Meneja Wa Makampuni
JF-Expert Member
- Jul 7, 2020
- 7,899
- 10,415
Kuna wakati mtu unapata pesa za haraka alafu unashindwa kuwaza ufanye nini kwa haraka ili pesa yako isiishe bila kufanya cha maana. Wengine wanapata kutoka kwenye kiinua mgongo, mafao fulani, wengine mkopo, wengine ni mgao fulani, wengine wanagawiwa kama zawadi n.k
Kama mimi ningebahatika kuishika milioni 100 kwa haraka, ningeivunja katika vipande kwa umakini mkubwa sana, nikihakikisha kila senti inatumika ipasavyo🤣:
1. Milioni 30 ningewekeza katika soko la hisa hususan hisa ya CRDB. Ingekuwa imekuja hii hela 2022 basi hela yote ningetupia NICOL na 2024 ningekuwa nimetengeneza milioni 200 (maana kwa miaka 2 NICOL ilikua mara 2 yake toka bei ya hisa 380 hadi 810 Julai/Agosti).
2. Milioni 30 nyingine ningetupia hatifungani za miaka 25 na kisha gawio lake lote lingekuwa linaelekea UTT AMIS.
3. Milioni 10 ningeacha katika akiba dharura na nayo ingekuwa katika mfuko wa Ukwasi inayoendelea kukua mdogo mdogo.
4. Milioni 10 nyingine ningeiweka katika biashara kuendeleza kukuza biashara kidogo kidogo.
5. Milioni 10 nyingine ningeweka katika ununuzi wa vito kama sehemu ya akiba.
6. Milioni 5 ningeweka katika akiba ya uwekezaji binafsi katika maarifa kwa miaka 2 juu ya uwekezaji na biashara.
7. Milioni 3 inayobakia iendelee kuwa sehemu ya ustawi wa kijamii.
8. Milioni 2 kwa ajili ya kupata nafasi ya kusafiri nchini kutafuta fursa za kibiashara.
Ningefanya hayo
Lakini pia wanaopenda mambo ya biashara tuna vitabu viwili tumeviandika vinaweza kukusaidia sanasana. Kitabu cha kwanza ni kwa wale wanaopenda kuchukua bidhaa kariakoo kitabu kimewarahisishia ili waweze kufika kiurahisi kwa wauzaji wa jumla. Na kitabu cha pili ni kwa ndugu zetu wanaopenda kujenga na kufungua vituo vya mfuta vijijini na mjini. Kimewaongoza hatua zote za kufanya.
Unataka kujifunza biashara na unahitaji hivyo vitabu karibu Whatsapp: 0612607426
Kama mimi ningebahatika kuishika milioni 100 kwa haraka, ningeivunja katika vipande kwa umakini mkubwa sana, nikihakikisha kila senti inatumika ipasavyo🤣:
1. Milioni 30 ningewekeza katika soko la hisa hususan hisa ya CRDB. Ingekuwa imekuja hii hela 2022 basi hela yote ningetupia NICOL na 2024 ningekuwa nimetengeneza milioni 200 (maana kwa miaka 2 NICOL ilikua mara 2 yake toka bei ya hisa 380 hadi 810 Julai/Agosti).
2. Milioni 30 nyingine ningetupia hatifungani za miaka 25 na kisha gawio lake lote lingekuwa linaelekea UTT AMIS.
3. Milioni 10 ningeacha katika akiba dharura na nayo ingekuwa katika mfuko wa Ukwasi inayoendelea kukua mdogo mdogo.
4. Milioni 10 nyingine ningeiweka katika biashara kuendeleza kukuza biashara kidogo kidogo.
5. Milioni 10 nyingine ningeweka katika ununuzi wa vito kama sehemu ya akiba.
6. Milioni 5 ningeweka katika akiba ya uwekezaji binafsi katika maarifa kwa miaka 2 juu ya uwekezaji na biashara.
7. Milioni 3 inayobakia iendelee kuwa sehemu ya ustawi wa kijamii.
8. Milioni 2 kwa ajili ya kupata nafasi ya kusafiri nchini kutafuta fursa za kibiashara.
Ningefanya hayo
Lakini pia wanaopenda mambo ya biashara tuna vitabu viwili tumeviandika vinaweza kukusaidia sanasana. Kitabu cha kwanza ni kwa wale wanaopenda kuchukua bidhaa kariakoo kitabu kimewarahisishia ili waweze kufika kiurahisi kwa wauzaji wa jumla. Na kitabu cha pili ni kwa ndugu zetu wanaopenda kujenga na kufungua vituo vya mfuta vijijini na mjini. Kimewaongoza hatua zote za kufanya.
Unataka kujifunza biashara na unahitaji hivyo vitabu karibu Whatsapp: 0612607426