Jini Kabula: Wasanii Wengi Wa Bongo Movies Ni Waathirika Wa Ukimwi

Jini Kabula: Wasanii Wengi Wa Bongo Movies Ni Waathirika Wa Ukimwi

Hapo sibishi, wema anatoka na platinums, platinums ametoka na jokate, aunt ezekiel,irene uwoya,jack wolper, lulu,...... list ndefu, halafu angalia hao niliowataja na watu waliotoka nao kila mmoja, mfano lulu katoka na bob juniour(tetesi zangu), wema ndio usiseme, halafu ongeza na wolper na aunt, utaona mnyororo mrefu ambao ndani yake hata huyo anayedai kuwa wasanii wenzake wana ngoma na yeye mwenye yupo! "Ndege wafananao huruka pamoja".

si wanacondomising
 
alishatoka na mr. nice muda mrefu tu baada ya chuz. kipindi.hicho anaishi makongo juu.....

Kuna dada mmoja alitoka na mr nice na nnakumbuka kama alizaa nae kabisa, huyo dada aliugua ugonjwa ambao magazeti ya udaku hayakusema ingawa walikuwa wanamwandika kuwa ni mgonjwa, yule dada alikufa akiwa amekonda sana, sina hakika nae kama alikuwa kwenye gridi ya taifa.
 
Kuna dada mmoja alitoka na mr nice na nnakumbuka kama alizaa nae kabisa, huyo dada aliugua ugonjwa ambao magazeti ya udaku hayakusema ingawa walikuwa wanamwandika kuwa ni mgonjwa, yule dada alikufa akiwa amekonda sana, sina hakika nae kama alikuwa kwenye gridi ya taifa.

anaitwa diana, alikuwa mcheza shoo wa diamond sound kipindi hicho.. ni kweli alizaa na mr.nice.
 
kuna dada mmoja alitoka na mr nice na nnakumbuka kama alizaa nae kabisa, huyo dada aliugua ugonjwa ambao magazeti ya udaku hayakusema ingawa walikuwa wanamwandika kuwa ni mgonjwa, yule dada alikufa akiwa amekonda sana, sina hakika nae kama alikuwa kwenye gridi ya taifa.

diana aston vila..
 
duuh...!
 

Attachments

  • 1396780623416.jpg
    1396780623416.jpg
    57.1 KB · Views: 2,827
Sasa na ck mnataka kusema yupo kwenye mlolongo, na kajala na Naima
 
Muda si mrefu na yeye atatoa ushuhuda kuwa anakula vidonge. Huu ujasiri kautoa wapi?Au ndo anatafuta promo katika media.
 
Back
Top Bottom