Jinsi biashara ya Uber ilivyonikutanisha na dada huyu mrembo wa ajabu

Jinsi biashara ya Uber ilivyonikutanisha na dada huyu mrembo wa ajabu

Antonnia anza na hii ni tamu balaa
Hewala...

Ingependeza uweke na muda kabisa mkuu, kama ilivyo vipindi vya luninga au radio, kwamba 10 kamili sharp unajua kuna kipindi fulani...

Yaani kama ulivyo smart kwenye muda katika visa unavyosimulia, mathalani muda wa kumchukua Iryn, Mama 2 n.k...
n
 
Piga block ubwa wote wanaobweka bila sababu, Hata wakileta comment za kiwaki hutaziona,
 
Ila Kuna mijitu humu jukwaani inakera,kwani hamna kazi za kufanya jameni?kutwa mko jamvin mnalilia story na kucoment upuuz kwenye huu uzi hadi,unapoteza ladha,aggrrrh mwacheni mleta story atulie ataleta kwa wakti wake akiwa tayari,acheni kujichatisha kwenye huu uzi,mna nyuzi zenu kibao za kuongelea upupu,nendeni huko🙏
 
Ila Kuna mijitu humu jukwaani inakera,kwani hamna kazi za kufanya jameni?kutwa mko jamvin mnalilia story na kucoment upuuz kwenye huu uzi hadi,unapoteza ladha,aggrrrh mwacheni mleta story atulie ataleta kwa wakti wake akiwa tayari,acheni kujichatisha kwenye huu uzi,mna nyuzi zenu kibao za kuongelea upupu,nendeni huko🙏
Jaman story ni nzuri sana tunashindwa kuvumilia
 
Ila Kuna mijitu humu jukwaani inakera,kwani hamna kazi za kufanya jameni?kutwa mko jamvin mnalilia story na kucoment upuuz kwenye huu uzi hadi,unapoteza ladha,aggrrrh mwacheni mleta story atulie ataleta kwa wakti wake akiwa tayari,acheni kujichatisha kwenye huu uzi,mna nyuzi zenu kibao za kuongelea upupu,nendeni huko[emoji120]

Chukua soda kwa mangi nakuja kulipa.

Unaingia humu unakuta reply 100+ unajua labda mwenye thread kaendelea kumbe ni chitchat za wadau pambaf kabisa [emoji706][emoji706][emoji706][emoji706]
 
Humu ndani nimegundua watoto wengi wa kiume wana wivu kuliko hata dadazao....[emoji1787]

Yani dah ongea na wadogo zako Sijui ni maisha maana wana stress hadi wanahamishia huku Jf[emoji28][emoji28][emoji28]
 
Bwana Hassan Killo, uko Msamvu hapo Morogoro. Usiniulize nimekufahamu vipi, nakushauri tu uache kusumbua watu humu. Eti "nimeruka na mademu wakali Dubai", hapo Msamvu kuna sehemu inaitwa Dubai?

Kwa mfano, hii story ikiwa ni fiction, wewe unapungukiwa nini? Stop this nonsense!

[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Nimecheka dah
 
Mimi naanza vipi kujuana na wapuuzi kama wewe? Huwa sifanyi biashara na wehu!

Acha wivu mtoto wa kiume. Yani ukisikia mtu anashobokewa na wanawake wewe roho inakuuma? Kwani wewe haudindi? Au ulitaka umshobokee wewe?

Soma story, kama haikuvutii pita kule. Acha wanaoipenda wafuatilie.

I have my reliable sources of information. Ukiendelea kusumbua naweka na picha zako. Nimetumiwa hapa naziangalia, sura mbovu kama gari la jeshi!

[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]

[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]my ribs dah
 
Ila Kuna mijitu humu jukwaani inakera,kwani hamna kazi za kufanya jameni?kutwa mko jamvin mnalilia story na kucoment upuuz kwenye huu uzi hadi,unapoteza ladha,aggrrrh mwacheni mleta story atulie ataleta kwa wakti wake akiwa tayari,acheni kujichatisha kwenye huu uzi,mna nyuzi zenu kibao za kuongelea upupu,nendeni huko[emoji120]
Kama mizee ya upinde.


Inalilia story tu.
 
Insider kwanza tunakushukuru kwa experience ambayo umetupa hata kama isingekua kweli ila the way una narate mazingira ni uhalisia na inatoa picha halis ya baadh ya issues so tunashukuru sana..
Tatizo la JF ni wajuaji sana hata iliongea jambo lolote kuna wa kucŕush na wa kuunga mkono ni haki na uhuru wao.. kwa sis tulioipenda tunasikitika ila kwa wapingaji wamepata walichokitaka.. Binafsi tunakushukru kwa kila mafunzo na burudani tuliyoipata hapa.. niseme tu ubarikiwe sana Insider..

Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom