nHewala...
Ingependeza uweke na muda kabisa mkuu, kama ilivyo vipindi vya luninga au radio, kwamba 10 kamili sharp unajua kuna kipindi fulani...
Yaani kama ulivyo smart kwenye muda katika visa unavyosimulia, mathalani muda wa kumchukua Iryn, Mama 2 n.k...
Asantee kipenzi kumbe ni story yenye muendelezo!!!
Imeisha hyo tuliaPiga block ubwa wote wanaobweka bila sababu, Hata wakileta comment za kiwaki hutaziona,
Vuta subra mzeeRoho inaniambia Insider katukimbia ngoja tuone iyo ijumaa
uzuri kitrako unacho cha kutosha, kalia [emoji23]Asantee kipenzi kumbe ni story yenye muendelezo!!!
Ngoja niikalie kitrako!
Advicer Bantu Lady Lovelovie Tayukwa huku pia kumekuchaaa wapendwa!
Asante ccyAsantee kipenzi kumbe ni story yenye muendelezo!!!
Ngoja niikalie kitrako!
Advicer Bantu Lady Lovelovie Tayukwa huku pia kumekuchaaa wapendwa!
Jaman story ni nzuri sana tunashindwa kuvumiliaIla Kuna mijitu humu jukwaani inakera,kwani hamna kazi za kufanya jameni?kutwa mko jamvin mnalilia story na kucoment upuuz kwenye huu uzi hadi,unapoteza ladha,aggrrrh mwacheni mleta story atulie ataleta kwa wakti wake akiwa tayari,acheni kujichatisha kwenye huu uzi,mna nyuzi zenu kibao za kuongelea upupu,nendeni huko🙏
Ila Kuna mijitu humu jukwaani inakera,kwani hamna kazi za kufanya jameni?kutwa mko jamvin mnalilia story na kucoment upuuz kwenye huu uzi hadi,unapoteza ladha,aggrrrh mwacheni mleta story atulie ataleta kwa wakti wake akiwa tayari,acheni kujichatisha kwenye huu uzi,mna nyuzi zenu kibao za kuongelea upupu,nendeni huko[emoji120]
Humu ndani nimegundua watoto wengi wa kiume wana wivu kuliko hata dadazao....[emoji1787]
Bwana Hassan Killo, uko Msamvu hapo Morogoro. Usiniulize nimekufahamu vipi, nakushauri tu uache kusumbua watu humu. Eti "nimeruka na mademu wakali Dubai", hapo Msamvu kuna sehemu inaitwa Dubai?
Kwa mfano, hii story ikiwa ni fiction, wewe unapungukiwa nini? Stop this nonsense!
Mimi naanza vipi kujuana na wapuuzi kama wewe? Huwa sifanyi biashara na wehu!
Acha wivu mtoto wa kiume. Yani ukisikia mtu anashobokewa na wanawake wewe roho inakuuma? Kwani wewe haudindi? Au ulitaka umshobokee wewe?
Soma story, kama haikuvutii pita kule. Acha wanaoipenda wafuatilie.
I have my reliable sources of information. Ukiendelea kusumbua naweka na picha zako. Nimetumiwa hapa naziangalia, sura mbovu kama gari la jeshi!
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
Kama mizee ya upinde.Ila Kuna mijitu humu jukwaani inakera,kwani hamna kazi za kufanya jameni?kutwa mko jamvin mnalilia story na kucoment upuuz kwenye huu uzi hadi,unapoteza ladha,aggrrrh mwacheni mleta story atulie ataleta kwa wakti wake akiwa tayari,acheni kujichatisha kwenye huu uzi,mna nyuzi zenu kibao za kuongelea upupu,nendeni huko[emoji120]