Jinsi biashara ya Uber ilivyonikutanisha na dada huyu mrembo wa ajabu

Jinsi biashara ya Uber ilivyonikutanisha na dada huyu mrembo wa ajabu

EPISODE 20

“A TRUE STORY BY INSIDER MAN”

Nilimwacha Prisca katika situation ambayo hajui ajibu nini na mimi nikapotea eneo lile.


TUNAENDELEA

Wakati niko njiani narudi home nilikuwa nawaza pia namna ya kumwambia ukweli Iryn kuhusu maisha yangu kwa ujumla, pia niliwaza namna ya kumfikishia ujumbe either nitumie kama saprize or direct.

Kitendo cha kuyamaliza na Mama J kilinipa sana faraja moyoni na sikutaka kabisa kufanya makosa this time. Lakini pia nilikua napingana na mawazo yangu muda ule, na tatizo lilikua kama Prisca atakubali kuwa na mimi itakuwaje?

Niliwaza pale kama atakubali atakua amekubaliana na kufuata sheria zangu hivyo nitamfanya kama mchepuko, so hatanisumbua akili kabisa.

Muda huo nikiwa road kurudi home nilimpigia simu Iryn na kumwambia nimerudi Dar tayari, na tuliongea mambo mengi sana. Iryn akasema kesho ambayo ni jumanne tutakwenda wote Posta kufuata mzigo.

Nilirudi home nikapitiliza kuoga na nikapanda kitandani, ilikua usiku tayari. Pale kitandani nilikua nawaza namna ya kuendelea kumchimba deep Iryn, mawazo yangu yalikua yananiambia Iryn sio mwanamke wa kawaida kuna kitu behind ambacho sikijui, hivyo niendelee kumweka karibu zaidi.

Nilikua nawaza, Mama yake kafanyia kazi Organization X tena International, hapohapo ana connection na Grizmann ambaye anafanyia kazi Wizara kubwa kule Ufaransa, Iryn mwenyewe pesa anazo, kwanini anafanya massaji?. Niliwaza huenda kuna kitu kinaendelea kuhusu Iryn, niliwaza maybe atakua Jasusi. Lakini nikawa nawaza pale kitandani, Iryn alisema hii kazi yake ya massaji inamuingizia hela sana, lakini uzuri wake unambeba pia maybe watu wanapagawa kwake.

“Hivi nikisema niendelee kumchimba na mimi sijampa hata Abc kuhusu mimi itawezakana?, hapa cha muhimu nianze kumpa code za maisha yangu. Taratibu nitaendelea kumchimba zaidi.”

**********

Asubuhi niliamka mapema na kama ratiba zangu zilivyo za kila siku, lakini upande wa Mtoto wa Mama wa2 (Rachel) alikuwa kaanza likizo ya Easter, hivyo nikawa na Maggy tu. Baada ya kumdrop Maggy Posta, nilikumbuka Iryn alisema kuna kazi ya kufanya leo.

Nilimpigia simu na aliniambia kwamba tutaenda Posta jioni Agent ndo amepanga hivyo na mimi sikuwa na chakusema, maana bossy kasema.

Niliendelea na majukumu yangu kama kawaida ya kubeba abiria na stori kubwa hasa kwa wateja ilikuwa ni suala la Uber kutaka kufunga ofisi zao hapa Tanzania. Wateja wa Uber walikua hawataki kabisa kusikia Bolt, na wengi walikua hawapendi kuitumia, hata mimi kiukweli nilikua siipendi Bolt.

Saa 10 jion Iryn alinipigia simu na akanambia nianze kusogea ili twende tukafate mzigo Posta aliniambia nitafute na gari ya kubeba mzigo, nikamwambia tutapata kulekule.

Saa11 kasoro nilikuwa pale kwake kumchukua na tukaanza safari ya kwenda Posta. Wakati tuko njiani tukielekea Posta, Iryn muda huu alikua akiniangalia sana kama mtu ambaye anataka kuuliza kitu ila kama anasita,

Na mimi nikaamua kuanzisha maongezi;

“Vipi mummy are you okay?”

“Yeah, hivi Insider Dodoma ulikua una mishe gani exactly?”

“Mzee wangu mimi ni Engineer hayuko hapa Tanzania, kuna mikataba alitaka mimi nikasaini kwa niaba yake.”

“Ooh sawa Baba yako yuko wapi?”

“Yuko Zambia kuna kampuni ya construction anafanyia kazi.”

“So jana ulifanikiwa lakini?”

“Yeah, nilifanikiwa mummy.”

Na muda huo nikaona hii ndo chance nzuri ya kuanza kumwambia baadhi ya mambo yangu,

“Iryn mimi home ni wa pili kuzaliwa kwa mama yangu ila kwa Baba yangu ni wa kwanza”

“Wa kwanza ni nani na yuko…..”

Nilimkatisha maongezi yake na mimi niliendelea kuongea.

“Iryn taratibu tunafika huko, wa kwanza ni Dada yangu anaitwa Violet na yuko Arusha aliolewa na anafanyia kazi kule. Kwa upande wa Baba sisi tuko wa4 na wote ni wanaume, ila kwa Mama tuko 5 mimi ndo wa2.”

Muda huo nilichukua simu nikatafuta picha za dada yangu pamoja na za familia yangu
nikamwonesha, na sisi muda huu tulikua tumeshafika mataa ya pale Salenda stanbic bank.

“Aisee kumbe una dada mzuri hivi afu mmefanana ila dada yako amezidi weupe.”

“Dada yangu Baba yake ni mhindi, kufanana kwetu tumechukua kwa mama yetu, yeye ni mweupe pia.”

“Insider kumbe una dada, atlist now nimeanza kukujua, nimefurahi.”

“Utanijua tu usiwe na wasiwasi.”

Tulifika Posta na tukampick jamaa pale Samora na sisi hao tukaelekea pale Gerezani ambako tulichukua Canter na tukaelekea Kurasini.

Tulipakia ule mzigo pale kurasini na Iryn pia alikwenda kule, sikujua kwanini aliamua kwenda Kurasini na sikutaka kumwuuliza maana ule mzigo ulikuwa ni wake.

Na muda huo watu walikua wakimwangalia sana Iryn maana mrembo kama yeye kutembelea lile eneo ni ngumu sana. Licha ya yote Iryn ni mwanamke ambaye alikuwa anabadilika kulingana na mazingira, hakuwaga na noma kabisa.

Tuliondoka eneo la tukio na kurudi Kijitonyama na mzigo lakini alikuja Dada wa saloon na aliondoka na ile Canter, sijui walipeleka wapi mzigo. Kuna vitu ambavyo nilikua sipendi kuuliza kuhusu biashara yake maana vilikua havinihusu kabisa.

Mpaka tunafika kwake ilikua usiku tayari hivyo na mimi sikutaka kukaa pale muda mrefu sana, nikamuaga nasepa. Iryn alinigomea akasema tukale Dina afu ndo tuachane, na mimi sikutaka kukataa maana hata home nilikua sipiki, niliona wazo lake ni jema.

Toka tukutane na Iryn ilikua ni miezi 2 na nusu tayari ila tulikuwa tumeshazoeana sana. Na alitokea kunikubali sana.

Tuliamua twende Mlimani city ili anunue na vitu vya home, tuliwasili pale na akasema nichague tukapate wapi lunch, mimi nikamwambia twende pale intanbull. Tuliagiza pale chakula na tuliendelea kupiga story;

“Iryn hujanambia kilichoendelea na yule mtu wa kule Hotelin.”

“Niliwasiliana na Isabella nikamweleza, sijataka kuhangaika tena.”

“Okay sasa mpango wako ni upi kwa sasa?”

“Insider unajua toka nitoke Ufaransa nije Tanzania naona kama kichwa changu hakipo sawa kabisa.”

“Kwanini unasema hivyo?”

“Mambo mengi Mama yangu alikua anafanya kwa siri sana. Na kazi ya kusimamia hizi biashara zake zote pamoja na nyumba, pia bado nahitaji kuendelea na biashara zangu za massaji.”

“Kwanini usifocus na Biashara alizoacha Mama ukaachana na Massaji?”

“Insider massaji inaniingizia pesa mingi sana, nachotaka kufanya ni kudeal na wateja wa App tu.”

“Sawa kuanza kudeal na wateja wa web itakua mwanzo mzuri, ila mimi ningekushauri uachane nazo tu uanze kudeal na business tu.”

“Unajua Waafrica wanachukulia massaji ni kama kujiuza, wenzetu wazungu wanaheshimu sana utu, na watu wengi wameajiiriwa huku na wanalipwa mishahara mikubwa.”

“Ndomana umesema Africa”

Baada ya kupata Dinna pale tulielekea pale shoppers, alinunua vitu na mimi kwa upande wangu kuna vitu nilinunua pia vya kwenda navyo home. Tuliachana na Iryn na yeye alirequest usafiri mwingine na mimi nikarudi home.

********
Jumatano asubuhi Prisca alinipigia simu na akaomba tuonane na pia nimpeleke Posta. “Ni muda gani?” nilimwuliza, na yeye alisema niende saa7 mchana bhasi nikasema nikiwapeleka watoto kule Bahari Beach nitampitia.

Kwa upande mwingine toka nimzingue Mary kuhusu kuonana hakuwai nitafuta kabisa ni kama aliamua kunichunia, namimi sikutaka kumtafuta nikampotezea.

Nataka niwape tofauti ya Prisca na Mary, ni wamepishana miaka miwili (2) tu. Prisca ndo mdogo, ni pini na mweupe ana kasura kazuri, hips na makalio ya kawaida. Mary alikua pini pia, sura ya kawaida, weupe wa kufifia ila alikua na makalio makubwa kidogo kwa prisca na hips na alikua sex sana, kingine Mary alikua na aibu sana. Prisca na Mary walikua wamefanana hata ukiwaona utajua ni mtu na mdogo wake.

Kwa Mwanaume anayejua wanawake vizuri bila shaka angemchagua Mary ila kwa wanaume wenye haraka angeruka na Prisca maana rangi ilikua inampa sana credit.

Mchana baada ya kuwapeleka watoto kule Bahari Beach ilibidi nimpigie Prisca aanze kujiandaa, mimi ndo nilikua niko njiani nakwenda Mbezi kwa Zena.

Ndani ya muda mfupi nilikua pale kwao na Prisca alitoka akiwa amependeza sana, alikuwa kavaa boyfriend jeans na shati ya jeans.

“Insider mambo”

“Poa, you look great today.”

“Thank you, tunaenda posta kuna hizi documents nampelekea mama, tukitoka hapo nataka tuongee.”

“Sawa mama wewe ukitaka hata tukeshe mimi sina noma.”

Prisca alioneka mpole sana hii siku sio kama nilivyomzoea na mimi sikutaka kufanya matani kabisa. Hii siku tuliongea kwa nadra sana, alikua busy sana na simu yake.

Tulifika Posta na yeye alikwenda kuonana na Mama yake na alitumia kama lisaa mpaka anatoka.

Wakati namsubiri Prisca alivyokwenda kuonana na mama yake Iryn alinipigia simu na akanambia kuna documents za mzigo alizisahau kwenye drow ya gari jana. Nilimwambia niko posta muda huo na yeye alisema anajiandaa kwenda Palm village, tulikubaliana nimpitishie zile documents pale.

Baada ya Prisca kumaliza mambo yake tuliondoka kurudi Mbezi Beach,

PRISCA: “Insider tutaenda wapi sasa?

MIMI: “Sehemu yoyote ambayo utakua comfortable”

PRISCA: “Twende palepale Upepo garden.”

MIMI: “Kama pale unaona utakuwa comfortable mimi sina shida.”

Nilichoma mafuta kwa kasi mpaka nafika pale Palm village ili niweze kuonana na Iryn nimkabidhi documents zake, na kabla sijafika pale nilishakua nimempanga Iryn kwenye simu kuwa nakaribia.

MIMI: “Prisca tutapitia hapo Palm village, kuna mtu nampa bahasha yake alisahau jana humu kwenye gari.”

PRISCA: “Sawa, pale pia kuna ATM nitatoa hela.”

Nilipark gari karibu na ATM ya CRDB na Prisca alitoka kwenda kutoa pesa.

Na wakati huo Iryn alionekana akitoka madukani na akaja nilipo park gari, maana nilikua nishamwelekeza.

Baada ya kufika pale Parking tulisalimiana na mimi nilitoa zile documents zilizokuwa kwenye bahasha nikampa, lakini Iryn hakuwa mtu anayetaka kutoka pale mapema na tuliendelea ongea pale;

MIMI: “Vipi una mishe gani hapa.”

IRYN: “Kuna best yangu ambaye tumesoma wote utotoni niko naye hapa.”

MIMI: “Wow, sounds great, he or she?”

IRYN: “Insider bhana ni she.”

MIMI: “Naweza kumwona?.”

Muda huu Iryn alianza kucheka na alinipiga na kibao cha kichokozi kwenye bega.

Na muda ule Prisca alikua anakuja upande wetu alikua kashatoa hela tayari, na mimi nilikua nimesimama na Iryn nyuma ya gari tukiendelea na story zetu.

Prisca alifika mpaka usawa wa gari na muda huo alimpiga jicho Iryn, kwa upande mwingine Iryn naye alikua akimwangalia Prisca kwa makini lakini alishangaa kuona anafungua mlango wa gari na kuingia.

IRYN: “Insider who is she?”

MIMI: “My customer.”

IRYN: “Customer gani akukubalie wewe kumsubirisha hivi?

MIMI: “Huoni katoka ATM ?”

IRYN: “Unajua nimemwona toka anatoka pale ATM, alivyotuona hapa tunaongea, alisimama pale kama dakika 1 kama akifikiri kitu, na amenipiga jicho la kunipa tahadhari (eye contact)”.

MIMI: “Mimi nafikiri labda haamini kuniona mimi kusimama hapa na wewe mwanamke mzuri.”

IRYN: “Kwanza mmetoka wapi?”

MIMI: “Posta”

Na muda huo Prisca alishusha kioo na kuniita “Insider….. simu yako inaiita.”

“Nakuja soon tuondoke achana nayo.” Nilimjibu Prisca hivyo.

IRYN: “Insider you lying to me, mtu anakujua mpaka jina?”

MIMI: “Ni mteja wangu wa muda kidogo nilimpeleka Posta now namrudisha kwao, ni mteja tu nothing more.”

Tuliagana na Iryn pale lakini alionekana kama amepatwa na wivu sana, licha ya Iryn kuwa mzuri sana lakini hata Prisca naye hakuwa haba hawezi kukosa kwenye list ya wanawake wazuri.

Niliingia kwenye gari ili tuondoke maeneo yale na wakati tukiendelea na safari yetu, Prisca alianza maswali pale, na yeye alikosa uvumilivu.

PRISCA: “Insider yule mwanamke ni nani?

MIMI: “Ni mteja wangu kama wewe.”

PRISCA: “Mbona alikua kajiachia sana kwako?”

MIMI: “Kivipi, mbona tulikuwa tunaongea kawaida tu.”

PRISCA: “She is beautiful, ulimjuaje?”

MIMI: “Kupitia kazi hii, kama tulivyojuana sisi, wewe na yeye hamna utofauti.”

PRISCA: “Insider nyota yako kali sana.”

Na mimi nilinyamaza kimya sikujibu kitu.

Tuliingia Upepo garden mapema na tulikwenda kukaa sehemu ambayo tulikaa mara mwisho na muda huo ilikua jioni tayari.

Tuliagiza wine na tuliendelea na mazungumzo yetu pale lakini cha ajabu Prisca alileta story zingine kabisa nje na mimi ambazo nilitegemea angezileta. Kwa upande wangu nilijua Prisca angeleta mezani mada ya jambo nililokuwa nimemwambia siku ile na mimi sikutaka kumkumbushia kabisa.

Tulikaa pale mpaka saa1 usiku nikamwambia tuondoke mimi nakazi za kufanya home. Prisca alikuwa ni mtu ambaye hataki kuondoka muda ule na mimi nilimsoma.

Tulikwenda kwenye gari na muda huo tulikuwa tunaangaliana tu, hakuna aliyekuwa anamsemesha mwenzake. Nilimshika kichwani, nikashusha mkono mpaka shingoni nikawa dizaini na mchezea shingo na nilihisi joto la mwili wake kuongezeka sana. Na muda huo alikua akiniangalia kwa macho yaliyolegea sana, na mimi nikamvuta kidogo kuja kwangu na akanipa ulimi wake kwa haraka na pupa sana.

Muda huo hata mapigo ya moyo wake yalibadilika sana na alikua kashaanza kulegea, Prisca ni aina ya mwanamke ambaye akichezewa kidogo ananyegeka haraka sana.

Kumwacha katika mazingira yale niliona haitakuwa sawa, tulikwenda lodge moja ipo karibu na maeneo yale na tulimaliza kiu zetu pale.

Baada ya kukata kiu yake yeye alikua kalala bado na muda huo nakumbuka ilikua saa5 usiku tayari na Prisca alisema hawezi kulala nje na kwao.

Mimi nilikua nimekaa kwenye kiti nikichezea simu yangu na nilisikia akiniita

“Insider…….”

Nikageuka kumsikiliza anasemaje

“Insider nimekubali option ya kwanza kwa zile mbili ulizonipa.”

TO BE CONTINUED

Toka nianze mahusiano na Mama Junior, Prisca ndo alikua Mwanamke wa kwanza nachepuka. Sikuwai mchepuka kabisa Mama J, hapa unaona Biashara ya Uber ilianza kunibadilisha tabia japo nilikua najutia sana moyoni.

Prisca kasema anakubali option ya kwanza katika zile mbili nilizompa, tukutane kesho muda kama huu.

Jinsi biashara ya Uber ilivyonikutanisha na dada huyu mrembo wa ajabu
 
EPISODE 20

“A TRUE STORY BY INSIDER MAN”

Nilimwacha Prisca katika situation ambayo hajui ajibu nini na mimi nikapotea eneo lile.


TUNAENDELEA

Wakati niko njiani narudi home nilikuwa nawaza pia namna ya kumwambia ukweli Iryn kuhusu maisha yangu kwa ujumla, pia niliwaza namna ya kumfikishia ujumbe either nitumie kama saprize or direct.

Kitendo cha kuyamaliza na Mama J kilinipa sana faraja moyoni na sikutaka kabisa kufanya makosa this time. Lakini pia nilikua napingana na mawazo yangu muda ule, na tatizo lilikua kama Prisca atakubali kuwa na mimi itakuwaje?

Niliwaza pale kama atakubali atakua amekubaliana na kufuata sheria zangu hivyo nitamfanya kama mchepuko, so hatanisumbua akili kabisa.

Muda huo nikiwa road kurudi home nilimpigia simu Iryn na kumwambia nimerudi Dar tayari, na tuliongea mambo mengi sana. Iryn akasema kesho ambayo ni jumanne tutakwenda wote Posta kufuata mzigo.

Nilirudi home nikapitiliza kuoga na nikapanda kitandani, ilikua usiku tayari. Pale kitandani nilikua nawaza namna ya kuendelea kumchimba deep Iryn, mawazo yangu yalikua yananiambia Iryn sio mwanamke wa kawaida kuna kitu behind ambacho sikijui, hivyo niendelee kumweka karibu zaidi.

Nilikua nawaza, Mama yake kafanyia kazi Organization X tena International, hapohapo ana connection na Grizmann ambaye anafanyia kazi Wizara kubwa kule Ufaransa, Iryn mwenyewe pesa anazo, kwanini anafanya massaji?. Niliwaza huenda kuna kitu kinaendelea kuhusu Iryn, niliwaza maybe atakua Jasusi. Lakini nikawa nawaza pale kitandani, Iryn alisema hii kazi yake ya massaji inamuingizia hela sana, lakini uzuri wake unambeba pia maybe watu wanapagawa kwake.

“Hivi nikisema niendelee kumchimba na mimi sijampa hata Abc kuhusu mimi itawezakana?, hapa cha muhimu nianze kumpa code za maisha yangu. Taratibu nitaendelea kumchimba zaidi.”

**********

Asubuhi niliamka mapema na kama ratiba zangu zilivyo za kila siku, lakini upande wa Mtoto wa Mama wa2 (Rachel) alikuwa kaanza likizo ya Easter, hivyo nikawa na Maggy tu. Baada ya kumdrop Maggy Posta, nilikumbuka Iryn alisema kuna kazi ya kufanya leo.

Nilimpigia simu na aliniambia kwamba tutaenda Posta jioni Agent ndo amepanga hivyo na mimi sikuwa na chakusema, maana bossy kasema.

Niliendelea na majukumu yangu kama kawaida ya kubeba abiria na stori kubwa hasa kwa wateja ilikuwa ni suala la Uber kutaka kufunga ofisi zao hapa Tanzania. Wateja wa Uber walikua hawataki kabisa kusikia Bolt, na wengi walikua hawapendi kuitumia, hata mimi kiukweli nilikua siipendi Bolt.

Saa 10 jion Iryn alinipigia simu na akanambia nianze kusogea ili twende tukafate mzigo Posta aliniambia nitafute na gari ya kubeba mzigo, nikamwambia tutapata kulekule.

Saa11 kasoro nilikuwa pale kwake kumchukua na tukaanza safari ya kwenda Posta. Wakati tuko njiani tukielekea Posta, Iryn muda huu alikua akiniangalia sana kama mtu ambaye anataka kuuliza kitu ila kama anasita,

Na mimi nikaamua kuanzisha maongezi;

“Vipi mummy are you okay?”

“Yeah, hivi Insider Dodoma ulikua una mishe gani exactly?”

“Mzee wangu mimi ni Engineer hayuko hapa Tanzania, kuna mikataba alitaka mimi nikasaini kwa niaba yake.”

“Ooh sawa Baba yako yuko wapi?”

“Yuko Zambia kuna kampuni ya construction anafanyia kazi.”

“So jana ulifanikiwa lakini?”

“Yeah, nilifanikiwa mummy.”

Na muda huo nikaona hii ndo chance nzuri ya kuanza kumwambia baadhi ya mambo yangu,

“Iryn mimi home ni wa pili kuzaliwa kwa mama yangu ila kwa Baba yangu ni wa kwanza”

“Wa kwanza ni nani na yuko…..”

Nilimkatisha maongezi yake na mimi niliendelea kuongea.

“Iryn taratibu tunafika huko, wa kwanza ni Dada yangu anaitwa Violet na yuko Arusha aliolewa na anafanyia kazi kule. Kwa upande wa Baba sisi tuko wa4 na wote ni wanaume, ila kwa Mama tuko 5 mimi ndo wa2.”

Muda huo nilichukua simu nikatafuta picha za dada yangu pamoja na za familia yangu
nikamwonesha, na sisi muda huu tulikua tumeshafika mataa ya pale Salenda stanbic bank.

“Aisee kumbe una dada mzuri hivi afu mmefanana ila dada yako amezidi weupe.”

“Dada yangu Baba yake ni mhindi, kufanana kwetu tumechukua kwa mama yetu, yeye ni mweupe pia.”

“Insider kumbe una dada, atlist now nimeanza kukujua, nimefurahi.”

“Utanijua tu usiwe na wasiwasi.”

Tulifika Posta na tukampick jamaa pale Samora na sisi hao tukaelekea pale Gerezani ambako tulichukua Canter na tukaelekea Kurasini.

Tulipakia ule mzigo pale kurasini na Iryn pia alikwenda kule, sikujua kwanini aliamua kwenda Kurasini na sikutaka kumwuuliza maana ule mzigo ulikuwa ni wake.

Na muda huo watu walikua wakimwangalia sana Iryn maana mrembo kama yeye kutembelea lile eneo ni ngumu sana. Licha ya yote Iryn ni mwanamke ambaye alikuwa anabadilika kulingana na mazingira, hakuwaga na noma kabisa.

Tuliondoka eneo la tukio na kurudi Kijitonyama na mzigo lakini alikuja Dada wa saloon na aliondoka na ile Canter, sijui walipeleka wapi mzigo. Kuna vitu ambavyo nilikua sipendi kuuliza kuhusu biashara yake maana vilikua havinihusu kabisa.

Mpaka tunafika kwake ilikua usiku tayari hivyo na mimi sikutaka kukaa pale muda mrefu sana, nikamuaga nasepa. Iryn alinigomea akasema tukale Dina afu ndo tuachane, na mimi sikutaka kukataa maana hata home nilikua sipiki, niliona wazo lake ni jema.

Toka tukutane na Iryn ilikua ni miezi 2 na nusu tayari ila tulikuwa tumeshazoeana sana. Na alitokea kunikubali sana.

Tuliamua twende Mlimani city ili anunue na vitu vya home, tuliwasili pale na akasema nichague tukapate wapi lunch, mimi nikamwambia twende pale intanbull. Tuliagiza pale chakula na tuliendelea kupiga story;

“Iryn hujanambia kilichoendelea na yule mtu wa kule Hotelin.”

“Niliwasiliana na Isabella nikamweleza, sijataka kuhangaika tena.”

“Okay sasa mpango wako ni upi kwa sasa?”

“Insider unajua toka nitoke Ufaransa nije Tanzania naona kama kichwa changu hakipo sawa kabisa.”

“Kwanini unasema hivyo?”

“Mambo mengi Mama yangu alikua anafanya kwa siri sana. Na kazi ya kusimamia hizi biashara zake zote pamoja na nyumba, pia bado nahitaji kuendelea na biashara zangu za massaji.”

“Kwanini usifocus na Biashara alizoacha Mama ukaachana na Massaji?”

“Insider massaji inaniingizia pesa mingi sana, nachotaka kufanya ni kudeal na wateja wa App tu.”

“Sawa kuanza kudeal na wateja wa web itakua mwanzo mzuri, ila mimi ningekushauri uachane nazo tu uanze kudeal na business tu.”

“Unajua Waafrica wanachukulia massaji ni kama kujiuza, wenzetu wazungu wanaheshimu sana utu, na watu wengi wameajiiriwa huku na wanalipwa mishahara mikubwa.”

“Ndomana umesema Africa”

Baada ya kupata Dinna pale tulielekea pale shoppers, alinunua vitu na mimi kwa upande wangu kuna vitu nilinunua pia vya kwenda navyo home. Tuliachana na Iryn na yeye alirequest usafiri mwingine na mimi nikarudi home.

********
Jumatano asubuhi Prisca alinipigia simu na akaomba tuonane na pia nimpeleke Posta. “Ni muda gani?” nilimwuliza, na yeye alisema niende saa7 mchana bhasi nikasema nikiwapeleka watoto kule Bahari Beach nitampitia.

Kwa upande mwingine toka nimzingue Mary kuhusu kuonana hakuwai nitafuta kabisa ni kama aliamua kunichunia, namimi sikutaka kumtafuta nikampotezea.

Nataka niwape tofauti ya Prisca na Mary, ni wamepishana miaka miwili (2) tu. Prisca ndo mdogo, ni pini na mweupe ana kasura kazuri, hips na makalio ya kawaida. Mary alikua pini pia, sura ya kawaida, weupe wa kufifia ila alikua na makalio makubwa kidogo kwa prisca na hips na alikua sex sana, kingine Mary alikua na aibu sana. Prisca na Mary walikua wamefanana hata ukiwaona utajua ni mtu na mdogo wake.

Kwa Mwanaume anayejua wanawake vizuri bila shaka angemchagua Mary ila kwa wanaume wenye haraka angeruka na Prisca maana rangi ilikua inampa sana credit.

Mchana baada ya kuwapeleka watoto kule Bahari Beach ilibidi nimpigie Prisca aanze kujiandaa, mimi ndo nilikua niko njiani nakwenda Mbezi kwa Zena.

Ndani ya muda mfupi nilikua pale kwao na Prisca alitoka akiwa amependeza sana, alikuwa kavaa boyfriend jeans na shati ya jeans.

“Insider mambo”

“Poa, you look great today.”

“Thank you, tunaenda posta kuna hizi documents nampelekea mama, tukitoka hapo nataka tuongee.”

“Sawa mama wewe ukitaka hata tukeshe mimi sina noma.”

Prisca alioneka mpole sana hii siku sio kama nilivyomzoea na mimi sikutaka kufanya matani kabisa. Hii siku tuliongea kwa nadra sana, alikua busy sana na simu yake.

Tulifika Posta na yeye alikwenda kuonana na Mama yake na alitumia kama lisaa mpaka anatoka.

Wakati namsubiri Prisca alivyokwenda kuonana na mama yake Iryn alinipigia simu na akanambia kuna documents za mzigo alizisahau kwenye drow ya gari jana. Nilimwambia niko posta muda huo na yeye alisema anajiandaa kwenda Palm village, tulikubaliana nimpitishie zile documents pale.

Baada ya Prisca kumaliza mambo yake tuliondoka kurudi Mbezi Beach,

PRISCA: “Insider tutaenda wapi sasa?

MIMI: “Sehemu yoyote ambayo utakua comfortable”

IRYN: “Twende palepale Upepo garden.”

MIMI: “Kama pale unaona utakuwa comfortable mimi sina shida.”

Nilichoma mafuta kwa kasi mpaka nafika pale Palm village ili niweze kuonana na Iryn nimkabidhi documents zake, na kabla sijafika pale nilishakua nimempanga Iryn kwenye simu kuwa nakaribia.

MIMI: “Prisca tutapitia hapo Palm village, kuna mtu nampa bahasha yake alisahau jana humu kwenye gari.”

PRISCA: “Sawa, pale pia kuna ATM nitatoa hela.”

Nilipark gari karibu na ATM ya CRDB na Prisca alitoka kwenda kutoa pesa.

Na wakati huo Iryn alionekana akitoka madukani na akaja nilipo park gari, maana nilikua nishamwelekeza.

Baada ya kufika pale Parking tulisalimiana na mimi nilitoa zile documents zilizokuwa kwenye bahasha nikampa, lakini Iryn hakuwa mtu anayetaka kutoka pale mapema na tuliendelea ongea pale;

MIMI: “Vipi una mishe gani hapa.”

IRYN: “Kuna best yangu ambaye tumesoma wote utotoni niko naye hapa.”

MIMI: “Wow, sounds great, he or she?”

IRYN: “Insider bhana ni she.”

MIMI: “Naweza kumwona?.”

Muda huu Iryn alianza kucheka na alinipiga na kibao cha kichokozi kwenye bega.

Na muda ule Prisca alikua anakuja upande wetu alikua kashatoa hela tayari, na mimi nilikua nimesimama na Iryn nyuma ya gari tukiendelea na story zetu.

Prisca alifika mpaka usawa wa gari na muda huo alimpiga jicho Iryn, kwa upande mwingine Iryn naye alikua akimwangalia Prisca kwa makini lakini alishangaa kuona anafungua mlango wa gari na kuingia.

IRYN: “Insider who is she?”

MIMI: “My customer.”

IRYN: “Customer gani akukubalie wewe kumsubirisha hivi?

MIMI: “Huoni katoka ATM ?”

IRYN: “Unajua nimemwona toka anatoka pale ATM, alivyotuona hapa tunaongea, alisimama pale kama dakika 1 kama akifikiri kitu, na amenipiga jicho la kunipa tahadhari (eye contact)”.

MIMI: “Mimi nafikiri labda haamini kuniona mimi kusimama hapa na wewe mwanamke mzuri.”

IRYN: “Kwanza mmetoka wapi?”

MIMI: “Posta”

Na muda huo Prisca alishusha kioo na kuniita “Insider….. simu yako inaiita.”

“Nakuja soon tuondoke achana nayo.” Nilimjibu Prisca hivyo.

IRYN: “Insider you lying to me, mtu anakujua mpaka jina?”

MIMI: “Ni mteja wangu wa muda kidogo nilimpeleka Posta now namrudisha kwao, ni mteja tu nothing more.”

Tuliagana na Iryn pale lakini alionekana kama amepatwa na wivu sana, licha ya Iryn kuwa mzuri sana lakini hata Prisca naye hakuwa haba hawezi kukosa kwenye list ya wanawake wazuri.

Niliingia kwenye gari ili tuondoke maeneo yale na wakati tukiendelea na safari yetu, Prisca alianza maswali pale, na yeye alikosa uvumilivu.

PRISCA: “Insider yule mwanamke ni nani?

MIMI: “Ni mteja wangu kama wewe.”

PRISCA: “Mbona alikua kajiachia sana kwako?”

MIMI: “Kivipi, mbona tulikuwa tunaongea kawaida tu.”

PRISCA: “She is beautiful, ulimjuaje?”

MIMI: “Kupitia kazi hii, kama tulivyojuana sisi, wewe na yeye hamna utofauti.”

PRISCA: “Insider nyota yako kali sana.”

Na mimi nilinyamaza kimya sikujibu kitu.

Tuliingia Upepo garden mapema na tulikwenda kukaa sehemu ambayo tulikaa mara mwisho na muda huo ilikua jioni tayari.

Tuliagiza wine na tuliendelea na mazungumzo yetu pale lakini cha ajabu Prisca alileta story zingine kabisa nje na mimi ambazo nilitegemea angezileta. Kwa upande wangu nilijua Prisca angeleta mezani mada ya jambo nililokuwa nimemwambia siku ile na mimi sikutaka kumkumbushia kabisa.

Tulikaa pale mpaka saa1 usiku nikamwambia tuondoke mimi nakazi za kufanya home. Prisca alikuwa ni mtu ambaye hataki kuondoka muda ule na mimi nilimsoma.

Tulikwenda kwenye gari na muda huo tulikuwa tunaangaliana tu, hakuna aliyekuwa anamsemesha mwenzake. Nilimshika kichwani, nikashusha mkono mpaka shingoni nikawa dizaini na mchezea shingo na nilihisi joto la mwili wake kuongezeka sana. Na muda huo alikua akiniangalia kwa macho yaliyolegea sana, na mimi nikamvuta kidogo kuja kwangu na akanipa ulimi wake kwa haraka na pupa sana.

Muda huo hata mapigo ya moyo wake yalibadilika sana na alikua kashaanza kulegea, Prisca ni aina ya mwanamke ambaye akichezewa kidogo ananyegeka haraka sana.

Kumwacha katika mazingira yale niliona haitakuwa sawa, tulikwenda lodge moja ipo karibu na maeneo yale na tulimaliza kiu zetu pale.

Baada ya kukata kiu yake yeye alikua kalala bado na muda huo nakumbuka ilikua saa5 usiku tayari na Prisca alisema hawezi kulala nje na kwao.

Mimi nilikua nimekaa kwenye kiti nikichezea simu yangu na nilisikia akiniita

“Insider…….”

Nikageuka kumsikiliza anasemaje

“Insider nimekubali option ya kwanza kwa zile mbili ulizonipa.”

TO BE CONTINUED

Toka nianze mahusiano na Mama Junior, Prisca ndo alikua Mwanamke wa kwanza nachepuka. Sikuwai mchepuka kabisa Mama J, hapa unaona Biashara ya Uber ilianza kunibadilisha tabia japo nilikua najutia sana moyoni.

Prisca kasema anakubali option ya kwanza katika zile mbili nilizompa, tukutane kesho muda kama huu.
Shukrani sana Mkuu...,
 
EPISODE 20

“A TRUE STORY BY INSIDER MAN”

Nilimwacha Prisca katika situation ambayo hajui ajibu nini na mimi nikapotea eneo lile.


TUNAENDELEA

Wakati niko njiani narudi home nilikuwa nawaza pia namna ya kumwambia ukweli Iryn kuhusu maisha yangu kwa ujumla, pia niliwaza namna ya kumfikishia ujumbe either nitumie kama saprize or direct.

Kitendo cha kuyamaliza na Mama J kilinipa sana faraja moyoni na sikutaka kabisa kufanya makosa this time. Lakini pia nilikua napingana na mawazo yangu muda ule, na tatizo lilikua kama Prisca atakubali kuwa na mimi itakuwaje?

Niliwaza pale kama atakubali atakua amekubaliana na kufuata sheria zangu hivyo nitamfanya kama mchepuko, so hatanisumbua akili kabisa.

Muda huo nikiwa road kurudi home nilimpigia simu Iryn na kumwambia nimerudi Dar tayari, na tuliongea mambo mengi sana. Iryn akasema kesho ambayo ni jumanne tutakwenda wote Posta kufuata mzigo.

Nilirudi home nikapitiliza kuoga na nikapanda kitandani, ilikua usiku tayari. Pale kitandani nilikua nawaza namna ya kuendelea kumchimba deep Iryn, mawazo yangu yalikua yananiambia Iryn sio mwanamke wa kawaida kuna kitu behind ambacho sikijui, hivyo niendelee kumweka karibu zaidi.

Nilikua nawaza, Mama yake kafanyia kazi Organization X tena International, hapohapo ana connection na Grizmann ambaye anafanyia kazi Wizara kubwa kule Ufaransa, Iryn mwenyewe pesa anazo, kwanini anafanya massaji?. Niliwaza huenda kuna kitu kinaendelea kuhusu Iryn, niliwaza maybe atakua Jasusi. Lakini nikawa nawaza pale kitandani, Iryn alisema hii kazi yake ya massaji inamuingizia hela sana, lakini uzuri wake unambeba pia maybe watu wanapagawa kwake.

“Hivi nikisema niendelee kumchimba na mimi sijampa hata Abc kuhusu mimi itawezakana?, hapa cha muhimu nianze kumpa code za maisha yangu. Taratibu nitaendelea kumchimba zaidi.”

**********

Asubuhi niliamka mapema na kama ratiba zangu zilivyo za kila siku, lakini upande wa Mtoto wa Mama wa2 (Rachel) alikuwa kaanza likizo ya Easter, hivyo nikawa na Maggy tu. Baada ya kumdrop Maggy Posta, nilikumbuka Iryn alisema kuna kazi ya kufanya leo.

Nilimpigia simu na aliniambia kwamba tutaenda Posta jioni Agent ndo amepanga hivyo na mimi sikuwa na chakusema, maana bossy kasema.

Niliendelea na majukumu yangu kama kawaida ya kubeba abiria na stori kubwa hasa kwa wateja ilikuwa ni suala la Uber kutaka kufunga ofisi zao hapa Tanzania. Wateja wa Uber walikua hawataki kabisa kusikia Bolt, na wengi walikua hawapendi kuitumia, hata mimi kiukweli nilikua siipendi Bolt.

Saa 10 jion Iryn alinipigia simu na akanambia nianze kusogea ili twende tukafate mzigo Posta aliniambia nitafute na gari ya kubeba mzigo, nikamwambia tutapata kulekule.

Saa11 kasoro nilikuwa pale kwake kumchukua na tukaanza safari ya kwenda Posta. Wakati tuko njiani tukielekea Posta, Iryn muda huu alikua akiniangalia sana kama mtu ambaye anataka kuuliza kitu ila kama anasita,

Na mimi nikaamua kuanzisha maongezi;

“Vipi mummy are you okay?”

“Yeah, hivi Insider Dodoma ulikua una mishe gani exactly?”

“Mzee wangu mimi ni Engineer hayuko hapa Tanzania, kuna mikataba alitaka mimi nikasaini kwa niaba yake.”

“Ooh sawa Baba yako yuko wapi?”

“Yuko Zambia kuna kampuni ya construction anafanyia kazi.”

“So jana ulifanikiwa lakini?”

“Yeah, nilifanikiwa mummy.”

Na muda huo nikaona hii ndo chance nzuri ya kuanza kumwambia baadhi ya mambo yangu,

“Iryn mimi home ni wa pili kuzaliwa kwa mama yangu ila kwa Baba yangu ni wa kwanza”

“Wa kwanza ni nani na yuko…..”

Nilimkatisha maongezi yake na mimi niliendelea kuongea.

“Iryn taratibu tunafika huko, wa kwanza ni Dada yangu anaitwa Violet na yuko Arusha aliolewa na anafanyia kazi kule. Kwa upande wa Baba sisi tuko wa4 na wote ni wanaume, ila kwa Mama tuko 5 mimi ndo wa2.”

Muda huo nilichukua simu nikatafuta picha za dada yangu pamoja na za familia yangu
nikamwonesha, na sisi muda huu tulikua tumeshafika mataa ya pale Salenda stanbic bank.

“Aisee kumbe una dada mzuri hivi afu mmefanana ila dada yako amezidi weupe.”

“Dada yangu Baba yake ni mhindi, kufanana kwetu tumechukua kwa mama yetu, yeye ni mweupe pia.”

“Insider kumbe una dada, atlist now nimeanza kukujua, nimefurahi.”

“Utanijua tu usiwe na wasiwasi.”

Tulifika Posta na tukampick jamaa pale Samora na sisi hao tukaelekea pale Gerezani ambako tulichukua Canter na tukaelekea Kurasini.

Tulipakia ule mzigo pale kurasini na Iryn pia alikwenda kule, sikujua kwanini aliamua kwenda Kurasini na sikutaka kumwuuliza maana ule mzigo ulikuwa ni wake.

Na muda huo watu walikua wakimwangalia sana Iryn maana mrembo kama yeye kutembelea lile eneo ni ngumu sana. Licha ya yote Iryn ni mwanamke ambaye alikuwa anabadilika kulingana na mazingira, hakuwaga na noma kabisa.

Tuliondoka eneo la tukio na kurudi Kijitonyama na mzigo lakini alikuja Dada wa saloon na aliondoka na ile Canter, sijui walipeleka wapi mzigo. Kuna vitu ambavyo nilikua sipendi kuuliza kuhusu biashara yake maana vilikua havinihusu kabisa.

Mpaka tunafika kwake ilikua usiku tayari hivyo na mimi sikutaka kukaa pale muda mrefu sana, nikamuaga nasepa. Iryn alinigomea akasema tukale Dina afu ndo tuachane, na mimi sikutaka kukataa maana hata home nilikua sipiki, niliona wazo lake ni jema.

Toka tukutane na Iryn ilikua ni miezi 2 na nusu tayari ila tulikuwa tumeshazoeana sana. Na alitokea kunikubali sana.

Tuliamua twende Mlimani city ili anunue na vitu vya home, tuliwasili pale na akasema nichague tukapate wapi lunch, mimi nikamwambia twende pale intanbull. Tuliagiza pale chakula na tuliendelea kupiga story;

“Iryn hujanambia kilichoendelea na yule mtu wa kule Hotelin.”

“Niliwasiliana na Isabella nikamweleza, sijataka kuhangaika tena.”

“Okay sasa mpango wako ni upi kwa sasa?”

“Insider unajua toka nitoke Ufaransa nije Tanzania naona kama kichwa changu hakipo sawa kabisa.”

“Kwanini unasema hivyo?”

“Mambo mengi Mama yangu alikua anafanya kwa siri sana. Na kazi ya kusimamia hizi biashara zake zote pamoja na nyumba, pia bado nahitaji kuendelea na biashara zangu za massaji.”

“Kwanini usifocus na Biashara alizoacha Mama ukaachana na Massaji?”

“Insider massaji inaniingizia pesa mingi sana, nachotaka kufanya ni kudeal na wateja wa App tu.”

“Sawa kuanza kudeal na wateja wa web itakua mwanzo mzuri, ila mimi ningekushauri uachane nazo tu uanze kudeal na business tu.”

“Unajua Waafrica wanachukulia massaji ni kama kujiuza, wenzetu wazungu wanaheshimu sana utu, na watu wengi wameajiiriwa huku na wanalipwa mishahara mikubwa.”

“Ndomana umesema Africa”

Baada ya kupata Dinna pale tulielekea pale shoppers, alinunua vitu na mimi kwa upande wangu kuna vitu nilinunua pia vya kwenda navyo home. Tuliachana na Iryn na yeye alirequest usafiri mwingine na mimi nikarudi home.

********
Jumatano asubuhi Prisca alinipigia simu na akaomba tuonane na pia nimpeleke Posta. “Ni muda gani?” nilimwuliza, na yeye alisema niende saa7 mchana bhasi nikasema nikiwapeleka watoto kule Bahari Beach nitampitia.

Kwa upande mwingine toka nimzingue Mary kuhusu kuonana hakuwai nitafuta kabisa ni kama aliamua kunichunia, namimi sikutaka kumtafuta nikampotezea.

Nataka niwape tofauti ya Prisca na Mary, ni wamepishana miaka miwili (2) tu. Prisca ndo mdogo, ni pini na mweupe ana kasura kazuri, hips na makalio ya kawaida. Mary alikua pini pia, sura ya kawaida, weupe wa kufifia ila alikua na makalio makubwa kidogo kwa prisca na hips na alikua sex sana, kingine Mary alikua na aibu sana. Prisca na Mary walikua wamefanana hata ukiwaona utajua ni mtu na mdogo wake.

Kwa Mwanaume anayejua wanawake vizuri bila shaka angemchagua Mary ila kwa wanaume wenye haraka angeruka na Prisca maana rangi ilikua inampa sana credit.

Mchana baada ya kuwapeleka watoto kule Bahari Beach ilibidi nimpigie Prisca aanze kujiandaa, mimi ndo nilikua niko njiani nakwenda Mbezi kwa Zena.

Ndani ya muda mfupi nilikua pale kwao na Prisca alitoka akiwa amependeza sana, alikuwa kavaa boyfriend jeans na shati ya jeans.

“Insider mambo”

“Poa, you look great today.”

“Thank you, tunaenda posta kuna hizi documents nampelekea mama, tukitoka hapo nataka tuongee.”

“Sawa mama wewe ukitaka hata tukeshe mimi sina noma.”

Prisca alioneka mpole sana hii siku sio kama nilivyomzoea na mimi sikutaka kufanya matani kabisa. Hii siku tuliongea kwa nadra sana, alikua busy sana na simu yake.

Tulifika Posta na yeye alikwenda kuonana na Mama yake na alitumia kama lisaa mpaka anatoka.

Wakati namsubiri Prisca alivyokwenda kuonana na mama yake Iryn alinipigia simu na akanambia kuna documents za mzigo alizisahau kwenye drow ya gari jana. Nilimwambia niko posta muda huo na yeye alisema anajiandaa kwenda Palm village, tulikubaliana nimpitishie zile documents pale.

Baada ya Prisca kumaliza mambo yake tuliondoka kurudi Mbezi Beach,

PRISCA: “Insider tutaenda wapi sasa?

MIMI: “Sehemu yoyote ambayo utakua comfortable”

IRYN: “Twende palepale Upepo garden.”

MIMI: “Kama pale unaona utakuwa comfortable mimi sina shida.”

Nilichoma mafuta kwa kasi mpaka nafika pale Palm village ili niweze kuonana na Iryn nimkabidhi documents zake, na kabla sijafika pale nilishakua nimempanga Iryn kwenye simu kuwa nakaribia.

MIMI: “Prisca tutapitia hapo Palm village, kuna mtu nampa bahasha yake alisahau jana humu kwenye gari.”

PRISCA: “Sawa, pale pia kuna ATM nitatoa hela.”

Nilipark gari karibu na ATM ya CRDB na Prisca alitoka kwenda kutoa pesa.

Na wakati huo Iryn alionekana akitoka madukani na akaja nilipo park gari, maana nilikua nishamwelekeza.

Baada ya kufika pale Parking tulisalimiana na mimi nilitoa zile documents zilizokuwa kwenye bahasha nikampa, lakini Iryn hakuwa mtu anayetaka kutoka pale mapema na tuliendelea ongea pale;

MIMI: “Vipi una mishe gani hapa.”

IRYN: “Kuna best yangu ambaye tumesoma wote utotoni niko naye hapa.”

MIMI: “Wow, sounds great, he or she?”

IRYN: “Insider bhana ni she.”

MIMI: “Naweza kumwona?.”

Muda huu Iryn alianza kucheka na alinipiga na kibao cha kichokozi kwenye bega.

Na muda ule Prisca alikua anakuja upande wetu alikua kashatoa hela tayari, na mimi nilikua nimesimama na Iryn nyuma ya gari tukiendelea na story zetu.

Prisca alifika mpaka usawa wa gari na muda huo alimpiga jicho Iryn, kwa upande mwingine Iryn naye alikua akimwangalia Prisca kwa makini lakini alishangaa kuona anafungua mlango wa gari na kuingia.

IRYN: “Insider who is she?”

MIMI: “My customer.”

IRYN: “Customer gani akukubalie wewe kumsubirisha hivi?

MIMI: “Huoni katoka ATM ?”

IRYN: “Unajua nimemwona toka anatoka pale ATM, alivyotuona hapa tunaongea, alisimama pale kama dakika 1 kama akifikiri kitu, na amenipiga jicho la kunipa tahadhari (eye contact)”.

MIMI: “Mimi nafikiri labda haamini kuniona mimi kusimama hapa na wewe mwanamke mzuri.”

IRYN: “Kwanza mmetoka wapi?”

MIMI: “Posta”

Na muda huo Prisca alishusha kioo na kuniita “Insider….. simu yako inaiita.”

“Nakuja soon tuondoke achana nayo.” Nilimjibu Prisca hivyo.

IRYN: “Insider you lying to me, mtu anakujua mpaka jina?”

MIMI: “Ni mteja wangu wa muda kidogo nilimpeleka Posta now namrudisha kwao, ni mteja tu nothing more.”

Tuliagana na Iryn pale lakini alionekana kama amepatwa na wivu sana, licha ya Iryn kuwa mzuri sana lakini hata Prisca naye hakuwa haba hawezi kukosa kwenye list ya wanawake wazuri.

Niliingia kwenye gari ili tuondoke maeneo yale na wakati tukiendelea na safari yetu, Prisca alianza maswali pale, na yeye alikosa uvumilivu.

PRISCA: “Insider yule mwanamke ni nani?

MIMI: “Ni mteja wangu kama wewe.”

PRISCA: “Mbona alikua kajiachia sana kwako?”

MIMI: “Kivipi, mbona tulikuwa tunaongea kawaida tu.”

PRISCA: “She is beautiful, ulimjuaje?”

MIMI: “Kupitia kazi hii, kama tulivyojuana sisi, wewe na yeye hamna utofauti.”

PRISCA: “Insider nyota yako kali sana.”

Na mimi nilinyamaza kimya sikujibu kitu.

Tuliingia Upepo garden mapema na tulikwenda kukaa sehemu ambayo tulikaa mara mwisho na muda huo ilikua jioni tayari.

Tuliagiza wine na tuliendelea na mazungumzo yetu pale lakini cha ajabu Prisca alileta story zingine kabisa nje na mimi ambazo nilitegemea angezileta. Kwa upande wangu nilijua Prisca angeleta mezani mada ya jambo nililokuwa nimemwambia siku ile na mimi sikutaka kumkumbushia kabisa.

Tulikaa pale mpaka saa1 usiku nikamwambia tuondoke mimi nakazi za kufanya home. Prisca alikuwa ni mtu ambaye hataki kuondoka muda ule na mimi nilimsoma.

Tulikwenda kwenye gari na muda huo tulikuwa tunaangaliana tu, hakuna aliyekuwa anamsemesha mwenzake. Nilimshika kichwani, nikashusha mkono mpaka shingoni nikawa dizaini na mchezea shingo na nilihisi joto la mwili wake kuongezeka sana. Na muda huo alikua akiniangalia kwa macho yaliyolegea sana, na mimi nikamvuta kidogo kuja kwangu na akanipa ulimi wake kwa haraka na pupa sana.

Muda huo hata mapigo ya moyo wake yalibadilika sana na alikua kashaanza kulegea, Prisca ni aina ya mwanamke ambaye akichezewa kidogo ananyegeka haraka sana.

Kumwacha katika mazingira yale niliona haitakuwa sawa, tulikwenda lodge moja ipo karibu na maeneo yale na tulimaliza kiu zetu pale.

Baada ya kukata kiu yake yeye alikua kalala bado na muda huo nakumbuka ilikua saa5 usiku tayari na Prisca alisema hawezi kulala nje na kwao.

Mimi nilikua nimekaa kwenye kiti nikichezea simu yangu na nilisikia akiniita

“Insider…….”

Nikageuka kumsikiliza anasemaje

“Insider nimekubali option ya kwanza kwa zile mbili ulizonipa.”

TO BE CONTINUED

Toka nianze mahusiano na Mama Junior, Prisca ndo alikua Mwanamke wa kwanza nachepuka. Sikuwai mchepuka kabisa Mama J, hapa unaona Biashara ya Uber ilianza kunibadilisha tabia japo nilikua najutia sana moyoni.

Prisca kasema anakubali option ya kwanza katika zile mbili nilizompa, tukutane kesho muda kama huu.
Umeisha
 
EPISODE 20

“A TRUE STORY BY INSIDER MAN”

Nilimwacha Prisca katika situation ambayo hajui ajibu nini na mimi nikapotea eneo lile.


TUNAENDELEA

Wakati niko njiani narudi home nilikuwa nawaza pia namna ya kumwambia ukweli Iryn kuhusu maisha yangu kwa ujumla, pia niliwaza namna ya kumfikishia ujumbe either nitumie kama saprize or direct.

Kitendo cha kuyamaliza na Mama J kilinipa sana faraja moyoni na sikutaka kabisa kufanya makosa this time. Lakini pia nilikua napingana na mawazo yangu muda ule, na tatizo lilikua kama Prisca atakubali kuwa na mimi itakuwaje?

Niliwaza pale kama atakubali atakua amekubaliana na kufuata sheria zangu hivyo nitamfanya kama mchepuko, so hatanisumbua akili kabisa.

Muda huo nikiwa road kurudi home nilimpigia simu Iryn na kumwambia nimerudi Dar tayari, na tuliongea mambo mengi sana. Iryn akasema kesho ambayo ni jumanne tutakwenda wote Posta kufuata mzigo.

Nilirudi home nikapitiliza kuoga na nikapanda kitandani, ilikua usiku tayari. Pale kitandani nilikua nawaza namna ya kuendelea kumchimba deep Iryn, mawazo yangu yalikua yananiambia Iryn sio mwanamke wa kawaida kuna kitu behind ambacho sikijui, hivyo niendelee kumweka karibu zaidi.

Nilikua nawaza, Mama yake kafanyia kazi Organization X tena International, hapohapo ana connection na Grizmann ambaye anafanyia kazi Wizara kubwa kule Ufaransa, Iryn mwenyewe pesa anazo, kwanini anafanya massaji?. Niliwaza huenda kuna kitu kinaendelea kuhusu Iryn, niliwaza maybe atakua Jasusi. Lakini nikawa nawaza pale kitandani, Iryn alisema hii kazi yake ya massaji inamuingizia hela sana, lakini uzuri wake unambeba pia maybe watu wanapagawa kwake.

“Hivi nikisema niendelee kumchimba na mimi sijampa hata Abc kuhusu mimi itawezakana?, hapa cha muhimu nianze kumpa code za maisha yangu. Taratibu nitaendelea kumchimba zaidi.”

**********

Asubuhi niliamka mapema na kama ratiba zangu zilivyo za kila siku, lakini upande wa Mtoto wa Mama wa2 (Rachel) alikuwa kaanza likizo ya Easter, hivyo nikawa na Maggy tu. Baada ya kumdrop Maggy Posta, nilikumbuka Iryn alisema kuna kazi ya kufanya leo.

Nilimpigia simu na aliniambia kwamba tutaenda Posta jioni Agent ndo amepanga hivyo na mimi sikuwa na chakusema, maana bossy kasema.

Niliendelea na majukumu yangu kama kawaida ya kubeba abiria na stori kubwa hasa kwa wateja ilikuwa ni suala la Uber kutaka kufunga ofisi zao hapa Tanzania. Wateja wa Uber walikua hawataki kabisa kusikia Bolt, na wengi walikua hawapendi kuitumia, hata mimi kiukweli nilikua siipendi Bolt.

Saa 10 jion Iryn alinipigia simu na akanambia nianze kusogea ili twende tukafate mzigo Posta aliniambia nitafute na gari ya kubeba mzigo, nikamwambia tutapata kulekule.

Saa11 kasoro nilikuwa pale kwake kumchukua na tukaanza safari ya kwenda Posta. Wakati tuko njiani tukielekea Posta, Iryn muda huu alikua akiniangalia sana kama mtu ambaye anataka kuuliza kitu ila kama anasita,

Na mimi nikaamua kuanzisha maongezi;

“Vipi mummy are you okay?”

“Yeah, hivi Insider Dodoma ulikua una mishe gani exactly?”

“Mzee wangu mimi ni Engineer hayuko hapa Tanzania, kuna mikataba alitaka mimi nikasaini kwa niaba yake.”

“Ooh sawa Baba yako yuko wapi?”

“Yuko Zambia kuna kampuni ya construction anafanyia kazi.”

“So jana ulifanikiwa lakini?”

“Yeah, nilifanikiwa mummy.”

Na muda huo nikaona hii ndo chance nzuri ya kuanza kumwambia baadhi ya mambo yangu,

“Iryn mimi home ni wa pili kuzaliwa kwa mama yangu ila kwa Baba yangu ni wa kwanza”

“Wa kwanza ni nani na yuko…..”

Nilimkatisha maongezi yake na mimi niliendelea kuongea.

“Iryn taratibu tunafika huko, wa kwanza ni Dada yangu anaitwa Violet na yuko Arusha aliolewa na anafanyia kazi kule. Kwa upande wa Baba sisi tuko wa4 na wote ni wanaume, ila kwa Mama tuko 5 mimi ndo wa2.”

Muda huo nilichukua simu nikatafuta picha za dada yangu pamoja na za familia yangu
nikamwonesha, na sisi muda huu tulikua tumeshafika mataa ya pale Salenda stanbic bank.

“Aisee kumbe una dada mzuri hivi afu mmefanana ila dada yako amezidi weupe.”

“Dada yangu Baba yake ni mhindi, kufanana kwetu tumechukua kwa mama yetu, yeye ni mweupe pia.”

“Insider kumbe una dada, atlist now nimeanza kukujua, nimefurahi.”

“Utanijua tu usiwe na wasiwasi.”

Tulifika Posta na tukampick jamaa pale Samora na sisi hao tukaelekea pale Gerezani ambako tulichukua Canter na tukaelekea Kurasini.

Tulipakia ule mzigo pale kurasini na Iryn pia alikwenda kule, sikujua kwanini aliamua kwenda Kurasini na sikutaka kumwuuliza maana ule mzigo ulikuwa ni wake.

Na muda huo watu walikua wakimwangalia sana Iryn maana mrembo kama yeye kutembelea lile eneo ni ngumu sana. Licha ya yote Iryn ni mwanamke ambaye alikuwa anabadilika kulingana na mazingira, hakuwaga na noma kabisa.

Tuliondoka eneo la tukio na kurudi Kijitonyama na mzigo lakini alikuja Dada wa saloon na aliondoka na ile Canter, sijui walipeleka wapi mzigo. Kuna vitu ambavyo nilikua sipendi kuuliza kuhusu biashara yake maana vilikua havinihusu kabisa.

Mpaka tunafika kwake ilikua usiku tayari hivyo na mimi sikutaka kukaa pale muda mrefu sana, nikamuaga nasepa. Iryn alinigomea akasema tukale Dina afu ndo tuachane, na mimi sikutaka kukataa maana hata home nilikua sipiki, niliona wazo lake ni jema.

Toka tukutane na Iryn ilikua ni miezi 2 na nusu tayari ila tulikuwa tumeshazoeana sana. Na alitokea kunikubali sana.

Tuliamua twende Mlimani city ili anunue na vitu vya home, tuliwasili pale na akasema nichague tukapate wapi lunch, mimi nikamwambia twende pale intanbull. Tuliagiza pale chakula na tuliendelea kupiga story;

“Iryn hujanambia kilichoendelea na yule mtu wa kule Hotelin.”

“Niliwasiliana na Isabella nikamweleza, sijataka kuhangaika tena.”

“Okay sasa mpango wako ni upi kwa sasa?”

“Insider unajua toka nitoke Ufaransa nije Tanzania naona kama kichwa changu hakipo sawa kabisa.”

“Kwanini unasema hivyo?”

“Mambo mengi Mama yangu alikua anafanya kwa siri sana. Na kazi ya kusimamia hizi biashara zake zote pamoja na nyumba, pia bado nahitaji kuendelea na biashara zangu za massaji.”

“Kwanini usifocus na Biashara alizoacha Mama ukaachana na Massaji?”

“Insider massaji inaniingizia pesa mingi sana, nachotaka kufanya ni kudeal na wateja wa App tu.”

“Sawa kuanza kudeal na wateja wa web itakua mwanzo mzuri, ila mimi ningekushauri uachane nazo tu uanze kudeal na business tu.”

“Unajua Waafrica wanachukulia massaji ni kama kujiuza, wenzetu wazungu wanaheshimu sana utu, na watu wengi wameajiiriwa huku na wanalipwa mishahara mikubwa.”

“Ndomana umesema Africa”

Baada ya kupata Dinna pale tulielekea pale shoppers, alinunua vitu na mimi kwa upande wangu kuna vitu nilinunua pia vya kwenda navyo home. Tuliachana na Iryn na yeye alirequest usafiri mwingine na mimi nikarudi home.

********
Jumatano asubuhi Prisca alinipigia simu na akaomba tuonane na pia nimpeleke Posta. “Ni muda gani?” nilimwuliza, na yeye alisema niende saa7 mchana bhasi nikasema nikiwapeleka watoto kule Bahari Beach nitampitia.

Kwa upande mwingine toka nimzingue Mary kuhusu kuonana hakuwai nitafuta kabisa ni kama aliamua kunichunia, namimi sikutaka kumtafuta nikampotezea.

Nataka niwape tofauti ya Prisca na Mary, ni wamepishana miaka miwili (2) tu. Prisca ndo mdogo, ni pini na mweupe ana kasura kazuri, hips na makalio ya kawaida. Mary alikua pini pia, sura ya kawaida, weupe wa kufifia ila alikua na makalio makubwa kidogo kwa prisca na hips na alikua sex sana, kingine Mary alikua na aibu sana. Prisca na Mary walikua wamefanana hata ukiwaona utajua ni mtu na mdogo wake.

Kwa Mwanaume anayejua wanawake vizuri bila shaka angemchagua Mary ila kwa wanaume wenye haraka angeruka na Prisca maana rangi ilikua inampa sana credit.

Mchana baada ya kuwapeleka watoto kule Bahari Beach ilibidi nimpigie Prisca aanze kujiandaa, mimi ndo nilikua niko njiani nakwenda Mbezi kwa Zena.

Ndani ya muda mfupi nilikua pale kwao na Prisca alitoka akiwa amependeza sana, alikuwa kavaa boyfriend jeans na shati ya jeans.

“Insider mambo”

“Poa, you look great today.”

“Thank you, tunaenda posta kuna hizi documents nampelekea mama, tukitoka hapo nataka tuongee.”

“Sawa mama wewe ukitaka hata tukeshe mimi sina noma.”

Prisca alioneka mpole sana hii siku sio kama nilivyomzoea na mimi sikutaka kufanya matani kabisa. Hii siku tuliongea kwa nadra sana, alikua busy sana na simu yake.

Tulifika Posta na yeye alikwenda kuonana na Mama yake na alitumia kama lisaa mpaka anatoka.

Wakati namsubiri Prisca alivyokwenda kuonana na mama yake Iryn alinipigia simu na akanambia kuna documents za mzigo alizisahau kwenye drow ya gari jana. Nilimwambia niko posta muda huo na yeye alisema anajiandaa kwenda Palm village, tulikubaliana nimpitishie zile documents pale.

Baada ya Prisca kumaliza mambo yake tuliondoka kurudi Mbezi Beach,

PRISCA: “Insider tutaenda wapi sasa?

MIMI: “Sehemu yoyote ambayo utakua comfortable”

IRYN: “Twende palepale Upepo garden.”

MIMI: “Kama pale unaona utakuwa comfortable mimi sina shida.”

Nilichoma mafuta kwa kasi mpaka nafika pale Palm village ili niweze kuonana na Iryn nimkabidhi documents zake, na kabla sijafika pale nilishakua nimempanga Iryn kwenye simu kuwa nakaribia.

MIMI: “Prisca tutapitia hapo Palm village, kuna mtu nampa bahasha yake alisahau jana humu kwenye gari.”

PRISCA: “Sawa, pale pia kuna ATM nitatoa hela.”

Nilipark gari karibu na ATM ya CRDB na Prisca alitoka kwenda kutoa pesa.

Na wakati huo Iryn alionekana akitoka madukani na akaja nilipo park gari, maana nilikua nishamwelekeza.

Baada ya kufika pale Parking tulisalimiana na mimi nilitoa zile documents zilizokuwa kwenye bahasha nikampa, lakini Iryn hakuwa mtu anayetaka kutoka pale mapema na tuliendelea ongea pale;

MIMI: “Vipi una mishe gani hapa.”

IRYN: “Kuna best yangu ambaye tumesoma wote utotoni niko naye hapa.”

MIMI: “Wow, sounds great, he or she?”

IRYN: “Insider bhana ni she.”

MIMI: “Naweza kumwona?.”

Muda huu Iryn alianza kucheka na alinipiga na kibao cha kichokozi kwenye bega.

Na muda ule Prisca alikua anakuja upande wetu alikua kashatoa hela tayari, na mimi nilikua nimesimama na Iryn nyuma ya gari tukiendelea na story zetu.

Prisca alifika mpaka usawa wa gari na muda huo alimpiga jicho Iryn, kwa upande mwingine Iryn naye alikua akimwangalia Prisca kwa makini lakini alishangaa kuona anafungua mlango wa gari na kuingia.

IRYN: “Insider who is she?”

MIMI: “My customer.”

IRYN: “Customer gani akukubalie wewe kumsubirisha hivi?

MIMI: “Huoni katoka ATM ?”

IRYN: “Unajua nimemwona toka anatoka pale ATM, alivyotuona hapa tunaongea, alisimama pale kama dakika 1 kama akifikiri kitu, na amenipiga jicho la kunipa tahadhari (eye contact)”.

MIMI: “Mimi nafikiri labda haamini kuniona mimi kusimama hapa na wewe mwanamke mzuri.”

IRYN: “Kwanza mmetoka wapi?”

MIMI: “Posta”

Na muda huo Prisca alishusha kioo na kuniita “Insider….. simu yako inaiita.”

“Nakuja soon tuondoke achana nayo.” Nilimjibu Prisca hivyo.

IRYN: “Insider you lying to me, mtu anakujua mpaka jina?”

MIMI: “Ni mteja wangu wa muda kidogo nilimpeleka Posta now namrudisha kwao, ni mteja tu nothing more.”

Tuliagana na Iryn pale lakini alionekana kama amepatwa na wivu sana, licha ya Iryn kuwa mzuri sana lakini hata Prisca naye hakuwa haba hawezi kukosa kwenye list ya wanawake wazuri.

Niliingia kwenye gari ili tuondoke maeneo yale na wakati tukiendelea na safari yetu, Prisca alianza maswali pale, na yeye alikosa uvumilivu.

PRISCA: “Insider yule mwanamke ni nani?

MIMI: “Ni mteja wangu kama wewe.”

PRISCA: “Mbona alikua kajiachia sana kwako?”

MIMI: “Kivipi, mbona tulikuwa tunaongea kawaida tu.”

PRISCA: “She is beautiful, ulimjuaje?”

MIMI: “Kupitia kazi hii, kama tulivyojuana sisi, wewe na yeye hamna utofauti.”

PRISCA: “Insider nyota yako kali sana.”

Na mimi nilinyamaza kimya sikujibu kitu.

Tuliingia Upepo garden mapema na tulikwenda kukaa sehemu ambayo tulikaa mara mwisho na muda huo ilikua jioni tayari.

Tuliagiza wine na tuliendelea na mazungumzo yetu pale lakini cha ajabu Prisca alileta story zingine kabisa nje na mimi ambazo nilitegemea angezileta. Kwa upande wangu nilijua Prisca angeleta mezani mada ya jambo nililokuwa nimemwambia siku ile na mimi sikutaka kumkumbushia kabisa.

Tulikaa pale mpaka saa1 usiku nikamwambia tuondoke mimi nakazi za kufanya home. Prisca alikuwa ni mtu ambaye hataki kuondoka muda ule na mimi nilimsoma.

Tulikwenda kwenye gari na muda huo tulikuwa tunaangaliana tu, hakuna aliyekuwa anamsemesha mwenzake. Nilimshika kichwani, nikashusha mkono mpaka shingoni nikawa dizaini na mchezea shingo na nilihisi joto la mwili wake kuongezeka sana. Na muda huo alikua akiniangalia kwa macho yaliyolegea sana, na mimi nikamvuta kidogo kuja kwangu na akanipa ulimi wake kwa haraka na pupa sana.

Muda huo hata mapigo ya moyo wake yalibadilika sana na alikua kashaanza kulegea, Prisca ni aina ya mwanamke ambaye akichezewa kidogo ananyegeka haraka sana.

Kumwacha katika mazingira yale niliona haitakuwa sawa, tulikwenda lodge moja ipo karibu na maeneo yale na tulimaliza kiu zetu pale.

Baada ya kukata kiu yake yeye alikua kalala bado na muda huo nakumbuka ilikua saa5 usiku tayari na Prisca alisema hawezi kulala nje na kwao.

Mimi nilikua nimekaa kwenye kiti nikichezea simu yangu na nilisikia akiniita

“Insider…….”

Nikageuka kumsikiliza anasemaje

“Insider nimekubali option ya kwanza kwa zile mbili ulizonipa.”

TO BE CONTINUED

Toka nianze mahusiano na Mama Junior, Prisca ndo alikua Mwanamke wa kwanza nachepuka. Sikuwai mchepuka kabisa Mama J, hapa unaona Biashara ya Uber ilianza kunibadilisha tabia japo nilikua najutia sana moyoni.

Prisca kasema anakubali option ya kwanza katika zile mbili nilizompa, tukutane kesho muda kama huu.
Bhn wew, ni vizuri ulivyokula mbususu haukua na haja kujutia mzee babá
 
Nimekuwa msomaji wa hii story tangu imeanza ila kutokana na mambo kadhaa yaliyojitokeza nimeona nilog in nami nichangie.

Kiukweli story ilianza vizuri sana tena sana ila nadhani mleta story alizidiwa na misifa matokeo yake akaharibu kwa kuleta sifa za kijinga. Mimi naungana na wote wanaopinga hii story kuwa sio ya kweli na nitaleta sababu zangu kadhaa. Lakini pia nasubiri eposides zijazo ili nipime mizania kama anaendelea kutunga au atajirekebisha. Nitakuwa napita mara kwa mara kufanya uhariri wa hii story.
Yani unataka kuhariri stori ya mtu ambayo wakati matukio yake yanatokea hukuwepo?
 
Back
Top Bottom