Jinsi awamu ya 5 ilivyoua ajira za Vijana wazawa

Nyie mnazo sababu zenu binfsi zinazowafanya muwe na chuki,chuki hazijengi na hupofusha fikra na kuotesha kutu kwenye akili.uwezo wa kupambanua ukweli na uongo hupotea.nyie mnachuki binafsi na awamu ya tano.
 
Hao matajiri wa Tanzania ambao hawakupata utajiri kutokana na rushwa na wizi wa mali ya umma tutajie hapa
 
Msaidizi wa Tundu Lisu amekatwa mapanga
 
Mawazo kama haya ndio yanafanya taifa hili lizidi kuwa masikini. Kiwanda ulichotolea mfano hakikuuawa na matajiri uliowazungumzia, na kingekuwa kinamilikiwa na hao matajiri hakingekufa. Hatuwezi kurudi nyuma mahali ambapo tulishaangukia serikali ilipokuwa inaendesha biashara na uzalishaji mali. Serikali inapaswa kuacha (na kuwezesha) sekta binafsi ifanye biashara na uzalishaji. Kazi ya serikali ibaki kutunga na kusimamia sera wezeshi, kukusanya kodi kikamilifu, kutoa huduma ikiwepo ulinzi na usalama na kujenga miundombinu mbalimbali.
Mpaka hapa tulipofika wakubeba lawama ni nani? Ni ccm ambao hawataki tuwe na katiba mpya itakayowathibiti wanasiasa wake ambao ndio waliuwa mashirika na viwanda vya umma, hawawajibiki ipasavyo kwenye ukusanyaji kodi bali wanasaidia wafanya biashara kukwepa kodi. Wanasiasa wa ccm ndio walarushwa wakubwa nchi hii. Mwingine alifanya ujuha kujaribu kumfilisi mwanasiasa wa upinzani kwa kuvuruga biashara zake, hata kuharibu miundombinu ya shamba lake. Kama alikuwa na hatia yoyote kwanini njia za kimahakama hazikutumika kumshughulikia? Nani alikuwa biashara ya mbaazi? Nani alivuruga soko la korosho? Nani aliuwa mashamba ya maua? Ajira ngapi zilipotea hapo? Badala ya kukusanya kodi, unafilisi walipa kodi eti huko nyuma walikwepa kodi. Maofisa wa serikali ambao waliwashawishi wafayabiashara kukwepa ili wapate rushwa mbona hawakuchukuliwa hatua? Then baada ya kumfilisi mlipa kodi utapata wapi kodi? No wonder hakuna mzunguko wa pesa mtaani- haya ni matokeo ya sera za ccm na yule 'shujaa' wao.
Suluhisho? Tupate KATIBA mpya itakayo wathibiti hawa wanasiasa na watumishi wa umma ambao ndio wezi wakubwa wa rasilimali za nchi hii. Na mambo mengine ya kijinga kama kinga ya mtu kutoshtakiwa na kuwajibishwa kwa makosa aliyotenda akiwa madarakani tuyafutilie mbali.
 
Basi nikajua unapinga
 
Mwezi wa Mungu ndio unaishia hivyo , Tuendelee au tusiendelee ?
 
Wapinzani ni mzigo kwa Taifa hili maana hawatambui wanatakiwa kusimami mambo gani.

Ni wahuni tu wamejazana huko kula ruzuku za bure bure kwa kuwapa matumaini hewa wananchi.

Siwaamini hata chembe.
 
Mbowe kama Mbowe binafsi hajawahi kuwa na mali zake.

Mpaka hivi tunavyoandika Mbowe anatembea chini ya kivuli cha mali za Urithi pekee!
Kama ni mali anayomiliki kama yake basi ni hii nyumba aliyojenga kupitia Ruzuku ya serikali kwenda Chadema.
Na ieleweke hivyo.
 
Yaliyopita si ndwele, tugange yajayo. Mama huyu hapa...fursa kibao na uhuru umetamalaki.
 
Ukiachilia michango hii,

  • Fedha za join ze chain zilipatikana bei gani na ziko wapi?
  • Ruzuku ya Tsh. 2.7/- Mbowe umekula na nani? Hii fedha mtakuja kusema hapa kama sio hisani ni haki yenu, lakini mkumbuke kwamba baada ya uchaguzi mkuu 2020 mkatamka wazi kwamba, hamtochukua ruzuku kwani kufanya hivyo ni kukubali matokeo ya uchaguzi mkuu 2020, ila 2023 mmefanya hivyo na mmekaa kimya..

- Fedha za matibabu ya Prof. J hamkuwahi kusema mlipata bei gani na hata siku moja hatukuona mkitoa msaada kwa mgonjwa huyo!
Fedha za Michango ya wahanga wa Mafuriko kule HANANG mtaziwakilisha na kuzikabidhi lini kwa wahanga?
Je!inakuwaje mnatumia RUZUKU kulipana posho za kujikimu kwenye Maandamano ambayo kimsingi ni ya Hiari?

Inakuwaje mwenyekiti wa Chadema ambacho kinajinasibu kuwa mtetezi wa watanzani, ana wadhurumu waandishi wa habari wa "Tanzania Daima" Gazeti ambalo ndio hasa lolikuwa msingi wa Propaganda za Chadema na kusaifia kwa kiasi kikubwa kuipaisha Chadema had kufikia hapo ilipo?

Je tukisema kwamba Mbowe hafai kuwa kiongozi wa kariba ya uongozianaojinasibu kuwa nao mtatuona wabaya?

Maswali hayo hapo juu ukiwa ndani ya chadema kama utayauliza, utakuwa au naweza kuwa ume sign your death warranty!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…