Jinsi awamu ya 5 ilivyoua ajira za Vijana wazawa

Jinsi awamu ya 5 ilivyoua ajira za Vijana wazawa

Utawala wa awamu ile uliamini kwenye Umasikini , Shida na Mateso . Kwamba umasikini ni baraka .

Akizungumza mara baada ya kuapishwa kuwa Rais wa Tanzania 2015 , alikuwa akihutubia kwao Chato na alizungumzia ufaulu wa Darasa la 7 baada ya wanafunzi wengi kufeli kwenye shule aliyosoma...
Ila ww jamaa bhana 😂 JPM alikuchukuliaga mume nini mbona hvy.?
 
Utawala wa awamu ile uliamini kwenye Umasikini , Shida na Mateso . Kwamba umasikini ni baraka .

Akizungumza mara baada ya kuapishwa kuwa Rais wa Tanzania 2015 , alikuwa akihutubia kwao Chato na alizungumzia ufaulu wa Darasa la 7 baada ya wanafunzi wengi kufeli kwenye shule...
Panya Road awamu ya nne sio ya tano. Awamu ya tano kila mtu alitafuta kipato kisicho tiliwa mashaka. Leo umeamua kuhamia awamu ya tato baada ya hii ya Sita kuwalambisha asali?
 
Bila shaka hujui kusoma
Hiyo Bilicanas unayodai ilikuwa ni Danguro tu, tena a lesser version ya Maggot.

Hiyo Bilicanas ilikuwa inajulikana kama kituo cha Mamisheni tauni wote Dar usiku. Biashara zoye haramu zilikiwa zikijadiliwa pale ghorofani....ndio mule vyumbani? Kwanini kusiwemo na fedha zisizo halali?

Hiyo Billicanas ilikuwa ikisadikia kuwa ya utakashishaji wa fedha? haramu.

Hiyo Billicanas ilikuwa hailipi pango National Housing

Mbali na hela ya Urithi, hizo zingine zina uwezekano mkubwa sana zilikuwa sio halali. Unabisha? Mbona hakuenda mahakamani kuzidai fedha zake

Manji ndio kabisaaa

Nimekusoma, ila sasa utanielewa.
 
Mimi naamini bado matajiri ni maadui. Hebu fikiria mtu mmoja anaagiza matairi nje alafu anayauza hapa nchini yeye na familia yake ambapo kiwanda kinachoajiri zaidi ya watu 2000 kinaachwa kife. Hivi viwanda vya aina hii vikiwa vinne nchini watu wangapi watapata ajira? Viwanda kama Tanganyika Packers, Urafiki, UFI, Mwatex, Mutex, Morogoro shoes tena kule morogoro viwanda kibao hivi vyote serikali iliwekeza jee hakuna mtu mwenye mawazo ya kuvifufua? Nchi yetu iligeuka nchi ya wachuuzi tu yaani kwenda Dubai, China, Singapore , Thailand na kuleta mitumba toka nje !!!Hapo hakuna maendeleo. Nchi yetu ni kubwa population ni kubwa hatuna shida ya soko. Matajiri wa mabasi na malori sasa hivi wanashugulikia SGR isifanye kazi hata Morogoro tu haijafika....Ufadhili wa michezo waliofadhili wameambiwa tena hadhalani kwamba wasisumbuliwe na TRA maana yake mizigo yao wanayoingiza nchini hawalipi kodi..
Matajiri siyo maadui, viongozi wanaofanya biashara kwa siri ndiyo maadui kwa kuwa wana mgongano wa maslahi na kwa vyovyote wataamua kuua sekta ya uma ili biashara zao ziendelee.
Tunahitaji wafanyabiashara huru, wasiojihusisha na siasa moja kwa moja ili serikali iwajibike kwa wananchi walio wengi ambao kura zao zina nguvu dhidi ya viongozi wa kisiasa.
Hata hivyo, siyo rahisi kutenganisha wafanyabiashara matajiri na siasa kwa kuwa wanasiasa wengi hutumia vyeo vyao na vyombo via dola kutafuta rushwa kwa nguvu kutoka kwa wafanyabiashara.
 
Mbona unaonyesha uwezo mdogo kifikra, wewe unakosoa Awamu ya Tano kumbe unatuambia tena Awamu ya Sita ni wazembe, so which is which?

Yaani unapinga kujiimarisha kwenye uzalishaji wa viwanda vya ndani ili tuendelee kutegemea wachuuzi wa nje eti wataleta ajira my foot.
Mkuu hela ya Membe umelipa ?
 
Mbona unaonyesha uwezo mdogo kifikra, wewe unakosoa Awamu ya Tano kumbe unatuambia tena Awamu ya Sita ni wazembe, so which is which?

Yaani unapinga kujiimarisha kwenye uzalishaji wa viwanda vya ndani ili tuendelee kutegemea wachuuzi wa nje eti wataleta ajira my foot.
Kaka nyamaza kabla sijakulipua
 
Hiyo Bilicanas unayodai ilikuwa ni Danguro tu, tena a lesser version ya Maggot.

Hiyo Bilicanas ilikuwa inajulikana kama kituo cha Mamisheni tauni wote Dar usiku. Biashara zoye haramu zilikiwa zikijadiliwa pale ghorofani....ndio mule vyumbani? Kwanini kusiwemo na fedha zisizo halali?

Hiyo Billicanas ilikuwa ikisadikia kuwa ya utakashishaji wa fedha? haramu.

Hiyo Billicanas ilikuwa hailipi pango National Housing

Mbali na hela ya Urithi, hizo zingine zina uwezekano mkubwa sana zilikuwa sio halali. Unabisha? Mbona hakuenda mahakamani kuzidai fedha zake

Manji ndio kabisaaa

Nimekusoma, ila sasa utanielewa.
Umelishwa matango pori
 
Hakuna formula ya kuendeleza uchumi kwa kuwakandamiza wenye mitaji. Magufuli alikosea sana..

Na laiti kama angekuwa anakubali kushauriwa na kushaurika angekuwa kiongozi bora wa mfano kuwahi kutokea.

Ninachoamini hii nchi mtu akiwa kiongozi anakuwa anazungukwa na smart brain na atapata ushauri wote mzuri anaoutaka, shida itaanza kama kiongozi akiwa na ego na kukataa ushauri, hicho ndo kilimponza Magufuli... Kuona kwamba alikuwa anajua kila kitu lilikuwa ni kosa kubwa sana
Takwimu hazidanganyi. As a matter of fact hata lile dubwasha Guggu ukigonga unaelezwa, hakuna wakati mwingine wowote ule Tanzania uchumi wake ulikuwa maradufu na kwa haraka kama nyakati ya Hayat Magufuli. Hakuna

...itoshe hakuna sehemu yeyote ile inayosema hakushaurika....

Erythro(na genge lake)sio CHADEMA wala CCM, ni mawakala na mamluki wa Mabeberu na wanaijificha kwenye chaka la Upinzani, hawapendi Upinzani wa kweli wa Mwafrika, kuwa huru na Rasilimali zake....na Uchumi wake.

Mfuatilie vizuri utaelewa... Mbowe mwenyewe aliwakataa hawa vibaraka na kuziita hizi posti zao "propaganda za kitoto".

Ushajiuliza kwanini wao huwa wanaleta Nyuzi kama hizi? Nyuzi za kufunika!

Walikuwa wapi wakati wa ishu ya bandari ilipojitokeza?
 
Utawala wa awamu ile uliamini kwenye Umasikini, Shida na Mateso . Kwamba umasikini ni baraka .

Akizungumza mara baada ya kuapishwa kuwa Rais wa Tanzania 2015 , alikuwa akihutubia kwao Chato na alizungumzia ufaulu wa Darasa la 7 baada ya wanafunzi wengi kufeli kwenye shule aliyosoma , aliwalaumu wazazi kwa kuwalea watoto wao kimayaimayai , aliendelea kusema kwamba enzi zao walitembea umbali mrefu kwenda shule kwa miguu ( TZ 11 ) na walishinda njaa lakini walifaulu , yaani kiongozi anaamini dhiki italeta ufaulu! Hakika haya yalikuwa mawazo duni sana .

Uongozi wa awamu hii uliamini kwamba matajiri ni maadui na ni wezi , na kwamba hela zao hazikuwa za halali, kwamba huwezi kuwa na hela bila kuiba, Bilionea Mbowe na Club yake ya Bilicanas wakashughulikiwa na kufilisiwa , serikali ikapora hadi Spika na waya za club hiyo , kwenye uharamia huu Jiwe alishirikiana kikamilifu na Nehemia Mchechu, Yusuph Manji na matajiri wengine kadhaa wakadhibitiwa na kusingiziwa kila uchafu , hela zao zikaporwa .

Matokeo yake ajira zikafa , na ufadhili kwenye kila sekta hadi kwenye michezo zikayeyuka , Panya Road wakaibuka.

Hukumuelewa Dkt Magufuli, pole sana.
 
Utawala wa awamu ile uliamini kwenye Umasikini, Shida na Mateso . Kwamba umasikini ni baraka .

Akizungumza mara baada ya kuapishwa kuwa Rais wa Tanzania 2015 , alikuwa akihutubia kwao Chato na alizungumzia ufaulu wa Darasa la 7 baada ya wanafunzi wengi kufeli kwenye shule aliyosoma , aliwalaumu wazazi kwa kuwalea watoto wao kimayaimayai , aliendelea kusema kwamba enzi zao walitembea umbali mrefu kwenda shule kwa miguu ( TZ 11 ) na walishinda njaa lakini walifaulu , yaani kiongozi anaamini dhiki italeta ufaulu! Hakika haya yalikuwa mawazo duni sana .

Uongozi wa awamu hii uliamini kwamba matajiri ni maadui na ni wezi , na kwamba hela zao hazikuwa za halali, kwamba huwezi kuwa na hela bila kuiba, Bilionea Mbowe na Club yake ya Bilicanas wakashughulikiwa na kufilisiwa , serikali ikapora hadi Spika na waya za club hiyo , kwenye uharamia huu Jiwe alishirikiana kikamilifu na Nehemia Mchechu, Yusuph Manji na matajiri wengine kadhaa wakadhibitiwa na kusingiziwa kila uchafu , hela zao zikaporwa .

Matokeo yake ajira zikafa , na ufadhili kwenye kila sekta hadi kwenye michezo zikayeyuka , Panya Road wakaibuka.

Mimi naona wewe ni mpumbavu tu na huna hoja ya maana. Stupid monkey. Badala uzungumzie changamoto za sasa unaleta chuki za kijinga kwa awamu iliyopita.
 
Huo ni uzembe wa serikali yako
Wewe huwa ni mtu mwenye fikra mbirikimo na akili zenye matege,haujawahi kupumzika juu ya awamu ya tano,kila mada una andika ni awamu ya tano,unaviza akili yako kwa kuruhusu chuki iutawale moyo na akili zako,utaendelea kuteseka sana kwa ajiri ya huo upumbavu wako.
 
Back
Top Bottom