palalisote
JF-Expert Member
- Aug 4, 2010
- 8,335
- 1,459
Kah naye ilikuwa grid ya taifa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ku single out a group na kuwasimanga with generalization kwamba wana UKIMWI.
Mtego wa panya unanasa waliokusudiwa na wasokusudiwa.
Halafu habari za magonjwa kwa walioelimika ni suala la faragha, ukianza kwenda barabarani na kunyooshea vidole yule anaumwa hiki na yule anaumwa kile, utakuwa umekosa ustaarabu.
Otherwise, kama hamna haja ya fargha, basi tuanzishe a national register tuiweke online, kila mtu apime majibu yake yawe online tujue.
Sio tunanyooshea vidole watu wa bongo movies wakati UKIMWI umejaa nchi nzima kuanzia mawaziri na.wabunge mpaka watoto wa mitaani.
Dah..
Hatari sana..
Hapo wa3(diana,semhando,aisha madinda) wameshaenda...
Na m1(banza stone) yupo hoi bin taabani..
Nae Mr.Nice nmemuona juzi sura imaharibika kwa majipu..
Yalabi tunusuru waja wako..
Kesheni mkiomba myakwepe Majaribu..
True brotherJamani mtu yoyote hili janga linawezamkuta hivyo ni kumwomba mola tu
aiseeeeeeJamani mtu yoyote hili janga linawezamkuta hivyo ni kumwomba mola tu
Wewe sio Mungu unaweza kufa wewe ukawaacha Hao,kupata HIV sio kifo. Vipi kuhusu magonjwa kama kansa? Tena mate chini weww1.:rip:Jini kabula.
2.:rip:Agnes masogange.
3.:rip:Hissan Muya aka Tino.
4:rip:.Antie ezekiel.
5.:rip::tape::tape::tape:
Tema mate chini kuna dada mbongo alipata maambukizi Ujerumani kutoka kwa mbongo mwenzake.