Jinsi biashara ya Uber ilivyonikutanisha na dada huyu mrembo wa ajabu

Jinsi biashara ya Uber ilivyonikutanisha na dada huyu mrembo wa ajabu

Weka mzigo. Maana naona watu washaanza kuchapika. Na mm nilisema sisi Watanzania tunajuana kuchapana muhimu...
 
EPISODE 20

“A TRUE STORY BY INSIDER MAN”

Nilimwacha Prisca katika situation ambayo hajui ajibu nini na mimi nikapotea eneo lile.


TUNAENDELEA

Wakati niko njiani narudi home nilikuwa nawaza pia namna ya kumwambia ukweli Iryn kuhusu maisha yangu kwa ujumla, pia niliwaza namna ya kumfikishia ujumbe either nitumie kama saprize or direct.

Kitendo cha kuyamaliza na Mama J kilinipa sana faraja moyoni na sikutaka kabisa kufanya makosa this time. Lakini pia nilikua napingana na mawazo yangu muda ule, na tatizo lilikua kama Prisca atakubali kuwa na mimi itakuwaje?

Niliwaza pale kama atakubali atakua amekubaliana na kufuata sheria zangu hivyo nitamfanya kama mchepuko, so hatanisumbua akili kabisa.

Muda huo nikiwa road kurudi home nilimpigia simu Iryn na kumwambia nimerudi Dar tayari, na tuliongea mambo mengi sana. Iryn akasema kesho ambayo ni jumanne tutakwenda wote Posta kufuata mzigo.

Nilirudi home nikapitiliza kuoga na nikapanda kitandani, ilikua usiku tayari. Pale kitandani nilikua nawaza namna ya kuendelea kumchimba deep Iryn, mawazo yangu yalikua yananiambia Iryn sio mwanamke wa kawaida kuna kitu behind ambacho sikijui, hivyo niendelee kumweka karibu zaidi.

Nilikua nawaza, Mama yake kafanyia kazi Organization X tena International, hapohapo ana connection na Grizmann ambaye anafanyia kazi Wizara kubwa kule Ufaransa, Iryn mwenyewe pesa anazo, kwanini anafanya massaji?. Niliwaza huenda kuna kitu kinaendelea kuhusu Iryn, niliwaza maybe atakua Jasusi. Lakini nikawa nawaza pale kitandani, Iryn alisema hii kazi yake ya massaji inamuingizia hela sana, lakini uzuri wake unambeba pia maybe watu wanapagawa kwake.

“Hivi nikisema niendelee kumchimba na mimi sijampa hata Abc kuhusu mimi itawezakana?, hapa cha muhimu nianze kumpa code za maisha yangu. Taratibu nitaendelea kumchimba zaidi.”

**********

Asubuhi niliamka mapema na kama ratiba zangu zilivyo za kila siku, lakini upande wa Mtoto wa Mama wa2 (Rachel) alikuwa kaanza likizo ya Easter, hivyo nikawa na Maggy tu. Baada ya kumdrop Maggy Posta, nilikumbuka Iryn alisema kuna kazi ya kufanya leo.

Nilimpigia simu na aliniambia kwamba tutaenda Posta jioni Agent ndo amepanga hivyo na mimi sikuwa na chakusema, maana bossy kasema.

Niliendelea na majukumu yangu kama kawaida ya kubeba abiria na stori kubwa hasa kwa wateja ilikuwa ni suala la Uber kutaka kufunga ofisi zao hapa Tanzania. Wateja wa Uber walikua hawataki kabisa kusikia Bolt, na wengi walikua hawapendi kuitumia, hata mimi kiukweli nilikua siipendi Bolt.

Saa 10 jion Iryn alinipigia simu na akanambia nianze kusogea ili twende tukafate mzigo Posta aliniambia nitafute na gari ya kubeba mzigo, nikamwambia tutapata kulekule.

Saa11 kasoro nilikuwa pale kwake kumchukua na tukaanza safari ya kwenda Posta. Wakati tuko njiani tukielekea Posta, Iryn muda huu alikua akiniangalia sana kama mtu ambaye anataka kuuliza kitu ila kama anasita,

Na mimi nikaamua kuanzisha maongezi;

“Vipi mummy are you okay?”

“Yeah, hivi Insider Dodoma ulikua una mishe gani exactly?”

“Mzee wangu mimi ni Engineer hayuko hapa Tanzania, kuna mikataba alitaka mimi nikasaini kwa niaba yake.”

“Ooh sawa Baba yako yuko wapi?”

“Yuko Zambia kuna kampuni ya construction anafanyia kazi.”

“So jana ulifanikiwa lakini?”

“Yeah, nilifanikiwa mummy.”

Na muda huo nikaona hii ndo chance nzuri ya kuanza kumwambia baadhi ya mambo yangu,

“Iryn mimi home ni wa pili kuzaliwa kwa mama yangu ila kwa Baba yangu ni wa kwanza”

“Wa kwanza ni nani na yuko…..”

Nilimkatisha maongezi yake na mimi niliendelea kuongea.

“Iryn taratibu tunafika huko, wa kwanza ni Dada yangu anaitwa Violet na yuko Arusha aliolewa na anafanyia kazi kule. Kwa upande wa Baba sisi tuko wa4 na wote ni wanaume, ila kwa Mama tuko 5 mimi ndo wa2.”

Muda huo nilichukua simu nikatafuta picha za dada yangu pamoja na za familia yangu
nikamwonesha, na sisi muda huu tulikua tumeshafika mataa ya pale Salenda stanbic bank.

“Aisee kumbe una dada mzuri hivi afu mmefanana ila dada yako amezidi weupe.”

“Dada yangu Baba yake ni mhindi, kufanana kwetu tumechukua kwa mama yetu, yeye ni mweupe pia.”

“Insider kumbe una dada, atlist now nimeanza kukujua, nimefurahi.”

“Utanijua tu usiwe na wasiwasi.”

Tulifika Posta na tukampick jamaa pale Samora na sisi hao tukaelekea pale Gerezani ambako tulichukua Canter na tukaelekea Kurasini.

Tulipakia ule mzigo pale kurasini na Iryn pia alikwenda kule, sikujua kwanini aliamua kwenda Kurasini na sikutaka kumwuuliza maana ule mzigo ulikuwa ni wake.

Na muda huo watu walikua wakimwangalia sana Iryn maana mrembo kama yeye kutembelea lile eneo ni ngumu sana. Licha ya yote Iryn ni mwanamke ambaye alikuwa anabadilika kulingana na mazingira, hakuwaga na noma kabisa.

Tuliondoka eneo la tukio na kurudi Kijitonyama na mzigo lakini alikuja Dada wa saloon na aliondoka na ile Canter, sijui walipeleka wapi mzigo. Kuna vitu ambavyo nilikua sipendi kuuliza kuhusu biashara yake maana vilikua havinihusu kabisa.

Mpaka tunafika kwake ilikua usiku tayari hivyo na mimi sikutaka kukaa pale muda mrefu sana, nikamuaga nasepa. Iryn alinigomea akasema tukale Dina afu ndo tuachane, na mimi sikutaka kukataa maana hata home nilikua sipiki, niliona wazo lake ni jema.

Toka tukutane na Iryn ilikua ni miezi 2 na nusu tayari ila tulikuwa tumeshazoeana sana. Na alitokea kunikubali sana.

Tuliamua twende Mlimani city ili anunue na vitu vya home, tuliwasili pale na akasema nichague tukapate wapi lunch, mimi nikamwambia twende pale intanbull. Tuliagiza pale chakula na tuliendelea kupiga story;

“Iryn hujanambia kilichoendelea na yule mtu wa kule Hotelin.”

“Niliwasiliana na Isabella nikamweleza, sijataka kuhangaika tena.”

“Okay sasa mpango wako ni upi kwa sasa?”

“Insider unajua toka nitoke Ufaransa nije Tanzania naona kama kichwa changu hakipo sawa kabisa.”

“Kwanini unasema hivyo?”

“Mambo mengi Mama yangu alikua anafanya kwa siri sana. Na kazi ya kusimamia hizi biashara zake zote pamoja na nyumba, pia bado nahitaji kuendelea na biashara zangu za massaji.”

“Kwanini usifocus na Biashara alizoacha Mama ukaachana na Massaji?”

“Insider massaji inaniingizia pesa mingi sana, nachotaka kufanya ni kudeal na wateja wa App tu.”

“Sawa kuanza kudeal na wateja wa web itakua mwanzo mzuri, ila mimi ningekushauri uachane nazo tu uanze kudeal na business tu.”

“Unajua Waafrica wanachukulia massaji ni kama kujiuza, wenzetu wazungu wanaheshimu sana utu, na watu wengi wameajiiriwa huku na wanalipwa mishahara mikubwa.”

“Ndomana umesema Africa”

Baada ya kupata Dinna pale tulielekea pale shoppers, alinunua vitu na mimi kwa upande wangu kuna vitu nilinunua pia vya kwenda navyo home. Tuliachana na Iryn na yeye alirequest usafiri mwingine na mimi nikarudi home.

********
Jumatano asubuhi Prisca alinipigia simu na akaomba tuonane na pia nimpeleke Posta. “Ni muda gani?” nilimwuliza, na yeye alisema niende saa7 mchana bhasi nikasema nikiwapeleka watoto kule Bahari Beach nitampitia.

Kwa upande mwingine toka nimzingue Mary kuhusu kuonana hakuwai nitafuta kabisa ni kama aliamua kunichunia, namimi sikutaka kumtafuta nikampotezea.

Nataka niwape tofauti ya Prisca na Mary, ni wamepishana miaka miwili (2) tu. Prisca ndo mdogo, ni pini na mweupe ana kasura kazuri, hips na makalio ya kawaida. Mary alikua pini pia, sura ya kawaida, weupe wa kufifia ila alikua na makalio makubwa kidogo kwa prisca na hips na alikua sex sana, kingine Mary alikua na aibu sana. Prisca na Mary walikua wamefanana hata ukiwaona utajua ni mtu na mdogo wake.

Kwa Mwanaume anayejua wanawake vizuri bila shaka angemchagua Mary ila kwa wanaume wenye haraka angeruka na Prisca maana rangi ilikua inampa sana credit.

Mchana baada ya kuwapeleka watoto kule Bahari Beach ilibidi nimpigie Prisca aanze kujiandaa, mimi ndo nilikua niko njiani nakwenda Mbezi kwa Zena.

Ndani ya muda mfupi nilikua pale kwao na Prisca alitoka akiwa amependeza sana, alikuwa kavaa boyfriend jeans na shati ya jeans.

“Insider mambo”

“Poa, you look great today.”

“Thank you, tunaenda posta kuna hizi documents nampelekea mama, tukitoka hapo nataka tuongee.”

“Sawa mama wewe ukitaka hata tukeshe mimi sina noma.”

Prisca alioneka mpole sana hii siku sio kama nilivyomzoea na mimi sikutaka kufanya matani kabisa. Hii siku tuliongea kwa nadra sana, alikua busy sana na simu yake.

Tulifika Posta na yeye alikwenda kuonana na Mama yake na alitumia kama lisaa mpaka anatoka.

Wakati namsubiri Prisca alivyokwenda kuonana na mama yake Iryn alinipigia simu na akanambia kuna documents za mzigo alizisahau kwenye drow ya gari jana. Nilimwambia niko posta muda huo na yeye alisema anajiandaa kwenda Palm village, tulikubaliana nimpitishie zile documents pale.

Baada ya Prisca kumaliza mambo yake tuliondoka kurudi Mbezi Beach,

PRISCA: “Insider tutaenda wapi sasa?

MIMI: “Sehemu yoyote ambayo utakua comfortable”

IRYN: “Twende palepale Upepo garden.”

MIMI: “Kama pale unaona utakuwa comfortable mimi sina shida.”

Nilichoma mafuta kwa kasi mpaka nafika pale Palm village ili niweze kuonana na Iryn nimkabidhi documents zake, na kabla sijafika pale nilishakua nimempanga Iryn kwenye simu kuwa nakaribia.

MIMI: “Prisca tutapitia hapo Palm village, kuna mtu nampa bahasha yake alisahau jana humu kwenye gari.”

PRISCA: “Sawa, pale pia kuna ATM nitatoa hela.”

Nilipark gari karibu na ATM ya CRDB na Prisca alitoka kwenda kutoa pesa.

Na wakati huo Iryn alionekana akitoka madukani na akaja nilipo park gari, maana nilikua nishamwelekeza.

Baada ya kufika pale Parking tulisalimiana na mimi nilitoa zile documents zilizokuwa kwenye bahasha nikampa, lakini Iryn hakuwa mtu anayetaka kutoka pale mapema na tuliendelea ongea pale;

MIMI: “Vipi una mishe gani hapa.”

IRYN: “Kuna best yangu ambaye tumesoma wote utotoni niko naye hapa.”

MIMI: “Wow, sounds great, he or she?”

IRYN: “Insider bhana ni she.”

MIMI: “Naweza kumwona?.”

Muda huu Iryn alianza kucheka na alinipiga na kibao cha kichokozi kwenye bega.

Na muda ule Prisca alikua anakuja upande wetu alikua kashatoa hela tayari, na mimi nilikua nimesimama na Iryn nyuma ya gari tukiendelea na story zetu.

Prisca alifika mpaka usawa wa gari na muda huo alimpiga jicho Iryn, kwa upande mwingine Iryn naye alikua akimwangalia Prisca kwa makini lakini alishangaa kuona anafungua mlango wa gari na kuingia.

IRYN: “Insider who is she?”

MIMI: “My customer.”

IRYN: “Customer gani akukubalie wewe kumsubirisha hivi?

MIMI: “Huoni katoka ATM ?”

IRYN: “Unajua nimemwona toka anatoka pale ATM, alivyotuona hapa tunaongea, alisimama pale kama dakika 1 kama akifikiri kitu, na amenipiga jicho la kunipa tahadhari (eye contact)”.

MIMI: “Mimi nafikiri labda haamini kuniona mimi kusimama hapa na wewe mwanamke mzuri.”

IRYN: “Kwanza mmetoka wapi?”

MIMI: “Posta”

Na muda huo Prisca alishusha kioo na kuniita “Insider….. simu yako inaiita.”

“Nakuja soon tuondoke achana nayo.” Nilimjibu Prisca hivyo.

IRYN: “Insider you lying to me, mtu anakujua mpaka jina?”

MIMI: “Ni mteja wangu wa muda kidogo nilimpeleka Posta now namrudisha kwao, ni mteja tu nothing more.”

Tuliagana na Iryn pale lakini alionekana kama amepatwa na wivu sana, licha ya Iryn kuwa mzuri sana lakini hata Prisca naye hakuwa haba hawezi kukosa kwenye list ya wanawake wazuri.

Niliingia kwenye gari ili tuondoke maeneo yale na wakati tukiendelea na safari yetu, Prisca alianza maswali pale, na yeye alikosa uvumilivu.

PRISCA: “Insider yule mwanamke ni nani?

MIMI: “Ni mteja wangu kama wewe.”

PRISCA: “Mbona alikua kajiachia sana kwako?”

MIMI: “Kivipi, mbona tulikuwa tunaongea kawaida tu.”

PRISCA: “She is beautiful, ulimjuaje?”

MIMI: “Kupitia kazi hii, kama tulivyojuana sisi, wewe na yeye hamna utofauti.”

PRISCA: “Insider nyota yako kali sana.”

Na mimi nilinyamaza kimya sikujibu kitu.

Tuliingia Upepo garden mapema na tulikwenda kukaa sehemu ambayo tulikaa mara mwisho na muda huo ilikua jioni tayari.

Tuliagiza wine na tuliendelea na mazungumzo yetu pale lakini cha ajabu Prisca alileta story zingine kabisa nje na mimi ambazo nilitegemea angezileta. Kwa upande wangu nilijua Prisca angeleta mezani mada ya jambo nililokuwa nimemwambia siku ile na mimi sikutaka kumkumbushia kabisa.

Tulikaa pale mpaka saa1 usiku nikamwambia tuondoke mimi nakazi za kufanya home. Prisca alikuwa ni mtu ambaye hataki kuondoka muda ule na mimi nilimsoma.

Tulikwenda kwenye gari na muda huo tulikuwa tunaangaliana tu, hakuna aliyekuwa anamsemesha mwenzake. Nilimshika kichwani, nikashusha mkono mpaka shingoni nikawa dizaini na mchezea shingo na nilihisi joto la mwili wake kuongezeka sana. Na muda huo alikua akiniangalia kwa macho yaliyolegea sana, na mimi nikamvuta kidogo kuja kwangu na akanipa ulimi wake kwa haraka na pupa sana.

Muda huo hata mapigo ya moyo wake yalibadilika sana na alikua kashaanza kulegea, Prisca ni aina ya mwanamke ambaye akichezewa kidogo ananyegeka haraka sana.

Kumwacha katika mazingira yale niliona haitakuwa sawa, tulikwenda lodge moja ipo karibu na maeneo yale na tulimaliza kiu zetu pale.

Baada ya kukata kiu yake yeye alikua kalala bado na muda huo nakumbuka ilikua saa5 usiku tayari na Prisca alisema hawezi kulala nje na kwao.

Mimi nilikua nimekaa kwenye kiti nikichezea simu yangu na nilisikia akiniita

“Insider…….”

Nikageuka kumsikiliza anasemaje

“Insider nimekubali option ya kwanza kwa zile mbili ulizonipa.”

TO BE CONTINUED

Toka nianze mahusiano na Mama Junior, Prisca ndo alikua Mwanamke wa kwanza nachepuka. Sikuwai mchepuka kabisa Mama J, hapa unaona Biashara ya Uber ilianza kunibadilisha tabia japo nilikua najutia sana moyoni.

Prisca kasema anakubali option ya kwanza katika zile mbili nilizompa, tukutane kesho muda kama huu.
Kasinge Mno INSIDER MAN
 
EPISODE 21

“Insider……. Nimekubali option ya kwanza kwa zile mbili ulizonipa.”

ENDELEA……..


Na muda huu nilitumia kusogea pale kitandani na kumsogelea karibu maana alikua amekaa kitandani.

“Prisca kwahiyo umekubali kuwa mchepuko?”

Prisca alijibu kwa kutingisha kichwa kuonesha yuko tayari kufanywa kuwa mchepuko wa Insider.

“Kwanini unataka nikufanye mchepuko? Nafikiri option 2 ingekua nzuri zaidi, tuwe washikaji tu.”

“Ulinipa choice sasa nimechagua option ya 1. Nimeridhika hivyo kwa maamuzi yangu.”

“Okay haina shida kama umeamua hivyo ila…..” Prisca alinikatisha wakati nikiendelea kuongea.

“Insider, nioneshe picha za mke mkubwa bhasi nimjue hata kwa picha na mtoto wangu.”

Nilichukua simu ambayo ilikua mezani na nikaanza kumwonesha picha za Mama Junior, pamoja na zile za Junior.

“Insider umefanana sana na mwanao copyright.”

“Risasi zangu mimi ni genuine grade A”

“Hivi na mimi nikipata mimba si tutapata mtoto mzuri sana, tena atakuwa wa kike.”

Yaani tuseme Prisca alikua tayari karidhika kuwa mchepuko kiukweli nilishangaa sana, na bado akaanza kuleta story za kushika mimba, nilimwona mwanamke wa ajabu sana.

“Upate ujauzito na mme wa mtu, are you serious?”

“Insider najikuta natamani kupata mtoto, Junior ni mzuri sana. Najikuta natamani na mimi nipate mtoto.”

“Embu nenda kaoge tuondoke maana ulisema unataka kurudi mapema home au tulale hapahapa?”

“Natamani ila Mzee Mapembe yupo leo, acha nikaoge tuondoke.”

Ile anashuka kitandani nika muwasha kibao cha kalioo “Paaah”

Nilijiona Alpha kwakweli nikasema sasa huyu nitampa sheria zangu ili asije kuleta sintofahamu huko mbeleni, lazima nimcontol kama remote, maana nikifanya makosa tu itakula kwangu.

Na muda huu niliwaza asajili namba mpya ila kwa jina lingine, na pia nitampa ratiba za kuwasiliana naye pamoja na kuchat na mimi.

Na wakati huo alikuwa katoka kuoga kajifunga taulo kuanzia usawa wa matiti kushuka chini, na mimi nilivyomwona tena akiwa vile nikaanza kusisimuka. Na palepale nikamsogolea nikampiga kingine cha kuondokea nyumbani.

Nilimrudisha kwao saa 6 usiku na mimi nikaondoka kurudi kulala.

**********

Asubuhi Muajemi alinipigia simu na akaniomba niende kwake saa4 asubuhi kuna sehemu twende wote, na mimi niliikubali ile offa sikutaka kumkatalia Tajiri.

Saa4 ilipowadia nilikwenda kwa Muajemi na yeye alikua anakaa msasani unaingilia kushoto kabla hujafika Tanesco Mikocheni. Na alikuwa hakai mbali sana na maeneo yale.

Nilifanikiwa kufika pale anapoishi maana alikuwa kanitumia location kupitia Telegram, Muajemi alikua anatumia sana huu mtandao sijui kwanini.

Ilikua ni nyumba ya ghorofa 2 na ilikua nzuri sana na alikua anakaa na mke wake (Mke mdogo) na alikuwa amezaa naye watoto wawili (2).

Mlinzi alinifungulia geti na nikapark gari langu, alitoka dada wa kazi kunikaribisha, na ndani ya dakika chache Muajemi alikua ametoka na tulikaa garden.

MUAJEMI: “Bro! Hapa ndo naishi, jiskie upo nyumbani.”

MIMI: “Ahsante sana”

MUAJEMI: “Dada tuletee chai tunywee hapahapa na Insider.” Nilishangaa kuona dada anajua kuongea kiingereza.

MIMI: “Bro! shemeji yuko wapi?”

MUAJEMI: “Yuko mishemishe anachacharika”

MIMI: “Na watoto?”

MUAJEMI: “Watoto wako shule”

Tulikaa pale na Muajemi tukipiga story mbalimbali na moja kubwa alilisema ana mpango wa kufungua Filling stations hapa Tanzania, ila bado anakutana na upinzani mkubwa sana hasa kutoka kwa wenye mamlaka.

Saa 5 ndo muda tuliotoka pale na tulitumia gari yake Range sport nyeusi. Mimi nilikua sijui tunakwenda wapi lakini tulikwenda mpaka Kigamboni “South Beach hotel”.

Aliniacha na alikwenda kuonana na watu wake na alitumia masaa 3 wakatoka. Baada ya hapo tulikwenda Kurasini kwenye ofisi za Puma, na tukaondoka pale tukarudi Posta.

Tulikwenda kwenye duka moja kubwa la simu ambalo ni la mke wake alinambia hivyo, tukaenda mtaa wa India kwenye maduka ya Jewerly na tukaingia moja ya duka kubwa pale, alinambia nalo ni la mke wake.

“Insider ukitaka pete ya uchumba, pete za harusi, necklaces kila kitu kipo hapa”

“Bro! hizi bei mimi siwezi kwakweli.”

“Wewe utapewa discount usijali.”

Hapo ndo nikajua kumbe zile zawadi alizompa kwa Iryn alizichukua madukani.

Tulitoka hapo tukaenda pale Holliday inn tukapata chakula japo ilikua jion tayari. Na wakati tuko pale tulikuwa tukizungumza mambo mengi sana.

MIMI: “Tanzania una muda gani toka umeanza kuja?”

MUAJEMI: “Bro! Tanzania nimeanza kuja since 2008, kampuni yetu inafanya kazi karibu nchi zote za Africa, tunauza hizo pumps za mashine za sheli, tunauza lubricants za aina zote. Kwa upande wa mafuta kampuni yetu ina deal kama middle man, kwa ufupi tunaingia mikataba na serikali na makampuni mbalimbali hasa kwa Africa.”

MIMI: “Na kuhusu lubricants?”

MUAJEMI: “Bro! sisi ni exporter ila kila nchi tuna Madalali wetu tunaofanya nao kazi, ndo biashara zinavyokwenda hapa duniani, middle man huwezi wakimbia. Mfano tuna export contena 20 za lubricants kuja Tanzania kwa Agent yetu (middle-man) yeye anasupply kwa agents zake.”

Muajemi aliniambia siri nyingi sana hasa kwenye mafuta alisema watu wanapiga sana hela hasa hawa viongozi wa serikali, sitaki kufungua code kabisa. Muajemi alisema viongozi wa Africa wengi ni ma middle man wanakula sana hela huko, invoice zinachezewa balaa, ila mnaoumia ni nyinyi watumiaji wa mwisho.

MIMI: “Vipi mnawasiliana na Iryn?”

MUAJEMI: “Bro hata jana nimempigia simu, nikamwambia mzigo wake umefika tayari, aliniambia nimtumie account yangu anitumie pesa. Nimeshangaa sana na nimeona dharau sana kwangu.”

MIMI: “Hahahaha wewe ulifanyaje?”

MUAJEMI: “Nilimwambia nimempa offa tu, alinambia pia hakuna cha bure hapa duniani”

MIMI: “Unajua nini, we fanya kumwomba mtoke out, uendelee kumsogeza karibu.”

MUAJEMI: “Badae nitaongea naye, ukisha mpelekea mzigo wake.”

Tulitumia kama nusu saa pale na tulielekea Upanga na kuna mtu tulikutana naye ambaye ni Muajemi alikuwa, akatutolea ile mizigo kwenye Box, na zilikua box 7.

Kijana alipanga kwenye buti vizuri na tukaondoka kurudi Msasani, na muda huo ilikua giza limeanza kuingia.

Tuliwasili pale kwake na akanambia jumapili anakwenda Saudi Arabia hivyo lazima aonane na Iryn haraka iwezekanavyo. Mlinzi alikuja akatoa ile mizigo kwenye gari na akaipanga kwnye gari yangu.

Nilimuaga Muajemi pale na alitoa hela mfukoni akanikabidhi mkononi, alizitoa bila kuhesabu. Nilimshukuru pale na nilivyofika kwenye gari na kuhesabu zilikua ni 420,000/=.

Niliwasiliana na Iryn muda ule akasema nitamkuta kwake, nilifika pale nikafungua geti nikaingiza gari ndani. Na muda huo jirani alikua pale nje amekaa kibarazani.

MIMI: “Jirani nakuona umepumzika huna baya.”

JIRAN: “Jirani nimechoka tu.”

MIMI: “Huonekani siku hizi, ulikuwa umesafiri nini?”

JIRANI: “Mimi au wewe? Maana mimi nipo wewe ndo umetutenga bhana.”

MIMI: “Ngoja nikasalimie ndani, badae bhasi.”

JIRANI: “Wahi baba, atakua amekumiss.”

Niliishia kucheka tu nikasema lait Jirani angelijua hata asingesema hivi.

Niliingia ndani nikamkuta Iryn kalala kizembe pale seblen, maana alikua kavaa vile vibukta vifupi sasa mimi nikawa namwangalia pale kwa macho ya kifisi.

IRYN: “Insider vipi mbona sikuelewi?”

MIMI: “Unalalaje kizembe hivo.”

IRYN: “Sasa ulitaka nilalaje?”

MIMI: “Na mizigo yako kutoka kwa Muajemi ipo kwenye gari.”

IRYN: “Wow jana alinambia imefika, ila hataki nimtumie hela yake.”

MIMI: “Muajemi amekupa offa wewe unaleta habari za malipo”

IRYN: “There is no free meal in this world”

MIMI: “What do you mean?”

IRYN: “Twende tukatoe kwenye gari.”

Tulitoka nje na yeye alikuwa na kibukta chake vilevile tukasaidiana kutoa ile mizigo na tukaweka pale nje kibarazani. Na muda huo Jiran alikuwa akituangalia sana.

MIMI: “Hivi hapa kibarazani hawawezi kuiba?”

IRYN: “I don’t think so.”

Bhasi baada ya kumaliza kuweka zile box pale ambazo zilikua no vifaa vya saloon, kutokana na Iryn alisema zile mashine ni advanced kwenye upande wa saloon pia ni ghali. Na alisema zile mashine zimecost $24,000 mpaka kodi pale bandarini na zitakwenda Masaki.

Na wakati huo muda ulikuwa umekwenda sana, ilikua usiku tayari.

“Insider kesho uje mapema twende Posta nikanunue nguo maana nina hitajika kwenda kwenye ofisi ya mama.”

“Unakwenda muda gani?”

“Saa 7 mchana.”

Bhasi na mimi sikukaa pale kabisa nikaaga nikaondoka kurudi home maana nilitaka kurudi mapema nikaongee na Mzee Mollel nijue hata Ujenzi unakwendaje kule Dodoma.

*********

Ratiba zangu za asubuhi zilikuwa vilevile lazima nikawachukue wateja zangu lakini hii week ilikua tofauti kidogo toka nitoke Dodoma. Mtoto wa Mama wa2 naye alikuwa kaanza likizo ya Easter, hivyo nilikua namchukua Maggy tu.

Baada ya kumpeleka Maggy Posta ilibidi niende Kijitonyama mapema kwa Iryn kama tulivyokubaliana. Nilifika pale kwake na alikuwa bado kalala, nilimpigia simu na akatoka kunifungulia mlango.

Tulisalimiana pale na yeye akasema anakwenda kuoga ili tuwai kwenda mapema Posta.

Baada ya kuwasili Posta kuna duka tuliingia la nguo “special”. Iryn alinunua nguo nyingi tu pale za kiofisi ikiwemo suti ya suruali na alikua anajaribisha palepale.

Tulirudi haraka Kijitonyama na alijiandaa pale kwa haraka na alitoka akiwa amependeza sana. Alikuwa kavaa suti ya dark blue na ilionekana kumpendeza sana mrembo Iryn.

Tukaondoka kuelekea Masaki kwenye hio Organization. Muda huo ilikua saa 7 mchana na nilimshusha nje ya geti la Organization.

“Insider nitakupigia nikiwa tayari sawa?” na yeye akaingia ndani.

Mimi nilitoka hapo na nikatafuta chimbo kwa mbele nikapark gari langu.

Lengo kubwa la kwenda kwenye hii Organization ni kufanyiwa interview na kusaini forms, Iryn alisema wanamfanyia interview ili wajue zile pesa atazifanyia nini maana ni nyingi sana kwa umri wake.

Wakati niko kwenye gari nilikua nikiperuzi peruzi kwenye social medias nikiangalia mambo yanayoendelea na kutrend. Na muda huo Mary alinipigia simu, nilishangaa sana kuona akipiga simu.

MIMI: “Mary mambo.”

MARY: “Salama za kunisusa?”

MIMI: “Mimi au wewe ndo umenisusa?”

MARY: “Mimi sijakususa ila uliniboa, na unajua sababu.”

MIMI: “Ok am sorry, sindo unataka kusikia hivi?

MARY: “Insider juzi ulikuwa na Prisca?”

MIMI: “Why?”

MARY: “Insider ulikuwa na Prisca, don’t lie”

MIMI: “Afu Mary mimi sikuelewagi ujue, you keep asking me everyday. Mdogo wako akichelewa kurudi unaniuliza mimi badala umbane Prisca, this behavior has to stop”

MARY: “It’s okay, upo wapi?.”

MIMI: “Niko masaki now, unahitaji usafiri?”

MARY: “Kama utakuwepo Posta, jioni utanambia.”

MIMI: “Sawa Bossy wangu”

Na muda huo alikata simu [emoji3513]

Ukweli ni kwamba nikizurura hivi na Iryn nilikuwa naingiza pesa nyingi tu, sikosi laki, laki2 itadepend na yeye hio siku ana mood gani, japo kuna baadhi ya trip nilikua nakataa pesa zake.

Nilisubiri pale kwa almost saa zima nikimsubiri atoke na muda huo ndo alinipigia nisogee ili tuondoke.

Wakati nimesogea pale karibu nilimwona akiwa na Mama Janeth na wakapanda kwenye gari.

“Insider twende Levant tukale nafikiri ni sehem nzuri ambayo imetulia.”

Kutoka kwnye ile Organization hata sio mbali na ndani ya muda mfupi tulikuw pale Levant.

Na kila mmoja aliagiza msosi anaojua yeye na Mama Janeth na Iryn waliendelea kuongea, maana toka tukiwa kwenye gari walikuwa wakiongea sana, ni kama walikuwa wanaendeleza mazungumzo yao.

IRYN: “Mama ndo hivyo kama nilivyokwambia zile mashine zimefika tayari, utaziona ni nzuri sana na zitatusaidia.”

MAMA JANETH: “Na suala la massaji tutapata wataalamu na wakuaminika?”

IRYN: “Mama hata mimi nitawafundisha niko vizuri sana.”

MAMA JANETH: “Sawa mwanangu uwepo wako umekuwa baraka sana.”

IRYN: “Director muda ule alikuwa anasema Organization itanipa sponsorship ya Postgraduate, ni muda gani ita expiry?”

MAMA JANETH: “Hio ni wewe tu sidhani kama ina kikomo, vipi kwanini hutaki kufanyia kazi Organization?”

IRYN: “Mama si nitabanwa sana, na biashara zikayumba?”

MAMA JANETH: “Mbona mama yako alikuwa busy na mambo yalikuwa yanakwenda vizuri tu.”

IRYN: “Mama labda baadae kwa sasa hapana.”

MAMA JANETH: “Pale home unaishije? Maana sijaja na muda.”

IRYN: “Salama ila nafikiri mwezi ujao niondoke, ili uweke mtu ile ni biashara yako. Kipindi kile nilikuwa mgeni ila sasa nishayazoea mazingira, Insider ananisaidia sana.”

MAMA JANETH: “Hata mimi nakuona kuna utofauti mkubwa sana ulikuwa unajifungia tu ndani. Ila pale ni nyumbani unaweza kuendelea kukaa tu mwanangu hata usiwe na wasiwasi.”

IRYN: “Nataka nibadilishe mazingira pia.”

MAMA JANETH: “I understand.”

Tulitumia kama dakika 45 pale Levant na tukaondoka pale, tulimrudisha Mama Janeth kazini na sisi tukaondoka kurudi Kijitonyama.

Na wakati tunarudi tulitumia Kimweri Ave Road, hii barabara inakuja kutokea pale Mikocheni, Mwaikibaki road.

MIMI: “Iryn muda ule nilisikia mkiongea na Mama Janeth kuhusu kuhama pale Kijitonyama.”

IRYN: “Ndio Insider nataka kuhama pale, sikukwambia kama zile Apartments ni za mama Janeth?.”

MIMI: “Hapana hujawai kunambia.”

IRYN: “Ni Apartment zake, wakati nimerudi Tanzania kutoka Ufaransa nilifikia kwa Mama Janeth. Niliona nakosa uhuru wa kutoka usiku na kufanya kazi zangu, ndo nikamwambia nataka kupanga ndo akanionesha apartments mbili ya Mikocheni na hii ya Kijitonyama. Mimi niliipenda ya Kijitonyama ndo akaninulia vitu vyote unavyoviona mle ndani.”

MIMI: “Aisee kumbe”

IRYN: “Insider kukutana na wewe ni kama Baraka kwangu maana nilikuwa mtu wa kujifungia ndani tu.”

MIMI: “Nilikuahidi kukupeleka kula kitimoto na pia nitakupeleka ukale Biriani la selebonge.”

IRYN: “Week tayari hujatimiza ahadi.”

MIMI: “Better late than never.”

IRYN: “Don’t make Promises you can’t keep.”

MIMI: “Sema tumekula tayari, tena leo Ijumaa ningekupeleka pale kwa Selebonge tukale biriani.”

Tulitumia muda mchache kufika pale kwake baada ya kupark gari yeye aliingia ndani na mimi nikaenda kufunga geti.

Niliingia seblen na nikakaa kwenye coach na kwenye meza kulikuwa na kitabu kama magazine tuseme, kilikuwa ni cha mambo ya fashion, nilikuwa nakipitia nakiangalia yaliyomo ndani.

Wakati nikiendelea kuangalia picha za mle ndani nilisikia Iryn akiniita kutoka chumbani kwake,

IRYN: “Insider………”

MIMI: “Nambie mummy”

IRYN: “Come in please.”

MIMI: “In your room?”

IRYN: “Yes are you afraid? Njoo bhasi haraka.”

MIMI: “Okay am coming.”


TO BE CONTINUED

Jinsi biashara ya Uber ilivyonikutanisha na dada huyu mrembo wa ajabu
 
EPISODE 20

“A TRUE STORY BY INSIDER MAN”

Nilimwacha Prisca katika situation ambayo hajui ajibu nini na mimi nikapotea eneo lile.


TUNAENDELEA

Wakati niko njiani narudi home nilikuwa nawaza pia namna ya kumwambia ukweli Iryn kuhusu maisha yangu kwa ujumla, pia niliwaza namna ya kumfikishia ujumbe either nitumie kama saprize or direct.

Kitendo cha kuyamaliza na Mama J kilinipa sana faraja moyoni na sikutaka kabisa kufanya makosa this time. Lakini pia nilikua napingana na mawazo yangu muda ule, na tatizo lilikua kama Prisca atakubali kuwa na mimi itakuwaje?

Niliwaza pale kama atakubali atakua amekubaliana na kufuata sheria zangu hivyo nitamfanya kama mchepuko, so hatanisumbua akili kabisa.

Muda huo nikiwa road kurudi home nilimpigia simu Iryn na kumwambia nimerudi Dar tayari, na tuliongea mambo mengi sana. Iryn akasema kesho ambayo ni jumanne tutakwenda wote Posta kufuata mzigo.

Nilirudi home nikapitiliza kuoga na nikapanda kitandani, ilikua usiku tayari. Pale kitandani nilikua nawaza namna ya kuendelea kumchimba deep Iryn, mawazo yangu yalikua yananiambia Iryn sio mwanamke wa kawaida kuna kitu behind ambacho sikijui, hivyo niendelee kumweka karibu zaidi.

Nilikua nawaza, Mama yake kafanyia kazi Organization X tena International, hapohapo ana connection na Grizmann ambaye anafanyia kazi Wizara kubwa kule Ufaransa, Iryn mwenyewe pesa anazo, kwanini anafanya massaji?. Niliwaza huenda kuna kitu kinaendelea kuhusu Iryn, niliwaza maybe atakua Jasusi. Lakini nikawa nawaza pale kitandani, Iryn alisema hii kazi yake ya massaji inamuingizia hela sana, lakini uzuri wake unambeba pia maybe watu wanapagawa kwake.

“Hivi nikisema niendelee kumchimba na mimi sijampa hata Abc kuhusu mimi itawezakana?, hapa cha muhimu nianze kumpa code za maisha yangu. Taratibu nitaendelea kumchimba zaidi.”

**********

Asubuhi niliamka mapema na kama ratiba zangu zilivyo za kila siku, lakini upande wa Mtoto wa Mama wa2 (Rachel) alikuwa kaanza likizo ya Easter, hivyo nikawa na Maggy tu. Baada ya kumdrop Maggy Posta, nilikumbuka Iryn alisema kuna kazi ya kufanya leo.

Nilimpigia simu na aliniambia kwamba tutaenda Posta jioni Agent ndo amepanga hivyo na mimi sikuwa na chakusema, maana bossy kasema.

Niliendelea na majukumu yangu kama kawaida ya kubeba abiria na stori kubwa hasa kwa wateja ilikuwa ni suala la Uber kutaka kufunga ofisi zao hapa Tanzania. Wateja wa Uber walikua hawataki kabisa kusikia Bolt, na wengi walikua hawapendi kuitumia, hata mimi kiukweli nilikua siipendi Bolt.

Saa 10 jion Iryn alinipigia simu na akanambia nianze kusogea ili twende tukafate mzigo Posta aliniambia nitafute na gari ya kubeba mzigo, nikamwambia tutapata kulekule.

Saa11 kasoro nilikuwa pale kwake kumchukua na tukaanza safari ya kwenda Posta. Wakati tuko njiani tukielekea Posta, Iryn muda huu alikua akiniangalia sana kama mtu ambaye anataka kuuliza kitu ila kama anasita,

Na mimi nikaamua kuanzisha maongezi;

“Vipi mummy are you okay?”

“Yeah, hivi Insider Dodoma ulikua una mishe gani exactly?”

“Mzee wangu mimi ni Engineer hayuko hapa Tanzania, kuna mikataba alitaka mimi nikasaini kwa niaba yake.”

“Ooh sawa Baba yako yuko wapi?”

“Yuko Zambia kuna kampuni ya construction anafanyia kazi.”

“So jana ulifanikiwa lakini?”

“Yeah, nilifanikiwa mummy.”

Na muda huo nikaona hii ndo chance nzuri ya kuanza kumwambia baadhi ya mambo yangu,

“Iryn mimi home ni wa pili kuzaliwa kwa mama yangu ila kwa Baba yangu ni wa kwanza”

“Wa kwanza ni nani na yuko…..”

Nilimkatisha maongezi yake na mimi niliendelea kuongea.

“Iryn taratibu tunafika huko, wa kwanza ni Dada yangu anaitwa Violet na yuko Arusha aliolewa na anafanyia kazi kule. Kwa upande wa Baba sisi tuko wa4 na wote ni wanaume, ila kwa Mama tuko 5 mimi ndo wa2.”

Muda huo nilichukua simu nikatafuta picha za dada yangu pamoja na za familia yangu
nikamwonesha, na sisi muda huu tulikua tumeshafika mataa ya pale Salenda stanbic bank.

“Aisee kumbe una dada mzuri hivi afu mmefanana ila dada yako amezidi weupe.”

“Dada yangu Baba yake ni mhindi, kufanana kwetu tumechukua kwa mama yetu, yeye ni mweupe pia.”

“Insider kumbe una dada, atlist now nimeanza kukujua, nimefurahi.”

“Utanijua tu usiwe na wasiwasi.”

Tulifika Posta na tukampick jamaa pale Samora na sisi hao tukaelekea pale Gerezani ambako tulichukua Canter na tukaelekea Kurasini.

Tulipakia ule mzigo pale kurasini na Iryn pia alikwenda kule, sikujua kwanini aliamua kwenda Kurasini na sikutaka kumwuuliza maana ule mzigo ulikuwa ni wake.

Na muda huo watu walikua wakimwangalia sana Iryn maana mrembo kama yeye kutembelea lile eneo ni ngumu sana. Licha ya yote Iryn ni mwanamke ambaye alikuwa anabadilika kulingana na mazingira, hakuwaga na noma kabisa.

Tuliondoka eneo la tukio na kurudi Kijitonyama na mzigo lakini alikuja Dada wa saloon na aliondoka na ile Canter, sijui walipeleka wapi mzigo. Kuna vitu ambavyo nilikua sipendi kuuliza kuhusu biashara yake maana vilikua havinihusu kabisa.

Mpaka tunafika kwake ilikua usiku tayari hivyo na mimi sikutaka kukaa pale muda mrefu sana, nikamuaga nasepa. Iryn alinigomea akasema tukale Dina afu ndo tuachane, na mimi sikutaka kukataa maana hata home nilikua sipiki, niliona wazo lake ni jema.

Toka tukutane na Iryn ilikua ni miezi 2 na nusu tayari ila tulikuwa tumeshazoeana sana. Na alitokea kunikubali sana.

Tuliamua twende Mlimani city ili anunue na vitu vya home, tuliwasili pale na akasema nichague tukapate wapi lunch, mimi nikamwambia twende pale intanbull. Tuliagiza pale chakula na tuliendelea kupiga story;

“Iryn hujanambia kilichoendelea na yule mtu wa kule Hotelin.”

“Niliwasiliana na Isabella nikamweleza, sijataka kuhangaika tena.”

“Okay sasa mpango wako ni upi kwa sasa?”

“Insider unajua toka nitoke Ufaransa nije Tanzania naona kama kichwa changu hakipo sawa kabisa.”

“Kwanini unasema hivyo?”

“Mambo mengi Mama yangu alikua anafanya kwa siri sana. Na kazi ya kusimamia hizi biashara zake zote pamoja na nyumba, pia bado nahitaji kuendelea na biashara zangu za massaji.”

“Kwanini usifocus na Biashara alizoacha Mama ukaachana na Massaji?”

“Insider massaji inaniingizia pesa mingi sana, nachotaka kufanya ni kudeal na wateja wa App tu.”

“Sawa kuanza kudeal na wateja wa web itakua mwanzo mzuri, ila mimi ningekushauri uachane nazo tu uanze kudeal na business tu.”

“Unajua Waafrica wanachukulia massaji ni kama kujiuza, wenzetu wazungu wanaheshimu sana utu, na watu wengi wameajiiriwa huku na wanalipwa mishahara mikubwa.”

“Ndomana umesema Africa”

Baada ya kupata Dinna pale tulielekea pale shoppers, alinunua vitu na mimi kwa upande wangu kuna vitu nilinunua pia vya kwenda navyo home. Tuliachana na Iryn na yeye alirequest usafiri mwingine na mimi nikarudi home.

********
Jumatano asubuhi Prisca alinipigia simu na akaomba tuonane na pia nimpeleke Posta. “Ni muda gani?” nilimwuliza, na yeye alisema niende saa7 mchana bhasi nikasema nikiwapeleka watoto kule Bahari Beach nitampitia.

Kwa upande mwingine toka nimzingue Mary kuhusu kuonana hakuwai nitafuta kabisa ni kama aliamua kunichunia, namimi sikutaka kumtafuta nikampotezea.

Nataka niwape tofauti ya Prisca na Mary, ni wamepishana miaka miwili (2) tu. Prisca ndo mdogo, ni pini na mweupe ana kasura kazuri, hips na makalio ya kawaida. Mary alikua pini pia, sura ya kawaida, weupe wa kufifia ila alikua na makalio makubwa kidogo kwa prisca na hips na alikua sex sana, kingine Mary alikua na aibu sana. Prisca na Mary walikua wamefanana hata ukiwaona utajua ni mtu na mdogo wake.

Kwa Mwanaume anayejua wanawake vizuri bila shaka angemchagua Mary ila kwa wanaume wenye haraka angeruka na Prisca maana rangi ilikua inampa sana credit.

Mchana baada ya kuwapeleka watoto kule Bahari Beach ilibidi nimpigie Prisca aanze kujiandaa, mimi ndo nilikua niko njiani nakwenda Mbezi kwa Zena.

Ndani ya muda mfupi nilikua pale kwao na Prisca alitoka akiwa amependeza sana, alikuwa kavaa boyfriend jeans na shati ya jeans.

“Insider mambo”

“Poa, you look great today.”

“Thank you, tunaenda posta kuna hizi documents nampelekea mama, tukitoka hapo nataka tuongee.”

“Sawa mama wewe ukitaka hata tukeshe mimi sina noma.”

Prisca alioneka mpole sana hii siku sio kama nilivyomzoea na mimi sikutaka kufanya matani kabisa. Hii siku tuliongea kwa nadra sana, alikua busy sana na simu yake.

Tulifika Posta na yeye alikwenda kuonana na Mama yake na alitumia kama lisaa mpaka anatoka.

Wakati namsubiri Prisca alivyokwenda kuonana na mama yake Iryn alinipigia simu na akanambia kuna documents za mzigo alizisahau kwenye drow ya gari jana. Nilimwambia niko posta muda huo na yeye alisema anajiandaa kwenda Palm village, tulikubaliana nimpitishie zile documents pale.

Baada ya Prisca kumaliza mambo yake tuliondoka kurudi Mbezi Beach,

PRISCA: “Insider tutaenda wapi sasa?

MIMI: “Sehemu yoyote ambayo utakua comfortable”

IRYN: “Twende palepale Upepo garden.”

MIMI: “Kama pale unaona utakuwa comfortable mimi sina shida.”

Nilichoma mafuta kwa kasi mpaka nafika pale Palm village ili niweze kuonana na Iryn nimkabidhi documents zake, na kabla sijafika pale nilishakua nimempanga Iryn kwenye simu kuwa nakaribia.

MIMI: “Prisca tutapitia hapo Palm village, kuna mtu nampa bahasha yake alisahau jana humu kwenye gari.”

PRISCA: “Sawa, pale pia kuna ATM nitatoa hela.”

Nilipark gari karibu na ATM ya CRDB na Prisca alitoka kwenda kutoa pesa.

Na wakati huo Iryn alionekana akitoka madukani na akaja nilipo park gari, maana nilikua nishamwelekeza.

Baada ya kufika pale Parking tulisalimiana na mimi nilitoa zile documents zilizokuwa kwenye bahasha nikampa, lakini Iryn hakuwa mtu anayetaka kutoka pale mapema na tuliendelea ongea pale;

MIMI: “Vipi una mishe gani hapa.”

IRYN: “Kuna best yangu ambaye tumesoma wote utotoni niko naye hapa.”

MIMI: “Wow, sounds great, he or she?”

IRYN: “Insider bhana ni she.”

MIMI: “Naweza kumwona?.”

Muda huu Iryn alianza kucheka na alinipiga na kibao cha kichokozi kwenye bega.

Na muda ule Prisca alikua anakuja upande wetu alikua kashatoa hela tayari, na mimi nilikua nimesimama na Iryn nyuma ya gari tukiendelea na story zetu.

Prisca alifika mpaka usawa wa gari na muda huo alimpiga jicho Iryn, kwa upande mwingine Iryn naye alikua akimwangalia Prisca kwa makini lakini alishangaa kuona anafungua mlango wa gari na kuingia.

IRYN: “Insider who is she?”

MIMI: “My customer.”

IRYN: “Customer gani akukubalie wewe kumsubirisha hivi?

MIMI: “Huoni katoka ATM ?”

IRYN: “Unajua nimemwona toka anatoka pale ATM, alivyotuona hapa tunaongea, alisimama pale kama dakika 1 kama akifikiri kitu, na amenipiga jicho la kunipa tahadhari (eye contact)”.

MIMI: “Mimi nafikiri labda haamini kuniona mimi kusimama hapa na wewe mwanamke mzuri.”

IRYN: “Kwanza mmetoka wapi?”

MIMI: “Posta”

Na muda huo Prisca alishusha kioo na kuniita “Insider….. simu yako inaiita.”

“Nakuja soon tuondoke achana nayo.” Nilimjibu Prisca hivyo.

IRYN: “Insider you lying to me, mtu anakujua mpaka jina?”

MIMI: “Ni mteja wangu wa muda kidogo nilimpeleka Posta now namrudisha kwao, ni mteja tu nothing more.”

Tuliagana na Iryn pale lakini alionekana kama amepatwa na wivu sana, licha ya Iryn kuwa mzuri sana lakini hata Prisca naye hakuwa haba hawezi kukosa kwenye list ya wanawake wazuri.

Niliingia kwenye gari ili tuondoke maeneo yale na wakati tukiendelea na safari yetu, Prisca alianza maswali pale, na yeye alikosa uvumilivu.

PRISCA: “Insider yule mwanamke ni nani?

MIMI: “Ni mteja wangu kama wewe.”

PRISCA: “Mbona alikua kajiachia sana kwako?”

MIMI: “Kivipi, mbona tulikuwa tunaongea kawaida tu.”

PRISCA: “She is beautiful, ulimjuaje?”

MIMI: “Kupitia kazi hii, kama tulivyojuana sisi, wewe na yeye hamna utofauti.”

PRISCA: “Insider nyota yako kali sana.”

Na mimi nilinyamaza kimya sikujibu kitu.

Tuliingia Upepo garden mapema na tulikwenda kukaa sehemu ambayo tulikaa mara mwisho na muda huo ilikua jioni tayari.

Tuliagiza wine na tuliendelea na mazungumzo yetu pale lakini cha ajabu Prisca alileta story zingine kabisa nje na mimi ambazo nilitegemea angezileta. Kwa upande wangu nilijua Prisca angeleta mezani mada ya jambo nililokuwa nimemwambia siku ile na mimi sikutaka kumkumbushia kabisa.

Tulikaa pale mpaka saa1 usiku nikamwambia tuondoke mimi nakazi za kufanya home. Prisca alikuwa ni mtu ambaye hataki kuondoka muda ule na mimi nilimsoma.

Tulikwenda kwenye gari na muda huo tulikuwa tunaangaliana tu, hakuna aliyekuwa anamsemesha mwenzake. Nilimshika kichwani, nikashusha mkono mpaka shingoni nikawa dizaini na mchezea shingo na nilihisi joto la mwili wake kuongezeka sana. Na muda huo alikua akiniangalia kwa macho yaliyolegea sana, na mimi nikamvuta kidogo kuja kwangu na akanipa ulimi wake kwa haraka na pupa sana.

Muda huo hata mapigo ya moyo wake yalibadilika sana na alikua kashaanza kulegea, Prisca ni aina ya mwanamke ambaye akichezewa kidogo ananyegeka haraka sana.

Kumwacha katika mazingira yale niliona haitakuwa sawa, tulikwenda lodge moja ipo karibu na maeneo yale na tulimaliza kiu zetu pale.

Baada ya kukata kiu yake yeye alikua kalala bado na muda huo nakumbuka ilikua saa5 usiku tayari na Prisca alisema hawezi kulala nje na kwao.

Mimi nilikua nimekaa kwenye kiti nikichezea simu yangu na nilisikia akiniita

“Insider…….”

Nikageuka kumsikiliza anasemaje

“Insider nimekubali option ya kwanza kwa zile mbili ulizonipa.”

TO BE CONTINUED

Toka nianze mahusiano na Mama Junior, Prisca ndo alikua Mwanamke wa kwanza nachepuka. Sikuwai mchepuka kabisa Mama J, hapa unaona Biashara ya Uber ilianza kunibadilisha tabia japo nilikua najutia sana moyoni.

Prisca kasema anakubali option ya kwanza katika zile mbili nilizompa, tukutane kesho muda kama huu.
Safiii
 
EPISODE 21

“Insider……. Nimekubali option ya kwanza kwa zile mbili ulizonipa.”

ENDELEA……..


Na muda huu nilitumia kusogea pale kitandani na kumsogelea karibu maana alikua amekaa kitandani.

“Prisca kwahiyo umekubali kuwa mchepuko?”

Prisca alijibu kwa kutingisha kichwa kuonesha yuko tayari kufanywa kuwa mchepuko wa Insider.

“Kwanini unataka nikufanye mchepuko? Nafikiri option 2 ingekua nzuri zaidi, tuwe washikaji tu.”

“Ulinipa choice sasa nimechagua option ya 1. Nimeridhika hivyo kwa maamuzi yangu.”

“Okay haina shida kama umeamua hivyo ila…..” Prisca alinikatisha wakati nikiendelea kuongea.

“Insider, nioneshe picha za mke mkubwa bhasi nimjue hata kwa picha na mtoto wangu.”

Nilichukua simu ambayo ilikua mezani na nikaanza kumwonesha picha za Mama Junior, pamoja na zile za Junior.

“Insider umefanana sana na mwanao copyright.”

“Risasi zangu mimi ni genuine grade A”

“Hivi na mimi nikipata mimba si tutapata mtoto mzuri sana, tena atakuwa wa kike.”

Yaani tuseme Prisca alikua tayari karidhika kuwa mchepuko kiukweli nilishangaa sana, na bado akaanza kuleta story za kushika mimba, nilimwona mwanamke wa ajabu sana.

“Upate ujauzito na mme wa mtu, are you serious?”

“Insider najikuta natamani kupata mtoto, Junior ni mzuri sana. Najikuta natamani na mimi nipate mtoto.”

“Embu nenda kaoge tuondoke maana ulisema unataka kurudi mapema home au tulale hapahapa?”

“Natamani ila Mzee Mapembe yupo leo, acha nikaoge tuondoke.”

Ile anashuka kitandani nika muwasha kibao cha kalioo “Paaah”

Nilijiona Alpha kwakweli nikasema sasa huyu nitampa sheria zangu ili asije kuleta sintofahamu huko mbeleni, lazima nimcontol kama remote, maana nikifanya makosa tu itakula kwangu.

Na muda huu niliwaza asajili namba mpya ila kwa jina lingine, na pia nitampa ratiba za kuwasiliana naye pamoja na kuchat na mimi.

Na wakati huo alikuwa katoka kuoga kajifunga taulo kuanzia usawa wa matiti kushuka chini, na mimi nilivyomwona tena akiwa vile nikaanza kusisimuka. Na palepale nikamsogolea nikampiga kingine cha kuondokea nyumbani.

Nilimrudisha kwao saa 6 usiku na mimi nikaondoka kurudi kulala.

**********

Asubuhi Muajemi alinipigia simu na akaniomba niende kwake saa4 asubuhi kuna sehemu twende wote, na mimi niliikubali ile offa sikutaka kumkatalia Tajiri.

Saa4 ilipowadia nilikwenda kwa Muajemi na yeye alikua anakaa msasani unaingilia kushoto kabla hujafika Tanesco Mikocheni. Na alikuwa hakai mbali sana na maeneo yale.

Nilifanikiwa kufika pale anapoishi maana alikuwa kanitumia location kupitia Telegram, Muajemi alikua anatumia sana huu mtandao sijui kwanini.

Ilikua ni nyumba ya ghorofa 2 na ilikua nzuri sana na alikua anakaa na mke wake (Mke mdogo) na alikuwa amezaa naye watoto wawili (2).

Mlinzi alinifungulia geti na nikapark gari langu, alitoka dada wa kazi kunikaribisha, na ndani ya dakika chache Muajemi alikua ametoka na tulikaa garden.

MUAJEMI: “Bro! Hapa ndo naishi, jiskie upo nyumbani.”

MIMI: “Ahsante sana”

MUAJEMI: “Dada tuletee chai tunywee hapahapa na Insider.” Nilishangaa kuona dada anajua kuongea kiingereza.

MIMI: “Bro! shemeji yuko wapi?”

MUAJEMI: “Yuko mishemishe anachacharika”

MIMI: “Na watoto?”

MUAJEMI: “Watoto wako shule”

Tulikaa pale na Muajemi tukipiga story mbalimbali na moja kubwa alilisema ana mpango wa kufungua Filling stations hapa Tanzania, ila bado anakutana na upinzani mkubwa sana hasa kutoka kwa wenye mamlaka.

Saa 5 ndo muda tuliotoka pale na tulitumia gari yake Range sport nyeusi. Mimi nilikua sijui tunakwenda wapi lakini tulikwenda mpaka Kigamboni “South Beach hotel”.

Aliniacha na alikwenda kuonana na watu wake na alitumia masaa 3 wakatoka. Baada ya hapo tulikwenda Kurasini kwenye ofisi za Puma, na tukaondoka pale tukarudi Posta.

Tulikwenda kwenye duka moja kubwa la simu ambalo ni la mke wake alinambia hivyo, tukaenda mtaa wa India kwenye maduka ya Jewerly na tukaingia moja ya duka kubwa pale, alinambia nalo ni la mke wake.

“Insider ukitaka pete ya uchumba, pete za harusi, necklaces kila kitu kipo hapa”

“Bro! hizi bei mimi siwezi kwakweli.”

“Wewe utapewa discount usijali.”

Hapo ndo nikajua kumbe zile zawadi alizompa kwa Iryn alizichukua madukani.

Tulitoka hapo tukaenda pale Holliday inn tukapata chakula japo ilikua jion tayari. Na wakati tuko pale tulikuwa tukizungumza mambo mengi sana.

MIMI: “Tanzania una muda gani toka umeanza kuja?”

MUAJEMI: “Bro! Tanzania nimeanza kuja since 2008, kampuni yetu inafanya kazi karibu nchi zote za Africa, tunauza hizo pumps za mashine za sheli, tunauza lubricants za aina zote. Kwa upande wa mafuta kampuni yetu ina deal kama middle man, kwa ufupi tunaingia mikataba na serikali na makampuni mbalimbali hasa kwa Africa.”

MIMI: “Na kuhusu lubricants?”

MUAJEMI: “Bro! sisi ni exporter ila kila nchi tuna Madalali wetu tunaofanya nao kazi, ndo biashara zinavyokwenda hapa duniani, middle man huwezi wakimbia. Mfano tuna export contena 20 za lubricants kuja Tanzania kwa Agent yetu (middle-man) yeye anasupply kwa agents zake.”

Muajemi aliniambia siri nyingi sana hasa kwenye mafuta alisema watu wanapiga sana hela hasa hawa viongozi wa serikali, sitaki kufungua code kabisa. Muajemi alisema viongozi wa Africa wengi ni ma middle man wanakula sana hela huko, invoice zinachezewa balaa, ila mnaoumia ni nyinyi watumiaji wa mwisho.

MIMI: “Vipi mnawasiliana na Iryn?”

MUAJEMI: “Bro hata jana nimempigia simu, nikamwambia mzigo wake umefika tayari, aliniambia nimtumie account yangu anitumie pesa. Nimeshangaa sana na nimeona dharau sana kwangu.”

MIMI: “Hahahaha wewe ulifanyaje?”

MUAJEMI: “Nilimwambia nimempa offa tu, alinambia pia hakuna cha bure hapa duniani”

MIMI: “Unajua nini, we fanya kumwomba mtoke out, uendelee kumsogeza karibu.”

MUAJEMI: “Badae nitaongea naye, ukisha mpelekea mzigo wake.”

Tulitumia kama nusu saa pale na tulielekea Upanga na kuna mtu tulikutana naye ambaye ni Muajemi alikuwa, akatutolea ile mizigo kwenye Box, na zilikua box 7.

Kijana alipanga kwenye buti vizuri na tukaondoka kurudi Msasani, na muda huo ilikua giza limeanza kuingia.

Tuliwasili pale kwake na akanambia jumapili anakwenda Saudi Arabia hivyo lazima aonane na Iryn haraka iwezekanavyo. Mlinzi alikuja akatoa ile mizigo kwenye gari na akaipanga kwnye gari yangu.

Nilimuaga Muajemi pale na alitoa hela mfukoni akanikabidhi mkononi, alizitoa bila kuhesabu. Nilimshukuru pale na nilivyofika kwenye gari na kuhesabu zilikua ni 420,000/=.

Niliwasiliana na Iryn muda ule akasema nitamkuta kwake, nilifika pale nikafungua geti nikaingiza gari ndani. Na muda huo jirani alikua pale nje amekaa kibarazani.

MIMI: “Jirani nakuona umepumzika huna baya.”

JIRAN: “Jirani nimechoka tu.”

MIMI: “Huonekani siku hizi, ulikuwa umesafiri nini?”

JIRANI: “Mimi au wewe? Maana mimi nipo wewe ndo umetutenga bhana.”

MIMI: “Ngoja nikasalimie ndani, badae bhasi.”

JIRANI: “Wahi baba, atakua amekumiss.”

Niliishia kucheka tu nikasema lait Jirani angelijua hata asingesema hivi.

Niliingia ndani nikamkuta Iryn kalala kizembe pale seblen, maana alikua kavaa vile vibukta vifupi sasa mimi nikawa namwangalia pale kwa macho ya kifisi.

IRYN: “Insider vipi mbona sikuelewi?”

MIMI: “Unalalaje kizembe hivo.”

IRYN: “Sasa ulitaka nilalaje?”

MIMI: “Na mizigo yako kutoka kwa Muajemi ipo kwenye gari.”

IRYN: “Wow jana alinambia imefika, ila hataki nimtumie hela yake.”

MIMI: “Muajemi amekupa offa wewe unaleta habari za malipo”

IRYN: “There is no free meal in this world”

MIMI: “What do you mean?”

IRYN: “Twende tukatoe kwenye gari.”

Tulitoka nje na yeye alikuwa na kibukta chake vilevile tukasaidiana kutoa ile mizigo na tukaweka pale nje kibarazani. Na muda huo Jiran alikuwa akituangalia sana.

MIMI: “Hivi hapa kibarazani hawawezi kuiba?”

IRYN: “I don’t think so.”

Bhasi baada ya kumaliza kuweka zile box pale ambazo zilikua no vifaa vya saloon, kutokana na Iryn alisema zile mashine ni advanced kwenye upande wa saloon pia ni ghali. Na alisema zile mashine zimecost $24,000 mpaka kodi pale bandarini na zitakwenda Masaki.

Na wakati huo muda ulikuwa umekwenda sana, ilikua usiku tayari.

“Insider kesho uje mapema twende Posta nikanunue nguo maana nina hitajika kwenda kwenye ofisi ya mama.”

“Unakwenda muda gani?”

“Saa 7 mchana.”

Bhasi na mimi sikukaa pale kabisa nikaaga nikaondoka kurudi home maana nilitaka kurudi mapema nikaongee na Mzee Mollel nijue hata Ujenzi unakwendaje kule Dodoma.

*********

Ratiba zangu za asubuhi zilikuwa vilevile lazima nikawachukue wateja zangu lakini hii week ilikua tofauti kidogo toka nitoke Dodoma. Mtoto wa Mama wa2 naye alikuwa kaanza likizo ya Easter, hivyo nilikua namchukua Maggy tu.

Baada ya kumpeleka Maggy Posta ilibidi niende Kijitonyama mapema kwa Iryn kama tulivyokubaliana. Nilifika pale kwake na alikuwa bado kalala, nilimpigia simu na akatoka kunifungulia mlango.

Tulisalimiana pale na yeye akasema anakwenda kuoga ili tuwai kwenda mapema Posta.

Baada ya kuwasili Posta kuna duka tuliingia la nguo “special”. Iryn alinunua nguo nyingi tu pale za kiofisi ikiwemo suti ya suruali na alikua anajaribisha palepale.

Tulirudi haraka Kijitonyama na alijiandaa pale kwa haraka na alitoka akiwa amependeza sana. Alikuwa kavaa suti ya dark blue na ilionekana kumpendeza sana mrembo Iryn.

Tukaondoka kuelekea Masaki kwenye hio Organization. Muda huo ilikua saa 7 mchana na nilimshusha nje ya geti la Organization.

“Insider nitakupigia nikiwa tayari sawa?” na yeye akaingia ndani.

Mimi nilitoka hapo na nikatafuta chimbo kwa mbele nikapark gari langu.

Lengo kubwa la kwenda kwenye hii Organization ni kufanyiwa interview na kusaini forms, Iryn alisema wanamfanyia interview ili wajue zile pesa atazifanyia nini maana ni nyingi sana kwa umri wake.

Wakati niko kwenye gari nilikua nikiperuzi peruzi kwenye social medias nikiangalia mambo yanayoendelea na kutrend. Na muda huo Mary alinipigia simu, nilishangaa sana kuona akipiga simu.

MIMI: “Mary mambo.”

MARY: “Salama za kunisusa?”

MIMI: “Mimi au wewe ndo umenisusa?”

MARY: “Mimi sijakususa ila uliniboa, na unajua sababu.”

MIMI: “Ok am sorry, sindo unataka kusikia hivi?

MARY: “Insider juzi ulikuwa na Prisca?”

MIMI: “Why?”

MARY: “Insider ulikuwa na Prisca, don’t lie”

MIMI: “Afu Mary mimi sikuelewagi ujue, you keep asking me everyday. Mdogo wako akichelewa kurudi unaniuliza mimi badala umbane Prisca, this behavior has to stop”

MARY: “It’s okay, upo wapi?.”

MIMI: “Niko masaki now, unahitaji usafiri?”

MARY: “Kama utakuwepo Posta, jioni utanambia.”

MIMI: “Sawa Bossy wangu”

Na muda huo alikata simu [emoji3513]

Ukweli ni kwamba nikizurura hivi na Iryn nilikuwa naingiza pesa nyingi tu, sikosi laki, laki2 itadepend na yeye hio siku ana mood gani, japo kuna baadhi ya trip nilikua nakataa pesa zake.

Nilisubiri pale kwa almost saa zima nikimsubiri atoke na muda huo ndo alinipigia nisogee ili tuondoke.

Wakati nimesogea pale karibu nilimwona akiwa na Mama Janeth na wakapanda kwenye gari.

“Insider twende Levant tukale nafikiri ni sehem nzuri ambayo imetulia.”

Kutoka kwnye ile Organization hata sio mbali na ndani ya muda mfupi tulikuw pale Levant.

Na kila mmoja aliagiza msosi anaojua yeye na Mama Janeth na Iryn waliendelea kuongea, maana toka tukiwa kwenye gari walikuwa wakiongea sana, ni kama walikuwa wanaendeleza mazungumzo yao.

IRYN: “Mama ndo hivyo kama nilivyokwambia zile mashine zimefika tayari, utaziona ni nzuri sana na zitatusaidia.”

MAMA JANETH: “Na suala la massaji tutapata wataalamu na wakuaminika?”

IRYN: “Mama hata mimi nitawafundisha niko vizuri sana.”

MAMA JANETH: “Sawa mwanangu uwepo wako umekuwa baraka sana.”

IRYN: “Director muda ule alikuwa anasema Organization itanipa sponsorship ya Postgraduate, ni muda gani ita expiry?”

MAMA JANETH: “Hio ni wewe tu sidhani kama ina kikomo, vipi kwanini hutaki kufanyia kazi Organization?”

IRYN: “Mama si nitabanwa sana, na biashara zikayumba?”

MAMA JANETH: “Mbona mama yako alikuwa busy na mambo yalikuwa yanakwenda vizuri tu.”

IRYN: “Mama labda baadae kwa sasa hapana.”

MAMA JANETH: “Pale home unaishije? Maana sijaja na muda.”

IRYN: “Salama ila nafikiri mwezi ujao niondoke, ili uweke mtu ile ni biashara yako. Kipindi kile nilikuwa mgeni ila sasa nishayazoea mazingira, Insider ananisaidia sana.”

MAMA JANETH: “Hata mimi nakuona kuna utofauti mkubwa sana ulikuwa unajifungia tu ndani. Ila pale ni nyumbani unaweza kuendelea kukaa tu mwanangu hata usiwe na wasiwasi.”

IRYN: “Nataka nibadilishe mazingira pia.”

MAMA JANETH: “I understand.”

Tulitumia kama dakika 45 pale Levant na tukaondoka pale, tulimrudisha Mama Janeth kazini na sisi tukaondoka kurudi Kijitonyama.

Na wakati tunarudi tulitumia Kimweri Ave Road, hii barabara inakuja kutokea pale Mikocheni, Mwaikibaki road.

MIMI: “Iryn muda ule nilisikia mkiongea na Mama Janeth kuhusu kuhama pale Kijitonyama.”

IRYN: “Ndio Insider nataka kuhama pale, sikukwambia kama zile Apartments ni za mama Janeth?.”

MIMI: “Hapana hujawai kunambia.”

IRYN: “Ni Apartment zake, wakati nimerudi Tanzania kutoka Ufaransa nilifikia kwa Mama Janeth. Niliona nakosa uhuru wa kutoka usiku na kufanya kazi zangu, ndo nikamwambia nataka kupanga ndo akanionesha apartments mbili ya Mikocheni na hii ya Kijitonyama. Mimi niliipenda ya Kijitonyama ndo akaninulia vitu vyote unavyoviona mle ndani.”

MIMI: “Aisee kumbe”

IRYN: “Insider kukutana na wewe ni kama Baraka kwangu maana nilikuwa mtu wa kujifungia ndani tu.”

MIMI: “Nilikuahidi kukupeleka kula kitimoto na pia nitakupeleka ukale Biriani la selebonge.”

IRYN: “Week tayari hujatimiza ahadi.”

MIMI: “Better late than never.”

IRYN: “Don’t make Promises you can’t keep.”

MIMI: “Sema tumekula tayari, tena leo Ijumaa ningekupeleka pale kwa Selebonge tukale biriani.”

Tulitumia muda mchache kufika pale kwake baada ya kupark gari yeye aliingia ndani na mimi nikaenda kufunga geti.

Niliingia seblen na nikakaa kwenye coach na kwenye meza kulikuwa na kitabu kama magazine tuseme, kilikuwa ni cha mambo ya fashion, nilikuwa nakipitia nakiangalia yaliyomo ndani.

Wakati nikiendelea kuangalia picha za mle ndani nilisikia Iryn akiniita kutoka chumbani kwake,

IRYN: “Insider………”

MIMI: “Nambie mummy”

IRYN: “Come in please.”

MIMI: “In your room?”

IRYN: “Yes are you afraid? Njoo bhasi haraka.”

MIMI: “Okay am coming.”


TO BE CONTINUED

Sunday: 19:00
Wee Jamaa huu utamu...sawa Jumapili tukimaliza Sherehe za Simba utuwekee hata mbili
 
EPISODE 21

“Insider……. Nimekubali option ya kwanza kwa zile mbili ulizonipa.”

ENDELEA……..


Na muda huu nilitumia kusogea pale kitandani na kumsogelea karibu maana alikua amekaa kitandani.

“Prisca kwahiyo umekubali kuwa mchepuko?”

Prisca alijibu kwa kutingisha kichwa kuonesha yuko tayari kufanywa kuwa mchepuko wa Insider.

“Kwanini unataka nikufanye mchepuko? Nafikiri option 2 ingekua nzuri zaidi, tuwe washikaji tu.”

“Ulinipa choice sasa nimechagua option ya 1. Nimeridhika hivyo kwa maamuzi yangu.”

“Okay haina shida kama umeamua hivyo ila…..” Prisca alinikatisha wakati nikiendelea kuongea.

“Insider, nioneshe picha za mke mkubwa bhasi nimjue hata kwa picha na mtoto wangu.”

Nilichukua simu ambayo ilikua mezani na nikaanza kumwonesha picha za Mama Junior, pamoja na zile za Junior.

“Insider umefanana sana na mwanao copyright.”

“Risasi zangu mimi ni genuine grade A”

“Hivi na mimi nikipata mimba si tutapata mtoto mzuri sana, tena atakuwa wa kike.”

Yaani tuseme Prisca alikua tayari karidhika kuwa mchepuko kiukweli nilishangaa sana, na bado akaanza kuleta story za kushika mimba, nilimwona mwanamke wa ajabu sana.

“Upate ujauzito na mme wa mtu, are you serious?”

“Insider najikuta natamani kupata mtoto, Junior ni mzuri sana. Najikuta natamani na mimi nipate mtoto.”

“Embu nenda kaoge tuondoke maana ulisema unataka kurudi mapema home au tulale hapahapa?”

“Natamani ila Mzee Mapembe yupo leo, acha nikaoge tuondoke.”

Ile anashuka kitandani nika muwasha kibao cha kalioo “Paaah”

Nilijiona Alpha kwakweli nikasema sasa huyu nitampa sheria zangu ili asije kuleta sintofahamu huko mbeleni, lazima nimcontol kama remote, maana nikifanya makosa tu itakula kwangu.

Na muda huu niliwaza asajili namba mpya ila kwa jina lingine, na pia nitampa ratiba za kuwasiliana naye pamoja na kuchat na mimi.

Na wakati huo alikuwa katoka kuoga kajifunga taulo kuanzia usawa wa matiti kushuka chini, na mimi nilivyomwona tena akiwa vile nikaanza kusisimuka. Na palepale nikamsogolea nikampiga kingine cha kuondokea nyumbani.

Nilimrudisha kwao saa 6 usiku na mimi nikaondoka kurudi kulala.

**********

Asubuhi Muajemi alinipigia simu na akaniomba niende kwake saa4 asubuhi kuna sehemu twende wote, na mimi niliikubali ile offa sikutaka kumkatalia Tajiri.

Saa4 ilipowadia nilikwenda kwa Muajemi na yeye alikua anakaa msasani unaingilia kushoto kabla hujafika Tanesco Mikocheni. Na alikuwa hakai mbali sana na maeneo yale.

Nilifanikiwa kufika pale anapoishi maana alikuwa kanitumia location kupitia Telegram, Muajemi alikua anatumia sana huu mtandao sijui kwanini.

Ilikua ni nyumba ya ghorofa 2 na ilikua nzuri sana na alikua anakaa na mke wake (Mke mdogo) na alikuwa amezaa naye watoto wawili (2).

Mlinzi alinifungulia geti na nikapark gari langu, alitoka dada wa kazi kunikaribisha, na ndani ya dakika chache Muajemi alikua ametoka na tulikaa garden.

MUAJEMI: “Bro! Hapa ndo naishi, jiskie upo nyumbani.”

MIMI: “Ahsante sana”

MUAJEMI: “Dada tuletee chai tunywee hapahapa na Insider.” Nilishangaa kuona dada anajua kuongea kiingereza.

MIMI: “Bro! shemeji yuko wapi?”

MUAJEMI: “Yuko mishemishe anachacharika”

MIMI: “Na watoto?”

MUAJEMI: “Watoto wako shule”

Tulikaa pale na Muajemi tukipiga story mbalimbali na moja kubwa alilisema ana mpango wa kufungua Filling stations hapa Tanzania, ila bado anakutana na upinzani mkubwa sana hasa kutoka kwa wenye mamlaka.

Saa 5 ndo muda tuliotoka pale na tulitumia gari yake Range sport nyeusi. Mimi nilikua sijui tunakwenda wapi lakini tulikwenda mpaka Kigamboni “South Beach hotel”.

Aliniacha na alikwenda kuonana na watu wake na alitumia masaa 3 wakatoka. Baada ya hapo tulikwenda Kurasini kwenye ofisi za Puma, na tukaondoka pale tukarudi Posta.

Tulikwenda kwenye duka moja kubwa la simu ambalo ni la mke wake alinambia hivyo, tukaenda mtaa wa India kwenye maduka ya Jewerly na tukaingia moja ya duka kubwa pale, alinambia nalo ni la mke wake.

“Insider ukitaka pete ya uchumba, pete za harusi, necklaces kila kitu kipo hapa”

“Bro! hizi bei mimi siwezi kwakweli.”

“Wewe utapewa discount usijali.”

Hapo ndo nikajua kumbe zile zawadi alizompa kwa Iryn alizichukua madukani.

Tulitoka hapo tukaenda pale Holliday inn tukapata chakula japo ilikua jion tayari. Na wakati tuko pale tulikuwa tukizungumza mambo mengi sana.

MIMI: “Tanzania una muda gani toka umeanza kuja?”

MUAJEMI: “Bro! Tanzania nimeanza kuja since 2008, kampuni yetu inafanya kazi karibu nchi zote za Africa, tunauza hizo pumps za mashine za sheli, tunauza lubricants za aina zote. Kwa upande wa mafuta kampuni yetu ina deal kama middle man, kwa ufupi tunaingia mikataba na serikali na makampuni mbalimbali hasa kwa Africa.”

MIMI: “Na kuhusu lubricants?”

MUAJEMI: “Bro! sisi ni exporter ila kila nchi tuna Madalali wetu tunaofanya nao kazi, ndo biashara zinavyokwenda hapa duniani, middle man huwezi wakimbia. Mfano tuna export contena 20 za lubricants kuja Tanzania kwa Agent yetu (middle-man) yeye anasupply kwa agents zake.”

Muajemi aliniambia siri nyingi sana hasa kwenye mafuta alisema watu wanapiga sana hela hasa hawa viongozi wa serikali, sitaki kufungua code kabisa. Muajemi alisema viongozi wa Africa wengi ni ma middle man wanakula sana hela huko, invoice zinachezewa balaa, ila mnaoumia ni nyinyi watumiaji wa mwisho.

MIMI: “Vipi mnawasiliana na Iryn?”

MUAJEMI: “Bro hata jana nimempigia simu, nikamwambia mzigo wake umefika tayari, aliniambia nimtumie account yangu anitumie pesa. Nimeshangaa sana na nimeona dharau sana kwangu.”

MIMI: “Hahahaha wewe ulifanyaje?”

MUAJEMI: “Nilimwambia nimempa offa tu, alinambia pia hakuna cha bure hapa duniani”

MIMI: “Unajua nini, we fanya kumwomba mtoke out, uendelee kumsogeza karibu.”

MUAJEMI: “Badae nitaongea naye, ukisha mpelekea mzigo wake.”

Tulitumia kama nusu saa pale na tulielekea Upanga na kuna mtu tulikutana naye ambaye ni Muajemi alikuwa, akatutolea ile mizigo kwenye Box, na zilikua box 7.

Kijana alipanga kwenye buti vizuri na tukaondoka kurudi Msasani, na muda huo ilikua giza limeanza kuingia.

Tuliwasili pale kwake na akanambia jumapili anakwenda Saudi Arabia hivyo lazima aonane na Iryn haraka iwezekanavyo. Mlinzi alikuja akatoa ile mizigo kwenye gari na akaipanga kwnye gari yangu.

Nilimuaga Muajemi pale na alitoa hela mfukoni akanikabidhi mkononi, alizitoa bila kuhesabu. Nilimshukuru pale na nilivyofika kwenye gari na kuhesabu zilikua ni 420,000/=.

Niliwasiliana na Iryn muda ule akasema nitamkuta kwake, nilifika pale nikafungua geti nikaingiza gari ndani. Na muda huo jirani alikua pale nje amekaa kibarazani.

MIMI: “Jirani nakuona umepumzika huna baya.”

JIRAN: “Jirani nimechoka tu.”

MIMI: “Huonekani siku hizi, ulikuwa umesafiri nini?”

JIRANI: “Mimi au wewe? Maana mimi nipo wewe ndo umetutenga bhana.”

MIMI: “Ngoja nikasalimie ndani, badae bhasi.”

JIRANI: “Wahi baba, atakua amekumiss.”

Niliishia kucheka tu nikasema lait Jirani angelijua hata asingesema hivi.

Niliingia ndani nikamkuta Iryn kalala kizembe pale seblen, maana alikua kavaa vile vibukta vifupi sasa mimi nikawa namwangalia pale kwa macho ya kifisi.

IRYN: “Insider vipi mbona sikuelewi?”

MIMI: “Unalalaje kizembe hivo.”

IRYN: “Sasa ulitaka nilalaje?”

MIMI: “Na mizigo yako kutoka kwa Muajemi ipo kwenye gari.”

IRYN: “Wow jana alinambia imefika, ila hataki nimtumie hela yake.”

MIMI: “Muajemi amekupa offa wewe unaleta habari za malipo”

IRYN: “There is no free meal in this world”

MIMI: “What do you mean?”

IRYN: “Twende tukatoe kwenye gari.”

Tulitoka nje na yeye alikuwa na kibukta chake vilevile tukasaidiana kutoa ile mizigo na tukaweka pale nje kibarazani. Na muda huo Jiran alikuwa akituangalia sana.

MIMI: “Hivi hapa kibarazani hawawezi kuiba?”

IRYN: “I don’t think so.”

Bhasi baada ya kumaliza kuweka zile box pale ambazo zilikua no vifaa vya saloon, kutokana na Iryn alisema zile mashine ni advanced kwenye upande wa saloon pia ni ghali. Na alisema zile mashine zimecost $24,000 mpaka kodi pale bandarini na zitakwenda Masaki.

Na wakati huo muda ulikuwa umekwenda sana, ilikua usiku tayari.

“Insider kesho uje mapema twende Posta nikanunue nguo maana nina hitajika kwenda kwenye ofisi ya mama.”

“Unakwenda muda gani?”

“Saa 7 mchana.”

Bhasi na mimi sikukaa pale kabisa nikaaga nikaondoka kurudi home maana nilitaka kurudi mapema nikaongee na Mzee Mollel nijue hata Ujenzi unakwendaje kule Dodoma.

*********

Ratiba zangu za asubuhi zilikuwa vilevile lazima nikawachukue wateja zangu lakini hii week ilikua tofauti kidogo toka nitoke Dodoma. Mtoto wa Mama wa2 naye alikuwa kaanza likizo ya Easter, hivyo nilikua namchukua Maggy tu.

Baada ya kumpeleka Maggy Posta ilibidi niende Kijitonyama mapema kwa Iryn kama tulivyokubaliana. Nilifika pale kwake na alikuwa bado kalala, nilimpigia simu na akatoka kunifungulia mlango.

Tulisalimiana pale na yeye akasema anakwenda kuoga ili tuwai kwenda mapema Posta.

Baada ya kuwasili Posta kuna duka tuliingia la nguo “special”. Iryn alinunua nguo nyingi tu pale za kiofisi ikiwemo suti ya suruali na alikua anajaribisha palepale.

Tulirudi haraka Kijitonyama na alijiandaa pale kwa haraka na alitoka akiwa amependeza sana. Alikuwa kavaa suti ya dark blue na ilionekana kumpendeza sana mrembo Iryn.

Tukaondoka kuelekea Masaki kwenye hio Organization. Muda huo ilikua saa 7 mchana na nilimshusha nje ya geti la Organization.

“Insider nitakupigia nikiwa tayari sawa?” na yeye akaingia ndani.

Mimi nilitoka hapo na nikatafuta chimbo kwa mbele nikapark gari langu.

Lengo kubwa la kwenda kwenye hii Organization ni kufanyiwa interview na kusaini forms, Iryn alisema wanamfanyia interview ili wajue zile pesa atazifanyia nini maana ni nyingi sana kwa umri wake.

Wakati niko kwenye gari nilikua nikiperuzi peruzi kwenye social medias nikiangalia mambo yanayoendelea na kutrend. Na muda huo Mary alinipigia simu, nilishangaa sana kuona akipiga simu.

MIMI: “Mary mambo.”

MARY: “Salama za kunisusa?”

MIMI: “Mimi au wewe ndo umenisusa?”

MARY: “Mimi sijakususa ila uliniboa, na unajua sababu.”

MIMI: “Ok am sorry, sindo unataka kusikia hivi?

MARY: “Insider juzi ulikuwa na Prisca?”

MIMI: “Why?”

MARY: “Insider ulikuwa na Prisca, don’t lie”

MIMI: “Afu Mary mimi sikuelewagi ujue, you keep asking me everyday. Mdogo wako akichelewa kurudi unaniuliza mimi badala umbane Prisca, this behavior has to stop”

MARY: “It’s okay, upo wapi?.”

MIMI: “Niko masaki now, unahitaji usafiri?”

MARY: “Kama utakuwepo Posta, jioni utanambia.”

MIMI: “Sawa Bossy wangu”

Na muda huo alikata simu [emoji3513]

Ukweli ni kwamba nikizurura hivi na Iryn nilikuwa naingiza pesa nyingi tu, sikosi laki, laki2 itadepend na yeye hio siku ana mood gani, japo kuna baadhi ya trip nilikua nakataa pesa zake.

Nilisubiri pale kwa almost saa zima nikimsubiri atoke na muda huo ndo alinipigia nisogee ili tuondoke.

Wakati nimesogea pale karibu nilimwona akiwa na Mama Janeth na wakapanda kwenye gari.

“Insider twende Levant tukale nafikiri ni sehem nzuri ambayo imetulia.”

Kutoka kwnye ile Organization hata sio mbali na ndani ya muda mfupi tulikuw pale Levant.

Na kila mmoja aliagiza msosi anaojua yeye na Mama Janeth na Iryn waliendelea kuongea, maana toka tukiwa kwenye gari walikuwa wakiongea sana, ni kama walikuwa wanaendeleza mazungumzo yao.

IRYN: “Mama ndo hivyo kama nilivyokwambia zile mashine zimefika tayari, utaziona ni nzuri sana na zitatusaidia.”

MAMA JANETH: “Na suala la massaji tutapata wataalamu na wakuaminika?”

IRYN: “Mama hata mimi nitawafundisha niko vizuri sana.”

MAMA JANETH: “Sawa mwanangu uwepo wako umekuwa baraka sana.”

IRYN: “Director muda ule alikuwa anasema Organization itanipa sponsorship ya Postgraduate, ni muda gani ita expiry?”

MAMA JANETH: “Hio ni wewe tu sidhani kama ina kikomo, vipi kwanini hutaki kufanyia kazi Organization?”

IRYN: “Mama si nitabanwa sana, na biashara zikayumba?”

MAMA JANETH: “Mbona mama yako alikuwa busy na mambo yalikuwa yanakwenda vizuri tu.”

IRYN: “Mama labda baadae kwa sasa hapana.”

MAMA JANETH: “Pale home unaishije? Maana sijaja na muda.”

IRYN: “Salama ila nafikiri mwezi ujao niondoke, ili uweke mtu ile ni biashara yako. Kipindi kile nilikuwa mgeni ila sasa nishayazoea mazingira, Insider ananisaidia sana.”

MAMA JANETH: “Hata mimi nakuona kuna utofauti mkubwa sana ulikuwa unajifungia tu ndani. Ila pale ni nyumbani unaweza kuendelea kukaa tu mwanangu hata usiwe na wasiwasi.”

IRYN: “Nataka nibadilishe mazingira pia.”

MAMA JANETH: “I understand.”

Tulitumia kama dakika 45 pale Levant na tukaondoka pale, tulimrudisha Mama Janeth kazini na sisi tukaondoka kurudi Kijitonyama.

Na wakati tunarudi tulitumia Kimweri Ave Road, hii barabara inakuja kutokea pale Mikocheni, Mwaikibaki road.

MIMI: “Iryn muda ule nilisikia mkiongea na Mama Janeth kuhusu kuhama pale Kijitonyama.”

IRYN: “Ndio Insider nataka kuhama pale, sikukwambia kama zile Apartments ni za mama Janeth?.”

MIMI: “Hapana hujawai kunambia.”

IRYN: “Ni Apartment zake, wakati nimerudi Tanzania kutoka Ufaransa nilifikia kwa Mama Janeth. Niliona nakosa uhuru wa kutoka usiku na kufanya kazi zangu, ndo nikamwambia nataka kupanga ndo akanionesha apartments mbili ya Mikocheni na hii ya Kijitonyama. Mimi niliipenda ya Kijitonyama ndo akaninulia vitu vyote unavyoviona mle ndani.”

MIMI: “Aisee kumbe”

IRYN: “Insider kukutana na wewe ni kama Baraka kwangu maana nilikuwa mtu wa kujifungia ndani tu.”

MIMI: “Nilikuahidi kukupeleka kula kitimoto na pia nitakupeleka ukale Biriani la selebonge.”

IRYN: “Week tayari hujatimiza ahadi.”

MIMI: “Better late than never.”

IRYN: “Don’t make Promises you can’t keep.”

MIMI: “Sema tumekula tayari, tena leo Ijumaa ningekupeleka pale kwa Selebonge tukale biriani.”

Tulitumia muda mchache kufika pale kwake baada ya kupark gari yeye aliingia ndani na mimi nikaenda kufunga geti.

Niliingia seblen na nikakaa kwenye coach na kwenye meza kulikuwa na kitabu kama magazine tuseme, kilikuwa ni cha mambo ya fashion, nilikuwa nakipitia nakiangalia yaliyomo ndani.

Wakati nikiendelea kuangalia picha za mle ndani nilisikia Iryn akiniita kutoka chumbani kwake,

IRYN: “Insider………”

MIMI: “Nambie mummy”

IRYN: “Come in please.”

MIMI: “In your room?”

IRYN: “Yes are you afraid? Njoo bhasi haraka.”

MIMI: “Okay am coming.”


TO BE CONTINUED

Sunday: 19:00
Naona umeshusha mzgo mkuu, ....

Mm ngoja nimalize kula kimasihara yng huku na mubebez then nirudi niupitie muendelezo huu kwa umakiiiiini...
 
EPISODE 21

“Insider……. Nimekubali option ya kwanza kwa zile mbili ulizonipa.”

ENDELEA……..


Na muda huu nilitumia kusogea pale kitandani na kumsogelea karibu maana alikua amekaa kitandani.

“Prisca kwahiyo umekubali kuwa mchepuko?”

Prisca alijibu kwa kutingisha kichwa kuonesha yuko tayari kufanywa kuwa mchepuko wa Insider.

“Kwanini unataka nikufanye mchepuko? Nafikiri option 2 ingekua nzuri zaidi, tuwe washikaji tu.”

“Ulinipa choice sasa nimechagua option ya 1. Nimeridhika hivyo kwa maamuzi yangu.”

“Okay haina shida kama umeamua hivyo ila…..” Prisca alinikatisha wakati nikiendelea kuongea.

“Insider, nioneshe picha za mke mkubwa bhasi nimjue hata kwa picha na mtoto wangu.”

Nilichukua simu ambayo ilikua mezani na nikaanza kumwonesha picha za Mama Junior, pamoja na zile za Junior.

“Insider umefanana sana na mwanao copyright.”

“Risasi zangu mimi ni genuine grade A”

“Hivi na mimi nikipata mimba si tutapata mtoto mzuri sana, tena atakuwa wa kike.”

Yaani tuseme Prisca alikua tayari karidhika kuwa mchepuko kiukweli nilishangaa sana, na bado akaanza kuleta story za kushika mimba, nilimwona mwanamke wa ajabu sana.

“Upate ujauzito na mme wa mtu, are you serious?”

“Insider najikuta natamani kupata mtoto, Junior ni mzuri sana. Najikuta natamani na mimi nipate mtoto.”

“Embu nenda kaoge tuondoke maana ulisema unataka kurudi mapema home au tulale hapahapa?”

“Natamani ila Mzee Mapembe yupo leo, acha nikaoge tuondoke.”

Ile anashuka kitandani nika muwasha kibao cha kalioo “Paaah”

Nilijiona Alpha kwakweli nikasema sasa huyu nitampa sheria zangu ili asije kuleta sintofahamu huko mbeleni, lazima nimcontol kama remote, maana nikifanya makosa tu itakula kwangu.

Na muda huu niliwaza asajili namba mpya ila kwa jina lingine, na pia nitampa ratiba za kuwasiliana naye pamoja na kuchat na mimi.

Na wakati huo alikuwa katoka kuoga kajifunga taulo kuanzia usawa wa matiti kushuka chini, na mimi nilivyomwona tena akiwa vile nikaanza kusisimuka. Na palepale nikamsogolea nikampiga kingine cha kuondokea nyumbani.

Nilimrudisha kwao saa 6 usiku na mimi nikaondoka kurudi kulala.

**********

Asubuhi Muajemi alinipigia simu na akaniomba niende kwake saa4 asubuhi kuna sehemu twende wote, na mimi niliikubali ile offa sikutaka kumkatalia Tajiri.

Saa4 ilipowadia nilikwenda kwa Muajemi na yeye alikua anakaa msasani unaingilia kushoto kabla hujafika Tanesco Mikocheni. Na alikuwa hakai mbali sana na maeneo yale.

Nilifanikiwa kufika pale anapoishi maana alikuwa kanitumia location kupitia Telegram, Muajemi alikua anatumia sana huu mtandao sijui kwanini.

Ilikua ni nyumba ya ghorofa 2 na ilikua nzuri sana na alikua anakaa na mke wake (Mke mdogo) na alikuwa amezaa naye watoto wawili (2).

Mlinzi alinifungulia geti na nikapark gari langu, alitoka dada wa kazi kunikaribisha, na ndani ya dakika chache Muajemi alikua ametoka na tulikaa garden.

MUAJEMI: “Bro! Hapa ndo naishi, jiskie upo nyumbani.”

MIMI: “Ahsante sana”

MUAJEMI: “Dada tuletee chai tunywee hapahapa na Insider.” Nilishangaa kuona dada anajua kuongea kiingereza.

MIMI: “Bro! shemeji yuko wapi?”

MUAJEMI: “Yuko mishemishe anachacharika”

MIMI: “Na watoto?”

MUAJEMI: “Watoto wako shule”

Tulikaa pale na Muajemi tukipiga story mbalimbali na moja kubwa alilisema ana mpango wa kufungua Filling stations hapa Tanzania, ila bado anakutana na upinzani mkubwa sana hasa kutoka kwa wenye mamlaka.

Saa 5 ndo muda tuliotoka pale na tulitumia gari yake Range sport nyeusi. Mimi nilikua sijui tunakwenda wapi lakini tulikwenda mpaka Kigamboni “South Beach hotel”.

Aliniacha na alikwenda kuonana na watu wake na alitumia masaa 3 wakatoka. Baada ya hapo tulikwenda Kurasini kwenye ofisi za Puma, na tukaondoka pale tukarudi Posta.

Tulikwenda kwenye duka moja kubwa la simu ambalo ni la mke wake alinambia hivyo, tukaenda mtaa wa India kwenye maduka ya Jewerly na tukaingia moja ya duka kubwa pale, alinambia nalo ni la mke wake.

“Insider ukitaka pete ya uchumba, pete za harusi, necklaces kila kitu kipo hapa”

“Bro! hizi bei mimi siwezi kwakweli.”

“Wewe utapewa discount usijali.”

Hapo ndo nikajua kumbe zile zawadi alizompa kwa Iryn alizichukua madukani.

Tulitoka hapo tukaenda pale Holliday inn tukapata chakula japo ilikua jion tayari. Na wakati tuko pale tulikuwa tukizungumza mambo mengi sana.

MIMI: “Tanzania una muda gani toka umeanza kuja?”

MUAJEMI: “Bro! Tanzania nimeanza kuja since 2008, kampuni yetu inafanya kazi karibu nchi zote za Africa, tunauza hizo pumps za mashine za sheli, tunauza lubricants za aina zote. Kwa upande wa mafuta kampuni yetu ina deal kama middle man, kwa ufupi tunaingia mikataba na serikali na makampuni mbalimbali hasa kwa Africa.”

MIMI: “Na kuhusu lubricants?”

MUAJEMI: “Bro! sisi ni exporter ila kila nchi tuna Madalali wetu tunaofanya nao kazi, ndo biashara zinavyokwenda hapa duniani, middle man huwezi wakimbia. Mfano tuna export contena 20 za lubricants kuja Tanzania kwa Agent yetu (middle-man) yeye anasupply kwa agents zake.”

Muajemi aliniambia siri nyingi sana hasa kwenye mafuta alisema watu wanapiga sana hela hasa hawa viongozi wa serikali, sitaki kufungua code kabisa. Muajemi alisema viongozi wa Africa wengi ni ma middle man wanakula sana hela huko, invoice zinachezewa balaa, ila mnaoumia ni nyinyi watumiaji wa mwisho.

MIMI: “Vipi mnawasiliana na Iryn?”

MUAJEMI: “Bro hata jana nimempigia simu, nikamwambia mzigo wake umefika tayari, aliniambia nimtumie account yangu anitumie pesa. Nimeshangaa sana na nimeona dharau sana kwangu.”

MIMI: “Hahahaha wewe ulifanyaje?”

MUAJEMI: “Nilimwambia nimempa offa tu, alinambia pia hakuna cha bure hapa duniani”

MIMI: “Unajua nini, we fanya kumwomba mtoke out, uendelee kumsogeza karibu.”

MUAJEMI: “Badae nitaongea naye, ukisha mpelekea mzigo wake.”

Tulitumia kama nusu saa pale na tulielekea Upanga na kuna mtu tulikutana naye ambaye ni Muajemi alikuwa, akatutolea ile mizigo kwenye Box, na zilikua box 7.

Kijana alipanga kwenye buti vizuri na tukaondoka kurudi Msasani, na muda huo ilikua giza limeanza kuingia.

Tuliwasili pale kwake na akanambia jumapili anakwenda Saudi Arabia hivyo lazima aonane na Iryn haraka iwezekanavyo. Mlinzi alikuja akatoa ile mizigo kwenye gari na akaipanga kwnye gari yangu.

Nilimuaga Muajemi pale na alitoa hela mfukoni akanikabidhi mkononi, alizitoa bila kuhesabu. Nilimshukuru pale na nilivyofika kwenye gari na kuhesabu zilikua ni 420,000/=.

Niliwasiliana na Iryn muda ule akasema nitamkuta kwake, nilifika pale nikafungua geti nikaingiza gari ndani. Na muda huo jirani alikua pale nje amekaa kibarazani.

MIMI: “Jirani nakuona umepumzika huna baya.”

JIRAN: “Jirani nimechoka tu.”

MIMI: “Huonekani siku hizi, ulikuwa umesafiri nini?”

JIRANI: “Mimi au wewe? Maana mimi nipo wewe ndo umetutenga bhana.”

MIMI: “Ngoja nikasalimie ndani, badae bhasi.”

JIRANI: “Wahi baba, atakua amekumiss.”

Niliishia kucheka tu nikasema lait Jirani angelijua hata asingesema hivi.

Niliingia ndani nikamkuta Iryn kalala kizembe pale seblen, maana alikua kavaa vile vibukta vifupi sasa mimi nikawa namwangalia pale kwa macho ya kifisi.

IRYN: “Insider vipi mbona sikuelewi?”

MIMI: “Unalalaje kizembe hivo.”

IRYN: “Sasa ulitaka nilalaje?”

MIMI: “Na mizigo yako kutoka kwa Muajemi ipo kwenye gari.”

IRYN: “Wow jana alinambia imefika, ila hataki nimtumie hela yake.”

MIMI: “Muajemi amekupa offa wewe unaleta habari za malipo”

IRYN: “There is no free meal in this world”

MIMI: “What do you mean?”

IRYN: “Twende tukatoe kwenye gari.”

Tulitoka nje na yeye alikuwa na kibukta chake vilevile tukasaidiana kutoa ile mizigo na tukaweka pale nje kibarazani. Na muda huo Jiran alikuwa akituangalia sana.

MIMI: “Hivi hapa kibarazani hawawezi kuiba?”

IRYN: “I don’t think so.”

Bhasi baada ya kumaliza kuweka zile box pale ambazo zilikua no vifaa vya saloon, kutokana na Iryn alisema zile mashine ni advanced kwenye upande wa saloon pia ni ghali. Na alisema zile mashine zimecost $24,000 mpaka kodi pale bandarini na zitakwenda Masaki.

Na wakati huo muda ulikuwa umekwenda sana, ilikua usiku tayari.

“Insider kesho uje mapema twende Posta nikanunue nguo maana nina hitajika kwenda kwenye ofisi ya mama.”

“Unakwenda muda gani?”

“Saa 7 mchana.”

Bhasi na mimi sikukaa pale kabisa nikaaga nikaondoka kurudi home maana nilitaka kurudi mapema nikaongee na Mzee Mollel nijue hata Ujenzi unakwendaje kule Dodoma.

*********

Ratiba zangu za asubuhi zilikuwa vilevile lazima nikawachukue wateja zangu lakini hii week ilikua tofauti kidogo toka nitoke Dodoma. Mtoto wa Mama wa2 naye alikuwa kaanza likizo ya Easter, hivyo nilikua namchukua Maggy tu.

Baada ya kumpeleka Maggy Posta ilibidi niende Kijitonyama mapema kwa Iryn kama tulivyokubaliana. Nilifika pale kwake na alikuwa bado kalala, nilimpigia simu na akatoka kunifungulia mlango.

Tulisalimiana pale na yeye akasema anakwenda kuoga ili tuwai kwenda mapema Posta.

Baada ya kuwasili Posta kuna duka tuliingia la nguo “special”. Iryn alinunua nguo nyingi tu pale za kiofisi ikiwemo suti ya suruali na alikua anajaribisha palepale.

Tulirudi haraka Kijitonyama na alijiandaa pale kwa haraka na alitoka akiwa amependeza sana. Alikuwa kavaa suti ya dark blue na ilionekana kumpendeza sana mrembo Iryn.

Tukaondoka kuelekea Masaki kwenye hio Organization. Muda huo ilikua saa 7 mchana na nilimshusha nje ya geti la Organization.

“Insider nitakupigia nikiwa tayari sawa?” na yeye akaingia ndani.

Mimi nilitoka hapo na nikatafuta chimbo kwa mbele nikapark gari langu.

Lengo kubwa la kwenda kwenye hii Organization ni kufanyiwa interview na kusaini forms, Iryn alisema wanamfanyia interview ili wajue zile pesa atazifanyia nini maana ni nyingi sana kwa umri wake.

Wakati niko kwenye gari nilikua nikiperuzi peruzi kwenye social medias nikiangalia mambo yanayoendelea na kutrend. Na muda huo Mary alinipigia simu, nilishangaa sana kuona akipiga simu.

MIMI: “Mary mambo.”

MARY: “Salama za kunisusa?”

MIMI: “Mimi au wewe ndo umenisusa?”

MARY: “Mimi sijakususa ila uliniboa, na unajua sababu.”

MIMI: “Ok am sorry, sindo unataka kusikia hivi?

MARY: “Insider juzi ulikuwa na Prisca?”

MIMI: “Why?”

MARY: “Insider ulikuwa na Prisca, don’t lie”

MIMI: “Afu Mary mimi sikuelewagi ujue, you keep asking me everyday. Mdogo wako akichelewa kurudi unaniuliza mimi badala umbane Prisca, this behavior has to stop”

MARY: “It’s okay, upo wapi?.”

MIMI: “Niko masaki now, unahitaji usafiri?”

MARY: “Kama utakuwepo Posta, jioni utanambia.”

MIMI: “Sawa Bossy wangu”

Na muda huo alikata simu [emoji3513]

Ukweli ni kwamba nikizurura hivi na Iryn nilikuwa naingiza pesa nyingi tu, sikosi laki, laki2 itadepend na yeye hio siku ana mood gani, japo kuna baadhi ya trip nilikua nakataa pesa zake.

Nilisubiri pale kwa almost saa zima nikimsubiri atoke na muda huo ndo alinipigia nisogee ili tuondoke.

Wakati nimesogea pale karibu nilimwona akiwa na Mama Janeth na wakapanda kwenye gari.

“Insider twende Levant tukale nafikiri ni sehem nzuri ambayo imetulia.”

Kutoka kwnye ile Organization hata sio mbali na ndani ya muda mfupi tulikuw pale Levant.

Na kila mmoja aliagiza msosi anaojua yeye na Mama Janeth na Iryn waliendelea kuongea, maana toka tukiwa kwenye gari walikuwa wakiongea sana, ni kama walikuwa wanaendeleza mazungumzo yao.

IRYN: “Mama ndo hivyo kama nilivyokwambia zile mashine zimefika tayari, utaziona ni nzuri sana na zitatusaidia.”

MAMA JANETH: “Na suala la massaji tutapata wataalamu na wakuaminika?”

IRYN: “Mama hata mimi nitawafundisha niko vizuri sana.”

MAMA JANETH: “Sawa mwanangu uwepo wako umekuwa baraka sana.”

IRYN: “Director muda ule alikuwa anasema Organization itanipa sponsorship ya Postgraduate, ni muda gani ita expiry?”

MAMA JANETH: “Hio ni wewe tu sidhani kama ina kikomo, vipi kwanini hutaki kufanyia kazi Organization?”

IRYN: “Mama si nitabanwa sana, na biashara zikayumba?”

MAMA JANETH: “Mbona mama yako alikuwa busy na mambo yalikuwa yanakwenda vizuri tu.”

IRYN: “Mama labda baadae kwa sasa hapana.”

MAMA JANETH: “Pale home unaishije? Maana sijaja na muda.”

IRYN: “Salama ila nafikiri mwezi ujao niondoke, ili uweke mtu ile ni biashara yako. Kipindi kile nilikuwa mgeni ila sasa nishayazoea mazingira, Insider ananisaidia sana.”

MAMA JANETH: “Hata mimi nakuona kuna utofauti mkubwa sana ulikuwa unajifungia tu ndani. Ila pale ni nyumbani unaweza kuendelea kukaa tu mwanangu hata usiwe na wasiwasi.”

IRYN: “Nataka nibadilishe mazingira pia.”

MAMA JANETH: “I understand.”

Tulitumia kama dakika 45 pale Levant na tukaondoka pale, tulimrudisha Mama Janeth kazini na sisi tukaondoka kurudi Kijitonyama.

Na wakati tunarudi tulitumia Kimweri Ave Road, hii barabara inakuja kutokea pale Mikocheni, Mwaikibaki road.

MIMI: “Iryn muda ule nilisikia mkiongea na Mama Janeth kuhusu kuhama pale Kijitonyama.”

IRYN: “Ndio Insider nataka kuhama pale, sikukwambia kama zile Apartments ni za mama Janeth?.”

MIMI: “Hapana hujawai kunambia.”

IRYN: “Ni Apartment zake, wakati nimerudi Tanzania kutoka Ufaransa nilifikia kwa Mama Janeth. Niliona nakosa uhuru wa kutoka usiku na kufanya kazi zangu, ndo nikamwambia nataka kupanga ndo akanionesha apartments mbili ya Mikocheni na hii ya Kijitonyama. Mimi niliipenda ya Kijitonyama ndo akaninulia vitu vyote unavyoviona mle ndani.”

MIMI: “Aisee kumbe”

IRYN: “Insider kukutana na wewe ni kama Baraka kwangu maana nilikuwa mtu wa kujifungia ndani tu.”

MIMI: “Nilikuahidi kukupeleka kula kitimoto na pia nitakupeleka ukale Biriani la selebonge.”

IRYN: “Week tayari hujatimiza ahadi.”

MIMI: “Better late than never.”

IRYN: “Don’t make Promises you can’t keep.”

MIMI: “Sema tumekula tayari, tena leo Ijumaa ningekupeleka pale kwa Selebonge tukale biriani.”

Tulitumia muda mchache kufika pale kwake baada ya kupark gari yeye aliingia ndani na mimi nikaenda kufunga geti.

Niliingia seblen na nikakaa kwenye coach na kwenye meza kulikuwa na kitabu kama magazine tuseme, kilikuwa ni cha mambo ya fashion, nilikuwa nakipitia nakiangalia yaliyomo ndani.

Wakati nikiendelea kuangalia picha za mle ndani nilisikia Iryn akiniita kutoka chumbani kwake,

IRYN: “Insider………”

MIMI: “Nambie mummy”

IRYN: “Come in please.”

MIMI: “In your room?”

IRYN: “Yes are you afraid? Njoo bhasi haraka.”

MIMI: “Okay am coming.”


TO BE CONTINUED

Sunday: 19:00
[emoji4][emoji4][emoji4]
 
EPISODE 21

“Insider……. Nimekubali option ya kwanza kwa zile mbili ulizonipa.”

ENDELEA……..


Na muda huu nilitumia kusogea pale kitandani na kumsogelea karibu maana alikua amekaa kitandani.

“Prisca kwahiyo umekubali kuwa mchepuko?”

Prisca alijibu kwa kutingisha kichwa kuonesha yuko tayari kufanywa kuwa mchepuko wa Insider.

“Kwanini unataka nikufanye mchepuko? Nafikiri option 2 ingekua nzuri zaidi, tuwe washikaji tu.”

“Ulinipa choice sasa nimechagua option ya 1. Nimeridhika hivyo kwa maamuzi yangu.”

“Okay haina shida kama umeamua hivyo ila…..” Prisca alinikatisha wakati nikiendelea kuongea.

“Insider, nioneshe picha za mke mkubwa bhasi nimjue hata kwa picha na mtoto wangu.”

Nilichukua simu ambayo ilikua mezani na nikaanza kumwonesha picha za Mama Junior, pamoja na zile za Junior.

“Insider umefanana sana na mwanao copyright.”

“Risasi zangu mimi ni genuine grade A”

“Hivi na mimi nikipata mimba si tutapata mtoto mzuri sana, tena atakuwa wa kike.”

Yaani tuseme Prisca alikua tayari karidhika kuwa mchepuko kiukweli nilishangaa sana, na bado akaanza kuleta story za kushika mimba, nilimwona mwanamke wa ajabu sana.

“Upate ujauzito na mme wa mtu, are you serious?”

“Insider najikuta natamani kupata mtoto, Junior ni mzuri sana. Najikuta natamani na mimi nipate mtoto.”

“Embu nenda kaoge tuondoke maana ulisema unataka kurudi mapema home au tulale hapahapa?”

“Natamani ila Mzee Mapembe yupo leo, acha nikaoge tuondoke.”

Ile anashuka kitandani nika muwasha kibao cha kalioo “Paaah”

Nilijiona Alpha kwakweli nikasema sasa huyu nitampa sheria zangu ili asije kuleta sintofahamu huko mbeleni, lazima nimcontol kama remote, maana nikifanya makosa tu itakula kwangu.

Na muda huu niliwaza asajili namba mpya ila kwa jina lingine, na pia nitampa ratiba za kuwasiliana naye pamoja na kuchat na mimi.

Na wakati huo alikuwa katoka kuoga kajifunga taulo kuanzia usawa wa matiti kushuka chini, na mimi nilivyomwona tena akiwa vile nikaanza kusisimuka. Na palepale nikamsogolea nikampiga kingine cha kuondokea nyumbani.

Nilimrudisha kwao saa 6 usiku na mimi nikaondoka kurudi kulala.

**********

Asubuhi Muajemi alinipigia simu na akaniomba niende kwake saa4 asubuhi kuna sehemu twende wote, na mimi niliikubali ile offa sikutaka kumkatalia Tajiri.

Saa4 ilipowadia nilikwenda kwa Muajemi na yeye alikua anakaa msasani unaingilia kushoto kabla hujafika Tanesco Mikocheni. Na alikuwa hakai mbali sana na maeneo yale.

Nilifanikiwa kufika pale anapoishi maana alikuwa kanitumia location kupitia Telegram, Muajemi alikua anatumia sana huu mtandao sijui kwanini.

Ilikua ni nyumba ya ghorofa 2 na ilikua nzuri sana na alikua anakaa na mke wake (Mke mdogo) na alikuwa amezaa naye watoto wawili (2).

Mlinzi alinifungulia geti na nikapark gari langu, alitoka dada wa kazi kunikaribisha, na ndani ya dakika chache Muajemi alikua ametoka na tulikaa garden.

MUAJEMI: “Bro! Hapa ndo naishi, jiskie upo nyumbani.”

MIMI: “Ahsante sana”

MUAJEMI: “Dada tuletee chai tunywee hapahapa na Insider.” Nilishangaa kuona dada anajua kuongea kiingereza.

MIMI: “Bro! shemeji yuko wapi?”

MUAJEMI: “Yuko mishemishe anachacharika”

MIMI: “Na watoto?”

MUAJEMI: “Watoto wako shule”

Tulikaa pale na Muajemi tukipiga story mbalimbali na moja kubwa alilisema ana mpango wa kufungua Filling stations hapa Tanzania, ila bado anakutana na upinzani mkubwa sana hasa kutoka kwa wenye mamlaka.

Saa 5 ndo muda tuliotoka pale na tulitumia gari yake Range sport nyeusi. Mimi nilikua sijui tunakwenda wapi lakini tulikwenda mpaka Kigamboni “South Beach hotel”.

Aliniacha na alikwenda kuonana na watu wake na alitumia masaa 3 wakatoka. Baada ya hapo tulikwenda Kurasini kwenye ofisi za Puma, na tukaondoka pale tukarudi Posta.

Tulikwenda kwenye duka moja kubwa la simu ambalo ni la mke wake alinambia hivyo, tukaenda mtaa wa India kwenye maduka ya Jewerly na tukaingia moja ya duka kubwa pale, alinambia nalo ni la mke wake.

“Insider ukitaka pete ya uchumba, pete za harusi, necklaces kila kitu kipo hapa”

“Bro! hizi bei mimi siwezi kwakweli.”

“Wewe utapewa discount usijali.”

Hapo ndo nikajua kumbe zile zawadi alizompa kwa Iryn alizichukua madukani.

Tulitoka hapo tukaenda pale Holliday inn tukapata chakula japo ilikua jion tayari. Na wakati tuko pale tulikuwa tukizungumza mambo mengi sana.

MIMI: “Tanzania una muda gani toka umeanza kuja?”

MUAJEMI: “Bro! Tanzania nimeanza kuja since 2008, kampuni yetu inafanya kazi karibu nchi zote za Africa, tunauza hizo pumps za mashine za sheli, tunauza lubricants za aina zote. Kwa upande wa mafuta kampuni yetu ina deal kama middle man, kwa ufupi tunaingia mikataba na serikali na makampuni mbalimbali hasa kwa Africa.”

MIMI: “Na kuhusu lubricants?”

MUAJEMI: “Bro! sisi ni exporter ila kila nchi tuna Madalali wetu tunaofanya nao kazi, ndo biashara zinavyokwenda hapa duniani, middle man huwezi wakimbia. Mfano tuna export contena 20 za lubricants kuja Tanzania kwa Agent yetu (middle-man) yeye anasupply kwa agents zake.”

Muajemi aliniambia siri nyingi sana hasa kwenye mafuta alisema watu wanapiga sana hela hasa hawa viongozi wa serikali, sitaki kufungua code kabisa. Muajemi alisema viongozi wa Africa wengi ni ma middle man wanakula sana hela huko, invoice zinachezewa balaa, ila mnaoumia ni nyinyi watumiaji wa mwisho.

MIMI: “Vipi mnawasiliana na Iryn?”

MUAJEMI: “Bro hata jana nimempigia simu, nikamwambia mzigo wake umefika tayari, aliniambia nimtumie account yangu anitumie pesa. Nimeshangaa sana na nimeona dharau sana kwangu.”

MIMI: “Hahahaha wewe ulifanyaje?”

MUAJEMI: “Nilimwambia nimempa offa tu, alinambia pia hakuna cha bure hapa duniani”

MIMI: “Unajua nini, we fanya kumwomba mtoke out, uendelee kumsogeza karibu.”

MUAJEMI: “Badae nitaongea naye, ukisha mpelekea mzigo wake.”

Tulitumia kama nusu saa pale na tulielekea Upanga na kuna mtu tulikutana naye ambaye ni Muajemi alikuwa, akatutolea ile mizigo kwenye Box, na zilikua box 7.

Kijana alipanga kwenye buti vizuri na tukaondoka kurudi Msasani, na muda huo ilikua giza limeanza kuingia.

Tuliwasili pale kwake na akanambia jumapili anakwenda Saudi Arabia hivyo lazima aonane na Iryn haraka iwezekanavyo. Mlinzi alikuja akatoa ile mizigo kwenye gari na akaipanga kwnye gari yangu.

Nilimuaga Muajemi pale na alitoa hela mfukoni akanikabidhi mkononi, alizitoa bila kuhesabu. Nilimshukuru pale na nilivyofika kwenye gari na kuhesabu zilikua ni 420,000/=.

Niliwasiliana na Iryn muda ule akasema nitamkuta kwake, nilifika pale nikafungua geti nikaingiza gari ndani. Na muda huo jirani alikua pale nje amekaa kibarazani.

MIMI: “Jirani nakuona umepumzika huna baya.”

JIRAN: “Jirani nimechoka tu.”

MIMI: “Huonekani siku hizi, ulikuwa umesafiri nini?”

JIRANI: “Mimi au wewe? Maana mimi nipo wewe ndo umetutenga bhana.”

MIMI: “Ngoja nikasalimie ndani, badae bhasi.”

JIRANI: “Wahi baba, atakua amekumiss.”

Niliishia kucheka tu nikasema lait Jirani angelijua hata asingesema hivi.

Niliingia ndani nikamkuta Iryn kalala kizembe pale seblen, maana alikua kavaa vile vibukta vifupi sasa mimi nikawa namwangalia pale kwa macho ya kifisi.

IRYN: “Insider vipi mbona sikuelewi?”

MIMI: “Unalalaje kizembe hivo.”

IRYN: “Sasa ulitaka nilalaje?”

MIMI: “Na mizigo yako kutoka kwa Muajemi ipo kwenye gari.”

IRYN: “Wow jana alinambia imefika, ila hataki nimtumie hela yake.”

MIMI: “Muajemi amekupa offa wewe unaleta habari za malipo”

IRYN: “There is no free meal in this world”

MIMI: “What do you mean?”

IRYN: “Twende tukatoe kwenye gari.”

Tulitoka nje na yeye alikuwa na kibukta chake vilevile tukasaidiana kutoa ile mizigo na tukaweka pale nje kibarazani. Na muda huo Jiran alikuwa akituangalia sana.

MIMI: “Hivi hapa kibarazani hawawezi kuiba?”

IRYN: “I don’t think so.”

Bhasi baada ya kumaliza kuweka zile box pale ambazo zilikua no vifaa vya saloon, kutokana na Iryn alisema zile mashine ni advanced kwenye upande wa saloon pia ni ghali. Na alisema zile mashine zimecost $24,000 mpaka kodi pale bandarini na zitakwenda Masaki.

Na wakati huo muda ulikuwa umekwenda sana, ilikua usiku tayari.

“Insider kesho uje mapema twende Posta nikanunue nguo maana nina hitajika kwenda kwenye ofisi ya mama.”

“Unakwenda muda gani?”

“Saa 7 mchana.”

Bhasi na mimi sikukaa pale kabisa nikaaga nikaondoka kurudi home maana nilitaka kurudi mapema nikaongee na Mzee Mollel nijue hata Ujenzi unakwendaje kule Dodoma.

*********

Ratiba zangu za asubuhi zilikuwa vilevile lazima nikawachukue wateja zangu lakini hii week ilikua tofauti kidogo toka nitoke Dodoma. Mtoto wa Mama wa2 naye alikuwa kaanza likizo ya Easter, hivyo nilikua namchukua Maggy tu.

Baada ya kumpeleka Maggy Posta ilibidi niende Kijitonyama mapema kwa Iryn kama tulivyokubaliana. Nilifika pale kwake na alikuwa bado kalala, nilimpigia simu na akatoka kunifungulia mlango.

Tulisalimiana pale na yeye akasema anakwenda kuoga ili tuwai kwenda mapema Posta.

Baada ya kuwasili Posta kuna duka tuliingia la nguo “special”. Iryn alinunua nguo nyingi tu pale za kiofisi ikiwemo suti ya suruali na alikua anajaribisha palepale.

Tulirudi haraka Kijitonyama na alijiandaa pale kwa haraka na alitoka akiwa amependeza sana. Alikuwa kavaa suti ya dark blue na ilionekana kumpendeza sana mrembo Iryn.

Tukaondoka kuelekea Masaki kwenye hio Organization. Muda huo ilikua saa 7 mchana na nilimshusha nje ya geti la Organization.

“Insider nitakupigia nikiwa tayari sawa?” na yeye akaingia ndani.

Mimi nilitoka hapo na nikatafuta chimbo kwa mbele nikapark gari langu.

Lengo kubwa la kwenda kwenye hii Organization ni kufanyiwa interview na kusaini forms, Iryn alisema wanamfanyia interview ili wajue zile pesa atazifanyia nini maana ni nyingi sana kwa umri wake.

Wakati niko kwenye gari nilikua nikiperuzi peruzi kwenye social medias nikiangalia mambo yanayoendelea na kutrend. Na muda huo Mary alinipigia simu, nilishangaa sana kuona akipiga simu.

MIMI: “Mary mambo.”

MARY: “Salama za kunisusa?”

MIMI: “Mimi au wewe ndo umenisusa?”

MARY: “Mimi sijakususa ila uliniboa, na unajua sababu.”

MIMI: “Ok am sorry, sindo unataka kusikia hivi?

MARY: “Insider juzi ulikuwa na Prisca?”

MIMI: “Why?”

MARY: “Insider ulikuwa na Prisca, don’t lie”

MIMI: “Afu Mary mimi sikuelewagi ujue, you keep asking me everyday. Mdogo wako akichelewa kurudi unaniuliza mimi badala umbane Prisca, this behavior has to stop”

MARY: “It’s okay, upo wapi?.”

MIMI: “Niko masaki now, unahitaji usafiri?”

MARY: “Kama utakuwepo Posta, jioni utanambia.”

MIMI: “Sawa Bossy wangu”

Na muda huo alikata simu [emoji3513]

Ukweli ni kwamba nikizurura hivi na Iryn nilikuwa naingiza pesa nyingi tu, sikosi laki, laki2 itadepend na yeye hio siku ana mood gani, japo kuna baadhi ya trip nilikua nakataa pesa zake.

Nilisubiri pale kwa almost saa zima nikimsubiri atoke na muda huo ndo alinipigia nisogee ili tuondoke.

Wakati nimesogea pale karibu nilimwona akiwa na Mama Janeth na wakapanda kwenye gari.

“Insider twende Levant tukale nafikiri ni sehem nzuri ambayo imetulia.”

Kutoka kwnye ile Organization hata sio mbali na ndani ya muda mfupi tulikuw pale Levant.

Na kila mmoja aliagiza msosi anaojua yeye na Mama Janeth na Iryn waliendelea kuongea, maana toka tukiwa kwenye gari walikuwa wakiongea sana, ni kama walikuwa wanaendeleza mazungumzo yao.

IRYN: “Mama ndo hivyo kama nilivyokwambia zile mashine zimefika tayari, utaziona ni nzuri sana na zitatusaidia.”

MAMA JANETH: “Na suala la massaji tutapata wataalamu na wakuaminika?”

IRYN: “Mama hata mimi nitawafundisha niko vizuri sana.”

MAMA JANETH: “Sawa mwanangu uwepo wako umekuwa baraka sana.”

IRYN: “Director muda ule alikuwa anasema Organization itanipa sponsorship ya Postgraduate, ni muda gani ita expiry?”

MAMA JANETH: “Hio ni wewe tu sidhani kama ina kikomo, vipi kwanini hutaki kufanyia kazi Organization?”

IRYN: “Mama si nitabanwa sana, na biashara zikayumba?”

MAMA JANETH: “Mbona mama yako alikuwa busy na mambo yalikuwa yanakwenda vizuri tu.”

IRYN: “Mama labda baadae kwa sasa hapana.”

MAMA JANETH: “Pale home unaishije? Maana sijaja na muda.”

IRYN: “Salama ila nafikiri mwezi ujao niondoke, ili uweke mtu ile ni biashara yako. Kipindi kile nilikuwa mgeni ila sasa nishayazoea mazingira, Insider ananisaidia sana.”

MAMA JANETH: “Hata mimi nakuona kuna utofauti mkubwa sana ulikuwa unajifungia tu ndani. Ila pale ni nyumbani unaweza kuendelea kukaa tu mwanangu hata usiwe na wasiwasi.”

IRYN: “Nataka nibadilishe mazingira pia.”

MAMA JANETH: “I understand.”

Tulitumia kama dakika 45 pale Levant na tukaondoka pale, tulimrudisha Mama Janeth kazini na sisi tukaondoka kurudi Kijitonyama.

Na wakati tunarudi tulitumia Kimweri Ave Road, hii barabara inakuja kutokea pale Mikocheni, Mwaikibaki road.

MIMI: “Iryn muda ule nilisikia mkiongea na Mama Janeth kuhusu kuhama pale Kijitonyama.”

IRYN: “Ndio Insider nataka kuhama pale, sikukwambia kama zile Apartments ni za mama Janeth?.”

MIMI: “Hapana hujawai kunambia.”

IRYN: “Ni Apartment zake, wakati nimerudi Tanzania kutoka Ufaransa nilifikia kwa Mama Janeth. Niliona nakosa uhuru wa kutoka usiku na kufanya kazi zangu, ndo nikamwambia nataka kupanga ndo akanionesha apartments mbili ya Mikocheni na hii ya Kijitonyama. Mimi niliipenda ya Kijitonyama ndo akaninulia vitu vyote unavyoviona mle ndani.”

MIMI: “Aisee kumbe”

IRYN: “Insider kukutana na wewe ni kama Baraka kwangu maana nilikuwa mtu wa kujifungia ndani tu.”

MIMI: “Nilikuahidi kukupeleka kula kitimoto na pia nitakupeleka ukale Biriani la selebonge.”

IRYN: “Week tayari hujatimiza ahadi.”

MIMI: “Better late than never.”

IRYN: “Don’t make Promises you can’t keep.”

MIMI: “Sema tumekula tayari, tena leo Ijumaa ningekupeleka pale kwa Selebonge tukale biriani.”

Tulitumia muda mchache kufika pale kwake baada ya kupark gari yeye aliingia ndani na mimi nikaenda kufunga geti.

Niliingia seblen na nikakaa kwenye coach na kwenye meza kulikuwa na kitabu kama magazine tuseme, kilikuwa ni cha mambo ya fashion, nilikuwa nakipitia nakiangalia yaliyomo ndani.

Wakati nikiendelea kuangalia picha za mle ndani nilisikia Iryn akiniita kutoka chumbani kwake,

IRYN: “Insider………”

MIMI: “Nambie mummy”

IRYN: “Come in please.”

MIMI: “In your room?”

IRYN: “Yes are you afraid? Njoo bhasi haraka.”

MIMI: “Okay am coming.”


TO BE CONTINUED

Sunday: 19:00
Thank you for a keeping your promise!
 
Back
Top Bottom