Jinsi biashara ya Uber ilivyonikutanisha na dada huyu mrembo wa ajabu


Ntarudi
 

Okkk
 
Dah hii stori nimeifatilia kuanzia saa nne paka saa tisa kasoro... Kudos to the writer you know how to spark the interest of your readers and keep them glued to the pages/threads...
The mystic of is it real or is made up stories is very clever.. But midway you diverged from the theme the protagonist began with(au ndo character development [emoji1787]) that's we know its not a real story but it is a good story nonetheless. [emoji1490][emoji1490][emoji1490] Hongera sana mtoa uzi we ni muandishi mzuri
 
Ok.
 
Mwanaune una lia lia kisa kuprove story niya kweli .are you normal ? au wahuni washa ku mix hormones[emoji97]
 
Malalamiko yako haya yameegemea wapi mbona hueleweki, unalalamika kulimitiwa, unalalamika waharibu uzi au unamlalamikia melo?
Soma kwa kutulia , nililimitiwa kwa sababu ya hao watu wa chai kwa sababu nilishindwa kuwavumilia nikajikuta naenda sanbamba na ujinga wao. Nikaishuwa kulimitia kwa sababu yao...na sijui anawafufa wa nn kwa sababu ni waharibifu ...hata insider akiamua kula nao sahani moja nae kitamkuta kibaya wakati yeye ndio kachokozwa
 
Ultimately the day we've been waiting for....has come!.....

Sijapita huku siku ya 5.....nikiisubiri Jumaaa kareem!....

Njo vile weather iko byeee. leo...

Papaaa iko nasubiri Kutomboka! Na schauffeur wa UBER!!!!
 
Story si itakuwa kuanzia ijumaa, jumamosi na jpili?
Tutulie tu kwa wale wanaosema ni chai temaneni nayo tunachotaka sisi tusome mpaka mwisho!!
Humu watu wenye changamoto za akili ni wapo pia
Jamaa umemstahi uliposema unatuma picha ameingia mitini hahaha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…