Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Utawala wa awamu ile uliamini kwenye Umasikini, Shida na Mateso . Kwamba umasikini ni baraka .
Akizungumza mara baada ya kuapishwa kuwa Rais wa Tanzania 2015 , alikuwa akihutubia kwao Chato na alizungumzia ufaulu wa Darasa la 7 baada ya wanafunzi wengi kufeli kwenye shule aliyosoma , aliwalaumu wazazi kwa kuwalea watoto wao kimayaimayai , aliendelea kusema kwamba enzi zao walitembea umbali mrefu kwenda shule kwa miguu ( TZ 11 ) na walishinda njaa lakini walifaulu , yaani kiongozi anaamini dhiki italeta ufaulu! Hakika haya yalikuwa mawazo duni sana .
Uongozi wa awamu hii uliamini kwamba matajiri ni maadui na ni wezi , na kwamba hela zao hazikuwa za halali, kwamba huwezi kuwa na hela bila kuiba, Bilionea Mbowe na Club yake ya Bilicanas wakashughulikiwa na kufilisiwa , serikali ikapora hadi Spika na waya za club hiyo , kwenye uharamia huu Jiwe alishirikiana kikamilifu na Nehemia Mchechu, Yusuph Manji na matajiri wengine kadhaa wakadhibitiwa na kusingiziwa kila uchafu , hela zao zikaporwa .
Matokeo yake ajira zikafa , na ufadhili kwenye kila sekta hadi kwenye michezo zikayeyuka , Panya Road wakaibuka.
Akizungumza mara baada ya kuapishwa kuwa Rais wa Tanzania 2015 , alikuwa akihutubia kwao Chato na alizungumzia ufaulu wa Darasa la 7 baada ya wanafunzi wengi kufeli kwenye shule aliyosoma , aliwalaumu wazazi kwa kuwalea watoto wao kimayaimayai , aliendelea kusema kwamba enzi zao walitembea umbali mrefu kwenda shule kwa miguu ( TZ 11 ) na walishinda njaa lakini walifaulu , yaani kiongozi anaamini dhiki italeta ufaulu! Hakika haya yalikuwa mawazo duni sana .
Uongozi wa awamu hii uliamini kwamba matajiri ni maadui na ni wezi , na kwamba hela zao hazikuwa za halali, kwamba huwezi kuwa na hela bila kuiba, Bilionea Mbowe na Club yake ya Bilicanas wakashughulikiwa na kufilisiwa , serikali ikapora hadi Spika na waya za club hiyo , kwenye uharamia huu Jiwe alishirikiana kikamilifu na Nehemia Mchechu, Yusuph Manji na matajiri wengine kadhaa wakadhibitiwa na kusingiziwa kila uchafu , hela zao zikaporwa .
Matokeo yake ajira zikafa , na ufadhili kwenye kila sekta hadi kwenye michezo zikayeyuka , Panya Road wakaibuka.