya ila nimeghairi.
Grid ya taifa umetishaJini Kabula nilisikiaga mda mreeefu yuko kwenye gridi ya Taifa.Vidonge vinasaidia sana aisee!
Mmh hii hatari, so tumuongeze na mose iyobo??Kwenye hiyo orodha nina uhakika na hao watu wawili.
1.Jini kabula mwenyewe.
2.Agnes masogange.
3.Hissan Muya aka Tino.
4.Antie ezekiel.
5......
Wenye info mwaweza kuendeleza huo uzi.
Jamani huu ni ukweli au changamsha Uzi?Wema Sepetu
We kaka kama upo bado jf hebu rudi mara moja, unafanyia ctc?Hapo sibishi, wema anatoka na platinums, platinums ametoka na jokate, aunt ezekiel,irene uwoya,jack wolper, lulu,...... list ndefu, halafu angalia hao niliowataja na watu waliotoka nao kila mmoja, mfano lulu katoka na bob juniour(tetesi zangu), wema ndio usiseme, halafu ongeza na wolper na aunt, utaona mnyororo mrefu ambao ndani yake hata huyo anayedai kuwa wasanii wenzake wana ngoma na yeye mwenye yupo! "Ndege wafananao huruka pamoja".